UKWELI MCHUNGU: Wakatoliki wenzangu Papa Francis ni mjumbe wa shetani ndani ya kanisa

Kanisa Katoliki limepita misusuko mingi tena chini ya watawala wenye nguvu mpaka Leo lipo . Sasa hizi stori unazoleta mtoa mada ni za kawaida sana na tumezizoea.
 
Hapa hakuna haja ya malumbano, inawezekana hiyo ndiyo hoja uliyowajengea waumini wenzako, sasa ukaona ikikanushwa utakosa hoja. Kila mtu afuate utaratibu wake, hakuna haja ya kuchungulia kwa jirani wanafanya nini, hiyo itakuwa sio imani bali umbea. Imani ni kushika unachosadiki, sio kupinga wanachosadiki wengine, Kuna watu mnaombewa na wachungaji, hakuna anayehoji kuwa mnawaabudu. Kuna watu mnatembea na maji na mafuta ya upako, hakuna anayewashutumu kuwa mnaabudu sanamu! Lakini ninyi kutwa kucha ni kuangalia RC wanafanya nini ili mpate neno la kuhubiri!
hao ni wengine, sio mimi. manabii wa uongo sio mimi. ila ukweli unabaki palepale, salamu maria yenu ni upotofu, kusali kwa kusoma vitabu ni upotofu, kuomba kwa kupitia wafu ni upotofu, mitume wale wa awali hawakufanya hivyo ila ninyi mmepotoka. na hatuwezi kuwaacha hivihivi, tutawasaidia kwa kuwaambia mmepotoka ili mpone.
 
Hata ya msingi, sekondari, chuo kikuu nk ni mapokeo. Kama hutaki elimu, baki na ujinga
Education is the transmission of knowledge, skills, and character traits. - Wikipedia
Huyu sijui kama anaelewa maana ya mapokeo kwa sababu hata biblia ni mapokeo ya vizazi vya manabii na mitume ba sidhani kama anajua hilo kanisa katoliki analolikashifu ndiyo lililotinza mapokeo ya biblia gadi leo hii anakariri vimistari viwili vitatu huwa ninawadharau sana hawa watu kwa kukosa maarifa au sijui ndo ushabiki ili wapate wafuasi kwenye makanisa yao kwa sababu Wana elimu ndogo Sana juu ya historia ya ukristu
Hata ya msingi, sekondari, chuo kikuu nk ni mapokeo. Kama hutaki elimu, baki na ujinga
Education is the transmission of knowledge, skills, and character traits. - Wikipedia
 
hao ni wengine, sio mimi. manabii wa uongo sio mimi. ila ukweli unabaki palepale, salamu maria yenu ni upotofu, kusali kwa kusoma vitabu ni upotofu, kuomba kwa kupitia wafu ni upotofu, mitume wale wa awali hawakufanya hivyo ila ninyi mmepotoka. na hatuwezi kuwaacha hivihivi, tutawasaidia kwa kuwaambia mmepotoka ili mpone.
Sawa sisi tunamuomba mama take Yesu atuombee halafu wewe nawe muombe Lusekelo au Suguye akuombee

Sawa sisi tunaomba kupitia watakatifu ambao kwako unaita wafu nawe endelea kunena kwa lugha usizozijua

Sawa sisi tutasoma vitabu na wewe soma tenzi za rohoni

Mwisho wa siku kila mtu anajua anachokifanya
 
Hii ni vita kati ya Illuminati na Jesuits na haikuanza leo.

BBC ni kama media tu inayotumika kupigana vita hii kueneza propaganda za Illuminati na kupotosha kauli za Papa.

Wajinga wengi mtaingizwa mkenge sana na BBC wakati kanisa lao church of England (Anglican) limehalalisha ndoa za jinsia moja hawana ugomvi nalo, sasa mgomvi wao ni Vatican ambayo IPO against na Illuminati.
Na hilo ndilo NENO LA MUNGU....
 
Kanisa Katoliki limepita misusuko mingi tena chini ya watawala wenye nguvu mpaka Leo lipo . Sasa hizi stori unazoleta mtoa mada ni za kawaida sana na tumezizoea.
Wewe ni mkatoliki unayeupenda ukatoliki ila huamini juu ya changamoto za ukatoliki

Soma historia ya kanisa vizuri halafu palipo na uimara shikilia na palipo na madhaifu jifunze, sio lazima kukumbatia kila kitu hata kama bi dhambi, ndani ya kanisa dhambi pia ipo ndiyo maana hata makasisi wetu nao hufanya sakramenti ya kitubio
 
Hii haikuhusu wewe mlokole ambaye hauna ushirika yaani mchungaji wako akifa na kanisa linakufa wala wewe msabato ambaye tumaini lako katika wokovu linategemea mahubiri ya mabaya ya kanisa

  
Wapendwa katika bwana TUMSIFU YESU KRISTU
Bwana Yesu alisema
"
Mathayo 10:16
Angalieni, mimi nawatuma kama kondoo kati ya mbwa-mwitu; basi iweni na busara kama nyoka, na kuwa watu wapole kama hua.

Naam na yale yote aliyosema yeye yametukia katika vipindi mbalimbali ndani ya kanisa

Kwa karne nyingi, kanisa Katoliki limekuwa likiongozwa na Papa, ambaye alikuwa ishara ya wema kama Kristo na sauti muhimu ya maadili kwa baadhi ya masuala muhimu zaidi ya kisiasa na kijamii duniani. Walakini, licha ya sifa yao ya kuwa mshiriki mwadilifu na mwenye maadili katika ulimwengu wa Kikatoliki, hii haijawahi kuwa hivyo kila wakati.
Leo ninakuletea baadhi ya mapapa waovu kuwahi kutokea katika kanisa kama ulidhani papa Fransisi ni muovu wa kwanza

Yohana XII
Tangu kutwaa uongozi akiwa na umri wa miaka kumi na minane tu, haungekuwa mwanzo mzuri kwa Papa John XII. Moyo wake mchanga haukuwa tayari kwa maisha ya Papa na hivi karibuni alibadilisha makazi yake kuwa danguro. Akienda chini zaidi kwenye shimo la sungura, alishiriki katika kuua, kushawishi pepo, na hata kufanya ngono na dada zake. Uzinzi wake uliishia kuwa kifo chake hata hivyo baada ya mume kumshika mke wake kitandani na John XII na kumpiga papa vibaya sana, kwamba alikufa siku tatu baadaye kutokana na majeraha yake.

(Kuna filamu inaitwa Young pope, itazame)

Boniface VIII
Nukuu maarufu na ya kuogofya ya Boniface VIII ilikuwa kwamba watoto wadogo hawakuwa na tatizo zaidi ya “kusugua mkono mmoja dhidi ya mwingine.” Alichaguliwa mnamo 1294, Boniface VIII alianzisha safu ya sanamu kuzunguka jiji hilo na hata kuharibu jiji la Palestrina kwa ugomvi wa kibinafsi. Alikuwa na sifa ya ukaidi na ustadi wa kuanzisha mapigano.

Benedict IX
Benedict IX alikuwa papa katika matukio 3 tofauti wakati wa uhai wake, na ya kwanza ikiwa ni alipokuwa na umri wa miaka 12 tu. Alikua mvulana mwovu na alikimbia kutoka kwenye nafasi hiyo na kujificha ndani ya jiji wakati wapinzani wa kisiasa walipojaribu kumuua. Katika muda kati ya utawala wake, alianza kuiba, kuua na kufanya ‘matendo mengine yasiyosemeka’ katika jiji lote. Akawa papa tena mnamo 1045, ambayo ilidumu miezi 2 tu kabla ya mtu kumlipa kuondoka. Miaka miwili baada ya kuondoka kwa mara ya pili, alijaribu tena, na kudumu miezi minane pekee wakati huu kabla ya hatimaye kufukuzwa na kutorejea tena.

Alexander VI
Alianza na upapa wake kwa kishindo cha kukaidi, akipata tu nafasi ya Papa kwa kuwahonga makadinali wenzake. Kabla ya kuwa Papa, alikuwa mwanachama wa Borgias, familia ya uhalifu ya Italia, na mtazamo wake haukubadilika baada ya kuwa Papa. Wakati wake, njama nyingi na ukosefu wa uaminifu ulimzunguka na maamuzi yake. Pamoja na kuwa papa mjuzi katika siasa, pia alikuwa mzinzi. Alizaa watoto wasiopungua tisa ambao tunawafahamu na alikuwa maarufu kwa kuandaa karamu nyingi katika kipindi chote cha utawala wake, huku mmoja akiitwa 'Joust of Whores.' Anazidi kuwa mbaya zaidi unapoona ripoti nyingi ambapo Alexander VI alifanya ngono na jamaa. binti yake, Lucrezia.
Sergius III
Sergius III hakumuua tu Papa kabla yake, lakini pia alimuua papa kabla ya hapo, akiweka wakati wa kuwasili kwake kutawala kikamilifu. Kisha alitumia uwezo wake kumweka mtoto wake, Papa John XI (young Pope), aliyezaa na bibi yake kahaba mwenye umri wa miaka 15, kuwa Papa miaka ishirini baada yake.

Leo X
Leo X ni maarufu kwa matumizi yake ya kifahari wakati wa utawala wake, na kuwa mlezi wa sanaa ambaye aliagiza kujengwa upya kwa Basilica ya St. Baada ya pochi ya kanisa kuwa nyepesi kidogo, Leo X kisha akawashawishi waumini wangeweza kununua njia yao ya kwenda mbinguni, kwa kuuza msamaha ambao ungepunguza dhambi zao (mshenzi sana huyu).

Stephen VI
Papa huyu alianza enzi yake kwa maonyesho mabaya, akimchimbua mtangulizi wake, Papa Formosus, na kuonyesha maiti yake kuhukumiwa. Mwili mlegevu wa Formosus uliimarishwa kwenye kiti cha enzi huku Stephen VI akipiga kelele kwa maswali ambayo hayajajibiwa, akimshutumu kwa kukufuru wakati wa ukuu wake. Haishangazi, papa aliyekufa alipoteza, na mwili wake ukatupwa kwenye Mto Tiber. Hata hivyo, baadaye mwili huo ulitolewa mtoni na kuzikwa ipasavyo na wafuasi wa Formosus. Stephen VI baadaye alifungwa na kunyongwa hadi kufa na wafuasi wa Formosus.

Kwa baadhi tu ni hao lakini wapo wengi sana mapapa waovu ambao walilipaka kinyeai na kuinajisi taswira ya kanisa ila kanisa limesimama na litasimama hadi miisho ya dunia

Angalieni upumbavu wa papa Fransisi;
Papa Francis amemvua uaskofu rasmi Askofu Joseph Strickland wa Tyler, Texas kwa kuwa "Mkatoliki kupita kiasi."

“Licha ya kuonywa mara kwa mara, Askofu Strickland alikataa kuacha kuwa Mkatoliki,” alisema Papa Francis. "Alishikilia kwa uthabiti fundisho la Kikatoliki, na hakuna nafasi kwa hilo katika Kanisa Katoliki la leo."

Kulingana na vyanzo, Askofu Strickland hapo awali alikasirisha Vatican kutokana na vipindi vingi vya yeye kukiri imani ya Kikatoliki hadharani. "Askofu Strickland alikuwa na ujasiri wa ajabu wa kufundisha Katekisimu ya Kanisa Katoliki," Kardinali Robert McElroy alisema. "Kama, hata sehemu zisizopendwa sana kuhusu jinsia na ndoa. Mambo hayo ni hivyo - Papa alisemaje - 'nyuma na nje ya kuguswa'! Hata hivyo, Papa Francis alitaka kuhakikisha kuwa Wakatoliki wote huko nje wanashikilia kwa nguvu. kwa mafundisho ya Kanisa wanapopambana na utamaduni unaozidi kuwa na uadui wanajua jinsi walivyo peke yao kweli."

Hata baada ya mawaidha mengi kutoka kwa Vatikani, Askofu Strickland alichagua kuthibitisha mafundisho ya kimahakimu ya Kanisa Katoliki badala ya kukubali itikadi kuu ya kitamaduni. Katika jitihada ya kufanya mashtaka dhidi ya Strickland kuwa ya kejeli iwezekanavyo, Vatikani ilimshutumu Askofu Strickland kwa kuchagua itikadi za kitamaduni badala ya mafundisho ya Kanisa Katoliki. "Kicheshi kweli ni kitamu, sivyo?" Alisema Papa Francis akitabasamu. "Ni kama nilipopiga marufuku kusherehekea Misa ya Kilatini, ikidaiwa kuwa kwa ajili ya umoja wa kanisa - wakati Misa ya Kilatini bila shaka ni njia ya kuunganisha Wakatoliki katika vizazi na tamaduni. Pia, parokia hizo za Misa ya Kilatini zilikuwa zikikua - ilibidi katika chipukizi."

Wakati wa uchapishaji, Wakatoliki walikuwa wamekumbuka kwamba historia ya Kanisa ilikuwa imejaa Mapapa wakorofi ambao kwa hakika waliwachoma moto watu kwa kuwa Wakatoliki kupita kiasi, lakini milango ya Kuzimu haitamshinda bibi-arusi wa Kristo.

Yawezekana papa Fransisi ni shoga au ana maslahi na ushoga, haya mambo tulikuwa tunayashangaa kwa waanglikana na walutheri na hata walokole wa magharibi kuhusu kulegeza Sheria najisi zinazopingana na ukristu Sasa nasi yametufika. Ulimwengu haujaisha huu ushawishi wa kishetani utaenda na kufika hata katika jamii za waadventista na waislamu, muda utasema tu (Niliwahi kusoma makala moja kuhusu msikiti wa mashoga ujerumani)

Hivyo wapendwa katika Kristu msife moyo maana shetani halali anapotaka kutawanya huja hata Kati yetu Jambo la pekee ni kujua kuwa KRISTU YEAU NDIYE TUMAINI LETU

Yohana 16:33
Hayo nimewaambieni mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mnayo dhiki; lakini jipeni moyo; mimi nimeushinda ulimwengu.
Mkuu


Tangy lini kanisa katoliki no takatifu!!!?Tangu link papa akawa mtakatifu!!?

Hata mapapa waliopita walikua na yao SEMA hayakutangazwa coz ni siri za shirikani !!

Huyu kaonyesha wazi wazi kwasababu ni wakati wa kanisa kuonyesha makucha wazi wazi umefika!!

Hata akija mwingine mambo yatakua hayo hayo!!

Kamaulikua unadhani kanisa na mapapa ni watakatifu ulikua unajidanganya!!!
 
Sawa sisi tunamuomba mama take Yesu atuombee halafu wewe nawe muombe Lusekelo au Suguye akuombee

Sawa sisi tunaomba kupitia watakatifu ambao kwako unaita wafu nawe endelea kunena kwa lugha usizozijua

Sawa sisi tutasoma vitabu na wewe soma tenzi za rohoni

Mwisho wa siku kila mtu anajua anachokifanya
sijawahi kuwaomba hao wawili umetaja, actually I consider them false prophets kabisa. pia siwezi muomba mamake Yesu, kwasababu hata Yesu hakumwomba mamake, na hakutuelekeza tuombe mamake, alisema "ombeni kwa Jina langu", pia hata kanisa la kwanza, kumbuka hata siku ile ya Pentecost Roho aliposhuka (ndipo kanisa halisi lilianza kwa mitume), Maria alikuwa mle ndani pia na alikuwa mmojawapo wa waumini wa kanisa la kwanza pamoja na mitume, kumbuka ni pamoja na Yohana wa Ufunuo ambaye ndiye Yesu alimwambia amtazame mamaye (akimaanisha take care of my mother, na akamwambia pia maria mwangalie mwanao akimaanisha kaa karibu naye). Mitume hawajawahi kumweka maria kama kiumbe tofauti wa kuombwa au njia ya maombi, hakuna hata sehemu moja walioma kwa kupitia maria.

wakatoliki mojawapo ya mstari mnaotumia kudanganywa ni ule Yesu alimwambia Yohana amtazame mamaye...hamjui kuwa Yesu kama kijana yeyote wa kiume katika mwili wa binadamu alimpenda sana mamake, na alijua anaenda kuondoka duniani na mamake angehitaji uangalizi wa mtu wa karibu, ndio maana ya yale maneno mtazame mamayo na akamwambia maria amtazame mwanaye, alimkabidhi maria mikononi mwa Yohana amtunze. ninyi mnasema Yesu alisema tumwombe maria. Katholic mmepotea sana na hilo sio kanisa la mitume, kanisa la mitume kwenye kitabu cha Matendo haliko kama lenu kabisa. chukueni kile kitabu cha Matendo linganisheni namna ya ibada, ishara na miujiza na kila kitu mjitathimini wenyewe kama kanisa lile la mitume ndio hilo la kwenu. Mungu awasaidie muelewe.
 
Mkuu


Tangy lini kanisa katoliki no takatifu!!!?Tangu link papa akawa mtakatifu!!?

Hata mapapa waliopita walikua na yao SEMA hayakutangazwa coz ni siri za shirikani !!

Huyu kaonyesha wazi wazi kwasababu ni wakati wa kanisa kuonyesha makucha wazi wazi umefika!!

Hata akija mwingine mambo yatakua hayo hayo!!

Kamaulikua unadhani kanisa na mapapa ni watakatifu ulikua unajidanganya!!!
Kwa hoja yako hiyo mapapa wote 260+ walikuwa wachafu
 
sijawahi kuwaomba hao wawili umetaja, actually I consider them false prophets kabisa. pia siwezi muomba mamake Yesu, kwasababu hata Yesu hakumwomba mamake, na hakutuelekeza tuombe mamake, alisema "ombeni kwa Jina langu", pia hata kanisa la kwanza, kumbuka hata siku ile ya Pentecost Roho aliposhuka (ndipo kanisa halisi lilianza kwa mitume), Maria alikuwa mle ndani pia na alikuwa mmojawapo wa waumini wa kanisa la kwanza pamoja na mitume, kumbuka ni pamoja na Yohana wa Ufunuo ambaye ndiye Yesu alimwambia amtazame mamaye (akimaanisha take care of my mother, na akamwambia pia maria mwangalie mwanao akimaanisha kaa karibu naye). Mitume hawajawahi kumweka maria kama kiumbe tofauti wa kuombwa au njia ya maombi, hakuna hata sehemu moja walioma kwa kupitia maria.

wakatoliki mojawapo ya mstari mnaotumia kudanganywa ni ule Yesu alimwambia Yohana amtazame mamaye...hamjui kuwa Yesu kama kijana yeyote wa kiume katika mwili wa binadamu alimpenda sana mamake, na alijua anaenda kuondoka duniani na mamake angehitaji uangalizi wa mtu wa karibu, ndio maana ya yale maneno mtazame mamayo na akamwambia maria amtazame mwanaye, alimkabidhi maria mikononi mwa Yohana amtunze. ninyi mnasema Yesu alisema tumwombe maria. Katholic mmepotea sana na hilo sio kanisa la mitume, kanisa la mitume kwenye kitabu cha Matendo haliko kama lenu kabisa. chukueni kile kitabu cha Matendo linganisheni namna ya ibada, ishara na miujiza na kila kitu mjitathimini wenyewe kama kanisa lile la mitume ndio hilo la kwenu. Mungu awasaidie muelewe.
Nipe historia fupi ya kanisa hadi wewe leo kuwa hapo kwenye hiko kikundi chako cha kusali
 
Haipo sababu yeyote ya kuwa na msimamo hasi na dhebubu la Kikatoliki,it's just that we love you and we do not want you to suffer in eternal hell,ila kama mkishupaza shingo damu yenu hatudaiwi, tumetimiza wajibu wetu kama Mungu alivyotaka.

Ila inashangaza kuona kwamba hamuoni upotovu obvious na wa makusudi uliopo katika Dhehebu la Kikatoliki.Ila I know why,you are discouraged to read the Word of God ili muwe easy target for Satan's deception.

Anyway what is your opinion about the following clip,naye Pope Francis ana msimamo hasi kuhusu dhehebu ambalo yeye ndiye kiongozi mkuu?


View: https://youtu.be/lzmRVmlqGKU?si=-RPFTusLdQPxBquo

How does that add bread to your table? Do you mean you cannot live happily without Catholics if yourself are holy?
 
Kwa hoja yako hiyo mapapa wote 260+ walikuwa wachafu
Ni wenye akili timamu tu wanaweza wakaona usahihi wa Kanisa Katoliki. Hawa wote wanaojifanya maadui wa kanisa hawataweza kukuelewa. Ni juu yako tu kushika uliposhika.
 
How does that add bread to your table? Do you mean you cannot live happily without Catholics if yourself are holy?
Ole wangu nisipowashuhudia kweli kama Mungu alivyoniamuru,kwa kuwa damu yenu Mungu atanidai! Angalia Mungu alivyomkali kuhusu kutokutimiza wajibu huo katika Ezekieli 33:8

Ezekieli 33:8
8 Nimwambiapo mtu mbaya, Ewe mtu mbaya, hakika utakufa, nawe husemi neno la kumwonya mtu huyo, aiache njia yake, mtu mbaya huyo atakufa katika uovu wake, lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako.

Agizo ni hili hapa👇

Mathayo 28:
19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;
20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.
But note also what God has commanded me to do in the following verses.

Mathew 28:26-28
26 Basi, msiwaogope, kwa maana hakuna neno lililositirika, ambalo halitafunuliwa; wala lililofichwa, ambalo halitajulikana.
Mathayo 10:26

27 Niwaambialo ninyi katika giza, lisemeni katika nuru; na msikialo kwa siri, lihubirini juu ya nyumba.
Mathayo 10:27

28 Msiwaogope wauuao mwili, wasiweze kuiua na roho; afadhali mwogopeni yule awezaye kuangamiza mwili na roho pia katika jehanum.
Mathayo 10:28
 
Hii haikuhusu wewe mlokole ambaye hauna ushirika yaani mchungaji wako akifa na kanisa linakufa wala wewe msabato ambaye tumaini lako katika wokovu linategemea mahubiri ya mabaya ya kanisa

  
Wapendwa katika bwana TUMSIFU YESU KRISTU
Bwana Yesu alisema
"
Mathayo 10:16
Angalieni, mimi nawatuma kama kondoo kati ya mbwa-mwitu; basi iweni na busara kama nyoka, na kuwa watu wapole kama hua.

Naam na yale yote aliyosema yeye yametukia katika vipindi mbalimbali ndani ya kanisa

Kwa karne nyingi, kanisa Katoliki limekuwa likiongozwa na Papa, ambaye alikuwa ishara ya wema kama Kristo na sauti muhimu ya maadili kwa baadhi ya masuala muhimu zaidi ya kisiasa na kijamii duniani. Walakini, licha ya sifa yao ya kuwa mshiriki mwadilifu na mwenye maadili katika ulimwengu wa Kikatoliki, hii haijawahi kuwa hivyo kila wakati.
Leo ninakuletea baadhi ya mapapa waovu kuwahi kutokea katika kanisa kama ulidhani papa Fransisi ni muovu wa kwanza

Yohana XII
Tangu kutwaa uongozi akiwa na umri wa miaka kumi na minane tu, haungekuwa mwanzo mzuri kwa Papa John XII. Moyo wake mchanga haukuwa tayari kwa maisha ya Papa na hivi karibuni alibadilisha makazi yake kuwa danguro. Akienda chini zaidi kwenye shimo la sungura, alishiriki katika kuua, kushawishi pepo, na hata kufanya ngono na dada zake. Uzinzi wake uliishia kuwa kifo chake hata hivyo baada ya mume kumshika mke wake kitandani na John XII na kumpiga papa vibaya sana, kwamba alikufa siku tatu baadaye kutokana na majeraha yake.

(Kuna filamu inaitwa Young pope, itazame)

Boniface VIII
Nukuu maarufu na ya kuogofya ya Boniface VIII ilikuwa kwamba watoto wadogo hawakuwa na tatizo zaidi ya “kusugua mkono mmoja dhidi ya mwingine.” Alichaguliwa mnamo 1294, Boniface VIII alianzisha safu ya sanamu kuzunguka jiji hilo na hata kuharibu jiji la Palestrina kwa ugomvi wa kibinafsi. Alikuwa na sifa ya ukaidi na ustadi wa kuanzisha mapigano.

Benedict IX
Benedict IX alikuwa papa katika matukio 3 tofauti wakati wa uhai wake, na ya kwanza ikiwa ni alipokuwa na umri wa miaka 12 tu. Alikua mvulana mwovu na alikimbia kutoka kwenye nafasi hiyo na kujificha ndani ya jiji wakati wapinzani wa kisiasa walipojaribu kumuua. Katika muda kati ya utawala wake, alianza kuiba, kuua na kufanya ‘matendo mengine yasiyosemeka’ katika jiji lote. Akawa papa tena mnamo 1045, ambayo ilidumu miezi 2 tu kabla ya mtu kumlipa kuondoka. Miaka miwili baada ya kuondoka kwa mara ya pili, alijaribu tena, na kudumu miezi minane pekee wakati huu kabla ya hatimaye kufukuzwa na kutorejea tena.

Alexander VI
Alianza na upapa wake kwa kishindo cha kukaidi, akipata tu nafasi ya Papa kwa kuwahonga makadinali wenzake. Kabla ya kuwa Papa, alikuwa mwanachama wa Borgias, familia ya uhalifu ya Italia, na mtazamo wake haukubadilika baada ya kuwa Papa. Wakati wake, njama nyingi na ukosefu wa uaminifu ulimzunguka na maamuzi yake. Pamoja na kuwa papa mjuzi katika siasa, pia alikuwa mzinzi. Alizaa watoto wasiopungua tisa ambao tunawafahamu na alikuwa maarufu kwa kuandaa karamu nyingi katika kipindi chote cha utawala wake, huku mmoja akiitwa 'Joust of Whores.' Anazidi kuwa mbaya zaidi unapoona ripoti nyingi ambapo Alexander VI alifanya ngono na jamaa. binti yake, Lucrezia.
Sergius III
Sergius III hakumuua tu Papa kabla yake, lakini pia alimuua papa kabla ya hapo, akiweka wakati wa kuwasili kwake kutawala kikamilifu. Kisha alitumia uwezo wake kumweka mtoto wake, Papa John XI (young Pope), aliyezaa na bibi yake kahaba mwenye umri wa miaka 15, kuwa Papa miaka ishirini baada yake.

Leo X
Leo X ni maarufu kwa matumizi yake ya kifahari wakati wa utawala wake, na kuwa mlezi wa sanaa ambaye aliagiza kujengwa upya kwa Basilica ya St. Baada ya pochi ya kanisa kuwa nyepesi kidogo, Leo X kisha akawashawishi waumini wangeweza kununua njia yao ya kwenda mbinguni, kwa kuuza msamaha ambao ungepunguza dhambi zao (mshenzi sana huyu).

Stephen VI
Papa huyu alianza enzi yake kwa maonyesho mabaya, akimchimbua mtangulizi wake, Papa Formosus, na kuonyesha maiti yake kuhukumiwa. Mwili mlegevu wa Formosus uliimarishwa kwenye kiti cha enzi huku Stephen VI akipiga kelele kwa maswali ambayo hayajajibiwa, akimshutumu kwa kukufuru wakati wa ukuu wake. Haishangazi, papa aliyekufa alipoteza, na mwili wake ukatupwa kwenye Mto Tiber. Hata hivyo, baadaye mwili huo ulitolewa mtoni na kuzikwa ipasavyo na wafuasi wa Formosus. Stephen VI baadaye alifungwa na kunyongwa hadi kufa na wafuasi wa Formosus.

Kwa baadhi tu ni hao lakini wapo wengi sana mapapa waovu ambao walilipaka kinyeai na kuinajisi taswira ya kanisa ila kanisa limesimama na litasimama hadi miisho ya dunia

Angalieni upumbavu wa papa Fransisi;
Papa Francis amemvua uaskofu rasmi Askofu Joseph Strickland wa Tyler, Texas kwa kuwa "Mkatoliki kupita kiasi."

“Licha ya kuonywa mara kwa mara, Askofu Strickland alikataa kuacha kuwa Mkatoliki,” alisema Papa Francis. "Alishikilia kwa uthabiti fundisho la Kikatoliki, na hakuna nafasi kwa hilo katika Kanisa Katoliki la leo."

Kulingana na vyanzo, Askofu Strickland hapo awali alikasirisha Vatican kutokana na vipindi vingi vya yeye kukiri imani ya Kikatoliki hadharani. "Askofu Strickland alikuwa na ujasiri wa ajabu wa kufundisha Katekisimu ya Kanisa Katoliki," Kardinali Robert McElroy alisema. "Kama, hata sehemu zisizopendwa sana kuhusu jinsia na ndoa. Mambo hayo ni hivyo - Papa alisemaje - 'nyuma na nje ya kuguswa'! Hata hivyo, Papa Francis alitaka kuhakikisha kuwa Wakatoliki wote huko nje wanashikilia kwa nguvu. kwa mafundisho ya Kanisa wanapopambana na utamaduni unaozidi kuwa na uadui wanajua jinsi walivyo peke yao kweli."

Hata baada ya mawaidha mengi kutoka kwa Vatikani, Askofu Strickland alichagua kuthibitisha mafundisho ya kimahakimu ya Kanisa Katoliki badala ya kukubali itikadi kuu ya kitamaduni. Katika jitihada ya kufanya mashtaka dhidi ya Strickland kuwa ya kejeli iwezekanavyo, Vatikani ilimshutumu Askofu Strickland kwa kuchagua itikadi za kitamaduni badala ya mafundisho ya Kanisa Katoliki. "Kicheshi kweli ni kitamu, sivyo?" Alisema Papa Francis akitabasamu. "Ni kama nilipopiga marufuku kusherehekea Misa ya Kilatini, ikidaiwa kuwa kwa ajili ya umoja wa kanisa - wakati Misa ya Kilatini bila shaka ni njia ya kuunganisha Wakatoliki katika vizazi na tamaduni. Pia, parokia hizo za Misa ya Kilatini zilikuwa zikikua - ilibidi katika chipukizi."

Wakati wa uchapishaji, Wakatoliki walikuwa wamekumbuka kwamba historia ya Kanisa ilikuwa imejaa Mapapa wakorofi ambao kwa hakika waliwachoma moto watu kwa kuwa Wakatoliki kupita kiasi, lakini milango ya Kuzimu haitamshinda bibi-arusi wa Kristo.

Yawezekana papa Fransisi ni shoga au ana maslahi na ushoga, haya mambo tulikuwa tunayashangaa kwa waanglikana na walutheri na hata walokole wa magharibi kuhusu kulegeza Sheria najisi zinazopingana na ukristu Sasa nasi yametufika. Ulimwengu haujaisha huu ushawishi wa kishetani utaenda na kufika hata katika jamii za waadventista na waislamu, muda utasema tu (Niliwahi kusoma makala moja kuhusu msikiti wa mashoga ujerumani)

Hivyo wapendwa katika Kristu msife moyo maana shetani halali anapotaka kutawanya huja hata Kati yetu Jambo la pekee ni kujua kuwa KRISTU YEAU NDIYE TUMAINI LETU

Yohana 16:33
Hayo nimewaambieni mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mnayo dhiki; lakini jipeni moyo; mimi nimeushinda ulimwengu.
Na Mtume muhamad alivyowasomea MAJINI KORAN ni mjumbe wa nani?!
 
kanisa lote la katoliki linaabudu misingi ya kishetan na halifanani kabisa na kanisa la kwanza la mitume. ukitaka kuamini hilo, fanya comparison ya kila kitu, weka kanisa la mitume la kwanza lile lililozaliwa siku ya pentecost upande mmoja na upande mwingine weka kanisa katoliki. anza kulinganisha;

1. kanisa la kwanza waliomba kwa Jina la Yesu tu, wakatoliki wanaomba kwa Jina la Yesu, la Maria, na wafu.

2. Kanisa la kwanza lilikuwa na misingi ya Roho Mtakatifu, watu waliookoka walikua wanajazwa Roho, katoliki hawaamini kujazwa Roho Mtakatifu na wanapinga wokovu. kitabu cha Matendo kinasema kanisa likaongezeka kwa wale waliokuwa wakiokolewa, watu walikuwa wanaokoka.wakatoliki wanahitaji kuokoka.

3. kanisa la kwanza kitabu cha Matendo liliombea wagonjwa, lilifukuza pepo, hadi ilifika kipindi Paulo au nisema Petro na mitume wengine walikuwa wanapita kivuli chao tu kikipita kwa mgonja anapona, kanisa katoliki hawawezi hata kuombea mtu aliyepagawa na mashetani tu, na wanapinga mambo ya kuombeaombea yasiyoendana na canon law.

4. kanisa la kwanza liliheshimu zaidi Biblia kuliko chochote, katoliki wanaheshimu canon law kuliko hata Biblia. ndio maana umeona ametokea padri US akapinga misimamo ya paoa hasa kwenye ushoga na transgenders, ila PAPA amemsimamisha na kumvua cheo.

5. kanisa la kwanza walikuwa wananena kwa lugha, katoliki ukinena kwa lugha wanakufukuza, hawataki kabisa kusikia icho kitu. hata wale karismatic wanaopambana kufuata system ya kuokoka wanafukuzwa kabisa kwenye makanisa.

yapo mengi ila ngoja niishie hapa. Wakatoliki wanaabudu dini, sio Mungu na hata uwaambie utasikia wanakwambia sisi ndio kanisa la kwanza, unawauliza kanisa la kwanza lilikuwa linaabudu kama ninyi? hawana jibu wanakwambia sisi ndio wa kwanza. Biblia yenyewe hawasomi, majority ya wakristo wasiosoma Biblia ni wakatoliki. Jueni ya kwamba, kwenda kanisani kila jumapili, kuamini kwamba ukifa utaombewa hukohuko kaburini ili usamehewe dhambi, ni uongo, mnahitaji kuokoka ili muepukane na jehanum ya moto. Mungu awasaidie.
 
Hii ni vita kati ya Illuminati na Jesuits na haikuanza leo.

BBC ni kama media tu inayotumika kupigana vita hii kueneza propaganda za Illuminati na kupotosha kauli za Papa.

Wajinga wengi mtaingizwa mkenge sana na BBC wakati kanisa lao church of England (Anglican) limehalalisha ndoa za jinsia moja hawana ugomvi nalo, sasa mgomvi wao ni Vatican ambayo IPO against na Illuminati.
Mbona ujaeleweka apa Vatican ipo against illuminati au Vatican ni illuminati
 
Ni wenye akili timamu tu wanaweza wakaona usahihi wa Kanisa Katoliki. Hawa wote wanaojifanya maadui wa kanisa hawataweza kukuelewa. Ni juu yako tu kushika uliposhika.
Pole yao aisee mbali na changamoto kadhaa ila kanisa katoliki lina neema nyingi sana
 
Hii haikuhusu wewe mlokole ambaye hauna ushirika yaani mchungaji wako akifa na kanisa linakufa wala wewe msabato ambaye tumaini lako katika wokovu linategemea mahubiri ya mabaya ya kanisa

  
Wapendwa katika bwana TUMSIFU YESU KRISTU
Bwana Yesu alisema
"
Mathayo 10:16
Angalieni, mimi nawatuma kama kondoo kati ya mbwa-mwitu; basi iweni na busara kama nyoka, na kuwa watu wapole kama hua.

Naam na yale yote aliyosema yeye yametukia katika vipindi mbalimbali ndani ya kanisa

Kwa karne nyingi, kanisa Katoliki limekuwa likiongozwa na Papa, ambaye alikuwa ishara ya wema kama Kristo na sauti muhimu ya maadili kwa baadhi ya masuala muhimu zaidi ya kisiasa na kijamii duniani. Walakini, licha ya sifa yao ya kuwa mshiriki mwadilifu na mwenye maadili katika ulimwengu wa Kikatoliki, hii haijawahi kuwa hivyo kila wakati.
Leo ninakuletea baadhi ya mapapa waovu kuwahi kutokea katika kanisa kama ulidhani papa Fransisi ni muovu wa kwanza

Yohana XII
Tangu kutwaa uongozi akiwa na umri wa miaka kumi na minane tu, haungekuwa mwanzo mzuri kwa Papa John XII. Moyo wake mchanga haukuwa tayari kwa maisha ya Papa na hivi karibuni alibadilisha makazi yake kuwa danguro. Akienda chini zaidi kwenye shimo la sungura, alishiriki katika kuua, kushawishi pepo, na hata kufanya ngono na dada zake. Uzinzi wake uliishia kuwa kifo chake hata hivyo baada ya mume kumshika mke wake kitandani na John XII na kumpiga papa vibaya sana, kwamba alikufa siku tatu baadaye kutokana na majeraha yake.

(Kuna filamu inaitwa Young pope, itazame)

Boniface VIII
Nukuu maarufu na ya kuogofya ya Boniface VIII ilikuwa kwamba watoto wadogo hawakuwa na tatizo zaidi ya “kusugua mkono mmoja dhidi ya mwingine.” Alichaguliwa mnamo 1294, Boniface VIII alianzisha safu ya sanamu kuzunguka jiji hilo na hata kuharibu jiji la Palestrina kwa ugomvi wa kibinafsi. Alikuwa na sifa ya ukaidi na ustadi wa kuanzisha mapigano.

Benedict IX
Benedict IX alikuwa papa katika matukio 3 tofauti wakati wa uhai wake, na ya kwanza ikiwa ni alipokuwa na umri wa miaka 12 tu. Alikua mvulana mwovu na alikimbia kutoka kwenye nafasi hiyo na kujificha ndani ya jiji wakati wapinzani wa kisiasa walipojaribu kumuua. Katika muda kati ya utawala wake, alianza kuiba, kuua na kufanya ‘matendo mengine yasiyosemeka’ katika jiji lote. Akawa papa tena mnamo 1045, ambayo ilidumu miezi 2 tu kabla ya mtu kumlipa kuondoka. Miaka miwili baada ya kuondoka kwa mara ya pili, alijaribu tena, na kudumu miezi minane pekee wakati huu kabla ya hatimaye kufukuzwa na kutorejea tena.

Alexander VI
Alianza na upapa wake kwa kishindo cha kukaidi, akipata tu nafasi ya Papa kwa kuwahonga makadinali wenzake. Kabla ya kuwa Papa, alikuwa mwanachama wa Borgias, familia ya uhalifu ya Italia, na mtazamo wake haukubadilika baada ya kuwa Papa. Wakati wake, njama nyingi na ukosefu wa uaminifu ulimzunguka na maamuzi yake. Pamoja na kuwa papa mjuzi katika siasa, pia alikuwa mzinzi. Alizaa watoto wasiopungua tisa ambao tunawafahamu na alikuwa maarufu kwa kuandaa karamu nyingi katika kipindi chote cha utawala wake, huku mmoja akiitwa 'Joust of Whores.' Anazidi kuwa mbaya zaidi unapoona ripoti nyingi ambapo Alexander VI alifanya ngono na jamaa. binti yake, Lucrezia.
Sergius III
Sergius III hakumuua tu Papa kabla yake, lakini pia alimuua papa kabla ya hapo, akiweka wakati wa kuwasili kwake kutawala kikamilifu. Kisha alitumia uwezo wake kumweka mtoto wake, Papa John XI (young Pope), aliyezaa na bibi yake kahaba mwenye umri wa miaka 15, kuwa Papa miaka ishirini baada yake.

Leo X
Leo X ni maarufu kwa matumizi yake ya kifahari wakati wa utawala wake, na kuwa mlezi wa sanaa ambaye aliagiza kujengwa upya kwa Basilica ya St. Baada ya pochi ya kanisa kuwa nyepesi kidogo, Leo X kisha akawashawishi waumini wangeweza kununua njia yao ya kwenda mbinguni, kwa kuuza msamaha ambao ungepunguza dhambi zao (mshenzi sana huyu).

Stephen VI
Papa huyu alianza enzi yake kwa maonyesho mabaya, akimchimbua mtangulizi wake, Papa Formosus, na kuonyesha maiti yake kuhukumiwa. Mwili mlegevu wa Formosus uliimarishwa kwenye kiti cha enzi huku Stephen VI akipiga kelele kwa maswali ambayo hayajajibiwa, akimshutumu kwa kukufuru wakati wa ukuu wake. Haishangazi, papa aliyekufa alipoteza, na mwili wake ukatupwa kwenye Mto Tiber. Hata hivyo, baadaye mwili huo ulitolewa mtoni na kuzikwa ipasavyo na wafuasi wa Formosus. Stephen VI baadaye alifungwa na kunyongwa hadi kufa na wafuasi wa Formosus.

Kwa baadhi tu ni hao lakini wapo wengi sana mapapa waovu ambao walilipaka kinyeai na kuinajisi taswira ya kanisa ila kanisa limesimama na litasimama hadi miisho ya dunia

Angalieni upumbavu wa papa Fransisi;
Papa Francis amemvua uaskofu rasmi Askofu Joseph Strickland wa Tyler, Texas kwa kuwa "Mkatoliki kupita kiasi."

“Licha ya kuonywa mara kwa mara, Askofu Strickland alikataa kuacha kuwa Mkatoliki,” alisema Papa Francis. "Alishikilia kwa uthabiti fundisho la Kikatoliki, na hakuna nafasi kwa hilo katika Kanisa Katoliki la leo."

Kulingana na vyanzo, Askofu Strickland hapo awali alikasirisha Vatican kutokana na vipindi vingi vya yeye kukiri imani ya Kikatoliki hadharani. "Askofu Strickland alikuwa na ujasiri wa ajabu wa kufundisha Katekisimu ya Kanisa Katoliki," Kardinali Robert McElroy alisema. "Kama, hata sehemu zisizopendwa sana kuhusu jinsia na ndoa. Mambo hayo ni hivyo - Papa alisemaje - 'nyuma na nje ya kuguswa'! Hata hivyo, Papa Francis alitaka kuhakikisha kuwa Wakatoliki wote huko nje wanashikilia kwa nguvu. kwa mafundisho ya Kanisa wanapopambana na utamaduni unaozidi kuwa na uadui wanajua jinsi walivyo peke yao kweli."

Hata baada ya mawaidha mengi kutoka kwa Vatikani, Askofu Strickland alichagua kuthibitisha mafundisho ya kimahakimu ya Kanisa Katoliki badala ya kukubali itikadi kuu ya kitamaduni. Katika jitihada ya kufanya mashtaka dhidi ya Strickland kuwa ya kejeli iwezekanavyo, Vatikani ilimshutumu Askofu Strickland kwa kuchagua itikadi za kitamaduni badala ya mafundisho ya Kanisa Katoliki. "Kicheshi kweli ni kitamu, sivyo?" Alisema Papa Francis akitabasamu. "Ni kama nilipopiga marufuku kusherehekea Misa ya Kilatini, ikidaiwa kuwa kwa ajili ya umoja wa kanisa - wakati Misa ya Kilatini bila shaka ni njia ya kuunganisha Wakatoliki katika vizazi na tamaduni. Pia, parokia hizo za Misa ya Kilatini zilikuwa zikikua - ilibidi katika chipukizi."

Wakati wa uchapishaji, Wakatoliki walikuwa wamekumbuka kwamba historia ya Kanisa ilikuwa imejaa Mapapa wakorofi ambao kwa hakika waliwachoma moto watu kwa kuwa Wakatoliki kupita kiasi, lakini milango ya Kuzimu haitamshinda bibi-arusi wa Kristo.

Yawezekana papa Fransisi ni shoga au ana maslahi na ushoga, haya mambo tulikuwa tunayashangaa kwa waanglikana na walutheri na hata walokole wa magharibi kuhusu kulegeza Sheria najisi zinazopingana na ukristu Sasa nasi yametufika. Ulimwengu haujaisha huu ushawishi wa kishetani utaenda na kufika hata katika jamii za waadventista na waislamu, muda utasema tu (Niliwahi kusoma makala moja kuhusu msikiti wa mashoga ujerumani)

Hivyo wapendwa katika Kristu msife moyo maana shetani halali anapotaka kutawanya huja hata Kati yetu Jambo la pekee ni kujua kuwa KRISTU YEAU NDIYE TUMAINI LETU

Yohana 16:33
Hayo nimewaambieni mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mnayo dhiki; lakini jipeni moyo; mimi nimeushinda ulimwengu.
Roman Catholic ni kanisa lenye nidhamu sana, na haliendekezi mabishano. Hivyo unapolisema na kulichafua hutasikia ukijubiwa Kwa maana hawawezi bishana na mtu ambaye sio mwelewa.
 
Hii haikuhusu wewe mlokole ambaye hauna ushirika yaani mchungaji wako akifa na kanisa linakufa wala wewe msabato ambaye tumaini lako katika wokovu linategemea mahubiri ya mabaya ya kanisa

  
Wapendwa katika bwana TUMSIFU YESU KRISTU
Bwana Yesu alisema
"
Mathayo 10:16
Angalieni, mimi nawatuma kama kondoo kati ya mbwa-mwitu; basi iweni na busara kama nyoka, na kuwa watu wapole kama hua.

Naam na yale yote aliyosema yeye yametukia katika vipindi mbalimbali ndani ya kanisa

Kwa karne nyingi, kanisa Katoliki limekuwa likiongozwa na Papa, ambaye alikuwa ishara ya wema kama Kristo na sauti muhimu ya maadili kwa baadhi ya masuala muhimu zaidi ya kisiasa na kijamii duniani. Walakini, licha ya sifa yao ya kuwa mshiriki mwadilifu na mwenye maadili katika ulimwengu wa Kikatoliki, hii haijawahi kuwa hivyo kila wakati.
Leo ninakuletea baadhi ya mapapa waovu kuwahi kutokea katika kanisa kama ulidhani papa Fransisi ni muovu wa kwanza

Yohana XII
Tangu kutwaa uongozi akiwa na umri wa miaka kumi na minane tu, haungekuwa mwanzo mzuri kwa Papa John XII. Moyo wake mchanga haukuwa tayari kwa maisha ya Papa na hivi karibuni alibadilisha makazi yake kuwa danguro. Akienda chini zaidi kwenye shimo la sungura, alishiriki katika kuua, kushawishi pepo, na hata kufanya ngono na dada zake. Uzinzi wake uliishia kuwa kifo chake hata hivyo baada ya mume kumshika mke wake kitandani na John XII na kumpiga papa vibaya sana, kwamba alikufa siku tatu baadaye kutokana na majeraha yake.

(Kuna filamu inaitwa Young pope, itazame)

Boniface VIII
Nukuu maarufu na ya kuogofya ya Boniface VIII ilikuwa kwamba watoto wadogo hawakuwa na tatizo zaidi ya “kusugua mkono mmoja dhidi ya mwingine.” Alichaguliwa mnamo 1294, Boniface VIII alianzisha safu ya sanamu kuzunguka jiji hilo na hata kuharibu jiji la Palestrina kwa ugomvi wa kibinafsi. Alikuwa na sifa ya ukaidi na ustadi wa kuanzisha mapigano.

Benedict IX
Benedict IX alikuwa papa katika matukio 3 tofauti wakati wa uhai wake, na ya kwanza ikiwa ni alipokuwa na umri wa miaka 12 tu. Alikua mvulana mwovu na alikimbia kutoka kwenye nafasi hiyo na kujificha ndani ya jiji wakati wapinzani wa kisiasa walipojaribu kumuua. Katika muda kati ya utawala wake, alianza kuiba, kuua na kufanya ‘matendo mengine yasiyosemeka’ katika jiji lote. Akawa papa tena mnamo 1045, ambayo ilidumu miezi 2 tu kabla ya mtu kumlipa kuondoka. Miaka miwili baada ya kuondoka kwa mara ya pili, alijaribu tena, na kudumu miezi minane pekee wakati huu kabla ya hatimaye kufukuzwa na kutorejea tena.

Alexander VI
Alianza na upapa wake kwa kishindo cha kukaidi, akipata tu nafasi ya Papa kwa kuwahonga makadinali wenzake. Kabla ya kuwa Papa, alikuwa mwanachama wa Borgias, familia ya uhalifu ya Italia, na mtazamo wake haukubadilika baada ya kuwa Papa. Wakati wake, njama nyingi na ukosefu wa uaminifu ulimzunguka na maamuzi yake. Pamoja na kuwa papa mjuzi katika siasa, pia alikuwa mzinzi. Alizaa watoto wasiopungua tisa ambao tunawafahamu na alikuwa maarufu kwa kuandaa karamu nyingi katika kipindi chote cha utawala wake, huku mmoja akiitwa 'Joust of Whores.' Anazidi kuwa mbaya zaidi unapoona ripoti nyingi ambapo Alexander VI alifanya ngono na jamaa. binti yake, Lucrezia.
Sergius III
Sergius III hakumuua tu Papa kabla yake, lakini pia alimuua papa kabla ya hapo, akiweka wakati wa kuwasili kwake kutawala kikamilifu. Kisha alitumia uwezo wake kumweka mtoto wake, Papa John XI (young Pope), aliyezaa na bibi yake kahaba mwenye umri wa miaka 15, kuwa Papa miaka ishirini baada yake.

Leo X
Leo X ni maarufu kwa matumizi yake ya kifahari wakati wa utawala wake, na kuwa mlezi wa sanaa ambaye aliagiza kujengwa upya kwa Basilica ya St. Baada ya pochi ya kanisa kuwa nyepesi kidogo, Leo X kisha akawashawishi waumini wangeweza kununua njia yao ya kwenda mbinguni, kwa kuuza msamaha ambao ungepunguza dhambi zao (mshenzi sana huyu).

Stephen VI
Papa huyu alianza enzi yake kwa maonyesho mabaya, akimchimbua mtangulizi wake, Papa Formosus, na kuonyesha maiti yake kuhukumiwa. Mwili mlegevu wa Formosus uliimarishwa kwenye kiti cha enzi huku Stephen VI akipiga kelele kwa maswali ambayo hayajajibiwa, akimshutumu kwa kukufuru wakati wa ukuu wake. Haishangazi, papa aliyekufa alipoteza, na mwili wake ukatupwa kwenye Mto Tiber. Hata hivyo, baadaye mwili huo ulitolewa mtoni na kuzikwa ipasavyo na wafuasi wa Formosus. Stephen VI baadaye alifungwa na kunyongwa hadi kufa na wafuasi wa Formosus.

Kwa baadhi tu ni hao lakini wapo wengi sana mapapa waovu ambao walilipaka kinyeai na kuinajisi taswira ya kanisa ila kanisa limesimama na litasimama hadi miisho ya dunia

Angalieni upumbavu wa papa Fransisi;
Papa Francis amemvua uaskofu rasmi Askofu Joseph Strickland wa Tyler, Texas kwa kuwa "Mkatoliki kupita kiasi."

“Licha ya kuonywa mara kwa mara, Askofu Strickland alikataa kuacha kuwa Mkatoliki,” alisema Papa Francis. "Alishikilia kwa uthabiti fundisho la Kikatoliki, na hakuna nafasi kwa hilo katika Kanisa Katoliki la leo."

Kulingana na vyanzo, Askofu Strickland hapo awali alikasirisha Vatican kutokana na vipindi vingi vya yeye kukiri imani ya Kikatoliki hadharani. "Askofu Strickland alikuwa na ujasiri wa ajabu wa kufundisha Katekisimu ya Kanisa Katoliki," Kardinali Robert McElroy alisema. "Kama, hata sehemu zisizopendwa sana kuhusu jinsia na ndoa. Mambo hayo ni hivyo - Papa alisemaje - 'nyuma na nje ya kuguswa'! Hata hivyo, Papa Francis alitaka kuhakikisha kuwa Wakatoliki wote huko nje wanashikilia kwa nguvu. kwa mafundisho ya Kanisa wanapopambana na utamaduni unaozidi kuwa na uadui wanajua jinsi walivyo peke yao kweli."

Hata baada ya mawaidha mengi kutoka kwa Vatikani, Askofu Strickland alichagua kuthibitisha mafundisho ya kimahakimu ya Kanisa Katoliki badala ya kukubali itikadi kuu ya kitamaduni. Katika jitihada ya kufanya mashtaka dhidi ya Strickland kuwa ya kejeli iwezekanavyo, Vatikani ilimshutumu Askofu Strickland kwa kuchagua itikadi za kitamaduni badala ya mafundisho ya Kanisa Katoliki. "Kicheshi kweli ni kitamu, sivyo?" Alisema Papa Francis akitabasamu. "Ni kama nilipopiga marufuku kusherehekea Misa ya Kilatini, ikidaiwa kuwa kwa ajili ya umoja wa kanisa - wakati Misa ya Kilatini bila shaka ni njia ya kuunganisha Wakatoliki katika vizazi na tamaduni. Pia, parokia hizo za Misa ya Kilatini zilikuwa zikikua - ilibidi katika chipukizi."

Wakati wa uchapishaji, Wakatoliki walikuwa wamekumbuka kwamba historia ya Kanisa ilikuwa imejaa Mapapa wakorofi ambao kwa hakika waliwachoma moto watu kwa kuwa Wakatoliki kupita kiasi, lakini milango ya Kuzimu haitamshinda bibi-arusi wa Kristo.

Yawezekana papa Fransisi ni shoga au ana maslahi na ushoga, haya mambo tulikuwa tunayashangaa kwa waanglikana na walutheri na hata walokole wa magharibi kuhusu kulegeza Sheria najisi zinazopingana na ukristu Sasa nasi yametufika. Ulimwengu haujaisha huu ushawishi wa kishetani utaenda na kufika hata katika jamii za waadventista na waislamu, muda utasema tu (Niliwahi kusoma makala moja kuhusu msikiti wa mashoga ujerumani)

Hivyo wapendwa katika Kristu msife moyo maana shetani halali anapotaka kutawanya huja hata Kati yetu Jambo la pekee ni kujua kuwa KRISTU YEAU NDIYE TUMAINI LETU

Yohana 16:33
Hayo nimewaambieni mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mnayo dhiki; lakini jipeni moyo; mimi nimeushinda ulimwengu.
Tatizo kubwa kwa wakatoliki na ukatoliki ni kule kumkataa Yesu Kristo na Biblia kwa gharama ya kuambatana na vitu vingine kama kumshika Maria (tena wakufikirika), kumshika Papa na mapokeo ya wazee wa kale wa huko Roma.
 
Back
Top Bottom