Kwani ukiomba msaada kwa rais ni lazima upate? Kabendera mwenyewe alikiri makossa yake sasa kwa nini hakukiri mapema? Itabidi umtafute na kumuuliza.
BTW rais kila dakika anapata maombi tofauti tofauti kutoka kwa Watanzania wengi (Population hivi sasa ni millioni 55, Je, unafahamu maombi yao yanasikilizwaje na kwa muda gani? Je, Kabendera wakati anafanya yale makosa alikuwa hafahamu sheria? Sheria za nchi ni msumeno zinakata kote kote. Amelipwa alichokuwa anakitafuta na ndivyo haki inavyofanya kazi.
NI kwa WAPUUZI tu ndiyo wanaamini Kabendera alikuwa na makosa. Kabendera hakutenda kosa lolote zaidi ya kuandika ukweli kuhusu utawala wa dikteta ambaye hakupenda na kuamua KUMBAMBIKIA kesi FAKE ambayo ilisababisha kifo cha mama yake.
''On the tax evasion charge, he agreed to pay $75,000 (£58,000) within six months. On the money laundering charge, he has already paid a fine of $43,000.
He also had to pay $108 for his immediate release.''
Wewe na Kabendera nani anasema ukweli? Tukuamini wewe na jina lako la bandia wakati mwenzio kalipa mahela yote yale. Yaani yeye mwenyewe kafanya plea bargain ili atoke na ile ni pesa ndefu sana. Haya twambie wewe mjuzi ile pesa aliyolipa nani alitoa?
You don’t know anything about the TRUTH. What you just posted is a BS.
BS kwako kwa sababu unataka tukuamini wewe Bubu Ataka Kusema (BAK). Je, utaweza kusema lini? Au unataka uvundo wa wachache wanaofaidi keki ya taifa peke yao uendelee? So tell us the truth since we started this forum now you can speak the truth. The truth will set you free.
BTW link ya hizo pesa: Tanzania journalist freed after seven months
Endelea kuamini uongo wa hii Serikali na namba zao za kupikwa viwanda 8,477 na ajira milioni 6 both are PURE LIES!
Ripoti UNDP 2019: Maendeleo ya Watanzania yamerudi nyuma kwa 25%
Tkwani EU ni lazima twende?Lakini pammoja na mafanikio hayo makubwa ya Mwenyezi Mungu kutuhurumia na janga hili ,Tanzania haipo kwenye white list ya nchi 14 za Africa zinazoruhusiwa watu wake kwenda nchi za EU.Mfano ni Rwanda ipo white list.
Labda sababu ni Tanzania kugoma kutoa update za Corona kama mataifa mengine yanavyofanya.Every point counts.
Rafiki
Nilisoma ile article kwa uchungu na maumivu makali
Kweli ukubwa jalala sana
[/QUO
Tafadhali unaweza kutushirikisha hapa
Kwa hiyo sasa umehamia kwenye issue ya UNDP kwa sababu umeshindwa kujibu hoja ya Kabendera ambayo wewe mwenyewe umeileta? BAK wacha kurukaruka kama kunguru, sasa uongo hapo uko wapi? Facts zimekutoa knockout. Nikihamia huko UNDP nako utakimbia, sasa mkuu kama unaona mabaya tu kwa kila kitu siwezi kuwa na msaada kwa sababu mimi naangalia ukweli, naongozwa na ukweli uongo kwangu mwiko. Endelea tu na yale ambayo sasa naamini umeaminishwa na agenda yako ambayo kwa kuangalia tu inaongozwa na chuki na husda. Tuendelee na JF yetu kwa kutokubaliana kwa sababu wewe ni lazima upinge tu kila kitu hata kile ambacho kinasaidia jamii ya Watanzania ambao ndio wanaolipa kodi.
Nakuonyesha WAPUUZI nyinyi mnavyokubali KUDANGANYWA na huyo dikteta. Kabendera was 100% INNOCENT but majuha wanaamini kesi aliyobambikiwa ilikuwa ni kweli. Kajisemea Askofu Bagonza tulipokuwa na Chuo Kikuu kimoja hatukuwa na WAJINGA kama ilivyo sasa pamoja na kuwa tuna idadi kubwa ya vyuo vikuu na wewe ni mmoja wa hao WAJINGA.
Si ulihitimisha sasa umerudi na matusi sijui wajinga etc. That is too low for me. Huwezi ukasema mtu ni dikteta wakati huna ushahidi, vile vile huwezi kusema kesi kabambikiwa wakati yeye mwenyewe kakubali. Ina maana wewe upo kwenye akili ya Kabendera? Yaani Askofu Bagonza akisema ndio ukweli? BTW sio kila mtu kasoma vyuo vya Tanzania. Bubu Ataka Kusema wewe mfuate askofu Bagonza na ushauri wake maana huko kwenu mna tunu ya werevu na sisi tuache tufuate sheria za nchi. Serikali haina dini ina katiba kama una ushahidi fungua kesi mahakamani. I am done with you on this issue, kwa sababu hoja zimekushinda sasa unaamini mambo uliyoambiwa na Askofu Bangoza pamoja na report ya UNDP bila kuangalia facts. Those are your mentors, you better listen to them.
Kamuulize Zitto na Mbowe watakwambia walipowapelekaWapi Azory, wapi ben saanane?
Nakubaliana naye 100% ila wenyeviti wa mitaa waliochaguliwa karibuni kwa mizengwe sana wanamwangusha sana huyu Raisi kwa kumjengea chuki na wananchi wa hali ya chini. Mifano ni mingi sana nitataja michache. Mwenyekiti wa mtaa wa tembo mgwaza huko tabata kisukuru alimfugia kwa masaa 9 mama mmoja wa taani kwake mwenye genge la kuuza ndizi mbivu kisa alishindwa kichangia shs. 3000/= alizodaiwa eti kwa ajili ya ulinzi shirikishi. Hizi pesa zinakusanywa na kuliwa na huyu mwenyekiti na wajumbe wake. Pili kuna tozo ameanzisha anaiita ada ya taka. Ajabu hii inatozwa kwa kila kichwa shs. 10,000/= kwa mwezi. Kama jengo lina wapangaji bachelas 10. Basi hiyo nyumba itachangia 100,000/= hata kama hawazalishi taka. Hili jambo ni matumizi mabaya ya ofisi za serikali bila kujali ni ngazi ya mtaa. Kifupi namwomba Rais awasiliane na wakurugenzi ili wachukue hatua kwa hawa wenyeviti wetu wenye kutengeneza kero kwa wananchi badala ya kuzitatua. Tatu hata kama una walinzi wako lazima utoe hii michango ili waile. Nne kutwa nzima hawa viongozi wanazurura kwenye majumba ya watu wakati wenyewe wapo makazini. Nawasilisha kwa wahusika wachukue hatua.50% nakubaliana nae ila 50% napingana nae ila namshukuru tu ya kwamba kidogo ameweza kurejesha Nidhamu ya Kiutendaji na Nchi inakwenda.
EU ndiyo jumuiya ya nchi za ulaya,sasa bila makubaliano kutoka both ways hao watalii kutoka ulaya watapungua.Bado tunahitaji ushirikiano wa mambo mengi toka kwao kuliko wao.Tkwani EU ni lazima twende?
White list ni nchi au taasisi zilizokidhi matakwa au masharti ya jambo fulani mliokubaliana.Unaposema white list una maana gani?