Ukweli Kuhusu Dini (Hasa Uislam na Ukristo)

Ukweli Kuhusu Dini (Hasa Uislam na Ukristo)

tunakufa sababu cell zetu zinashindwa ku regenarate kwa kipindi fulani na nature hairuhusu species zilizozeeka kuendelea kuishi na sio binadamu tu ambao tunakufa hata mimea inakufa hata wanyama wengine wanakufa hata yota zinazaliwa zinaishi zinkaufa hivyo kuzaliwa kusihi na kufa sio kitu cha kipekee sana kwa binadamu.
umekariri sana mkuu
 
Hii sentensi yako, pamoja nazingine za wenzako, inathibitisha kuwa wengi wa mnaoamini uwepo wa Mungu mna upeo mdogo sana wa kufikiri!

Kama tu umeshindwa kukubali uwezekano wa kulelewa na mtu unaedhani ni mzazi wako, halafu asiwe mzazi wako.

Ndugu yangu,unaweza kudhani mtu kachuchumaa kumbe kasimama,lakini wewe unayejiona umesimama,si tu umechuchumaa,bali umekaa chini kabisa.
 
Hii sentensi yako, pamoja nazingine za wenzako, inathibitisha kuwa wengi wa mnaoamini uwepo wa Mungu mna upeo mdogo sana wa kufikiri!

Kama tu umeshindwa kukubali uwezekano wa kulelewa na mtu unaedhani ni mzazi wako, halafu asiwe mzazi wako.

Ndugu yangu,unaweza kudhani mtu kachuchumaa kumbe kasimama,lakini wewe unayejiona umesimama,si tu umechuchumaa,bali umekaa chini kabisa.
 
Ndugu yangu,unaweza kudhani mtu kachuchumaa kumbe kasimama,lakini wewe unayejiona umesimama,si tu umechuchumaa,bali umekaa chini kabisa.
Ukweli usiopingika ni kuwa wanaoamini kuwa kuna Mungu hawawezi kudefend madai hayo kwa hoja zenye mashiko, sana sana wataishia kusema tu kuwa ukimchunguza Mungu huwezi kumjua, eti hachunguziki, kwa waislamu wao wanalinda imani yao kibabe na ukiwazidi kwa hoja watakwambia umekashifu na wanaweza hata kukuua.

Huo ndio ukweli!
 
Any way!!
Hivi ndivyo umefundishwa toka ukiwa mdogo, sikulaumu. Hata mimi ilifundishwa na kuamini hivyo.

Lakini tujiulize, huko kuzimu ni wapi?, na huko jehanamu mnakosema kuna moto na waovu wanaungua huko, Mbona maandiko yanasema Mungu ni upendo na yuko mahali pote, hakuna mahali ambapo Mungu hayupo, swali; In maanayupo hadi jehanamu?!
Mungu ni upendo na yuko mahali pote, inakuwaje kunakuwa na uovu?!, Mungu awepo hapo hapo na uovu uwepo hapohapo inawezekanaje?

Kwa hiyo ukifikiria vizuri, utagundua hayo yanayoitwa maandiko matakatifu ni stori za kutunga tu tena na primitive people!
Wewe na wenzako uyo lucufer anawadanganya sana na leo mnadiliki kusema hamna Mungu.Mnatumika kuandaa njia ya 666.Mmeuza nafsi zenu kwa lucufer.poleni sana.Kule kuzimu wanapowapelekaga kwani hawajawahi kuwambia kuwa lile ni Gereza lake na aliwekwa uko na mwenye maalaka..Pale mnapofanyaga ritual zenu za kunywa damu za watu ndo mnajiona kuwa mnauwezo wa kujiita kuwa nyie ni Miungu watu? Na nguvu zenu zilishavunjwa mda mrefu sana.mlivyo wajinga umeuza adi nafsi zenu kwa upumbavu wa kukosa maarifa.Sasa kama Mungu hamna na kule uwa mnafataga nini sasa.nNa kwanini uwa mnakutana usiku saa nane uku mkiwa uchi wa mnyama? Uwa mnafanya nini? Na izo alama ulizoziweka paji la uso zinamaanisha nini? Nijibu maswali yangu kwanza nyie waabudu Shetani
 
Pokofame you are amazing. Would love to see more of your posts. I like the way you argue..
 
Last edited by a moderator:
tunakufa sababu cell zetu zinashindwa ku regenarate kwa kipindi fulani na nature hairuhusu species zilizozeeka kuendelea kuishi na sio binadamu tu ambao tunakufa hata mimea inakufa hata wanyama wengine wanakufa hata yota zinazaliwa zinaishi zinkaufa hivyo kuzaliwa kusihi na kufa sio kitu cha kipekee sana kwa binadamu.

mbona hata watoto wanakufa mzee
 
#Pokofame japo hakuna anaejua ukweli ila una argue kwa hoja zinazonekana...tatizo watu wengi tunajiwekeaaga guidelines tunapohoji masuala ya msingi kama haya
 
Ukweli usiopingika ni kuwa wanaoamini kuwa kuna Mungu hawawezi kudefend madai hayo kwa hoja zenye mashiko, sana sana wataishia kusema tu kuwa ukimchunguza Mungu huwezi kumjua, eti hachunguziki, kwa waislamu wao wanalinda imani yao kibabe na ukiwazidi kwa hoja watakwambia umekashifu na wanaweza hata kukuua.

Huo ndio ukweli!

Huu ni ukweli ulio wazi japo sikushauri kuwa uamini kwamba Mungu hayupo.
 
Pokofame kwanza nakupongeza kwajinsi unavyojib maswal bila kutumia lugha ngumu japo kuna baadhi yetu nadhani kwa kuelemewa na iman za dini zetu tunajikuta tumeongea lugha ambazo si nzur sana hasa ikizingatiwa kwamba wao tayar washajinasibisha na uwepo wa Mungu.


Neno Mungu au imani ni uwezo wa mwisho Wa binadam kufikir na kuja na majib halisia. Au naweza sema ndipo ujinga wa binadam unapoanza sbb hatuwez kujib baadhi ya maswal yaliyopo mbele yetu, mfano tunaambiwa uhai wa viumbe wote duniani ni matokea ya chembechembe hai ndogo sna zilizounganika pamoja na kufanya kiumbe kamil ambae ni binadamu au kiumbe mwingine, hapo ndo uwezo wetu wa kufikr unaishia na ujinga unaanza. Naujinga wenyewe unatokana na swali ambalo tumeshindwa kujib kwamba nini chanzo cha hizo chembechembe hai zinazoleta uhai? Tukasema tumuachie Mungu.


Binafs nakubaliana na uwepo wa Mungu sbb we can never trace back origin ya kitu chochote that exists. Sasa kama Mungu yupo lkn hana nguvu kama zamani ili swala kwangu kama mkristo bado linabak kiimani zaidi japo tunajiuliza Mungu yule aliewatokea watu miaka hiyo na kuwaadhib wasio mtii kwnn leo yupo kimya wkt waafrika tunauana, wapalestina na waisrael hakuna amani kimsingi kila pande ya dunia hali si shwar 100%. Kwann asijitokeze na kuamuru amani itawale duniani klk kuacha watu wasio na hatia kama watoto, wakina mama na wazee kuuliwa tena kikatili? Wakristo tunasema Mungu ni upendo sijajua kama hii ni sahihi kwa waislam, tunaposema Mungu ni upendo ni kwamba katupatia vitu vyote dunian tuvitawale na tufanye tunavyotaka mazur ambayo katufindisha tuyafuate na mabaya ambayo katukataza ili dk ya mwisho atu hukumu kwa haki japo bado ni Imani sbb hakuna anayejua kwa hakika what follows after death.


Ni kama mwl anakufundisha 1+1=2 na Mungu alikua anawafundisha watu kwa kujitokeza ili ajulikane sbb kabla alikua hajulikani na jamii ya watu wa miaka hiyo. Wote tunajua siku ya mtihani mwl hakufundish tena anakuacha huru ufanyeutakavyo sbb anaamini alishakufundisha nini ufanye, so kama ukiandika 1+1=3 anakuacha ili akuhukumu atakavyo sahihisha mtihani wako na uwez kumlalamikia sbb alishakufundisha na siku ya mtihani alikuacha huru. Kwahiyo Mungu leo hii hawez kutu amrisha nini tufanye kwan atakosa haki ya kutuhukumu siku ya mwisho.


Lkn la mwisho nadhan tulivyo aminshwa kuhusu Mungu na mapokeo ya hiz dini mbil yametujengea hofu na uoga wa kuhoja hata vitu vidogo vya kimsingi kwa lengo la kutujenga zaid. Ndio maana ukiongelea imani za hiz dini mbil au Muhammad na Yesu unaweza kupingwa kwa lugha ambazo sio za staha hata kidogo lkn sbb kubwa tulishajengewa hofu ya ajabu ya kutokuuliza maswali ya kimsingi. Ni hofu ambayo haina sbb ila chamsingi ni kuwa wakwel, wawazi na kuheshimiana huku tukijua juu yetu yupo NGURUVI/MUNGU/ALLAH/GOD na majina mengine kama hayo.
 
ni Ajabu na Kweli Mods uruhusu post havi kama hii:A S 41:. Nilitegemea wangeshaweka kufuli toka long time.
Pokofame kwa maoni yangu tatizo la hii Dunia sio hizi dini wala Ukweli wa hizi dini, Kwani dini ni Imani, bali tatizo ni uwepo wa extremists, ak.a fundamentalists katika dunia ya kistaarabu. Hawa ndio tatizo kuu linalofanya dini yoyote ichukiwe.
 
Nilichokuja kugundua ni kuwa wengi kama sio wote wanaopinga na kuhoji uwepo wa Mungu hawajui chochote kumhusu Mungu.....

Ni ajabu sana hii.....
 
Biblia ni kitabu pekee cha kidini kilichojaribu kugusa vitu vingi, na hata kujaribu kutengeneza kitu kinaitwa unabii!

Hebu tuangalie unabii mchache wa biblia kuhusiana na dunia ya leo, nitatumia zaidi mathew 24

1. Kutakuwa na MANABII WA UONGO
Kwa mtu aliyebwia opium ya dini, sentensi hii ina maana ya manabii walio kinyume na huyo mungu. Lakini hebu tuitazame kwa umakini, Kwa mujibu wa biblia, nabii wa uongo ni yeyote aendaye kinyumee na mafundisho ya biblia.

picha halisi

Waandishi wa biblia walijua hawajatimiza kila kitu katika kufika lengo halisi la uandishi wa kitabu kile, Hivyo wakajua kabisa watakuja watu wenye akili na fikra sahihi na kuitangazia dunia madhumuni halisi ya dini, hao watu wakawekwa pamoja na yeyote aongozaye kundi la watu huku akiruka hata kifungu kimoja, na wote wakaitwa manabii wa uongo.

Je fundi gani asingeweza kutabiri ajali ya gari kama anajua breki hakuzitengeneza imara?


2. Kuutakuwa na matetemeko ya ardhi.
Matetemeko ya ardhi yalianza hata kabla ya kuwapo kwa biblia, Biblia haijawahi kutaja kitu chochote ambacho enzi hizo hakikuwa kimevumbuliwa, mfano, badala ya kudeal na matetemeko ya ardi, kwa nini isitabiri na kutaja kutokea kwa super computers, cha ajabu inacombine vyote na kusema kutakuwa na maendeleo makubwa,

Je mjinga yupi asiyejua kwamba mwanadamu ni kiumbe aliye na nguvu ndani yake, ambazo anapozidi kuzoea mazingira (duniani) anazidi kuvumbua na kukuza maendeleo yake? Inahitaji utabiri?


3 Kutakuwa na njaa
Sijui hata mwandishi alifikiria nini, jambo la kawaida kama hili halihitaji unabii ili litokee, Old tale stories (old testament) inasema kulikuwa na njaa hadi wanawake wa ufalme wa suleimani waliwachinja watoto wao wachanga, Njaa ya Wanaisrael ilihitaji msaada tu wa mana toka mbinguni (real?)

Sasa mpuuzi gani aliyeyashuhudia au kuyasikia mabaa haya ya njaa atabiri kutakuwa na njaa duniani? Wastage of time and energy.


4.Watu watajipenda wao wenyewe
Naomba niseme kwa ufupi, Wanaisrael wanapoua wakaazi wa nchi za Kanaan, Yeriko, Wafilist, Waashuru, walikuwa wanawakilisha tabia ipi ya mwanadamu, kupenda wote sawa na unavyojipenda, au walionyesha maana halisi ya kujipenda tu wao wenyewe?

Hakuna unabii hapo.


Ni kitabu pekee kinachosema hakuna jipya chini ya jua (Mhubiri) na hapohapo kinatabiri mapya yatayotokea wakati wa siku za mwisho (mathew) huku kimesahau kwamba yote yalitokea kabla hata huyo yesu hawajamtengenezea script.


Kutabiri mvua itanyesha baada ya kuona mawingu mazito ni kutuibia.

waandishi wa biblia kajipangeni upya.

Ntarudi na Quran! ....

cc Ishmael FaizaFoxy Eiyer Mashaxizo

Njoni na Tusemezane!
Kubomolewa kwa hekalu_ "halitasalia jiwe juu ya jiwe" halikutimia?

Kupigwa na kurudi kwa taifa la Israel katika nchi yao, halijatimia?

"Na injili itahubiriwa katika mataifa yote", halijatimia?
Jiandae Yesu anakuja upesi
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu wanaweza hata kuandamana kupinga ukweli huu Pokofame
 
Last edited by a moderator:
Kubomolewa kwa hekalu_ "halitasalia jiwe juu ya jiwe" halikutimia?

Kupigwa na kurudi kwa taifa la Israel katika nchi yao, halijatimia?

"Na injili itahubiriwa katika mataifa yote", halijatimia?
Jiandae Yesu anakuja upesi

Soma vizuri historia ya imani yako kutoka vyanzo mbalimbali. Kwa bahati nzuri katika Karne hii unaweza kupata vitabu vya zamani kabisa na kupata ufafanuzi wa kihstoria wa matukio mbalimbali ambayo yamepelekea uwepo wa imani zetu.
Imani zetu leo ni matokeo ya watu flani waliokuwa na malengo flani katika maisha/utawala wao. Baadhi ya watu hawa walikuwa wafalme na wenye mamlaka. Wengine walikuwa na vipaji flani vya kutunga na kufanikisha mipango kadhaa. Ikumbukwe kuwa imani zetu tumeletewa tu kutoka nchi zingine na kuaminishwa kuwa Mungu wa nchi hizo ndo wa maana. Tumeundiwa mfumo kutetea mtizamo huo na ndio maana tumelelewa katika imani hizi. Tumetiwa hofu kujadili nje ya imani hizi. Elimu duni ya lugha za kigeni na ukosefu wa taarifa mbadala za imani zetu ndio zimefanya hali hii iendelee kwa muda mrefu. Lakini hali inabadilika. Watu wanaendelea kujifunza lugha mbalimbali kuanzia kiingereza hadi Kiyunani, watu wanapata access na documents za zamani kabisa (kupitia mitandao) zenye kutoa ufafanuzi wa nini kilitokea hadi kuwepo kwa imani zetu. Ndio maana ukienda nchi zilizoendelea (kule ambako imani zetu zimetokea) utashangaa kuona imani hizi zinaendelea kukosa wafuasi siku hadi siku na pia utaona mkanganyiko mkubwa kwa kile unachoamini.
Sio vibaya kuamini unavyoamini lakini sio vizuri kufikia hatua ya kutoa uhai wa mtu au kuacha kufanya jambo flani lenye manufaa kwenye jamii yako eti kwa kufungwa na imani yako (ambayo ni matokeo ya mawazo ya watu wa kale waliokuwa na lengo flani). Ni sawa na kuimba wimbo usioujua. Ni mtizamo tu.
 
"THE TRUE GOD IS YOURSELF,MAKE IT HAPPEN NOW " napata ukakasi kwa hii phrase yako ,nimejaribu kukuelewa ila kwa hili nipe miaka 100 ndio nitakuekewa
 
Dah, niajabu sana kuanalyz kitu usicho kijua zen unajipongez kwa kukijua. Yote uliyo kwye mada yko hakuna unalona uhakika nalo, inamaan hujui, basi kwanini usiwafate wahusika ili wakueleweshe?,

Si vyema kumtafakari na umchambua uliye kuwa humjui mana huta patia, katika hao ulio wataja wanamakosa, hao wote hawana makosa ila mwenye makosa tena ya ajabu niwewe, huwezi kudirik kumkataa alie kuzaa na kukulea.
Kwenye Qur-ani hakuna hata sehem moja yenye makosa au kusema uongo, Qur-ani nikitabu kitukufu kilicho kusanya yaliyopita nayajayo bila kukosea, Qur-ani si maneno wala mawazo ya mtu yoyot yule ila ni maneno ya MUNGU (ALLAH) bila y kumshirikish yoyot, maisha yote ya dunia yamo kwenye Qur-ani tukufu kuanzia mwanzo wake hadi mwisho wake.

Sitamani kukuuliz unaelim gani bali itatosha kujua umbumbumbu na uasi wa akili yko. Ni vyema kujifunza ipasavyo ndio uaminishe wengine.
 
Ili kulielewa vyema na kulitumikia jambo ni lazima mtu kujua nini kilipelekea nini ili leo kipi kitokee. Ni kama vile watu wote huwaheshimu wazazi wao kwa kujua kiuhalisia kwamba ni wao ndio waliowalea (sizungumzii kuwazaa kwa sababu hakuna mtu ajuaye mzazi wake halisi labda tu kwa msaada wa vipimo vya DNA)

Pia katika dini zetu, yatakiwa tuwe na sababu halisia za either kukubali au kuzipinga, nitaanza na ukweli katika dini ya kiislam.

Waislam wengi wa karne ya 21 bado wanaishi na kufikiri kwa kutumia mind za miaka 1400 iliyopita, Sio lazima upatwe na hasira kwa kusikia hivyo, sababu ni kwamba

1. Quran ni kitabu cha kibinadamu zaidi kuliko cha Mungu au dini fulani. Basement yake imedeal na morals za maisha ya binadamu huku kikiwa hakina connection na mythical being and other deity theories, mfano kwa kila mistari mitano au saba ni lazima unakuta quran inaagiza wanaume na wanawake kufanya mambo ambayo hata yeyote mwenye ufahamu wa usafi wa mwili na mavazi (sio moyo) angeweza kuyafanya au kuyaagiza. Haijahusisha vitu vya mythical powers kama the power of prayers and prayers healing and deliverance (hakuna sehemu quran inaagiza kukemea pepo wachafu au kuomba ili tu hata mvua inyeshe).

2. Uandishi wa kitabu hiki umekuwa na utata mwingi kwa sababu wakati mtume muhamad anapewa hiyo mistari au maandishi ya quran, kitu kinachoaminika kama shetani kilimtokea na kikampa maneno ambayo hata yeye mtume hakujua kama ni ya Mungu (Allah) au shetani hadi alipoyaleta kwa waandishi na walipoyapambanua wakayakataa, maneno hayo huitwa satanic verses (google it!) ambayo yaliizungumzia miungu mingine ya watu wa Mecca wa enzi hizo.
Hapa Mtume alijaribu kuwavuta watu wa Mecca kusilimu kwa kuwaaminisha kwamba hata miungu yao inatambulika na kuheshimiwa na Mungu mpya Allah!

3.Quran kama vilivyo vitabu vingine vya kiimani imejaa makosa na ambiquity nyingi kiasi cha kupelekea mgawanyiko wa makundi ndani ya jumuia inayojiita moja ya kiislam na hata kupelekea mapigano na mauaji kati yao

Kwa ufupi wa hivyo vitu 3 kama mifano hapa tunajifunza vitu vipya kuhusu dini hii

Kwa pointi namba mbili, hii inatupa ukweli kwamba maneno ya quran yalikuwa ni genuine toka kwa kinywa cha mtume yakiwakilisha fikra na hisia zake kwa ulimwengu wa wakati huo, na hayana chochote katika karne ya 21, ni kama vile kuhimiza watu kutumia kifaa kimoja cha kubebea maiti kutokana na wakati huo na uhalisia wa desert nature ya Middle east, huwezi zika kila mtu na jeneza lake wakati hakuna prodution ya mbao wala fertile land. Custo hii haina nafasi katika nchi kama Tanzania ambayo ina mbao za kutosha kuzikia kila mmoja.

Pia ukija pointi namba 3, Allah angekuwa mwandishi wa quran asingeruhusu ambiquity between his writtings na kupelekea vifo vya anaowaita waja wake, uhalisia unajionesha wazi kwamba kwa sifa na uwezo anaoaminiwa kuwa nao Allah asingeweza kufanya makosa madogo kama haya yenye madhara makubwa.




Tukija katika ukristo
Hasa tujadili agano jipya target ikiwa ni katika vitabu vinne vya ainjili yaan Luke Mathew na John, hasa hivi itatu kwanza. tuanzie hivi

1. Waandishi wote wa vitabu hivi wanakubali kwamba wanayoyaandika ni HEARSAY (yaani fulani alimwambia fulani akamwambia mwenzie ili fulani amfikishie mwandishi) Hapa ina maana waandishi nao hawakuwa na uhakika wa lolote waliloliandika, ni hadithi iliyosimuliwa na karibu vizazi vitatu vilivyotangulia kabla yao, nao ndipo wakaiweka katika maandishi, ambayo hata hivyo hayajawahi kufanana!

2. Kifo na hukumu ya Yesu haijawahi kuwepo popote katika vitabu vya historia za Kirumi ambao wamekuwa mabingwa wa kuzihifadhi na kuzitunza nyaraka za watu wao maarufu walioishi hata kabla ya Yesu, Lakini mtu mashuhuri aliyekufa na kufufuka duniani hakuwahi kurekodiwa popote officially zaidi ya vitabu vilivyoweka basement katika hearsay na sio eye witness.

3. Kama kawaida ya dini na deity worshiping, Biblia nzima ukijumuisha na hivyo vitabu vya injili, Imejaa ambiguity ambazo zimepelekea mgawanyiko wa madhehebu zaidi ya 19,000 (kwa mujibu wa wikipedia.com), Kati ya hayo madhehebu hakuna hata mawili yanayoingilia mafundisho hata kwa 70%.


Japo yapo mengi, hebu tuweke pointi 3 tu kwa kila dhehebu, kisha kila pointi hapo ukiiwekea matawi (variables) unapata maana na internal debate ambazo mwisho wa yote unajikuta umetua hapa katika conclusion

Conclusion
Dini ni mkusanyiko wa fikra za kundi au mtu mmoja ambaye amepata kuwa Third Eye Activated. Then anatumia fikra na uwezo wake kumtisha mwanadamu (mfano Moto wa jehanam, laana na Mauti) ili tu yeye aweze kupata kitu au faida (mfano sadaka) toka kwa watu hao.
Ukitazama karne ya kwanza ya uandishi wa biblia, madhehebu ya Catholics na Orthodox yaliingiza mkono katika uchaguzi wa nini kiwemo au kisiwemo katika biblia ambayo leo hii inatumika kujitetea yenyewe kinyume na matarajio yake ya kuwa sahihi bila kuhitaji kutetewa (amazing!)

Watu wachache waliopo juu ya hizi dini za Uislam na Ukristo wamekuwa wakiedit mambo mbalimbali ambayo aidha hayakuwamo kabla au yanaenda kinyume na matwaka yao ili kujipatia faida binafsi, mfano

Wakristo wakatoliki wamebadili sheria za asili zilizoandikwa katika biblia (takatifu?), pamoja na nyakati ili kuruhusu wasioamini kujiunga. (mfano Christmass)

Waislam (Saud Arabia) wamegeuza safari za hijja (takatifu?) kuwa sehemu ya kukuza mapato ya nchi kinyume cha makusudio yaliyoandikwa na mtume wao.


Basement: mwanadamu ni kiumbe anayetakiwa kuwajibika kwa kila jambo linalomhusu physically bila kutegemea mythical spiritual powers kumsaidia, makosa ya kutojua hili imeleta utegemezi wa fikra na hata kupelekea maendeo ya mtu mweusi wa Africa ambao kiuhalisia hawana ndugu nabii kujifikiria kwamba wao ni failure race na hawana lolote zaidi ya aidha kumtegemea mtu mweupe au kutegemea mythical being ambazo haziko physica responsive kwa majukumu ya mwanadamu duniani.


Acha Utegemezi Wa Mythica Theories, Kubali Physical Responsibilities, kwa sababu kwa kufanya hivyo unawatajirisha wachache waliopo juu, huku ukitegemea kuiona pepo au mbingu ambayo haiko physically located, or justfied, or even ACCEPTED BY ALL RELIGIONS.

THE TRUE GOD IS YOURSELF, MAKE IT HAPPEN NOW!

HAYO NI MAWAZO YANGU, NARUHUSU KUKOSOLEWA NA KUREKEBISWA

CC FaizaFoxy IshmaelI Pasco Kiranga


Watu wachache wenye akili huru tutakuelewa ila wale wengi ambao ni mazezeta na ma-zombie watakuja na matusi, vitisho na upuuzi uliotukuka!
 
Ili kulielewa vyema na kulitumikia jambo ni lazima mtu kujua nini kilipelekea nini ili leo kipi kitokee. Ni kama vile watu wote huwaheshimu wazazi wao kwa kujua kiuhalisia kwamba ni wao ndio waliowalea (sizungumzii kuwazaa kwa sababu hakuna mtu ajuaye mzazi wake halisi labda tu kwa msaada wa vipimo vya DNA)

Pia katika dini zetu, yatakiwa tuwe na sababu halisia za either kukubali au kuzipinga, nitaanza na ukweli katika dini ya kiislam.

Waislam wengi wa karne ya 21 bado wanaishi na kufikiri kwa kutumia mind za miaka 1400 iliyopita, Sio lazima upatwe na hasira kwa kusikia hivyo, sababu ni kwamba

1. Quran ni kitabu cha kibinadamu zaidi kuliko cha Mungu au dini fulani. Basement yake imedeal na morals za maisha ya binadamu huku kikiwa hakina connection na mythical being and other deity theories, mfano kwa kila mistari mitano au saba ni lazima unakuta quran inaagiza wanaume na wanawake kufanya mambo ambayo hata yeyote mwenye ufahamu wa usafi wa mwili na mavazi (sio moyo) angeweza kuyafanya au kuyaagiza. Haijahusisha vitu vya mythical powers kama the power of prayers and prayers healing and deliverance (hakuna sehemu quran inaagiza kukemea pepo wachafu au kuomba ili tu hata mvua inyeshe).

2. Uandishi wa kitabu hiki umekuwa na utata mwingi kwa sababu wakati mtume muhamad anapewa hiyo mistari au maandishi ya quran, kitu kinachoaminika kama shetani kilimtokea na kikampa maneno ambayo hata yeye mtume hakujua kama ni ya Mungu (Allah) au shetani hadi alipoyaleta kwa waandishi na walipoyapambanua wakayakataa, maneno hayo huitwa satanic verses (google it!) ambayo yaliizungumzia miungu mingine ya watu wa Mecca wa enzi hizo.
Hapa Mtume alijaribu kuwavuta watu wa Mecca kusilimu kwa kuwaaminisha kwamba hata miungu yao inatambulika na kuheshimiwa na Mungu mpya Allah!

3.Quran kama vilivyo vitabu vingine vya kiimani imejaa makosa na ambiquity nyingi kiasi cha kupelekea mgawanyiko wa makundi ndani ya jumuia inayojiita moja ya kiislam na hata kupelekea mapigano na mauaji kati yao

Kwa ufupi wa hivyo vitu 3 kama mifano hapa tunajifunza vitu vipya kuhusu dini hii

Kwa pointi namba mbili, hii inatupa ukweli kwamba maneno ya quran yalikuwa ni genuine toka kwa kinywa cha mtume yakiwakilisha fikra na hisia zake kwa ulimwengu wa wakati huo, na hayana chochote katika karne ya 21, ni kama vile kuhimiza watu kutumia kifaa kimoja cha kubebea maiti kutokana na wakati huo na uhalisia wa desert nature ya Middle east, huwezi zika kila mtu na jeneza lake wakati hakuna prodution ya mbao wala fertile land. Custo hii haina nafasi katika nchi kama Tanzania ambayo ina mbao za kutosha kuzikia kila mmoja.

Pia ukija pointi namba 3, Allah angekuwa mwandishi wa quran asingeruhusu ambiquity between his writtings na kupelekea vifo vya anaowaita waja wake, uhalisia unajionesha wazi kwamba kwa sifa na uwezo anaoaminiwa kuwa nao Allah asingeweza kufanya makosa madogo kama haya yenye madhara makubwa.




Tukija katika ukristo
Hasa tujadili agano jipya target ikiwa ni katika vitabu vinne vya ainjili yaan Luke Mathew na John, hasa hivi itatu kwanza. tuanzie hivi

1. Waandishi wote wa vitabu hivi wanakubali kwamba wanayoyaandika ni HEARSAY (yaani fulani alimwambia fulani akamwambia mwenzie ili fulani amfikishie mwandishi) Hapa ina maana waandishi nao hawakuwa na uhakika wa lolote waliloliandika, ni hadithi iliyosimuliwa na karibu vizazi vitatu vilivyotangulia kabla yao, nao ndipo wakaiweka katika maandishi, ambayo hata hivyo hayajawahi kufanana!

2. Kifo na hukumu ya Yesu haijawahi kuwepo popote katika vitabu vya historia za Kirumi ambao wamekuwa mabingwa wa kuzihifadhi na kuzitunza nyaraka za watu wao maarufu walioishi hata kabla ya Yesu, Lakini mtu mashuhuri aliyekufa na kufufuka duniani hakuwahi kurekodiwa popote officially zaidi ya vitabu vilivyoweka basement katika hearsay na sio eye witness.

3. Kama kawaida ya dini na deity worshiping, Biblia nzima ukijumuisha na hivyo vitabu vya injili, Imejaa ambiguity ambazo zimepelekea mgawanyiko wa madhehebu zaidi ya 19,000 (kwa mujibu wa wikipedia.com), Kati ya hayo madhehebu hakuna hata mawili yanayoingilia mafundisho hata kwa 70%.


Japo yapo mengi, hebu tuweke pointi 3 tu kwa kila dhehebu, kisha kila pointi hapo ukiiwekea matawi (variables) unapata maana na internal debate ambazo mwisho wa yote unajikuta umetua hapa katika conclusion

Conclusion
Dini ni mkusanyiko wa fikra za kundi au mtu mmoja ambaye amepata kuwa Third Eye Activated. Then anatumia fikra na uwezo wake kumtisha mwanadamu (mfano Moto wa jehanam, laana na Mauti) ili tu yeye aweze kupata kitu au faida (mfano sadaka) toka kwa watu hao.
Ukitazama karne ya kwanza ya uandishi wa biblia, madhehebu ya Catholics na Orthodox yaliingiza mkono katika uchaguzi wa nini kiwemo au kisiwemo katika biblia ambayo leo hii inatumika kujitetea yenyewe kinyume na matarajio yake ya kuwa sahihi bila kuhitaji kutetewa (amazing!)

Watu wachache waliopo juu ya hizi dini za Uislam na Ukristo wamekuwa wakiedit mambo mbalimbali ambayo aidha hayakuwamo kabla au yanaenda kinyume na matwaka yao ili kujipatia faida binafsi, mfano

Wakristo wakatoliki wamebadili sheria za asili zilizoandikwa katika biblia (takatifu?), pamoja na nyakati ili kuruhusu wasioamini kujiunga. (mfano Christmass)

Waislam (Saud Arabia) wamegeuza safari za hijja (takatifu?) kuwa sehemu ya kukuza mapato ya nchi kinyume cha makusudio yaliyoandikwa na mtume wao.


Basement: mwanadamu ni kiumbe anayetakiwa kuwajibika kwa kila jambo linalomhusu physically bila kutegemea mythical spiritual powers kumsaidia, makosa ya kutojua hili imeleta utegemezi wa fikra na hata kupelekea maendeo ya mtu mweusi wa Africa ambao kiuhalisia hawana ndugu nabii kujifikiria kwamba wao ni failure race na hawana lolote zaidi ya aidha kumtegemea mtu mweupe au kutegemea mythical being ambazo haziko physica responsive kwa majukumu ya mwanadamu duniani.


Acha Utegemezi Wa Mythica Theories, Kubali Physical Responsibilities, kwa sababu kwa kufanya hivyo unawatajirisha wachache waliopo juu, huku ukitegemea kuiona pepo au mbingu ambayo haiko physically located, or justfied, or even ACCEPTED BY ALL RELIGIONS.

THE TRUE GOD IS YOURSELF, MAKE IT HAPPEN NOW!

HAYO NI MAWAZO YANGU, NARUHUSU KUKOSOLEWA NA KUREKEBISWA

CC FaizaFoxy IshmaelI Pasco Kiranga


JESUITS UNDER OPERATION! Black pope in command! hatushangai kwetu sisi tunaowajua, kazi yenu inajulikana baba, all the best.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom