Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,429
- 94,863
๐น๐น๐น Yani tena wale wenye midomo na leo hawapo hapa..!!Yaan afanye kuzitaja hizo ID kwa kwelii..
๐๐๐๐๐
Penseli sijui km anakosekana ๐คฃ
๐น๐น๐น Yani tena wale wenye midomo na leo hawapo hapa..!!Yaan afanye kuzitaja hizo ID kwa kwelii..
๐๐๐๐๐
Ndo mrudiane na nyie nipate vocha mie ๐นYaan ni boss kubwaa kabisaa, ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Mafundi ujenzi wa JF hawana hata ๐ ya taipu sii? Nachoka mie jamaniiiiiiKuna watu wataniua na njaa siku moja,sasa nikupe na huyu wa pili.
Huyu alishuka kwenye Bajaji akiwa na kibegi nikajua ni shefa la maana,kumbe ni fundi ujenz maana wakati nimemuomba chaja type c ni busti simu yangu niliona mwiko na pimamaji kwenye begi๐๐๐๐
Huyo hakosi hapo, na vile alivyo na kihere here.๐น๐น๐น Yani tena wale wenye midomo na leo hawapo hapa..!!
Penseli sijui km anakosekana ๐คฃ
Wallet imejaa stika za Samia tu.Vumbi tu
Subiriii kidogooo!! ๐๐๐๐๐Ndo mrudiane na nyie nipate vocha mie ๐น
๐น๐น๐น๐น huyu atakuwa mzabzab alisema engineer ๐คฃKuna watu wataniua na njaa siku moja,sasa nikupe na huyu wa pili.
Huyu alishuka kwenye Bajaji akiwa na kibegi nikajua ni shefa la maana,kumbe ni fundi ujenz maana wakati nimemuomba chaja type c ni busti simu yangu niliona mwiko na pimamaji kwenye begi๐๐๐๐
๐๐๐๐ kumbe ni new comers?Naogopa mawee Mimi ,halafu wajanja wenge utakuta wamejiunga jf siku tatu au mbili nyuma
Wanaume tumeumbiwa mateso na kuhangaika!Kijana Masikini kwanini lakini hutaki kuhudumia?
HahahaKwa kauli hizi HAKUNA MKE HAPA
HII TAKATAKA IKADANGE KUHALALISHA DHAMIRA YAKE,
Najua ni wazamani ila wakija PM wanakuja kama wageni๐๐๐๐๐๐๐ kumbe ni new comers?
Ila JF
Ila marry mbavu zinaniuma, bora ulivyotusanua unaweza kukutana na makuli ๐น๐น๐นHapo ilikuwa bado dada,ni mwanzoni kabisa ,napokea meseji 50 za mtu mmoja nikajua Wana hela kumbeee ๐๐๐
Mtahangaika mpaka siku ya mwishoWanaume tumeumbiwa mateso na kuhangaika!
Kumbe ulisha sanukaa kitamboo, Da marry we mkaliiii. Khaaaah.Najua ni wazamani ila wakija PM wanakuja kama wageni๐๐๐