Padre wa Kanisa Katoliki Italia afukuzwa baada ya kuhubiri kwamba Papa Francis ni 'Masonic' na 'Anti-pope'

Teslarati

JF-Expert Member
Nov 21, 2019
1,728
6,792
Fr. Ramon Guidetti wa Italy amefukuzwa tar 3 January 2024 baada ya kuhubiri kwamba papa francis anakinajisi kiti cha Mtume Petro (anti-pope) na anatimiza matakwa ya wapinga Kristo.

Hio ilitokea alipokua anahubiria tarehe 31 December 2023 siku iliokua ni kumbukizi ya kifo cha Papa Benedicto wa 16. Alienda mbali zaidi na kusema kwamba Papa Benedicto ndie alikua papa wa kweli lkn huyu wa sasa ni 'Antipope and masonic jesuit'

Ikumbukwe pia wakuu kadhaa ndani ya roman catholic walitumia siku ya trh 31 ambayo ni kumbukumbu ya kifo cha papa benedicto wa 16 kutoa yao ya moyoni dhidi ya uendeshaji potofu wa papa francis wakiwemo makardinali wawili waliokua karibu sana na papa benedicto wa 16

Soma zaidi hapa Italian priest excommunicated for slandering Pope Francis during Mass

Maoni yangu, mapadri, maaskofu wote wanaofukuzwa wafungue kanisa jipya ambalo litafuata kanuni za conservative catholics lkn tu lisimtambue papa kama walivyofanya orthodox, wakifungua hilo kanisa mimi nitakua muumini wa kwanza hapa Tanzania, huyu papa wa sasa 'Tumepigwa'
 
Binafsi bado namlilia Benedict wa 16, yule mjerumani hakika alikua ni baraka kwa kanisa kwa nyakati zetu, asante Mungu kwa ajili yake
102b5a672603157d301768df4ec02ae3.jpg
 
Fr. Ramon Guidetti wa Italy amefukuzwa tar 3 January 2024 baada ya kuhubiri kwamba papa francis anakinajisi kiti cha Mtume Petro (anti-pope) na anatimiza matakwa ya wapinga Kristo.

Hio ilitokea alipokua anahubiria tarehe 31 December 2023 siku iliokua ni kumbukizi ya kifo cha Papa Benedicto wa 16. Alienda mbali zaidi na kusema kwamba Papa Benedicto ndie alikua papa wa kweli lkn huyu wa sasa ni 'Antipope and masonic jesuit'

Ikumbukwe pia wakuu kadhaa ndani ya roman catholic walitumia siku ya trh 31 ambayo ni kumbukumbu ya kifo cha papa benedicto wa 16 kutoa yao ya moyoni dhidi ya uendeshaji potofu wa papa francis wakiwemo makardinali wawili waliokua karibu sana na papa benedicto wa 16

Soma zaidi hapa Italian priest excommunicated for slandering Pope Francis during Mass

Maoni yangu, mapadri, maaskofu wote wanaofukuzwa wafungue kanisa jipya ambalo litafuata kanuni za conservative catholics lkn tu lisimtambue papa kama walivyofanya orthodox, wakifungua hilo kanisa mimi nitakua muumini wa kwanza hapa Tanzania, huyu papa wa sasa 'Tumepigwa'
kanisa la roma haliwezi kuwa chini ya masonic kwan ndilo mmiliki halali wa masonic iluminant na jesuits ......😂🤣😅😆😁😄😃.....kiukwel iko hivi papa hawezi kujiamulia tuu na kujifanyia mambo pale vatican...anachokisema ndyo maamuzi halisi ya taasis ya kikatoliki....yaan katoliki iĺivonamfumo imara vile ety papa akurupuke tuu from nowhere kwel jaman wakatoliki wenzangu wa buza tujiulize mara2😅🤣😂......n swal la muda tuu katoliki sio tuu itabariki bali kufunģisha kabisa ndòa za jinsia moja ...narudia n swala la muda tuu....itaua mamilion kama ilivoua karne ya 16 17 na 18 by mm nabii mlokole
 
Fr. Ramon Guidetti wa Italy amefukuzwa tar 3 January 2024 baada ya kuhubiri kwamba papa francis anakinajisi kiti cha Mtume Petro (anti-pope) na anatimiza matakwa ya wapinga Kristo.

Hio ilitokea alipokua anahubiria tarehe 31 December 2023 siku iliokua ni kumbukizi ya kifo cha Papa Benedicto wa 16. Alienda mbali zaidi na kusema kwamba Papa Benedicto ndie alikua papa wa kweli lkn huyu wa sasa ni 'Antipope and masonic jesuit'

Ikumbukwe pia wakuu kadhaa ndani ya roman catholic walitumia siku ya trh 31 ambayo ni kumbukumbu ya kifo cha papa benedicto wa 16 kutoa yao ya moyoni dhidi ya uendeshaji potofu wa papa francis wakiwemo makardinali wawili waliokua karibu sana na papa benedicto wa 16

Soma zaidi hapa Italian priest excommunicated for slandering Pope Francis during Mass

Maoni yangu, mapadri, maaskofu wote wanaofukuzwa wafungue kanisa jipya ambalo litafuata kanuni za conservative catholics lkn tu lisimtambue papa kama walivyofanya orthodox, wakifungua hilo kanisa mimi nitakua muumini wa kwanza hapa Tanzania, huyu papa wa sasa 'Tumepigwa'
Hatuwezi kufanya mambo ya Kimungu kwa kukurupuka kama hivi,Kanisa Katoliki mpaka sasa lina sala maalumu kwa ajili ya kuomba muunganiko uliokuwepo zamani urudi kuwe na Kanisa moja sasa tukisema tena wajitenge waanzishe lingine itakuwa ni kuzidi kugawa imani.

Kila kitu kina muda wake personally naungoja muda wa Mungu ufanye kitu kwa huyu Papa maana amekengeuka sana sana sana yaani amezidi,naamini hili litapita salama.
 
Back
Top Bottom