Ukweli mchungu: Wasomi wetu hawauziki…!

Ukweli mchungu: Wasomi wetu hawauziki…!

Asante sana Zinduna kwa kuleta maada hii. Nimesoma michango ya watu wengi hapa - mingine ikiwa imejaa kejeli - lakini wengi wanaokupinga wameshindwa kutofautisha Mtanzania na msomi wa Kitanzania. Ukweli ni kuwa Watanzania wakipewa elimu sahihi wengi wataweza kumudu ushindani wa kimataifa (mifano iliyoletwa hapa mingi ni ya Watanzania waliobahatika kupata elimu nje ya Tanzania LAKINI si ya Watanzania waliosomea hapa hapa nchini na kwa "elimu" hiyo ya Kitanzania wakapata kazi nje ya nchi.
 
Hawa wasomi ninaowazungumzia mimi ni wale ambao walizaliwa, kukulia na kusomea Tanzania mpaka degree yao ya kwanza. Baada ya hapo baadhi wakapata scholarships za Serikali kwa ajili ya Masters na labda Phd na wengine walizitafuta wenyewe kupitia balozi mbali mbali zilizo nchini. Kwa maoni yangu aliyezaliwa, kukulia na kusomea Tanzania kutoka shule ya msingi hadi 1st degree (katika vyuo vyetu nchini) ambayo ndiyo iliyomwezesha kupata scholarship nchi za nje kamwe huwezi kumtenga huyu kwamba si msomi wa Kitanzania.

Hao unaowataja hapa ni Watanzania ila sio wasomi wa Kitanzania. Kama kuna mtu kasomea - kwa mfano - USA au Australia na akapata cheo kikubwa au kazi nzuri huko huyo ni raia wa Tanzania ALIESOMEA NJE. Kwa mantiki hiyo huyo si msomi wa Kitanzania.
 
Tena cha ajabu mkuu, miaka ya hivi karibuni COSTECH wameanzisha utaratibu wa kuwa-award watafiti mbalimbali wakisayansi waliofanya makubwa nchini na kulipaisha jina la nchi yetu lakini si ajabu huyu mzee hajawahi hata kufikiriwa. Nchi hii inavichwa vikali sana lakini serikali ndiyo ya kipu.uzi haitaki kuwatumia wanajazana nafasi nyeti watu wasio na sifa kisa ni mtoto wa fulani. Kwa mwenendo huu maendeleo kwetu tutasubiri sana.
Kwenye suala la kuajiri, siyo serikali ya Tanzania tu, bali serikali za nchi nyingi za Africa zinaogopa sana kuwaajiri watu ambao ni vichwa sana, maana watawasumbua. Kwahiyo mara nyingi huwa wanaajiri na kuwateua kwenye nafasi mhimu wale vilaza, ili wasiwa-overshadow kwenye power.

Kwenye serikali nyingi utakuta wenye mamlaka ya juu ni watu aina ya Mlugo, Malima, Nyalandu and the likes. Wakimuweka professor au Dr. basi atakuwa ni aina ya akina Shukuru Kawambwa, Magembe and the likes. wale ambao ni madokta na maprofessor kwa majina tu. Watu smart wakipewa nafasi za juu, basi watapewa na working manual, kwamba usiende beyond this. Ndiyo kama akina Mwakyembe. Watu aina hii ya akina Mwakyembe au Magufuli ni threat kwa viongozi wa juu ambao mara nyingi huwa ni vilaza. So ni lazima wateuliwe kwa uangalifu mkubwa. Go all around Africa, viongozi wakubwa wa serikali (wanasiasa mashuhuri) ni wale ambao hawakuwa na uwezo darasani na kama walikuwa nao basi walikuwa ni average students. Like Kabila, Mseveni, Banda etc.
 
kaka kweli?? Ebu tuelezane wapi vinapatikana

kipokola MUCCOBS vinapatikana,kuna mhadhir alikamatwa na mtambo wa kufyatua vyeti,na hapa jijin(Dar) watu wanapiga sana magumashi ya vyeti fake,kuanzia vya necta hadi universities,,,,,,,
kuna mtu aliwah kunionesha cheti cha necta na cha kuzaliwa cha RITA(VYOTE FAKE)HUWEZI KUTAMBUA KWA HARAKA
 
Last edited by a moderator:
Kwenye suala la kuajiri, siyo serikali ya Tanzania tu, bali serikali za nchi nyingi za Africa zinaogopa sana kuwaajiri watu ambao ni vichwa sana, maana watawasumbua. Kwahiyo mara nyingi huwa wanaajiri na kuwateua kwenye nafasi mhimu wale vilaza, ili wasiwa-overshadow kwenye power.

Kwenye serikali nyingi utakuta wenye mamlaka ya juu ni watu aina ya Mlugo, Malima, Nyalandu and the likes. Wakimuweka professor au Dr. basi atakuwa ni aina ya akina Shukuru Kawambwa, Magembe and the likes. wale ambao ni madokta na maprofessor kwa majina tu. Watu smart wakipewa nafasi za juu, basi watapewa na working manual, kwamba usiende beyond this. Ndiyo kama akina Mwakyembe. Watu aina hii ya akina Mwakyembe au Magufuli ni threat kwa viongozi wa juu ambao mara nyingi huwa ni vilaza. So ni lazima wateuliwe kwa uangalifu mkubwa. Go all around Africa, viongozi wakubwa wa serikali (wanasiasa mashuhuri) ni wale ambao hawakuwa na uwezo darasani na kama walikuwa nao basi walikuwa ni average students. Like Kabila, Mseveni, Banda etc.

Lukolo nimecheka sana,uchambuzi wako murua,big up mdau,ila kwenye green mbona tz hujaitaja au viongoz wetu walikua gift talented class???
 
Last edited by a moderator:
Kwenye suala la kuajiri, siyo serikali ya Tanzania tu, bali serikali za nchi nyingi za Africa zinaogopa sana kuwaajiri watu ambao ni vichwa sana, maana watawasumbua. Kwahiyo mara nyingi huwa wanaajiri na kuwateua kwenye nafasi mhimu wale vilaza, ili wasiwa-overshadow kwenye power.

Kwenye serikali nyingi utakuta wenye mamlaka ya juu ni watu aina ya Mlugo, Malima, Nyalandu and the likes. Wakimuweka professor au Dr. basi atakuwa ni aina ya akina Shukuru Kawambwa, Magembe and the likes. wale ambao ni madokta na maprofessor kwa majina tu. Watu smart wakipewa nafasi za juu, basi watapewa na working manual, kwamba usiende beyond this. Ndiyo kama akina Mwakyembe. Watu aina hii ya akina Mwakyembe au Magufuli ni threat kwa viongozi wa juu ambao mara nyingi huwa ni vilaza. So ni lazima wateuliwe kwa uangalifu mkubwa. Go all around Africa, viongozi wakubwa wa serikali (wanasiasa mashuhuri) ni wale ambao hawakuwa na uwezo darasani na kama walikuwa nao basi walikuwa ni average students. Like Kabila, Mseveni, Banda etc.

Lukolo nimecheka sana,uchambuzi wako murua,big up mdau,ila kwenye green mbona tz hujaitaja au viongoz wetu walikua gift talented class???
 
Last edited by a moderator:
Kwenye suala la kuajiri, siyo serikali ya Tanzania tu, bali serikali za nchi nyingi za Africa zinaogopa sana kuwaajiri watu ambao ni vichwa sana, maana watawasumbua. Kwahiyo mara nyingi huwa wanaajiri na kuwateua kwenye nafasi mhimu wale vilaza, ili wasiwa-overshadow kwenye power.

Kwenye serikali nyingi utakuta wenye mamlaka ya juu ni watu aina ya Mlugo, Malima, Nyalandu and the likes. Wakimuweka professor au Dr. basi atakuwa ni aina ya akina Shukuru Kawambwa, Magembe and the likes. wale ambao ni madokta na maprofessor kwa majina tu. Watu smart wakipewa nafasi za juu, basi watapewa na working manual, kwamba usiende beyond this. Ndiyo kama akina Mwakyembe. Watu aina hii ya akina Mwakyembe au Magufuli ni threat kwa viongozi wa juu ambao mara nyingi huwa ni vilaza. So ni lazima wateuliwe kwa uangalifu mkubwa. Go all around Africa, viongozi wakubwa wa serikali (wanasiasa mashuhuri) ni wale ambao hawakuwa na uwezo darasani na kama walikuwa nao basi walikuwa ni average students. Like Kabila, Mseveni, Banda etc.

Lukolo nimecheka sana,uchambuzi wako murua,big up mdau,ila kwenye green mbona tz hujaitaja au viongoz wetu walikua gift talented class???
 
Last edited by a moderator:
Najua kauli yangu hii itawakera wengi hususan hao wanaojiita wasomi, lakini najua kwamba ukweli mara nyingi huwa unauma sana.

Katika orodha ya nchi za Afrika ambazo wasomi wake wanaibwa na kusombwa na kupelekwa huko Ulaya na Marekani kufanya kazi , Tanzania haitajwi kabisa.

Watanzania wengi wanaokwenda nje kufanya kazi, ni vibarua zaidi, wenyewe wanajiita wabeba mabox, na hata kama ni wasomi, basi utawakuta wanafanya kazi ambazo huwezi kusema zitaweza kuisaidia nchi.

Hata hivyo wapo Watanzania wachache sana ambao wamenunuliwa nje na kufanya kazi huko kwa sababu ya uwezo wao kiufahamu katika taaluma zao.

Lakini hii yote ni kutokana na mfumo wetu wa elimu ambao kwa miaka mingi umekuwa ukidumaza akili zetu.
Mara nyingi wadau mbalimbali wakiwemo baadhi ya wanasiasa wamekuwa wakipiga kelele kuhusu haja ya Serikali kubadili mfumo wa elimu ili kuweza kuwashindanisha wasomi wake na wasomi wa nchi nyingine duniani lakini jambo hilo limeonekana kama vile halina maana.

Najua serikali kupitia wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi stadi imeshawahi kubadili mitaala ya elimu mara kdhaa, lakini ninachojaribu kusema hapa ni je tabia ya wanafunzi kukariri ili wafaulu mitihani badala ya kuelewa imekomeshwa kwa kutafuta chanzo chake?

Ukweli ni kwamba, ni vigumu kwa wasomi wengi wa Tanzania kushindana kwenye soko la dunia kitaaluma kwa sababu, hawakuandaliwa kuwa watu wanaofahamu, bali wameandaliwa kuwa watu wanaokariri…




Unaposema Watanzania wasomi hawauziki una maana gani? Unalinganisha na wasomi wa taifa lipi? Je, una data uweke hapa kuonyesha udhoofu wa wasomi wa Tanzania? Umeenda zaidi na kusema wale waliosoma nje huwatambui? ie hao wamesoma nje ... ... ooops maybe not you .. ... Je, nani aliwafunda walipokuwa wadogo? Usisahau samaki mkunje angali mbichi, hao waliosoma nje walikunjwa na nani? Je ni wapi huko ambako Watanzania hawauziki? Je, ni kina nani hao wanaouzika?

Weka data hapa mkuu ..... ...... ..... ..... ...... huku Alaska tupo wabongo kibao tena tumesoma bongo .... .... .... .. na kwenda kujiendeleza zaidi kwa sababu elimu haina limit kila uchwao unaendelea kujifunza.

BTW Isije ikawa ni hulka ya utumwa ambayo inakusukuma kuwakebehi wasomi wa kibongo.
 
Mkuu hiyo ni changamoto tuliyonayo na ni maswali ya kujiuliza... hivi wewe ukiangalia viongozi wetu mfano: mtu kama Kova kwa kauli zake anastahili kuwa na nafasi aliyonayo??? na je unadhani chini yake hakuna wenye uwezo wa kutosha kushika ile nafasi??? ninachokiona si elimu tu ila na mfumo mzima wa utendaji wa nchi yetu ni mbovu:confused2:

Kipokola Kova ni kamanda wa polisi aliyeajiriwa na serikali,ila anafanyia kazi kwenye media,na anapanda vyeo kupitia media
 
Last edited by a moderator:




Unaposema Watanzania wasomi hawauziki una maana gani? Unalinganisha na wasomi wa taifa lipi? Je, una data uweke hapa kuonyesha udhoofu wa wasomi wa Tanzania? Umeenda zaidi na kusema wale waliosoma nje huwatambui? ie hao wamesoma nje ... ... ooops maybe not you .. ... Je, nani aliwafunda walipokuwa wadogo? Usisahau samaki mkunje angali mbichi, hao waliosoma nje walikunjwa na nani? Je ni wapi huko ambako Watanzania hawauziki? Je, ni kina nani hao wanaouzika?

Weka data hapa mkuu ..... ...... ..... ..... ...... huku Alaska tupo wabongo kibao tena tumesoma bongo .... .... .... .. na kwenda kujiendeleza zaidi kwa sababu elimu haina limit kila uchwao unaendelea kujifunza.

BTW Isije ikawa ni hulka ya utumwa ambayo inakusukuma kuwakebehi wasomi wa kibongo.

mkuu Wacha ukweli ni kwamba kuna changamoto nyingi sana hapa nyumbani,hivi una habar kuna watu wanamaliza form 6 na hadi university hawajui hata kutuma e-mail????tumesoma nao,,,,jaman data za nini???alichoandika Zinduna kina ukweli,hebu angalia avatar yangu hilo dawat ni la shule fulani hapa tanzania,ambayo hata kifaranga ana uwezo wa kupita ukutan na kuzama class
 
Last edited by a moderator:




Unaposema Watanzania wasomi hawauziki una maana gani? Unalinganisha na wasomi wa taifa lipi? Je, una data uweke hapa kuonyesha udhoofu wa wasomi wa Tanzania? Umeenda zaidi na kusema wale waliosoma nje huwatambui? ie hao wamesoma nje ... ... ooops maybe not you .. ... Je, nani aliwafunda walipokuwa wadogo? Usisahau samaki mkunje angali mbichi, hao waliosoma nje walikunjwa na nani? Je ni wapi huko ambako Watanzania hawauziki? Je, ni kina nani hao wanaouzika?

Weka data hapa mkuu ..... ...... ..... ..... ...... huku Alaska tupo wabongo kibao tena tumesoma bongo .... .... .... .. na kwenda kujiendeleza zaidi kwa sababu elimu haina limit kila uchwao unaendelea kujifunza.

BTW Isije ikawa ni hulka ya utumwa ambayo inakusukuma kuwakebehi wasomi wa kibongo.

mkuu Wacha ukweli ni kwamba kuna changamoto nyingi sana hapa nyumbani,hivi una habar kuna watu wanamaliza form 6 na hadi university hawajui hata kutuma e-mail????tumesoma nao,,,,jaman data za nini???alichoandika Zinduna kina ukweli,hebu angalia avatar yangu hilo dawat ni la shule fulani hapa tanzania,ambayo hata kifaranga ana uwezo wa kupita ukutan na kuzama class
 
Last edited by a moderator:




Unaposema Watanzania wasomi hawauziki una maana gani? Unalinganisha na wasomi wa taifa lipi? Je, una data uweke hapa kuonyesha udhoofu wa wasomi wa Tanzania? Umeenda zaidi na kusema wale waliosoma nje huwatambui? ie hao wamesoma nje ... ... ooops maybe not you .. ... Je, nani aliwafunda walipokuwa wadogo? Usisahau samaki mkunje angali mbichi, hao waliosoma nje walikunjwa na nani? Je ni wapi huko ambako Watanzania hawauziki? Je, ni kina nani hao wanaouzika?

Weka data hapa mkuu ..... ...... ..... ..... ...... huku Alaska tupo wabongo kibao tena tumesoma bongo .... .... .... .. na kwenda kujiendeleza zaidi kwa sababu elimu haina limit kila uchwao unaendelea kujifunza.

BTW Isije ikawa ni hulka ya utumwa ambayo inakusukuma kuwakebehi wasomi wa kibongo.

mkuu Wacha ukweli ni kwamba kuna changamoto nyingi sana hapa nyumbani,hivi una habar kuna watu wanamaliza form 6 na hadi university hawajui hata kutuma e-mail????tumesoma nao,,,,jaman data za nini???alichoandika Zinduna kina ukweli,hebu angalia avatar yangu hilo dawat ni la shule fulani hapa tanzania,ambayo hata kifaranga ana uwezo wa kupita ukutan na kuzama class
 
Last edited by a moderator:




Unaposema Watanzania wasomi hawauziki una maana gani? Unalinganisha na wasomi wa taifa lipi? Je, una data uweke hapa kuonyesha udhoofu wa wasomi wa Tanzania? Umeenda zaidi na kusema wale waliosoma nje huwatambui? ie hao wamesoma nje ... ... ooops maybe not you .. ... Je, nani aliwafunda walipokuwa wadogo? Usisahau samaki mkunje angali mbichi, hao waliosoma nje walikunjwa na nani? Je ni wapi huko ambako Watanzania hawauziki? Je, ni kina nani hao wanaouzika?

Weka data hapa mkuu ..... ...... ..... ..... ...... huku Alaska tupo wabongo kibao tena tumesoma bongo .... .... .... .. na kwenda kujiendeleza zaidi kwa sababu elimu haina limit kila uchwao unaendelea kujifunza.

BTW Isije ikawa ni hulka ya utumwa ambayo inakusukuma kuwakebehi wasomi wa kibongo.

mkuu Wacha ukweli ni kwamba kuna changamoto nyingi sana hapa nyumbani,hivi una habar kuna watu wanamaliza form 6 na hadi university hawajui hata kutuma e-mail????tumesoma nao,,,,jaman data za nini???alichoandika Zinduna kina ukweli,hebu angalia avatar yangu hilo dawat ni la shule fulani hapa tanzania,ambayo hata kifaranga ana uwezo wa kupita ukutan na kuzama class
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hiyo ni changamoto tuliyonayo na ni maswali ya kujiuliza... hivi wewe ukiangalia viongozi wetu mfano: mtu kama Kova kwa kauli zake anastahili kuwa na nafasi aliyonayo??? na je unadhani chini yake hakuna wenye uwezo wa kutosha kushika ile nafasi??? ninachokiona si elimu tu ila na mfumo mzima wa utendaji wa nchi yetu ni mbovu:confused2:

Kova hastahili hata usungusungu!
 
Aliyeleta thread hii hakufanya utafiti kabla ya kuianzisha. Toa vyanzo vya upuuzi wako.
 
Jamani elimu yetu sasa hivi ni majanga. Ukikutana na mtu huko ughaibuni anapiga kazi ya uhakika ni M-TZ basi huyo atakuwa wa miaka ya early 90s kurudi nyuma! Sasa hivi watoto wetu unakuta jamaa kamaliza university lakini ukimwuliza hata habari ya Jiografia ya darasa la saba hajui. Juzi hapa nilikuwa nasaidia mtu mmoja kumchapia barua yake ya uhamisho akawa ameandika kwenye anwani yake P.O.BOX....KILOMBERO, nikamwambia hakuna makao makuu ya wilaya ambayo yanajulikana kwa jina hilo akabaki ananishangaa. Nikamweleza makao makuu ya wilaya ya Kilombero ni IFAKARA. Nikaendelea kumwelimisha barua zote zinatakiwa zisomeke P.O.BOX ...IFAKARA, KILOMBERO. Msomi wangu akanipiga swali ulishawahi kuishi IFAKARA? Enzi zetu tulikuwa tunashindana kujua makao makuu ya mikoa, wilaya, nchi n.k pia kujua makabila kwa kila mkoa. Sasa hivi hata mtoto wa TCU hajui haya!

Job K umemwaga facts ila kuna vinyamkera vitakuja kupinga,,,,,
me nakubaliana na Zinduna kwa asilimia zote
 
Last edited by a moderator:
Tz hakuna tofauti kati ya prof na std 7,wasomi ndio wezi,majivuno kibao,ufisadi na kila aina ya takataka,wengi wanataka kuajiriwa tu na ni tegemezi wa kutisha.Afadhali hata yule ambaye hajui kusoma na kuandika kijijini maana analima na watz wote wanafaidi matunda yake

Hii ni zaidi ya dharau.....na hii inaonesha how far you still lag behind in thinking!
 
Back
Top Bottom