Ukweli mchungu: Wasomi wetu hawauziki…!

Ukweli mchungu: Wasomi wetu hawauziki…!

yap nilikuwepo kwenye smart partneship na nilikuwa kwenye nanotech manake i have my products already ambazo nasubiri kwajili ya kupatet ili zianze kutumika . infact nilikuwa na booth ya nanotech na niliweza kuonyesha baadhi ya products zangu nanocatalys, nanomaterials for waste water treatment na pia nanoparticlesfor portabale water treatment. nilipresent kwenye 29ners na this was what kikwete was saying kwamba wanataka kuipa nguvu.

however kwenye nano hub niliongelea pia some of my innovation nilikuwa the last person kabla mtu wa graffein hajaanza kupresent. uliingia kweny parallel session ya nano??

hapa kwetu vifaa ndo ishu but presdent alimwambia waziri wa sayansi na teknalojia kwamba wataona ins ambavyo serikali inaweza ikatupatia centre for excellency pamoja na vifaa. kikubwa tunahitaj particle anaylser, SEM and other equips ambazo ni ghali sana.

anyways kama uko dar na unadeal na hii kitu njoo kwenye platform yetu ya nano nipm email yako nikuadd ili uwe unapata habari za vikao etc.tuweke nguvu kushinikiza kupata hii centre. nina products kwenye drug delivery zingefaa sana but sina pakuzipeleka.

hapa kwetu ishu ya nano watu tunafanya sana a

......thanks for reply....kwa sasa niko Asia....kwenye taasisi moja ya biotech......lakini huwa nakuja east africa kwa ajili ya product zetu....Infact taasisi yetu ina venture na thermofisher scientific....magwiji wa kutengeneza analyzers...na other products....tuna branch Nairobi....

...Kuhusu nanotech...nimefurahi kuona TZ inaamka at least sasa.....Kweli kama usemavyo issue kubwa ni uwepo wa vifaa kama mashine za kufanyia characterization ya nanomaterials...mfano SEM....au TEM....au FTIR...n.k....Lakini kwa upande wangu mimi naona tatizo kubwa lililopo TZ kwenye hii issue ni kutokuwepo kwa human resource ya kutosha....


...Nikiwa na maana kuwa tz inahitaji nguvu ya ziada ya kutoa capacity kwa kusomesha wataalam wa kutosha kwenye bio nanotech.....kwasababu kunaweza kuwepo na vifaa vya kutosha...na pia reagents kwa ajili ya synthesis na fabrication ya nanomaterials.....lakini watu wa kuifanya hii kazi na pia kutumia hizi mashine wakakosekana....hili ni tatizo kubwa kwa TZ sasa.....mfan...nimewahi kuona hata pale NIMR wamekuaga na next generation DNA sequencing machine...lakini wakawa hawana watu wa kuitumia...mifano iko mingi....


.....Nasema hivi nikirejea hata mifano hai ya asia..ulaya na marekani...hawakuweza kuwa na success kwenye application ya nanotech pasi kuwatumia wataalam wao....wao wamejiwekea mikakati madhubuti ya kuwavuta wataalam wao....haswa wal waliosomea nje...wakarudi makwao kwa ajili ya kuendeleza innovations kwenye R&D wakitumia applications za nanotech....haya maendeleo watu wanayozungumzia kuhusu Asia...yametokana kwa kiasi kikubwa na matumizi ya nanomaterials....kwenye almost fields zote....mfano matumizi ya graphene.....ama carbon nanotubes kwenye viwanda (mfano electronics etc).....Ungemsikiliza yule waziri mkuu wa Malyasia alikazia sana kuhusu capacity building kwenye haya mambo.....wakati watawala wetu wao wamekalia kuchapana na wapinzani kwenye siasa...


......Nije kwenye issue ya kuanzisha kitengo cha nanotech TZ...hili ndilo jambo la msingi sana la kutiliwa nguvu sasa....na haswa serikali....maana investment hii ni bei mbaya.....na inahitaji commitment kubwa ya serikali...ili kuvuta wataalam kuja kufanya kazi TZ..haswa wabongo........Mimi nafikiri pale Nelson Mandela Institute Arusha ni mahali muafaka sana kuanzisha centre of excellence kwenye nanotech.....mimi huku niliko ninaongea na contacts zangu....ma Prof.wa chuo changu kuangalia uwezekano wa siku moja kuwaalika TZ kuja ku facilitate issue ya kufungua nanotech and biomaterial department kwenye one of the universities we have in TZ...Najua tukiunganisha nguvu na nyie mlioko bongo hili linawezekana....kila mtu akija na experience yake.....nadhani kuanza na conference ingekua muafaka.......


....That said....lazima kuwe na initiative ya serikali kwenye hili......maana wakati mwingi watu wanafikiri haya mambo ni magumu...lakini ukweli sivyo....kutengeneza nanomaterials kunahitaji elimu ya kawaida sana....ila matumizi ya zile characterization tools ndio kunahitaji specialized skills zaidi....mflano:.mimi sioni haja eti ya watu kwenye mahospitali makubwa TZ kuagiza magnetic nanoparticles kutoka nje kwa ajili ya kuzitumia kama imaging agents kwenye MRI...wakati tunaweza kutengeneza magnetic nanoparticles kwenye lab hapo bongo (nimespecialize kwenye magnetic nanoparticles)...

...NIMR najua kuna some guys wamefanya nanotech...you may be one of them...maana najua kuna mtu katengeneza nanomaterials kwa ajili ya kuhifadhi maji....mnaita sijui "maji poa!"....

....Will check on you once in Dar.....
 
......thanks for reply....kwa sasa niko Asia....kwenye taasisi moja ya biotech......lakini huwa nakuja east africa kwa ajili ya product zetu....Infact taasisi yetu ina venture na thermofisher scientific....magwiji wa kutengeneza analyzers...na other products....tuna branch Nairobi....

...Kuhusu nanotech...nimefurahi kuona TZ inaamka at least sasa.....Kweli kama usemavyo issue kubwa ni uwepo wa vifaa kama mashine za kufanyia characterization ya nanomaterials...mfano SEM....au TEM....au FTIR...n.k....Lakini kwa upande wangu mimi naona tatizo kubwa lililopo TZ kwenye hii issue ni kutokuwepo kwa human resource ya kutosha....


...Nikiwa na maana kuwa tz inahitaji nguvu ya ziada ya kutoa capacity kwa kusomesha wataalam wa kutosha kwenye bio nanotech.....kwasababu kunaweza kuwepo na vifaa vya kutosha...na pia reagents kwa ajili ya synthesis na fabrication ya nanomaterials.....lakini watu wa kuifanya hii kazi na pia kutumia hizi mashine wakakosekana....hili ni tatizo kubwa kwa TZ sasa.....mfan...nimewahi kuona hata pale NIMR wamekuaga na next generation DNA sequencing machine...lakini wakawa hawana watu wa kuitumia...mifano iko mingi....


.....Nasema hivi nikirejea hata mifano hai ya asia..ulaya na marekani...hawakuweza kuwa na success kwenye application ya nanotech pasi kuwatumia wataalam wao....wao wamejiwekea mikakati madhubuti ya kuwavuta wataalam wao....haswa wal waliosomea nje...wakarudi makwao kwa ajili ya kuendeleza innovations kwenye R&D wakitumia applications za nanotech....haya maendeleo watu wanayozungumzia kuhusu Asia...yametokana kwa kiasi kikubwa na matumizi ya nanomaterials....kwenye almost fields zote....mfano matumizi ya graphene.....ama carbon nanotubes kwenye viwanda (mfano electronics etc).....Ungemsikiliza yule waziri mkuu wa Malyasia alikazia sana kuhusu capacity building kwenye haya mambo.....wakati watawala wetu wao wamekalia kuchapana na wapinzani kwenye siasa...


......Nije kwenye issue ya kuanzisha kitengo cha nanotech TZ...hili ndilo jambo la msingi sana la kutiliwa nguvu sasa....na haswa serikali....maana investment hii ni bei mbaya.....na inahitaji commitment kubwa ya serikali...ili kuvuta wataalam kuja kufanya kazi TZ..haswa wabongo........Mimi nafikiri pale Nelson Mandela Institute Arusha ni mahali muafaka sana kuanzisha centre of excellence kwenye nanotech.....mimi huku niliko ninaongea na contacts zangu....ma Prof.wa chuo changu kuangalia uwezekano wa siku moja kuwaalika TZ kuja ku facilitate issue ya kufungua nanotech and biomaterial department kwenye one of the universities we have in TZ...Najua tukiunganisha nguvu na nyie mlioko bongo hili linawezekana....kila mtu akija na experience yake.....nadhani kuanza na conference ingekua muafaka.......


....That said....lazima kuwe na initiative ya serikali kwenye hili......maana wakati mwingi watu wanafikiri haya mambo ni magumu...lakini ukweli sivyo....kutengeneza nanomaterials kunahitaji elimu ya kawaida sana....ila matumizi ya zile characterization tools ndio kunahitaji specialized skills zaidi....mflano:.mimi sioni haja eti ya watu kwenye mahospitali makubwa TZ kuagiza magnetic nanoparticles kutoka nje kwa ajili ya kuzitumia kama imaging agents kwenye MRI...wakati tunaweza kutengeneza magnetic nanoparticles kwenye lab hapo bongo (nimespecialize kwenye magnetic nanoparticles)...

...NIMR najua kuna some guys wamefanya nanotech...you may be one of them...maana najua kuna mtu katengeneza nanomaterials kwa ajili ya kuhifadhi maji....mnaita sijui "maji poa!"....

....Will check on you once in Dar.....

hapo bold am the one.

anyways my interest is in material science hasa kwenye nanoparticles development and characterization. ninaye mtu ambaye kwasasa yeye anafanya nanomanufacturing so huwa ananipa sapoti sana kwa upande wangu.
ilkuwa challenge sana kwenye development ya materials nilizonazo hasa za kutibu maji manake vitu kama particle analyser nililazimika kufanyia SA but hivyo hivyo tunaenda.

Binafsi niko based sana na organic nanoparticles na kwasasa na deal zaid na CNS ila nyingi ni kwaajili ya drug delivery and nanocarriers na nanocatalyst na na develop pia conjugates za nanomaterials

unachokisema kuhusu human resource ni ngumu sana as wanasayansi wengi wa hapa bongo hawapendi hard core science as hailipi kibongo bongo. lakini pia ninajaribu kwainitiate sana hawa vijana wadogo atleast wajoin hii field. nimeanza na vijana wa KINU HUB ila hapa nimekuta wengi ni IT manake hawa product zinauzika kiurahisi sana.

lakin pia tunachallenge ya soko la uhakika la products tunazodiscover, sion kama TIRDO wana mkakati wowote wa kuhakikisha kama viwanda vyetu vina exhoust technology tuiyonayo kabla ya kutoka nje kuimport tech. like mm maabara kwangu ninazo 5 products kama ulivyoona lkn nazipeleka wapi?? naziacha kwaajili ya kupamba kabati basi.

zile nanomaterials zote ulizoona kwenye booth hazijaingia sokoni manake sijui naziuza wapi lkn nakuhakikishia zingesolve ishu ya maji safi ambayo ni changamoto sana kwa watanzania wengi na pia zingesolve ishu za industrial effluents as zile zote za kutibu waste water ziko excellent kwenye kuondoa color na toxic elements na hata kuzifanyia recovery ni possible kama ukizitumia.

But anyway naamin tutafika tu ingawa kwa mwendo huu itatuchukua muda sana. Binafsi the only promising field for better Tz ni nanotech name it iwe kwenye agri, kwenye medicine , kwenye industries, clothing and envt remediation.
 
hapo bold am the one.

anyways my interest is in material science hasa kwenye nanoparticles development and characterization. ninaye mtu ambaye kwasasa yeye anafanya nanomanufacturing so huwa ananipa sapoti sana kwa upande wangu.
ilkuwa challenge sana kwenye development ya materials nilizonazo hasa za kutibu maji manake vitu kama particle analyser nililazimika kufanyia SA but hivyo hivyo tunaenda.

Binafsi niko based sana na organic nanoparticles na kwasasa na deal zaid na CNS ila nyingi ni kwaajili ya drug delivery and nanocarriers na nanocatalyst na na develop pia conjugates za nanomaterials

unachokisema kuhusu human resource ni ngumu sana as wanasayansi wengi wa hapa bongo hawapendi hard core science as hailipi kibongo bongo. lakini pia ninajaribu kwainitiate sana hawa vijana wadogo atleast wajoin hii field. nimeanza na vijana wa KINU HUB ila hapa nimekuta wengi ni IT manake hawa product zinauzika kiurahisi sana.

lakin pia tunachallenge ya soko la uhakika la products tunazodiscover, sion kama TIRDO wana mkakati wowote wa kuhakikisha kama viwanda vyetu vina exhoust technology tuiyonayo kabla ya kutoka nje kuimport tech. like mm maabara kwangu ninazo 5 products kama ulivyoona lkn nazipeleka wapi?? naziacha kwaajili ya kupamba kabati basi.

zile nanomaterials zote ulizoona kwenye booth hazijaingia sokoni manake sijui naziuza wapi lkn nakuhakikishia zingesolve ishu ya maji safi ambayo ni changamoto sana kwa watanzania wengi na pia zingesolve ishu za industrial effluents as zile zote za kutibu waste water ziko excellent kwenye kuondoa color na toxic elements na hata kuzifanyia recovery ni possible kama ukizitumia.

But anyway naamin tutafika tu ingawa kwa mwendo huu itatuchukua muda sana. Binafsi the only promising field for better Tz ni nanotech name it iwe kwenye agri, kwenye medicine , kwenye industries, clothing and envt remediation.
.....safi sana.....kumbe ni wewe..nimeshakujua.....i do follow up of matters in TZ too....najua pia kulikua na grants mlipata toka Bill & Melinda Gates foundation.....kama si NIMR dar....basi ni NIMR Tanga (kwenye issue ya kupambana na mosquitos).....

Ingekua vizuri issue za masoko ya products muwe mnaongea na wale jamaa (wanaotoa grants)maana its easy wao kusaidia kwenye ku add value kwenye marketing ya products...baada ya synthesis....fabrication na characterization...Issue ya waste water treatment inatakiwa iwe very marketable hapo dar....haswa maviwandani...hivo ni vizuri ukaongea na watu wa viwandani...unaweza hata kuwatumia ku pilot products zako....kabla hujaziingiza sokoni....

..Issue ya patents nadhani si ngumu hapo....kama upo NIMR..maana najua wao ndio wenye ethical clearance na possibly patenting body..au wanafanya costec??

...The best area to me for application of nanotech hapo tz ni area ya medicine....kwenye diagnostics....haswa cancer diagnostics na infectious diseases...wenzetu huku nchi za watu tayari wanafanya kitu kinachoitwa "personalized medicine"....

...Yaani mtu anagundulika mapema kabisa kuwa susceptible to cancer (mfano).....kwa kutumia nanodiagnostics (au biosensors)....ambazo zinaweza kutumika kugundua biomarkers za cancer mapema kabisa na hivo kumfanya mtu kunza kujikinga mapema na hata kuwa na maisha marefu...na kwa wale walioko kwenye tiba(mfano cancer)wanakua na kitu kinaitwa "individualized treatment"..ambapo...baada ya kujua ni treatemen markers gani hazimfai...anazikwepa...hii yote inamfanya a respond vizuri kwa treatment..na hivo kuongeza maisha....

Pia dawa za cancer kwa kuwa ni very toxic zinaweza kuhifadhiwa na kumezwa zikiwa kwenye nanoparticles...na hivo kumwondolea sumu mgonjwa....na hata kupunguza madhara kwa cells/tissues nyingine zisizo na cancer..

...Kwa upande wa infectious diseases ndio hivo kufanya nano drug encapsulation....ili kuongeza bio availability na kupunguza toxicity na pill burden...mfano kwa dawa za TB na Ukimwi....

...Kwenye diagnostics...tumeona magonjwa kama SIRS huku Asia yakigunduliwa na wachina kwa kutumia nanoparticles(gold nanoparticles)

...hapo TZ...magonjwa kama Ukimwi, malaria, TB na hata cancer bado yana nafasi ya application ya nanotech....iwe kwenye diagnostics...ama drug delivery.....
 
.....safi sana.....kumbe ni wewe..nimeshakujua.....i do follow up of matters in TZ too....najua pia kulikua na grants mlipata toka Bill & Melinda Gates foundation.....kama si NIMR dar....basi ni NIMR Tanga (kwenye issue ya kupambana na mosquitos).....

Ingekua vizuri issue za masoko ya products muwe mnaongea na wale jamaa (wanaotoa grants)maana its easy wao kusaidia kwenye ku add value kwenye marketing ya products...baada ya synthesis....fabrication na characterization...Issue ya waste water treatment inatakiwa iwe very marketable hapo dar....haswa maviwandani...hivo ni vizuri ukaongea na watu wa viwandani...unaweza hata kuwatumia ku pilot products zako....kabla hujaziingiza sokoni....

..Issue ya patents nadhani si ngumu hapo....kama upo NIMR..maana najua wao ndio wenye ethical clearance na possibly patenting body..au wanafanya costec??

...The best area to me for application of nanotech hapo tz ni area ya medicine....kwenye diagnostics....haswa cancer diagnostics na infectious diseases...wenzetu huku nchi za watu tayari wanafanya kitu kinachoitwa "personalized medicine"....

...Yaani mtu anagundulika mapema kabisa kuwa susceptible to cancer (mfano).....kwa kutumia nanodiagnostics (au biosensors)....ambazo zinaweza kutumika kugundua biomarkers za cancer mapema kabisa na hivo kumfanya mtu kunza kujikinga mapema na hata kuwa na maisha marefu...na kwa wale walioko kwenye tiba(mfano cancer)wanakua na kitu kinaitwa "individualized treatment"..ambapo...baada ya kujua ni treatemen markers gani hazimfai...anazikwepa...hii yote inamfanya a respond vizuri kwa treatment..na hivo kuongeza maisha....

Pia dawa za cancer kwa kuwa ni very toxic zinaweza kuhifadhiwa na kumezwa zikiwa kwenye nanoparticles...na hivo kumwondolea sumu mgonjwa....na hata kupunguza madhara kwa cells/tissues nyingine zisizo na cancer..

...Kwa upande wa infectious diseases ndio hivo kufanya nano drug encapsulation....ili kuongeza bio availability na kupunguza toxicity na pill burden...mfano kwa dawa za TB na Ukimwi....

...Kwenye diagnostics...tumeona magonjwa kama SIRS huku Asia yakigunduliwa na wachina kwa kutumia nanoparticles(gold nanoparticles)

...hapo TZ...magonjwa kama Ukimwi, malaria, TB na hata cancer bado yana nafasi ya application ya nanotech....iwe kwenye diagnostics...ama drug delivery.....

aisee umenigusa kwenye sakafu ya moyo kuhusu biosensors. anyway nilikuwa na prof terry allen kwenye study moja hadi tukaweza kutengeneza doxil dah! ilikuwa very interesting soon nitamjoin canada kwaajili ya kutengeneza tena dawa nyingine ya kansa za tezi za prostate. hii polymer ambayo inatumika kama nanocarrier kwenye hii dawa nimeitengeneza hapa kwa organic polymer.

i think we have lot to share kwa upande huu. ingawa niko based Dar ila huw aninafanya collaboration na scientist wa nje wengi tu. hata rrof Ruth duncan ndiye aliye ni mentor kwenye nanomedicine hasa liposomes na dendrimers
 
...good....we uko kwenye nanodrug carriers (using organic nanomaterials kama liposomes na dendrimers)...Infact hata kina Dr.Swai kule SCIR wanatumia organic nano drug carriers....

...mi niko kwenye diagnostics.... kwa kutumia inorganic nanomaterials ..mfano magnetic nanoparticles coated with gold and silica nanoparticles......baadae tunazifanyia fabrication kwenye microarrays....huku tukitumia detection techniques kama fluorescent scanners...ama chemiluminscent scanning (for infectious agents)....Pia twatengeneza magnetic nanoparticles kwa ajili ya kutumiwa kama imaging agents kwenye MRI....

......Yes we have things to share...we need to keep in touch....
 
Haya sasa OP na wengine mliokuwa mnasema Tanzania haina wasomi wanouzika nje ya nchi mko wapi?...LOL

Uzuri wa wabongo huwa hatupendi sifa za kijinga mambo yetu huwa ni kimyakimya...:wave:
 
Enzi zetu wanafunzi wa darasa la nne wakipata muda katikati ya vipindi lazima kucheza na atlas sana.

Mtu lazima uulizwe kuonesha Kamchatka na Novaya Zemlya ziko wapi, up to this day nakumbuka vimiji vya Siberia huko kwa sababu tulikuwa makini kujifunza. Wenyewe. Outside of homework and teachers assignments.

Ninaposikia wanafunzi waliomaliza darasa la saba hawajui hata mikoa 5 ya Tanzania au nchi kumi za Afrika, natumaini unatania.

Why, by darasa la nne nilikuwa na kijidaftari kilichorekodi karibu nchi zote za Afrika, miji mikuu, marais, idadi ya watu, lugha kuu na hela zinazotumika.

Huku sikosi kusikiza kipindi cha RTD cha Chris Katembo "Mkoa kwa Mkoa" kikinihabarisha kuhusu tamaduni na habari za mikoa yote ya Tanzania, pamoja na kingine kilichozungumzia nchi za Afrika, "Kutoka Afrika" or something like that, Ku supplement kitabu cha "Wafanyakazi wa Afrika" cha darasa la nne, kilichofundisha kuhusu kilimo cha pamba Sudan kwa ramani za kuonesha Wadi zote, mpaka uchimbaji wa dhahabu namakaa ya mawe huko Witwatersrand.

Hivi vipindi, pamoja na vile vilivyokuwa vikitoa madarasa ya shule kwa redio, bado vipo au ni historia sasa?

Mtoto wa darasa la nne leo ukimuuliza Wadi Hadad (aka Wad al Hadad) au Witwatersrand ni nini anaweza kujibu? Labda utamuonea, unaweza kukuta hata mhitimu wa leo wa Chuo Kikuu hajui !

I will spare them Novaya Zemlya and Kamchatka for now. Lest some may not be able to locate Lake Tanganyika on the globe.



Wakati sisi wabongo ilikuwa ni miaka hiyo hebu ona kizazi cha digitali cha kimarekani kilivyo-serious.View attachment 4 years old amazing kid_xvid.avi
 
...good....we uko kwenye nanodrug carriers (using organic nanomaterials kama liposomes na dendrimers)...Infact hata kina Dr.Swai kule SCIR wanatumia organic nano drug carriers....

...mi niko kwenye diagnostics.... kwa kutumia inorganic nanomaterials ..mfano magnetic nanoparticles coated with gold and silica nanoparticles......baadae tunazifanyia fabrication kwenye microarrays....huku tukitumia detection techniques kama fluorescent scanners...ama chemiluminscent scanning (for infectious agents)....Pia twatengeneza magnetic nanoparticles kwa ajili ya kutumiwa kama imaging agents kwenye MRI....

......Yes we have things to share...we need to keep in touch....

Yap!!!!!
yani unaniimpress sana kwenye haya makitu. ila ujue kwenye diagnostics tuko nyuma sana hapa Tz manake ni expensive sana kuequip labs kwaajili ya haya makitu atleast kwenye DDD tunaweza kujitahd.
Hongera sana sana!!!
 
Wacha sijazungumzia usomi wangu,mimi nachosema ni kwamba hata kama Zinduna hajaja na data ila ukweli upo palepale,maana yake kwa mfano mdogo tu wa matumizi ya kompyuta msomi wa leo hawez,ina maana muajiri akishakupa kazi akupeleke kompyuta kozi???
Usisimamie kwenye data,,,liangalie hila jambo kwa uhalisia lipo au halipo,na kwa miaka ya karibun wameibuka wanafunz wetu wanaenda form I hawajui kusoma wala kuandika,na hawa kwa miaka ijayo utataka data kama hawauziki,,,,,
isije ikawa wewe ndo unachekesha bila kujijua,,,,,


Mkuu Wacha kuweweseka, kama unakubali hukusoma hilo halina wasiwasi.

Mkuu mimi nimefanya kazi nje ya Tanzania kama nchi 4 hivi ninachoongelea ninakifahamu. FYI Nimefanya kazi bongo, ambayo ni dunia ya tatu kama wenzetu wanavyosema nikafanya kazi katika nchi mbili za kiafrika ambazo pengine ni dunia ya tatu vile vile nikapiga kazi katika dunia ya kwanza kama miaka miwili hivi halafu nikaingia kwenye nchi ambayo inajulikana kama 21st century hawa wako mbali. Hivyo basi nina uzoefu in private and public sectors. Usifikirie kila kimburu kwenye 21st century ni wizard wa computers .... .... wote wanafanya trainning kila baada ya muda kuji-update na mambo mapya. Hata simu za siku hizi ni lazima ufanye trainning mambo ya nadharia hayakubaliki (Oops nitakuletea simu ya galaxy tuone kama utaimanya kutumia .... oooops) ... ... ...... ..... Tanzania computers sio nyingi hivyo usitegemee kila Tom, Dick and Harry awe perfect kuzitumia. Kinachotakiwa ni trainning tu kwa kile unachofanya .... ...Angalia huku first world utawakuta watu wanachapa mzigo lakini hawakwenda University, lakini wamebobea kwenye fani zao kwa hiyo basi ondoa hilo wazo kwanza la kutukebehi sisi wabongo hata wale waliomaliza darasa la saba kuna shughuli wanaweza kuzifanya vizuri zaidi na kupata riziki zao, wasomi wa kibongo unaowadharau ndio wanaoipa sifa nchi hii na kujulikana kama Tanzania.

Ukienda uhamiaji utacheka kuona wageni tunaowaendekeza qualification zao wengine zina mashaka makubwa na kazi wanazofanya hufanywa na Watanzania unaowaponda hapa, na wao wanachukua mpunga ambao sio stahili yao.
 
Yap!!!!!
yani unaniimpress sana kwenye haya makitu. ila ujue kwenye diagnostics tuko nyuma sana hapa Tz manake ni expensive sana kuequip labs kwaajili ya haya makitu atleast kwenye DDD tunaweza kujitahd.
Hongera sana sana!!!

....you are welcome....uko sahihi kuwa kwenye diagnostics ni gharama sana kwa TZ......ndio maana nikasema kama kweli serikali ya JK wako serious kushughulikia hii maneno wanatakiwa wajitoe haswa kama nchi....maana kwa wenzetu issue ya nanotech inashughulikiwa kitaifa zaidi.......maana ni core ya maendeleo ya nchi.....wenzetu hawana blah blah kwenye haya mambo...

....Ukichukua mfano wa nano diagnostics tu....zile mashine za kufanya characterization ni bei mbaya kiyama....na hazitengenezwi nchi zote....zinatoka either USA....Germany...UK...ama Japan....namaanisha mashine kama SEM au TEM au FTIR...n.k... Ukija kwenye upande wa detection nako unakuta mashine za bei mbaya...mfano..fluorescent scanners..au chemiluminiscent scanners etc...

Kifupi ukosefu wa instruments inaweza kuwa barrier kubwa sana kwa uanzishaji wa hii nanotech kwenye taasisi zetu......Mi naona kwa sasa serikali ijikite zaidi kwenye capacity building.....kama wanavotaka kufanya kwenye sekta nyingine kama gas...ama mafuta......maana at the end of the day lazima watahitajika watu.......hata kama vifaa vitaletwa na wafadhili.......
 
....you are welcome....uko sahihi kuwa kwenye diagnostics ni gharama sana kwa TZ......ndio maana nikasema kama kweli serikali ya JK wako serious kushughulikia hii maneno wanatakiwa wajitoe haswa kama nchi....maana kwa wenzetu issue ya nanotech inashughulikiwa kitaifa zaidi.......maana ni core ya maendeleo ya nchi.....wenzetu hawana blah blah kwenye haya mambo...

....Ukichukua mfano wa nano diagnostics tu....zile mashine za kufanya characterization ni bei mbaya kiyama....na hazitengenezwi nchi zote....zinatoka either USA....Germany...UK...ama Japan....namaanisha mashine kama SEM au TEM au FTIR...n.k... Ukija kwenye upande wa detection nako unakuta mashine za bei mbaya...mfano..fluorescent scanners..au chemiluminiscent scanners etc...

Kifupi ukosefu wa instruments inaweza kuwa barrier kubwa sana kwa uanzishaji wa hii nanotech kwenye taasisi zetu......Mi naona kwa sasa serikali ijikite zaidi kwenye capacity building.....kama wanavotaka kufanya kwenye sekta nyingine kama gas...ama mafuta......maana at the end of the day lazima watahitajika watu.......hata kama vifaa vitaletwa na wafadhili.......

kwenye capacity building uko sahihi sana, na hata mm niliwah kumwomba Mbalawa MCST atusaidie sana kwenye upande wa scholarships ili kwenda kwenye huu ulimwengu wa nanotech.

to me i do see bright future ya Tanzanians kwenye hii nano tech. so labda kama kweli serikali itajitoa kusomesha watu kwa dhati na siyo kupiga blah blah.

niliwah kwenda CSIR kufanya kazi fulan pale nilichoka nilipokuta serikali yao inatoa bajeti kabisa kwaajili ya ile taasisi kiasi kwamba wafadhili wanapata moyo wa kuisaidia. taasisi kama SAAT, ANDI hizi na zenyewe zinaweka nguvu yake infull ili kuhakikisha kwamba CSIR inasimama. Leo hii wanafunzi wote wa nano tech huko SA wanafanyia tafiti zao csir.
 
Back
Top Bottom