Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,212
- 86,850
😹😹😹Mwache my wangu siyo yeye bhanaaa😂
Sasa kwann ulimsaliti shem ukatoka out na hao makanjanja wavaa yebo? Na huyu lazima atakuwa Lucha tu 🤣
😹😹😹Mwache my wangu siyo yeye bhanaaa😂
LiniWewe
Green ileJamaniii ni zile kaoshi za Green light au orange?
😂😂😂😂😂😂😂
Ko angekupatia 50k ungempatia ?Kavaa jeans na tishet,na sandiz sijui yeboyebo,simu imepasukapasuka kioo anaperuzi Kwa kuificha,halafu ananiongopea eti atanipa 50000 elfu,nilimuonea huruma ningekuwa na elfu kumi walau ningempata,wee chenji 800 kaisubiri karibu nusu saa😂😂😂😂🤥
Hapo ilikuwa bado dada,ni mwanzoni kabisa ,napokea meseji 50 za mtu mmoja nikajua Wana hela kumbeee 😂😂😂😹😹😹
Sasa kwann ulimsaliti shem ukatoka out na hao makanjanja wavaa yebo? Na huyu lazima atakuwa Lucha tu 🤣
id hacked?Nipo chooni nakunya mwenzako.
NiniKo angekupatia 50k ungempatia ?
Yaan natamani azitaje haswaa, roho yangu itulie.😹😹😹😹 Sio wasukuma hao mana na mashati ya kung’ata wako vizuri..!
Em wataje usije kuonekana unatafuta kiki Mary bhana..!!
😹😹😹 Alijua humu watu wana pesa km wanavyojibrand, mi nilimwambia humu watu unaowaona wana maisha mazuri ilitakiwa uwaonee huruma hakunielewa?Sasa ujue nn Da marry, siku ingine ukipata appointment na kapuku wa humu. Jibebee zako vijipesa vya kukutosha mwenyewe.
Ili yeye akileta njegeka zake, unasepa fastaa maeneo. Usicheke na wowotee.
😂😂😂😂😂😂
Pale katiNini
Watu weuweeee..!! 😹😹Hatariiiiii 😂😂😂😂😂
Naogopa mawee Mimi ,halafu wajanja wenge utakuta wamejiunga jf siku tatu au mbili nyumaYaan natamani azitaje haswaa, roho yangu itulie.
😂😂😂😂😂
Hapo sasa!! Yeye na nyuzi zake za mapishi yuko winja winja.Mwachi ana kisokorokwinyo ndo shida yake..!!
Yeye minyuzi yake tunamsapoti kwann mwenzie hataki ashine? 😹😹😹
Aaaa wapiPale kati
Mambo uyapendayo😅😅Watu weuweeee..!! 😹😹
Ni wewe 😹Hapana huyo sio mimi, japo mimi pia naweza kufanana na huyo jamaa maisha.
Whya ulienda kukutana nae?Aaaa wapi
Lukasi ana Faranga Mamtu ?Mmmh...
Jamani!😂id hacked?
Vumbi tuLukasi ana Faranga Mamtu ?