Ukweli Kuhusu Dini (Hasa Uislam na Ukristo)

Ukweli Kuhusu Dini (Hasa Uislam na Ukristo)

Mimi nimezaliwa katika familia ya kikristo lakini nimekuwa nikijiuliza maswali mengi juu ya mgawanyiko mkubwa katika hizi imani zetu (iwe ukristo au uislamu) kwanini kuna madhehebu kede wa kede ilihali wote wanatumia kitabu cha aina moja (waislamu quran na wakristo biblia) kiukweli nadhani there's something wrong kwenye hizi dini. Kama bible na quran zililetwa na mungu kwanini haziko straight and consistency ili kama ikitokea mtu anaenda kinyume tukamjua (kwamba huyu ni mwongo)? Lakini leo kuna madhehebu kibao na yote yana basis kwenye hiyo hiyo biblia au quran. Na kila dhehebu linajiona lenyewe ndio la ukweli na wengine wamekengeuka. Mfano kwa wakristo ukimsikiliza mlokole atakwambia wakatoliki au anglikana wamepotea na atakupa mistari ya bible ukimsikiliza msabato huyo naye atakwambia madhehebu wmngine yote wamepotea isipokuwa yeye na atakupa bible verses na wengineo wengi, tatizo li wapi? Kwanini mungu (kama yupo) hakuleta kitabu kitakatifu kisicho na mkanganyiko kwetu ili huu muda wa kubishana which is which tungekuwa tunamuabudu yeye. In conclusion, nina mashaka na hizi dini zetu ingawa nimezaliwa katika familia inayoamini.
Yaani nimesoma haya maandiko yako hadi nimeona aibu kabisa.....

Yaani watu wanakuwa na madhehebu halafu wewe unaona tatizo liko kwenye maandiko ya imani husika na sio watu ....

Hivi tuna akili ya namna gani?

Daaahh.....!!
 
Yaani nimesoma haya maandiko yako hadi nimeona aibu kabisa.....

Yaani watu wanakuwa na madhehebu halafu wewe unaona tatizo liko kwenye maandiko ya imani husika na sio watu ....

Hivi tuna akili ya namna gani?

Daaahh.....!!

Ndio, tatizo ni maandiko ya vitabu (wanasema vitakatifu), hayapo straight forward, kitu kinachosababisha migawanyiko (madhehebu). kama maandiko yangekuwa consistent (of which ingethibitisha utakatifu na ukweli wake) leo hii tusingekuwa na madhehebu kede wa kede ambayo yote hayo yamejenga misingi yao kaika kitabu kimoja (bible kwa wakristo na quran kwa waislamu), Of which brings to my doubt ya ukweli wa hizi imani ambazo misingi yake imejengwa juu ya vitabu hivyo (vinaitwa vitakatifu)
 
Ndio, tatizo ni maandiko ya vitabu (wanasema vitakatifu), hayapo straight forward, kitu kinachosababisha migawanyiko (madhehebu). kama maandiko yangekuwa consistent (of which ingethibitisha utakatifu na ukweli wake) leo hii tusingekuwa na madhehebu kede wa kede ambayo yote hayo yamejenga misingi yao kaika kitabu kimoja (bible kwa wakristo na quran kwa waislamu), Of which brings to my doubt ya ukweli wa hizi imani ambazo misingi yake imejengwa juu ya vitabu hivyo (vinaitwa vitakatifu)


mkuu usikatishwe tamaa katika kuutafuta ukweli, watu inabidi watambue kwamba lengo letu si kupotosha, lengo letu ni kutafuta kipande cha mwisho cha ukweli kilichojificha, ukiona mtu anakuja na matusi na kejeli ujue ni jiwe tu la gizani limempata, ila akikaa tene akafikiri atakuja pata mwanga kidogo wenye mwendelezo mrefu, hata mimi nilikuwa mtetezi mzuri wa dini yangu kabla sijayaona haya na kuamua kuuvunja ukimya.
MziziMkavu jipange tena kaka, lengo hapa si kuvuruga bali kujaribu kujiuliza tena na kupata majibu, japo kwa kawaida ukweli huwa mchungu mwanzoni!
 
Last edited by a moderator:
Mimi nimezaliwa katika familia ya kikristo lakini nimekuwa nikijiuliza maswali mengi juu ya mgawanyiko mkubwa katika hizi imani zetu (iwe ukristo au uislamu) kwanini kuna madhehebu kede wa kede ilihali wote wanatumia kitabu cha aina moja (waislamu quran na wakristo biblia) kiukweli nadhani there's something wrong kwenye hizi dini. Kama bible na quran zililetwa na mungu kwanini haziko straight and consistency ili kama ikitokea mtu anaenda kinyume tukamjua (kwamba huyu ni mwongo)? Lakini leo kuna madhehebu kibao na yote yana basis kwenye hiyo hiyo biblia au quran. Na kila dhehebu linajiona lenyewe ndio la ukweli na wengine wamekengeuka. Mfano kwa wakristo ukimsikiliza mlokole atakwambia wakatoliki au anglikana wamepotea na atakupa mistari ya bible ukimsikiliza msabato huyo naye atakwambia madhehebu wmngine yote wamepotea isipokuwa yeye na atakupa bible verses na wengineo wengi, tatizo li wapi? Kwanini mungu (kama yupo) hakuleta kitabu kitakatifu kisicho na mkanganyiko kwetu ili huu muda wa kubishana which is which tungekuwa tunamuabudu yeye. In conclusion, nina mashaka na hizi dini zetu ingawa nimezaliwa katika familia inayoamini.

Una mashaka kwa kuwa tu dini ziko nyingi? Only that?

Mbona unakata tamaa kwa kitu kidogo kama hiki! Kwa nini hushangai uwepo wa vyama vingi vya siasa, kwa mfano upinzani ktk nchi moja? Kwa nini hushangai uwepo wa wagombea wengi wa nafasi ya uraisi kutoka chama kimoja mwaka huu ambao tayari idadi yao ni zaidi ya baraza la mawaziri? Kwa nini hushangai uwepo wa soko huria kwa ujumla, soko moja bidhaa lukuki?

Nenda kafanye utafiti, acha uvivu, soma Biblia na historia kwa ujumla, mission ya Yesu hapa duniani aliacha dini gani na kwa nini leo tunadini nyingi. Utapata sababu za kutosha kukufikirisha vizuri
 
Mtoa mada ulishawahi kujiuliza kwanini una Wazazi??!
 
Uislamu ni dini yachuki na kuua watu

Sio dini ndio inayojenga chukia au kuua watu. Bali ni watu wenyewe ambao sio watu wa MUNGU. Mbona kuna wanaojiita wakristo wanachukia watu na kuua? Kuna wengine hawana dini na wanampenda na kumwamini MUNGU na wanapenda amani, wanamchukua shetani na mambo yake yote.

Pia kuna wanaojiita Waislamu au Wakristo wanaochukia mauaji na wanapenda kudumisha upendo, wanamchukia shetani na wana mwamini na kumpenda MUNGU.
 
Ayubu 38
1 Ndipo Bwana akamjibu
Ayubu katika upepo wa
kisulisuli, na kusema,
2 Ni nani huyu atiaye
mashauri giza Kwa
maneno yasiyo na
maarifa?
3 Basi jifunge viuno
kama mwanamume,
Maana nitakuuliza neno,
nawe niambie.
4 Ulikuwa wapi
nilipoiweka misingi ya
nchi? Haya! Sema, kama
ukiwa na ufahamu.
5 Ni nani aliyeamrisha
vipimo vyake, kama
ukijua? Au ni nani
aliyenyosha kamba juu
yake?
6 Misingi yake ilikazwa
juu ya kitu gani? Au ni
nani aliyeliweka jiwe lake
la pembeni,
7 Hapo nyota za asubuhi
zilipoimba pamoja, Na
wana wote wa Mungu
walipopiga kelele kwa
furaha?
8 Au ni nani aliyeifunga
bahari kwa milango,
Hapo ilipofurika kana
kwamba imetoka
tumboni.
9 Nilipolifanya wingu
kuwa vazi lake, Na giza
zito kuwa nguo ya
kuifungia,
10 Nikaiagiza amri
yangu; Nikaiwekea
makomeo na milango,
11 Nikasema, Utafika
mpaka hapa, lakini
hutapita, Na hapa
mawimbi yako
yanyetayo yatazuiliwa?
12 Je! Umeiamuru
asubuhi tangu siku zako
zilipoanza? Umeyajulisha
mapambazuko mahali
pake?
13 Yapate kuishika
miisho ya nchi, Waovu
wakung'utwe wakawe
mbali nayo?
14 Hubadilika mfano wa
udongo chini ya muhuri,
Vitu vyote vinatokea
kama mavazi.
15 Na waovu nuru yao
huzuiliwa isiwafikie, Na
mkono ulioinuka
huvunjika.
16 Je! Umeziingia
chemchemi za bahari, Au
umetembea mahali pa
siri pa vilindi?
17 Je! Umefunuliwa
malango ya mauti, Au
umeyaona malango ya
kuzimu?
18 Umeyafahamu
mapana ya dunia? Haya!
Sema, ikiwa unayajua
hayo yote.
19 Iko wapi njia ya
kuyafikia makao ya nuru?
Na giza pia, mahali pake
ni wapi?
20 Upate kuipeleka hata
mpaka wake, Upate
kuelewa na mapito ya
kuiendea nyumba yake?
 
Ayubu 38
1 Ndipo Bwana akamjibu
Ayubu katika upepo wa
kisulisuli, na kusema,
2 Ni nani huyu atiaye
mashauri giza Kwa
maneno yasiyo na
maarifa?
3 Basi jifunge viuno
kama mwanamume,
Maana nitakuuliza neno,
nawe niambie.
4 Ulikuwa wapi
nilipoiweka misingi ya
nchi? Haya! Sema, kama
ukiwa na ufahamu.
5 Ni nani aliyeamrisha
vipimo vyake, kama
ukijua? Au ni nani
aliyenyosha kamba juu
yake?
6 Misingi yake ilikazwa
juu ya kitu gani? Au ni
nani aliyeliweka jiwe lake
la pembeni,
7 Hapo nyota za asubuhi
zilipoimba pamoja, Na
wana wote wa Mungu
walipopiga kelele kwa
furaha?
8 Au ni nani aliyeifunga
bahari kwa milango,
Hapo ilipofurika kana
kwamba imetoka
tumboni.
9 Nilipolifanya wingu
kuwa vazi lake, Na giza
zito kuwa nguo ya
kuifungia,
10 Nikaiagiza amri
yangu; Nikaiwekea
makomeo na milango,
11 Nikasema, Utafika
mpaka hapa, lakini
hutapita, Na hapa
mawimbi yako
yanyetayo yatazuiliwa?
12 Je! Umeiamuru
asubuhi tangu siku zako
zilipoanza? Umeyajulisha
mapambazuko mahali
pake?
13 Yapate kuishika
miisho ya nchi, Waovu
wakung'utwe wakawe
mbali nayo?
14 Hubadilika mfano wa
udongo chini ya muhuri,
Vitu vyote vinatokea
kama mavazi.
15 Na waovu nuru yao
huzuiliwa isiwafikie, Na
mkono ulioinuka
huvunjika.
16 Je! Umeziingia
chemchemi za bahari, Au
umetembea mahali pa
siri pa vilindi?
17 Je! Umefunuliwa
malango ya mauti, Au
umeyaona malango ya
kuzimu?
18 Umeyafahamu
mapana ya dunia? Haya!
Sema, ikiwa unayajua
hayo yote.
19 Iko wapi njia ya
kuyafikia makao ya nuru?
Na giza pia, mahali pake
ni wapi?
20 Upate kuipeleka hata
mpaka wake, Upate
kuelewa na mapito ya
kuiendea nyumba yake?

Mara zote tumia extra evidence to prove simple evidence, maana yangu ni kwamba, usitumie biblia kuniconvice mimi nisiyeamini hiyo biblia, tumia extra evidence.

Mfano, kumuuliza mwizi kama ameiba ni kupoteza muda, coz atajibu hapana.
Hata waandishi (fake?) wa biblia walijua haya maswali yatatokea kwenye kizazi kinachohitaji kujikomboa kutoka utumwa wa dini, ndio maana wakaweka maneno machache ya kujitetea, ingawa bado hayajatosheleza majibu ya maswli yetu,

hebu nikuulize

Mungu aliyeongea na Ayubu enzi hizo, kwa nini yupo kimya leo?
je majipu ya Ayubu yamekuwa na thamani kuliko vifo vya watu wengi wasio na hatia leo, hadi huyo mungu achague wapi pa kurespond

Je Mungu aliyejibu kwa radi katika hadithi za biblia, hiyo nguvu kaipoteza wapi leo?

Mawili, Either God is powerless or he Doesnt exist. Thats all!

EXTRA note: God is real and he does exist, but not in the form we had been told by fake books and prophets!
 
JIBU HAYA MASWALI BASI ILI NIAMIN MUNGU HAYUPO. . . .

AYUBU 38.
3 Basi jifunge viuno
kama mwanamume,
Maana nitakuuliza neno,
nawe niambie.
4 Ulikuwa wapi
nilipoiweka misingi ya
nchi? Haya! Sema, kama
ukiwa na ufahamu.
5 Ni nani aliyeamrisha
vipimo vyake, kama
ukijua? Au ni nani
aliyenyosha kamba juu
yake?
6 Misingi yake ilikazwa
juu ya kitu gani? Au ni
nani aliyeliweka jiwe lake
la pembeni,
7 Hapo nyota za asubuhi
zilipoimba pamoja, Na
wana wote wa Mungu
walipopiga kelele kwa
furaha?
8 Au ni nani aliyeifunga
bahari kwa milango,
Hapo ilipofurika kana
kwamba imetoka
tumboni.
9 Nilipolifanya wingu
kuwa vazi lake, Na giza
zito kuwa nguo ya
kuifungia,
10 Nikaiagiza amri
yangu; Nikaiwekea
makomeo na milango,
11 Nikasema, Utafika
mpaka hapa, lakini
hutapita, Na hapa
mawimbi yako
yanyetayo yatazuiliwa?
12 Je! Umeiamuru
asubuhi tangu siku zako
zilipoanza? Umeyajulisha
mapambazuko mahali
pake?
13 Yapate kuishika
miisho ya nchi, Waovu
wakung'utwe wakawe
mbali nayo?
14 Hubadilika mfano wa
udongo chini ya muhuri,
Vitu vyote vinatokea
kama mavazi.
15 Na waovu nuru yao
huzuiliwa isiwafikie, Na
mkono ulioinuka
huvunjika.
16 Je! Umeziingia
chemchemi za bahari, Au
umetembea mahali pa
siri pa vilindi?
17 Je! Umefunuliwa
malango ya mauti, Au
umeyaona malango ya
kuzimu?
18 Umeyafahamu
mapana ya dunia? Haya!
Sema, ikiwa unayajua
hayo yote.
19 Iko wapi njia ya
kuyafikia makao ya nuru?
Na giza pia, mahali pake
ni wapi?
20 Upate kuipeleka hata
mpaka wake, Upate
kuelewa na mapito ya
kuiendea nyumba yake? . . . .

JAPO NI YA BIBLIA, WEWE YAJIBU TU
 
Habari wote.
Maada hii ni ya kishetani na imetoka kwa wale ambao ji wanachama wa chama cha nguvu za Giza.hawa ni waabudu shetani ambao kwa sasa wanajaribubkuja wazi wazi kwenye mitandao na kuanza kujiposition na kuleta mawazo ambayo yatajaribu kubadili fikra za kweli za uwepo wa uflame wenye Nguvu kuliko falme zote Duniani na Mbinguni.Mungu yupo, shetani aliyelaaniwa na Mungu pia yupo.We mtoa maada na hao ndugu zako izo mbinu zenu mlizotumwa kwenye mahall yenu ya kusali uchi na kutioa sadaka za watu Mshindwe kwa Jina la Yesu christo wa Nadhareti.Kama kweli wewe mwanaume rudia kutaja ilo jina apo tuone utakavyoanguka na mapepo kukupanda.
 
jwille unaumwa? tumia kichwa kufikiri..sasa porojo za ushindwe una mtisha nani?
mimi nilipewe wiki moja nife eti nimevipinga hivi vitabu vitakatifu lakini nadunda..nyie mtaendelea kupelekeshwa na akina Gwajima hadi mwisho wa maisha yenu
 
Last edited by a moderator:
Habari wote.
Maada hii ni ya kishetani na imetoka kwa wale ambao ji wanachama wa chama cha nguvu za Giza.hawa ni waabudu shetani ambao kwa sasa wanajaribubkuja wazi wazi kwenye mitandao na kuanza kujiposition na kuleta mawazo ambayo yatajaribu kubadili fikra za kweli za uwepo wa uflame wenye Nguvu kuliko falme zote Duniani na Mbinguni.Mungu yupo, shetani aliyelaaniwa na Mungu pia yupo.We mtoa maada na hao ndugu zako izo mbinu zenu mlizotumwa kwenye mahall yenu ya kusali uchi na kutioa sadaka za watu Mshindwe kwa Jina la Yesu christo wa Nadhareti.Kama kweli wewe mwanaume rudia kutaja ilo jina apo tuone utakavyoanguka na mapepo kukupanda.

Kwa jina la Yesu christo wa Nadhareti

Nimerudia maneno yako na hakuna kilichotokea zaidi ya cheko kubwa la huruma kukuhurumia wewe usiyetamani kuujua uhalisia wa mambo.

Waafrika ni waoga sana wa vitu visivyo halisi kuliko vitu halisia, that is our weakness

badala ya kuuogopa umaskini wetu ulio real, tunaiogopa jehanam isiyo real,

Thats a shame!
 
jwille unaumwa? tumia kichwa kufikiri..sasa porojo za ushindwe una mtisha nani?
mimi nilipewe wiki moja nife eti nimevipinga hivi vitabu vitakatifu lakini nadunda..nyie mtaendelea kupelekeshwa na akina Gwajima hadi mwisho wa maisha yenu


Keep it up brother, the truth must be truth with truth inside the truth!

We can avoid death, but we cant avoid the truth that death is not a punishment, but is legal destination of all of us.
 
Ili kulielewa vyema na kulitumikia jambo ni lazima mtu kujua nini kilipelekea nini ili leo kipi kitokee. Ni kama vile watu wote huwaheshimu wazazi wao kwa kujua kiuhalisia kwamba ni wao ndio waliowalea (sizungumzii kuwazaa kwa sababu hakuna mtu ajuaye mzazi wake halisi labda tu kwa msaada wa vipimo vya DNA)

Pia katika dini zetu, yatakiwa tuwe na sababu halisia za either kukubali au kuzipinga, nitaanza na ukweli katika dini ya kiislam.

Waislam wengi wa karne ya 21 bado wanaishi na kufikiri kwa kutumia mind za miaka 1400 iliyopita, Sio lazima upatwe na hasira kwa kusikia hivyo, sababu ni kwamba

1. Quran ni kitabu cha kibinadamu zaidi kuliko cha Mungu au dini fulani. Basement yake imedeal na morals za maisha ya binadamu huku kikiwa hakina connection na mythical being and other deity theories, mfano kwa kila mistari mitano au saba ni lazima unakuta quran inaagiza wanaume na wanawake kufanya mambo ambayo hata yeyote mwenye ufahamu wa usafi wa mwili na mavazi (sio moyo) angeweza kuyafanya au kuyaagiza. Haijahusisha vitu vya mythical powers kama the power of prayers and prayers healing and deliverance (hakuna sehemu quran inaagiza kukemea pepo wachafu au kuomba ili tu hata mvua inyeshe).

2. Uandishi wa kitabu hiki umekuwa na utata mwingi kwa sababu wakati mtume muhamad anapewa hiyo mistari au maandishi ya quran, kitu kinachoaminika kama shetani kilimtokea na kikampa maneno ambayo hata yeye mtume hakujua kama ni ya Mungu (Allah) au shetani hadi alipoyaleta kwa waandishi na walipoyapambanua wakayakataa, maneno hayo huitwa satanic verses (google it!) ambayo yaliizungumzia miungu mingine ya watu wa Mecca wa enzi hizo.
Hapa Mtume alijaribu kuwavuta watu wa Mecca kusilimu kwa kuwaaminisha kwamba hata miungu yao inatambulika na kuheshimiwa na Mungu mpya Allah!

3.Quran kama vilivyo vitabu vingine vya kiimani imejaa makosa na ambiquity nyingi kiasi cha kupelekea mgawanyiko wa makundi ndani ya jumuia inayojiita moja ya kiislam na hata kupelekea mapigano na mauaji kati yao

Kwa ufupi wa hivyo vitu 3 kama mifano hapa tunajifunza vitu vipya kuhusu dini hii

Kwa pointi namba mbili, hii inatupa ukweli kwamba maneno ya quran yalikuwa ni genuine toka kwa kinywa cha mtume yakiwakilisha fikra na hisia zake kwa ulimwengu wa wakati huo, na hayana chochote katika karne ya 21, ni kama vile kuhimiza watu kutumia kifaa kimoja cha kubebea maiti kutokana na wakati huo na uhalisia wa desert nature ya Middle east, huwezi zika kila mtu na jeneza lake wakati hakuna prodution ya mbao wala fertile land. Custo hii haina nafasi katika nchi kama Tanzania ambayo ina mbao za kutosha kuzikia kila mmoja.

Pia ukija pointi namba 3, Allah angekuwa mwandishi wa quran asingeruhusu ambiquity between his writtings na kupelekea vifo vya anaowaita waja wake, uhalisia unajionesha wazi kwamba kwa sifa na uwezo anaoaminiwa kuwa nao Allah asingeweza kufanya makosa madogo kama haya yenye madhara makubwa.




Tukija katika ukristo
Hasa tujadili agano jipya target ikiwa ni katika vitabu vinne vya ainjili yaan Luke Mathew na John, hasa hivi itatu kwanza. tuanzie hivi

1. Waandishi wote wa vitabu hivi wanakubali kwamba wanayoyaandika ni HEARSAY (yaani fulani alimwambia fulani akamwambia mwenzie ili fulani amfikishie mwandishi) Hapa ina maana waandishi nao hawakuwa na uhakika wa lolote waliloliandika, ni hadithi iliyosimuliwa na karibu vizazi vitatu vilivyotangulia kabla yao, nao ndipo wakaiweka katika maandishi, ambayo hata hivyo hayajawahi kufanana!

2. Kifo na hukumu ya Yesu haijawahi kuwepo popote katika vitabu vya historia za Kirumi ambao wamekuwa mabingwa wa kuzihifadhi na kuzitunza nyaraka za watu wao maarufu walioishi hata kabla ya Yesu, Lakini mtu mashuhuri aliyekufa na kufufuka duniani hakuwahi kurekodiwa popote officially zaidi ya vitabu vilivyoweka basement katika hearsay na sio eye witness.

3. Kama kawaida ya dini na deity worshiping, Biblia nzima ukijumuisha na hivyo vitabu vya injili, Imejaa ambiguity ambazo zimepelekea mgawanyiko wa madhehebu zaidi ya 19,000 (kwa mujibu wa wikipedia.com), Kati ya hayo madhehebu hakuna hata mawili yanayoingilia mafundisho hata kwa 70%.


Japo yapo mengi, hebu tuweke pointi 3 tu kwa kila dhehebu, kisha kila pointi hapo ukiiwekea matawi (variables) unapata maana na internal debate ambazo mwisho wa yote unajikuta umetua hapa katika conclusion

Conclusion
Dini ni mkusanyiko wa fikra za kundi au mtu mmoja ambaye amepata kuwa Third Eye Activated. Then anatumia fikra na uwezo wake kumtisha mwanadamu (mfano Moto wa jehanam, laana na Mauti) ili tu yeye aweze kupata kitu au faida (mfano sadaka) toka kwa watu hao.
Ukitazama karne ya kwanza ya uandishi wa biblia, madhehebu ya Catholics na Orthodox yaliingiza mkono katika uchaguzi wa nini kiwemo au kisiwemo katika biblia ambayo leo hii inatumika kujitetea yenyewe kinyume na matarajio yake ya kuwa sahihi bila kuhitaji kutetewa (amazing!)

Watu wachache waliopo juu ya hizi dini za Uislam na Ukristo wamekuwa wakiedit mambo mbalimbali ambayo aidha hayakuwamo kabla au yanaenda kinyume na matwaka yao ili kujipatia faida binafsi, mfano

Wakristo wakatoliki wamebadili sheria za asili zilizoandikwa katika biblia (takatifu?), pamoja na nyakati ili kuruhusu wasioamini kujiunga. (mfano Christmass)

Waislam (Saud Arabia) wamegeuza safari za hijja (takatifu?) kuwa sehemu ya kukuza mapato ya nchi kinyume cha makusudio yaliyoandikwa na mtume wao.


Basement: mwanadamu ni kiumbe anayetakiwa kuwajibika kwa kila jambo linalomhusu physically bila kutegemea mythical spiritual powers kumsaidia, makosa ya kutojua hili imeleta utegemezi wa fikra na hata kupelekea maendeo ya mtu mweusi wa Africa ambao kiuhalisia hawana ndugu nabii kujifikiria kwamba wao ni failure race na hawana lolote zaidi ya aidha kumtegemea mtu mweupe au kutegemea mythical being ambazo haziko physica responsive kwa majukumu ya mwanadamu duniani.


Acha Utegemezi Wa Mythica Theories, Kubali Physical Responsibilities, kwa sababu kwa kufanya hivyo unawatajirisha wachache waliopo juu, huku ukitegemea kuiona pepo au mbingu ambayo haiko physically located, or justfied, or even ACCEPTED BY ALL RELIGIONS.

THE TRUE GOD IS YOURSELF, MAKE IT HAPPEN NOW!

HAYO NI MAWAZO YANGU, NARUHUSU KUKOSOLEWA NA KUREKEBISWA

CC FaizaFoxy IshmaelI Pasco Kiranga


Ok haya ni mawazo yako kweli. Mimi nikuulize, wewe unaamini imani gani, nini msingi wake, na inasemaje kuhusu uwepo wa Mungu?
 
Last edited by a moderator:
tunakufa sababu cell zetu zinashindwa ku regenarate kwa kipindi fulani na nature hairuhusu species zilizozeeka kuendelea kuishi na sio binadamu tu ambao tunakufa hata mimea inakufa hata wanyama wengine wanakufa hata yota zinazaliwa zinaishi zinkaufa hivyo kuzaliwa kusihi na kufa sio kitu cha kipekee sana kwa binadamu.

Naona kama unaota vile.... Kwa hiyo unajifananisha na mmea? Kwamba nyota zinazaliwa...... Hiyo biology yako haipo, hata hujui kuwa nyota ni non-living thing, utajuaje kuwa kuna Mungu!
 
Ok haya ni mawazo yako kweli. Mimi nikuulize, wewe unaamini imani gani, nini msingi wake, na inasemaje kuhusu uwepo wa Mungu?

Welcome Junior Member

Kwanza nikueleweshe kwamba mwanadamu hahitaji dini kama anavyohitaji pumzi, dini ni mfumo unaomkuta mwanadamu akiwa amekwishazaliwa, yaani ukizaliwa Saudi Arabia wewe ni mwislam kwa possibility ya 80%, na pia ukizaliwa vatican wewe ni mkristo kwa posibility ya 80%.

Sasa mimi ni dini gani, ntakujibu hivi, kwa dini niliyozaliwa nikaikuta kwa wazazi ni christianity, wakati ukubwani nikakumbana na islam (coincidence?)

hiyo ilinipa nafasi ya kutazama upya wapi ni wapi na nini kilikuwa na maana gani katika dini hizi mbili.

Huo ndio mwanzo wa kujiona naweza kufanya physical responsibilities without the help of mythical beings (religion).

but kumbuka mara zote research is better than hearsay, siri ni kuchunguza kwako na kwa mwenzio bila biased thoughts, hapo unapata mwanga kidogo unaokuwezesha kuona malengo halisi ya dini duniani.

hebu tuanzie hapo kwanza......
 
Una mashaka kwa kuwa tu dini ziko nyingi? Only that?

Mbona unakata tamaa kwa kitu kidogo kama hiki! Kwa nini hushangai uwepo wa vyama vingi vya siasa, kwa mfano upinzani ktk nchi moja? Kwa nini hushangai uwepo wa wagombea wengi wa nafasi ya uraisi kutoka chama kimoja mwaka huu ambao tayari idadi yao ni zaidi ya baraza la mawaziri? Kwa nini hushangai uwepo wa soko huria kwa ujumla, soko moja bidhaa lukuki?

Nenda kafanye utafiti, acha uvivu, soma Biblia na historia kwa ujumla, mission ya Yesu hapa duniani aliacha dini gani na kwa nini leo tunadini nyingi. Utapata sababu za kutosha kukufikirisha vizuri

Ukristo siyo dini kwa nini unamdanganya mwenzako?
 
Ujujaji ukizidi nayo ni kero wakati mwingine.
 
Habari wote.
Maada hii ni ya kishetani na imetoka kwa wale ambao ji wanachama wa chama cha nguvu za Giza.hawa ni waabudu shetani ambao kwa sasa wanajaribubkuja wazi wazi kwenye mitandao na kuanza kujiposition na kuleta mawazo ambayo yatajaribu kubadili fikra za kweli za uwepo wa uflame wenye Nguvu kuliko falme zote Duniani na Mbinguni.Mungu yupo, shetani aliyelaaniwa na Mungu pia yupo.We mtoa maada na hao ndugu zako izo mbinu zenu mlizotumwa kwenye mahall yenu ya kusali uchi na kutioa sadaka za watu Mshindwe kwa Jina la Yesu christo wa Nadhareti.Kama kweli wewe mwanaume rudia kutaja ilo jina apo tuone utakavyoanguka na mapepo kukupanda.

Unajitoa ufahamu tu ww ebu jaribu kutumia akili kidogo tu kumchambua Mungu yani tenga sifa zake,uwezo wake then yachambue Nadhani utapata jibu hakuna kitu kama Mungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom