Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,242
- 86,930
πΉπΉπΉ Yani tena wale wenye midomo na leo hawapo hapa..!!Yaan afanye kuzitaja hizo ID kwa kwelii..
πππππ
Penseli sijui km anakosekana π€£
πΉπΉπΉ Yani tena wale wenye midomo na leo hawapo hapa..!!Yaan afanye kuzitaja hizo ID kwa kwelii..
πππππ
Ndo mrudiane na nyie nipate vocha mie πΉYaan ni boss kubwaa kabisaa, π₯π₯π₯
Mafundi ujenzi wa JF hawana hata π ya taipu sii? Nachoka mie jamaniiiiiiKuna watu wataniua na njaa siku moja,sasa nikupe na huyu wa pili.
Huyu alishuka kwenye Bajaji akiwa na kibegi nikajua ni shefa la maana,kumbe ni fundi ujenz maana wakati nimemuomba chaja type c ni busti simu yangu niliona mwiko na pimamaji kwenye begiππππ
Huyo hakosi hapo, na vile alivyo na kihere here.πΉπΉπΉ Yani tena wale wenye midomo na leo hawapo hapa..!!
Penseli sijui km anakosekana π€£
Wallet imejaa stika za Samia tu.Vumbi tu
Subiriii kidogooo!! πππππNdo mrudiane na nyie nipate vocha mie πΉ
πΉπΉπΉπΉ huyu atakuwa mzabzab alisema engineer π€£Kuna watu wataniua na njaa siku moja,sasa nikupe na huyu wa pili.
Huyu alishuka kwenye Bajaji akiwa na kibegi nikajua ni shefa la maana,kumbe ni fundi ujenz maana wakati nimemuomba chaja type c ni busti simu yangu niliona mwiko na pimamaji kwenye begiππππ
ππππ kumbe ni new comers?Naogopa mawee Mimi ,halafu wajanja wenge utakuta wamejiunga jf siku tatu au mbili nyuma
Wanaume tumeumbiwa mateso na kuhangaika!Kijana Masikini kwanini lakini hutaki kuhudumia?
HahahaKwa kauli hizi HAKUNA MKE HAPA
HII TAKATAKA IKADANGE KUHALALISHA DHAMIRA YAKE,
Najua ni wazamani ila wakija PM wanakuja kama wageniπππππππ kumbe ni new comers?
Ila JF
Ila marry mbavu zinaniuma, bora ulivyotusanua unaweza kukutana na makuli πΉπΉπΉHapo ilikuwa bado dada,ni mwanzoni kabisa ,napokea meseji 50 za mtu mmoja nikajua Wana hela kumbeee πππ
Mtahangaika mpaka siku ya mwishoWanaume tumeumbiwa mateso na kuhangaika!
Kumbe ulisha sanukaa kitamboo, Da marry we mkaliiii. Khaaaah.Najua ni wazamani ila wakija PM wanakuja kama wageniπππ