Ukweli Kuhusu Dini (Hasa Uislam na Ukristo)

Ukweli Kuhusu Dini (Hasa Uislam na Ukristo)

UJINGA sio chaguo ila Ni muendelezo wa Kutotambua Uwepo wa ELIMU.... Basiii baki na Ujinga wako Mtoa Maada Mpka Utakapopata ELIMU
 
Kuna tatizo wanadamu wengi tunalo lakini hatujaligundua.Wengi wetu tuna AKILI TIMAMU lakini shida kubwa ni kwamba akili hizo HAZIKO SALAMA.Na anayesababisha akili zetu zisiwe salama ni IBILISI/SHETANI.Huyu ni adui yetu lakini tumemfanya ni rafiki yetu kipenzi.Bila ya kujali ni kiwango gani cha elimu ulichonacho,shetani akishakutawala automatically akili lazima iingie hitilafu.Hebu wanayonena na kuyatenda wanadamu wenye akili timamu.
 
Uislamu ni dini yachuki na kuua watu

Sio kweli.Wewe hujausoma uislamu.Uislamu ni dini ya amani,tatizo ni wale wenye elimu ndogo ya uislamu au wasioujua uislamu ndio wanaoichafua dini hii.
 
mleta mada umevurugwa.
Quran ni kitabu kilicholetwa kwa ajili ya wanadam so ni lazima kiwe na maelezo ktk nyanja zote za maisha ya mwanadam..kwa mfano Quran isingetoa maelekezo(morals)..mngepata hoja ya kuwauliza waislam kuwa wanaiga jinsi ya kuishi na wala kitabu chao hakijatoa maelekezo,so hakijajitosheleza.
-kuhusu Mtume,kila mtu anafaham kuwa Mtume hakujua kusoma wala kuandika na hakuna historia yyte inayosema aliemfata kule pangon alikuwa ni shetan..kila aliesikia habar hizo alisema hiyo ni ishara ya utume akiewemo "pastor"wa enzi hizo alieitwa Bakhira(utaipata ktk ktab cha historia ya mtume raheequl makhtoum)labda nawe unipe ushahid wa kitab kuwa ni nan alisema kuwa aya hizo za mwanzo zilikuwa ni za shetan.
ok,kwa mfano tufanye ni za shetan alaf iweje tuamrishwe kuwa tunapotaka kusoma Quran tu lazima tumlaani shetan!?yan shetan anatufundisha tumchukie sio?pia Quran inatufundisha kuwa shetan ni adui kwetu.so,hoja yako haina mbolea.
-Kuhusu Quran kutoongelea mambo ya kimungu,Quran imetoa mfano wa Mussa alivoenda kuomba mvua pia pia mtume akaagizwa atufundushe namna ya kuomba mvua au hata mwez unapopatwa na jua au kinyume chake.Kuna maelezo mengi ya namna tulivyoumbwa na dunia ilivyoumbwa,pepo,moto nk.Quran imetaja namna ya kuabudu au kutubu pindi tukoseapo,cjui unataka mambo gan ya kimungu yatajwe.
-mapigano yanayotokea kati ya waislam na wanaojiita waislam hayakutokea wakat wa mtume.kuna meng ya kusema hapa ila mind you that unachotakiwa kuangalia Quran na mtume ametoa maelezo gan au aliishi vp na sio kuangalia jamii ya watu fulan..adui ameingia ktk nchi wenye nchi wanagawanyika wengine wanapambana na adui na wengne wapi upande wa maadui kuwapiga wenyej wenzao..kiislam unapoungana na adui ww su muislam tena so hakuna vita ya waislam kwa waislam.tunasema uialam ni dini ya aman coz hata vikos vya kulinda amani huenda na bunduki na vifaru na wala hawaend na madumu ya icecream.
 
mleta mada umevurugwa.
Quran ni kitabu kilicholetwa kwa ajili ya wanadam so ni lazima kiwe na maelezo ktk nyanja zote za maisha ya mwanadam..kwa mfano Quran isingetoa maelekezo(morals)..mngepata hoja ya kuwauliza waislam kuwa wanaiga jinsi ya kuishi na wala kitabu chao hakijatoa maelekezo,so hakijajitosheleza.
-kuhusu Mtume,kila mtu anafaham kuwa Mtume hakujua kusoma wala kuandika na hakuna historia yyte inayosema aliemfata kule pangon alikuwa ni shetan..kila aliesikia habar hizo alisema hiyo ni ishara ya utume akiewemo "pastor"wa enzi hizo alieitwa Bakhira(utaipata ktk ktab cha historia ya mtume raheequl makhtoum)labda nawe unipe ushahid wa kitab kuwa ni nan alisema kuwa aya hizo za mwanzo zilikuwa ni za shetan.
ok,kwa mfano tufanye ni za shetan alaf iweje tuamrishwe kuwa tunapotaka kusoma Quran tu lazima tumlaani shetan!?yan shetan anatufundisha tumchukie sio?pia Quran inatufundisha kuwa shetan ni adui kwetu.so,hoja yako haina mbolea.
-Kuhusu Quran kutoongelea mambo ya kimungu,Quran imetoa mfano wa Mussa alivoenda kuomba mvua pia pia mtume akaagizwa atufundushe namna ya kuomba mvua au hata mwez unapopatwa na jua au kinyume chake.Kuna maelezo mengi ya namna tulivyoumbwa na dunia ilivyoumbwa,pepo,moto nk.Quran imetaja namna ya kuabudu au kutubu pindi tukoseapo,cjui unataka mambo gan ya kimungu yatajwe.
-mapigano yanayotokea kati ya waislam na wanaojiita waislam hayakutokea wakat wa mtume.kuna meng ya kusema hapa ila mind you that unachotakiwa kuangalia Quran na mtume ametoa maelezo gan au aliishi vp na sio kuangalia jamii ya watu fulan..adui ameingia ktk nchi wenye nchi wanagawanyika wengine wanapambana na adui na wengne wapi upande wa maadui kuwapiga wenyej wenzao..kiislam unapoungana na adui ww su muislam tena so hakuna vita ya waislam kwa waislam.tunasema uialam ni dini ya aman coz hata vikos vya kulinda amani huenda na bunduki na vifaru na wala hawaend na madumu ya icecream.

Swadakta kabisa ndugu yangu Wachaka.Mwenyezi Mungu akuzidishie elimu na akujaalie kila kheri.
 
Mostly of christians do not fear God. Na mleta mada na wengi wanao muunga mkono ni wanaasili ya ukristo na si uisilamu. God is good let mi believe and i will sing this song forever GLORY IS THE LORD. To those who do not believe be warned cautioned and informed accordingly.

duu naona umejiakikishia kama vile umekata tiketi kabsa daa...:eek2::eek2:
 
Mleta mada anataka qurani ielekeze kukemea mapepo.. Katika ukristo imeelekezwa na watu wanafanya lakini athari zake zinaonekana.. Yaani mtu akikemea mapepo akaweza anafungua asemblis of god yake na anajiita mungu mtu au mtume.. Katika kurani hakuna kukemea mapepo ila kuna dua za kuomba mungu ili akuepushie shari na viumbe alivyoviumba yaani kuanzia binaadamu majini mapepo nakadhalika.. Hizi dua ukiomba ni kwamba direct unapeleka maombi then mungu anajibu iwe negative au positive results vyovyote tunashukuru and kwa sababu mungu ni muamuzi wa chachote atakacho na katika maamuzi yake hakosei.
 
Mnapoteza muda wenu tu, dini zimewekwa na binadamu. Ukristu utabaki kuwa ukristu na uislamu utabaki kuwa uislamu. The choice is yours. Hakuna haja ya kukosoana.
 
ni mara chache sana kushuhudia watumishi kama Ishmael , Eiyer na wanadini wakongwe hapa JF-INTELLIGENCE wakigaragazwa kwa hoja safi kama walivyo tendwa kwenye hii 3D na mkuu Pokofame

aisee sijawahi shuhudia MziziMkavu akiwa anatokwa na povu la hoja nyepesi
sitaki kuamini kwamba ni yeye

.made in mby city.
 
Last edited by a moderator:
ni mara chache sana kushuhudia watumishi kama Ishmael , Eiyer na wanadini wakongwe hapa JF-INTELLIGENCE wakigaragazwa kwa hoja safi kama walivyo tendwa kwenye hii 3D na mkuu Pokofame

aisee sijawahi shuhudia MziziMkavu akiwa anatokwa na povu la hoja nyepesi
sitaki kuamini kwamba ni yeye

.made in mby city.

Hoja zipi?
 
Ili kulielewa vyema na kulitumikia jambo ni lazima mtu kujua nini kilipelekea nini ili leo kipi kitokee. Ni kama vile watu wote huwaheshimu wazazi wao kwa kujua kiuhalisia kwamba ni wao ndio waliowalea (sizungumzii kuwazaa kwa sababu hakuna mtu ajuaye mzazi wake halisi labda tu kwa msaada wa vipimo vya DNA)

Pia katika dini zetu, yatakiwa tuwe na sababu halisia za either kukubali au kuzipinga, nitaanza na ukweli katika dini ya kiislam.

Waislam wengi wa karne ya 21 bado wanaishi na kufikiri kwa kutumia mind za miaka 1400 iliyopita, Sio lazima upatwe na hasira kwa kusikia hivyo, sababu ni kwamba

1. Quran ni kitabu cha kibinadamu zaidi kuliko cha Mungu au dini fulani. Basement yake imedeal na morals za maisha ya binadamu huku kikiwa hakina connection na mythical being and other deity theories, mfano kwa kila mistari mitano au saba ni lazima unakuta quran inaagiza wanaume na wanawake kufanya mambo ambayo hata yeyote mwenye ufahamu wa usafi wa mwili na mavazi (sio moyo) angeweza kuyafanya au kuyaagiza. Haijahusisha vitu vya mythical powers kama the power of prayers and prayers healing and deliverance (hakuna sehemu quran inaagiza kukemea pepo wachafu au kuomba ili tu hata mvua inyeshe).

2. Uandishi wa kitabu hiki umekuwa na utata mwingi kwa sababu wakati mtume muhamad anapewa hiyo mistari au maandishi ya quran, kitu kinachoaminika kama shetani kilimtokea na kikampa maneno ambayo hata yeye mtume hakujua kama ni ya Mungu (Allah) au shetani hadi alipoyaleta kwa waandishi na walipoyapambanua wakayakataa, maneno hayo huitwa satanic verses (google it!) ambayo yaliizungumzia miungu mingine ya watu wa Mecca wa enzi hizo.
Hapa Mtume alijaribu kuwavuta watu wa Mecca kusilimu kwa kuwaaminisha kwamba hata miungu yao inatambulika na kuheshimiwa na Mungu mpya Allah!

3.Quran kama vilivyo vitabu vingine vya kiimani imejaa makosa na ambiquity nyingi kiasi cha kupelekea mgawanyiko wa makundi ndani ya jumuia inayojiita moja ya kiislam na hata kupelekea mapigano na mauaji kati yao

Kwa ufupi wa hivyo vitu 3 kama mifano hapa tunajifunza vitu vipya kuhusu dini hii

Kwa pointi namba mbili, hii inatupa ukweli kwamba maneno ya quran yalikuwa ni genuine toka kwa kinywa cha mtume yakiwakilisha fikra na hisia zake kwa ulimwengu wa wakati huo, na hayana chochote katika karne ya 21, ni kama vile kuhimiza watu kutumia kifaa kimoja cha kubebea maiti kutokana na wakati huo na uhalisia wa desert nature ya Middle east, huwezi zika kila mtu na jeneza lake wakati hakuna prodution ya mbao wala fertile land. Custo hii haina nafasi katika nchi kama Tanzania ambayo ina mbao za kutosha kuzikia kila mmoja.

Pia ukija pointi namba 3, Allah angekuwa mwandishi wa quran asingeruhusu ambiquity between his writtings na kupelekea vifo vya anaowaita waja wake, uhalisia unajionesha wazi kwamba kwa sifa na uwezo anaoaminiwa kuwa nao Allah asingeweza kufanya makosa madogo kama haya yenye madhara makubwa.




Tukija katika ukristo
Hasa tujadili agano jipya target ikiwa ni katika vitabu vinne vya ainjili yaan Luke Mathew na John, hasa hivi itatu kwanza. tuanzie hivi

1. Waandishi wote wa vitabu hivi wanakubali kwamba wanayoyaandika ni HEARSAY (yaani fulani alimwambia fulani akamwambia mwenzie ili fulani amfikishie mwandishi) Hapa ina maana waandishi nao hawakuwa na uhakika wa lolote waliloliandika, ni hadithi iliyosimuliwa na karibu vizazi vitatu vilivyotangulia kabla yao, nao ndipo wakaiweka katika maandishi, ambayo hata hivyo hayajawahi kufanana!

2. Kifo na hukumu ya Yesu haijawahi kuwepo popote katika vitabu vya historia za Kirumi ambao wamekuwa mabingwa wa kuzihifadhi na kuzitunza nyaraka za watu wao maarufu walioishi hata kabla ya Yesu, Lakini mtu mashuhuri aliyekufa na kufufuka duniani hakuwahi kurekodiwa popote officially zaidi ya vitabu vilivyoweka basement katika hearsay na sio eye witness.

3. Kama kawaida ya dini na deity worshiping, Biblia nzima ukijumuisha na hivyo vitabu vya injili, Imejaa ambiguity ambazo zimepelekea mgawanyiko wa madhehebu zaidi ya 19,000 (kwa mujibu wa wikipedia.com), Kati ya hayo madhehebu hakuna hata mawili yanayoingilia mafundisho hata kwa 70%.


Japo yapo mengi, hebu tuweke pointi 3 tu kwa kila dhehebu, kisha kila pointi hapo ukiiwekea matawi (variables) unapata maana na internal debate ambazo mwisho wa yote unajikuta umetua hapa katika conclusion

Conclusion
Dini ni mkusanyiko wa fikra za kundi au mtu mmoja ambaye amepata kuwa Third Eye Activated. Then anatumia fikra na uwezo wake kumtisha mwanadamu (mfano Moto wa jehanam, laana na Mauti) ili tu yeye aweze kupata kitu au faida (mfano sadaka) toka kwa watu hao.
Ukitazama karne ya kwanza ya uandishi wa biblia, madhehebu ya Catholics na Orthodox yaliingiza mkono katika uchaguzi wa nini kiwemo au kisiwemo katika biblia ambayo leo hii inatumika kujitetea yenyewe kinyume na matarajio yake ya kuwa sahihi bila kuhitaji kutetewa (amazing!)

Watu wachache waliopo juu ya hizi dini za Uislam na Ukristo wamekuwa wakiedit mambo mbalimbali ambayo aidha hayakuwamo kabla au yanaenda kinyume na matwaka yao ili kujipatia faida binafsi, mfano

Wakristo wakatoliki wamebadili sheria za asili zilizoandikwa katika biblia (takatifu?), pamoja na nyakati ili kuruhusu wasioamini kujiunga. (mfano Christmass)

Waislam (Saud Arabia) wamegeuza safari za hijja (takatifu?) kuwa sehemu ya kukuza mapato ya nchi kinyume cha makusudio yaliyoandikwa na mtume wao.


Basement: mwanadamu ni kiumbe anayetakiwa kuwajibika kwa kila jambo linalomhusu physically bila kutegemea mythical spiritual powers kumsaidia, makosa ya kutojua hili imeleta utegemezi wa fikra na hata kupelekea maendeo ya mtu mweusi wa Africa ambao kiuhalisia hawana ndugu nabii kujifikiria kwamba wao ni failure race na hawana lolote zaidi ya aidha kumtegemea mtu mweupe au kutegemea mythical being ambazo haziko physica responsive kwa majukumu ya mwanadamu duniani.


Acha Utegemezi Wa Mythica Theories, Kubali Physical Responsibilities, kwa sababu kwa kufanya hivyo unawatajirisha wachache waliopo juu, huku ukitegemea kuiona pepo au mbingu ambayo haiko physically located, or justfied, or even ACCEPTED BY ALL RELIGIONS.

THE TRUE GOD IS YOURSELF, MAKE IT HAPPEN NOW!

HAYO NI MAWAZO YANGU, NARUHUSU KUKOSOLEWA NA KUREKEBISWA

CC FaizaFoxy IshmaelI Pasco Kiranga

Mkuu Pokofame Mawazo yako ni mawazo ya Ki-shetani huja hoja ya wewe kuikosoa Qur'an Wameshindwa Ma-Professor Dunia na Wana Sayansi wakubwa kuikosoa Qur'an itakuwa wewe unaye leta hoja bila ya kufikiria kile unacho kisema? Itakuwaje wewe mwenyewe ujiite Mungu? Hizo kweli ni akili zako? au akili za kishetani? ikiwa wewe mwenyewe unajiita mungu kwanini unakufa? Kwani Mungu anakufa kama wanavyokufa binadamu? kaa ufikirie kwa makini nina aliye umba Usiku na mchana? ni aliye umba Mwezi Duniana vilivyomo ndaniyake? Ni nani aliye umba jua? kishautapata Jibu kuw akuna Mungu ndie aliye umba hivyo vitu vyote ukisha pata jibu kamkuna mungu aliye umba hivyo vitu vyote duniani sasa mtafute huyoMungu aliyeumba hivyo vitu vyote Duniani kwenye Dini ya Ukristo au Dini ya Kiislam au dini ya Kiyahudi utampata Mungu wa ukweli kazikwako.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Pokofame Mawazo yako ni mawazo ya Ki-shetani huja hoja ya wewe kuikosoa Qur'an Wameshindwa Ma-Professor Dunia na Wana Sayansi wakubwa kuikosoa Qur'an itakuwa wewe unaye leta hoja bila ya kufikiria kile unacho kisema? Itakuwaje wewe mwenyewe ujiite Mungu? Hizo kweli ni akili zako? au akili za kishetani? ikiwa wewe mwenyewe unajiita mungu kwanini unakufa? Kwani Mungu anakufa kama wanavyokufa binadamu? kaa ufikirie kwa makini nina aliye umba Usiku na mchana? ni aliye umba Mwezi Duniana vilivyomo ndaniyake? Ni nani aliye umba jua? kishautapata Jibu kuw akuna Mungu ndie aliye umba hivyo vitu vyote ukisha pata jibu kamkuna mungu aliye umba hivyo vitu vyote duniani sasa mtafute huyoMungu aliyeumba hivyo vitu vyote Duniani kwenye Dini ya Ukristo au Dini ya Kiislam au dini ya Kiyahudi utampata Mungu wa ukweli kazikwako.

kwani Mkuu unavyojua Mungu maana yake ni nini?i
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Pokofame Mawazo yako ni mawazo ya Ki-shetani huja hoja ya wewe kuikosoa Qur'an Wameshindwa Ma-Professor Dunia na Wana Sayansi wakubwa kuikosoa Qur'an itakuwa wewe unaye leta hoja bila ya kufikiria kile unacho kisema? Itakuwaje wewe mwenyewe ujiite Mungu? Hizo kweli ni akili zako? au akili za kishetani? ikiwa wewe mwenyewe unajiita mungu kwanini unakufa? Kwani Mungu anakufa kama wanavyokufa binadamu? kaa ufikirie kwa makini nina aliye umba Usiku na mchana? ni aliye umba Mwezi Duniana vilivyomo ndaniyake? Ni nani aliye umba jua? kishautapata Jibu kuw akuna Mungu ndie aliye umba hivyo vitu vyote ukisha pata jibu kamkuna mungu aliye umba hivyo vitu vyote duniani sasa mtafute huyoMungu aliyeumba hivyo vitu vyote Duniani kwenye Dini ya Ukristo au Dini ya Kiislam au dini ya Kiyahudi utampata Mungu wa ukweli kazikwako.

Mkuu MziziMkavu hii sio karne ya kutishana kwa vitu vya kifikirika tu.
Jaribu kumkosoa kwa hoja zinazoeleweka
 
Last edited by a moderator:
kwani Mkuu unavyojua Mungu maana yake ni nini?i
Nijuavyo Mimi Maana ya Mwenyeezi Mungu ni Hivi:

112. SURAT AL-IKHLAS'

KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU

1. Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee

2. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa

3. Hakuzaa wala hakuzaliwa.

4. Wala hana anaye fanana naye hata mmoja.
 
Mkuu MziziMkavu hii sio karne ya kutishana kwa vitu vya kifikirika tu.
Jaribu kumkosoa kwa hoja zinazoeleweka
Mleta mada analeta mada ya kipumbavu kakaa kwa kufikiria upumbavu wake kisha akaleta hapa jukwaani analeta hoja pasipo na una ushahid wowote ndio maana nikamjibu analeta hoja za Ki Shetani na mimi nimemjibu kishetani shetani anasema hivi Mungu ni wewe mwenyewe iweje wewe binadamu ugeuke kuwa mungu? kwani mungu anakufa? kama wanavyokufa bindamu? mleta hoja hafikirii kitu cha kusema mpaka akaamuwa kujiita yeye mwenyewe ni mungu kam sio ushetani ni kitu gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom