Shida ni kwamba you rely on BBC kujua alichosema papa wakati BBC siyo official source ya yanayosemwa kuhusu Kanisa Katoliki. Ni kama kutaka kujua alichosema Rais Samia Suluhu Hassan halafu uende/u'rely' on vyombo vya habari vya Rwanda au Burundi, au Sudani. Kwa nini usiende kwenye tovuti ya Ikulu au vyombo vya habari vya serikali?kabisa mkuu, ila sasa wafia dini wanatoa ufafanuzi, wanasema eti papa hakumaanisha alichotolea tamko.
Kanisa mama linaongozwa na wafukuliwa mitaro , una akili au tope wewe ?Kanisa Katoliki ndio Kanisa halisi la Kristo na hili hatuhitaji nguvu kufanya uamini. Usipoamini duniani utafahamu mbinguni! Hayo mambo mengine ni vita visivyoisha na shetani! Ila haibadili ukweli wa Kanisa mama.
Mbna umechelewa kuhama, hakuna anaestuka hata.Nimehama rasmi kanisa Katoriki.
Kanisa mama halafu linabariki ushoga? How?Kanisa Katoliki ndio Kanisa halisi la Kristo na hili hatuhitaji nguvu kufanya uamini. Usipoamini duniani utafahamu mbinguni! Hayo mambo mengine ni vita visivyoisha na shetani! Ila haibadili ukweli wa Kanisa mama.
Mhhhhh mhhh.Hata kama lakini hatuhami
BBC ni kama media tu inayotumika kupigana vita hii kueneza propaganda za Illuminati na kupotosha kauli za Papa
Mizimu yetu ni dhaifu ilishindwa kutulinda dhidi ya utumwa na ukoloniRUDIA MILA NA UTAMADUNI WAKO WACHA KUJIPENDEKEZA KWENYE MIZIMU YA WAZUNGU ZINDUKA PAMOJA NA KULETEWA USHOGA BADO HUZINDUKI TU ?
KABLA YA HAPO MKOLONI ALIWAVUA GAMBA MABABU ZETU YAANI MKOLONI ALIJUA NGUVU YA MIZIMU YA KWETU AKAANZA NA KUWABADILI MAJINA NA KUWABATIZA YAANI KUWATENGUA UDHU KWANZA NDIPO KIPIGO KIKAFUATA SASA HIVI KILA KONDOO ANATUMIA JINA LA MZIMU WA KIZUNGU HALAFU BABU ZAKE ANAWAKEMEA KWA JINA LA MZIMU WA KIZUNGU YESU. Ndiyo maana hatufanikiwi tumebaki kila uchao kukusanya fedha na kumpelekea mzungu hata kama unaumwa ulishadanganywa kuna pepo na moto wa milele na kwa hofu ya huo moto unakuwa mtumwa wa fikra maisha yako yote na kumwabudu mfanyabiasha ya dini mzungu na wewe kujiona haufai mbele ya Mweupe. FUNGUKAMizimu yetu ni dhaifu ilishindwa kutulinda dhidi ya utumwa na ukoloni
Acha kujipendekeza kwa kujifanya unajua sana biashara ya dini ya wazungu kuliko unavyoijua familia yako. Biblia na makanisa yote yametunga uwongo unaowasumbua waafrica kila siku wanadhani wanamtumikia Mungu kumbe upumbavu mtupu. Mzungu alitunga Biblia licha ya kuwa inasema uwongo kuanzia kitabu cha Mwanzo mpaka ufunuo lakini waafrica mmeshindwa kugundua hila za kishenzi zilizopo kwenye biashara ya dini sasa kwa kuwadharau wanawaambia wanaume kwa wanaume muowane wakati kwenye kitabu chao hadithi kwa jina la biblia walisema ushoga ni haramu sasa hivi ushoga ni halali bado tu hamjatambua ushenzi huo mpo tu mwisho mtaambiwa mlale na wazazi wenu kwakuwa hamuambiliki. WAAFRICA TUJITAMBUE TURUDIE MILA NA UTAMADUNI WETU KWAKUWA KABLA YA WAZUNGU KUJA NA MUNGU WA VITABUNI MUNGU ALIKUWEPO AFRICA NA WATU WALIMUABUDU WAKAFANIKIWA. KULIKO KUABUDU MILA ZA WAZUNGU NA WAARABU KWA VITISHO VYA KUCHOMWA MOTO WA MILELE WAKATI NI HADITHI ZA KUIGIZA NA HUYO YESU WAO ALISEMA YEYE HAKUJA DUNIANINILA KWA AJILI YA KONDOO WA ISARAEL WALIOPOTEA SASA WEWE MWAFRICA MWENZA UNATESKA NA KUJIPENDEKEZA UKIWA WAPI?Kanisa Katoliki ndio Kanisa halisi la Kristo na hili hatuhitaji nguvu kufanya uamini. Usipoamini duniani utafahamu mbinguni! Hayo mambo mengine ni vita visivyoisha na shetani! Ila haibadili ukweli wa Kanisa mama.
DINI ZOTE ZILIZOLETWA NA WAZUNGU NA WAARABU NI HADITHI ZA KUTUNGA ILI KUWATAWALA WAAFRICA BIBLIA NI KITABU CHA UWONGO KUANZIA MWANZO MPAKA UFUNUO ILA UKIWA KONDOO HUWEZI ELEWA CHOCHOTE NA UTAKUWA TAYARI KUPIGANA KUMBE UNATETEA UPUMBAVU WARUMI NDIYO WANAOITWALA DUNIA HIVYO HUTUNGA CHOCHOTE NA KUKIHALALISHA NA KONDOO WOTE MNAKUBALI HAKUNA CHA PEPO WALA MOTO WA MILELE NI MAIGIZO YA KUSHIKA AKILI ZA WAAFRICA ILI BIASHARA YAO YA DINI IENDELEE KUKUSANYA FEDHA ZA WAJINGA DUNIANI KOTE. WAAFRICA TUJITAMBUE TURUDIE MILA NA UTAMADUNI WETU MAMBO YA USHOGA SIYO UTAMADUNI WA MWAFRICA. MTOA POST AJIULIZE KABLA YA WAZUNGU NA WAARABU KULETA VITABU VYAO VYA HADITHI AFRICA HAPAKUWEPO MUNGU ? KAMA ALIKUWEPO HUYO NDIYE ANAYEPASWA KUABUDIWA NA SIYO HUYO MUNGU WA VITABUNI ANAYEGEUKA KAMA KINYONGA MARA LEO USHOGA HARAMU KESHO HALALI KUMBE UPUUZI MTUPU.Wewe ni mkatoliki unayeupenda ukatoliki ila huamini juu ya changamoto za ukatoliki
Soma historia ya kanisa vizuri halafu palipo na uimara shikilia na palipo na madhaifu jifunze, sio lazima kukumbatia kila kitu hata kama bi dhambi, ndani ya kanisa dhambi pia ipo ndiyo maana hata makasisi wetu nao hufanya sakramenti ya kitubio
Mzimu ni roho iliyokufa,Yesu hakufa.KABLA YA HAPO MKOLONI ALIWAVUA GAMBA MABABU ZETU YAANI MKOLONI ALIJUA NGUVU YA MIZIMU YA KWETU AKAANZA NA KUWABADILI MAJINA NA KUWABATIZA YAANI KUWATENGUA UDHU KWANZA NDIPO KIPIGO KIKAFUATA SASA HIVI KILA KONDOO ANATUMIA JINA LA MZIMU WA KIZUNGU HALAFU BABU ZAKE ANAWAKEMEA KWA JINA LA MZIMU WA KIZUNGU YESU. Ndiyo maana hatufanikiwi tumebaki kila uchao kukusanya fedha na kumpelekea mzungu hata kama unaumwa ulishadanganywa kuna pepo na moto wa milele na kwa hofu ya huo moto unakuwa mtumwa wa fikra maisha yako yote na kumwabudu mfanyabiasha ya dini mzungu na wewe kujiona haufai mbele ya Mweupe. FUNGUKA
Wapi mzungu kaandika biblia.Acha kujipendekeza kwa kujifanya unajua sana biashara ya dini ya wazungu kuliko unavyoijua familia yako. Biblia na makanisa yote yametunga uwongo unaowasumbua waafrica kila siku wanadhani wanamtumikia Mungu kumbe upumbavu mtupu. Mzungu alitunga Biblia licha ya kuwa inasema uwongo kuanzia kitabu cha Mwanzo mpaka ufunuo lakini waafrica mmeshindwa kugundua hila za kishenzi zilizopo kwenye biashara ya dini sasa kwa kuwadharau wanawaambia wanaume kwa wanaume muowane wakati kwenye kitabu chao hadithi kwa jina la biblia walisema ushoga ni haramu sasa hivi ushoga ni halali bado tu hamjatambua ushenzi huo mpo tu mwisho mtaambiwa mlale na wazazi wenu kwakuwa hamuambiliki. WAAFRICA TUJITAMBUE TURUDIE MILA NA UTAMADUNI WETU KWAKUWA KABLA YA WAZUNGU KUJA NA MUNGU WA VITABUNI MUNGU ALIKUWEPO AFRICA NA WATU WALIMUABUDU WAKAFANIKIWA. KULIKO KUABUDU MILA ZA WAZUNGU NA WAARABU KWA VITISHO VYA KUCHOMWA MOTO WA MILELE WAKATI NI HADITHI ZA KUIGIZA NA HUYO YESU WAO ALISEMA YEYE HAKUJA DUNIANINILA KWA AJILI YA KONDOO WA ISARAEL WALIOPOTEA SASA WEWE MWAFRICA MWENZA UNATESKA NA KUJIPENDEKEZA UKIWA WAPI?
Biblia ni moja inayotumika dunia pote hakuna biblia ya wazungu Wala waafrika.DINI ZOTE ZILIZOLETWA NA WAZUNGU NA WAARABU NI HADITHI ZA KUTUNGA ILI KUWATAWALA WAAFRICA BIBLIA NI KITABU CHA UWONGO KUANZIA MWANZO MPAKA UFUNUO ILA UKIWA KONDOO HUWEZI ELEWA CHOCHOTE NA UTAKUWA TAYARI KUPIGANA KUMBE UNATETEA UPUMBAVU WARUMI NDIYO WANAOITWALA DUNIA HIVYO HUTUNGA CHOCHOTE NA KUKIHALALISHA NA KONDOO WOTE MNAKUBALI HAKUNA CHA PEPO WALA MOTO WA MILELE NI MAIGIZO YA KUSHIKA AKILI ZA WAAFRICA ILI BIASHARA YAO YA DINI IENDELEE KUKUSANYA FEDHA ZA WAJINGA DUNIANI KOTE. WAAFRICA TUJITAMBUE TURUDIE MILA NA UTAMADUNI WETU MAMBO YA USHOGA SIYO UTAMADUNI WA MWAFRICA. MTOA POST AJIULIZE KABLA YA WAZUNGU NA WAARABU KULETA VITABU VYAO VYA HADITHI AFRICA HAPAKUWEPO MUNGU ? KAMA ALIKUWEPO HUYO NDIYE ANAYEPASWA KUABUDIWA NA SIYO HUYO MUNGU WA VITABUNI ANAYEGEUKA KAMA KINYONGA MARA LEO USHOGA HARAMU KESHO HALALI KUMBE UPUUZI MTUPU.
Asante kwa kushiriki na kuchangia maoniDINI ZOTE ZILIZOLETWA NA WAZUNGU NA WAARABU NI HADITHI ZA KUTUNGA ILI KUWATAWALA WAAFRICA BIBLIA NI KITABU CHA UWONGO KUANZIA MWANZO MPAKA UFUNUO ILA UKIWA KONDOO HUWEZI ELEWA CHOCHOTE NA UTAKUWA TAYARI KUPIGANA KUMBE UNATETEA UPUMBAVU WARUMI NDIYO WANAOITWALA DUNIA HIVYO HUTUNGA CHOCHOTE NA KUKIHALALISHA NA KONDOO WOTE MNAKUBALI HAKUNA CHA PEPO WALA MOTO WA MILELE NI MAIGIZO YA KUSHIKA AKILI ZA WAAFRICA ILI BIASHARA YAO YA DINI IENDELEE KUKUSANYA FEDHA ZA WAJINGA DUNIANI KOTE. WAAFRICA TUJITAMBUE TURUDIE MILA NA UTAMADUNI WETU MAMBO YA USHOGA SIYO UTAMADUNI WA MWAFRICA. MTOA POST AJIULIZE KABLA YA WAZUNGU NA WAARABU KULETA VITABU VYAO VYA HADITHI AFRICA HAPAKUWEPO MUNGU ? KAMA ALIKUWEPO HUYO NDIYE ANAYEPASWA KUABUDIWA NA SIYO HUYO MUNGU WA VITABUNI ANAYEGEUKA KAMA KINYONGA MARA LEO USHOGA HARAMU KESHO HALALI KUMBE UPUUZI MTUPU.