Ukweli Kuhusu Dini (Hasa Uislam na Ukristo)

Ukweli Kuhusu Dini (Hasa Uislam na Ukristo)

Welcome Junior Member

Kwanza nikueleweshe kwamba mwanadamu hahitaji dini kama anavyohitaji pumzi, dini ni mfumo unaomkuta mwanadamu akiwa amekwishazaliwa, yaani ukizaliwa Saudi Arabia wewe ni mwislam kwa possibility ya 80%, na pia ukizaliwa vatican wewe ni mkristo kwa posibility ya 80%.

Sasa mimi ni dini gani, ntakujibu hivi, kwa dini niliyozaliwa nikaikuta kwa wazazi ni christianity, wakati ukubwani nikakumbana na islam (coincidence?)

hiyo ilinipa nafasi ya kutazama upya wapi ni wapi na nini kilikuwa na maana gani katika dini hizi mbili.

Huo ndio mwanzo wa kujiona naweza kufanya physical responsibilities without the help of mythical beings (religion).

but kumbuka mara zote research is better than hearsay, siri ni kuchunguza kwako na kwa mwenzio bila biased thoughts, hapo unapata mwanga kidogo unaokuwezesha kuona malengo halisi ya dini duniani.

hebu tuanzie hapo kwanza......

Wewe na wenzako uyo lucufer anawadanganya sana na leo mnadiliki kusema hamna Mungu.Mnatumika kuandaa njia ya 666.Mmeuza nafsi zenu kwa lucufer.poleni sana.Kule kuzimu wanapowapelekaga kwani hawajawahi kuwambia kuwa lile ni Gereza lake na aliwekwa uko na mwenye maalaka..Pale mnapofanyaga ritual zenu za kunywa damu za watu ndo mnajiona kuwa mnauwezo wa kujiita kuwa nyie ni Miungu watu? Na nguvu zenu zilishavunjwa mda mrefu sana.mlivyo wajinga umeuza adi nafsi zenu kwa upumbavu wa kukosa maarifa.Sasa kama Mungu hamna na kule uwa mnafataga nini sasa.nNa kwanini uwa mnakutana usiku saa nane uku mkiwa uchi wa mnyama? Uwa mnafanya nini? Na izo alama ulizoziweka paji la uso zinamaanisha nini? Nijibu maswali yangu kwanza nyie waabudu Shetani
 
Wewe na wenzako uyo lucufer anawadanganya sana na leo mnadiliki kusema hamna Mungu.Mnatumika kuandaa njia ya 666.Mmeuza nafsi zenu kwa lucufer.poleni sana.Kule kuzimu wanapowapelekaga kwani hawajawahi kuwambia kuwa lile ni Gereza lake na aliwekwa uko na mwenye maalaka..Pale mnapofanyaga ritual zenu za kunywa damu za watu ndo mnajiona kuwa mnauwezo wa kujiita kuwa nyie ni Miungu watu? Na nguvu zenu zilishavunjwa mda mrefu sana.mlivyo wajinga umeuza adi nafsi zenu kwa upumbavu wa kukosa maarifa.Sasa kama Mungu hamna na kule uwa mnafataga nini sasa.nNa kwanini uwa mnakutana usiku saa nane uku mkiwa uchi wa mnyama? Uwa mnafanya nini? Na izo alama ulizoziweka paji la uso zinamaanisha nini? Nijibu maswali yangu kwanza nyie waabudu Shetani

Pole kwa kuongea vitu usivo vijua pia usivo na uhakika nao, pili unajua maana ya ibada au kuabudu ,ww ni imani gani.? Huoni the way unavyoabudu ww na imani zingine ni differ mfano Muslim na Christian wako tofauti ktk ibada zao sasa hao ni wakiristo na waislamu hujaja Buddha na jamii nyingine kibao wabao wana namna yao ya kuabudu, ww si mwafrika? umesahau kuwa kabla ya hizi dini za za middle east kuja babu zako walikuwa wanatambika na kutoa makafara ya vitu au hujui asili ya kizazi chako kilikuwa ivo sasa hvi mambo hayo yamepotea hatukatazwi kuiga tamaduni za nje kama technology au mambo ambayo yatatunufaisha na kuacha yetu ya asili ambao yalikuwa ovyo mfano mauaji ya albino tuyaache na kama tunaiga tuige mema ...Mambo ya dini hayana mantiki hata kidogo ktk jamii licha ya kuwa na faida ndogo kifaraja mambo haya pia yanatutenga ni aibu kumdharau mtz mwenzio kwa dini zilizoletwa tena ukifatilia nia zake ilikuwa kututawala tu
 
Mbona unaluka kujibu maswali saa nane usiku mkiwa uchi uku mkitumia damu za watu huwa mnafanyaga nini? Kwanini umeuza nafsi yako? Na je iyo sociaty yenu ya kichawi ndo imewagundisha kuwa binadamu hana Mungu? Alafu ule mwezi wa nne wote mlikusanya damu pipa ngapi maana mliua sana kwa ajali nyingi.Toa majibu kwanza
 
Wachawi sikuizi wanawanga waziwazi.
Vi fuasi vya shetani vipo mtandaoni kuleta habari za babayao.
Tupo tushawajua.
 
Mbona unaluka kujibu maswali saa nane usiku mkiwa uchi uku mkitumia damu za watu huwa mnafanyaga nini? Kwanini umeuza nafsi yako? Na je iyo sociaty yenu ya kichawi ndo imewagundisha kuwa binadamu hana Mungu? Alafu ule mwezi wa nne wote mlikusanya damu pipa ngapi maana mliua sana kwa ajali nyingi.Toa majibu kwanza

Toa uhakika wa uyasemayo lete ushahidi...najua ni porojo ya vijiweni tu
 
Siku yenu kubwa ni Alhamis ndo kila alhamis hata foleni huwa zinapungua sana mjini?.Mnatoa rehani nafsi zenu!!! Ivi kwanini nyie ndugu.Lucifer anawadanganya sana.. Moto wa jehanamu upo palepale we jifariji tu na iyo sociaty yenu..Si unakumbuka ile siku ya kwanza walivyokutambulisha kule kuzimu uliona hee si uliona kulivyo na ukungu na joto.Walikuonesha wenzio walivyokuwa wanalia na kupiga kelele kwa moto na mafunza? Sasa ngoja zamu yako siku ukifa ndo utaujua ukweli kuwa mafundisho ya lucifer yaliwapotosha.Ndo maana lucifer anawatumia nyie kama magent wake kufanya kazi yake. Mungu wa kweli aliye mbinguni alikuwepo, yupo na atakuwepo milele na milele..kwa Mungu hamna masharti ya kusali uchi wala kutoa kafala.
 
Ndugu mtoa mada wakati na soma mada yako hii ni mchana, kwaiyo umenidanganya mchana kweupeeee!
Siwezi kuuzungumzia Uislam maana siujui zaidi ya kuwa wanampinga Kristo wa Kweli.
Nimekulia katika Imani moja ya Katoliki baada ya kua napelekwa Kanisani kila Jumapili na bibi yangu,baadae nikawa naenda mwenyewe.
Ikawa ni kama mazoea na nilipokuja mjini huku nikasika mahubiri ya Madhehebu mbalimbali lakini niliyapuuzia mpaka niliposikia Karsmatiki Katoliki na kujiunga nao, nimejifunza mengi huko leo hii uniambie eti hayo yote SIO! Umongopea ndugu sitaamini nilioyasikia na kuyaona ya husuyo MUNGU yalivyo makuu leo hii uniambie Mungu ni mimi mwenyewe! Ina maana kufunga kwangu kote ni bure? Kukesha kwangu kote eti nafuata fikra za mtu? Kutoa kwangu sadaka na kusali na kusoma BIBLIA kote eti leo hii sio?
Watu wengi niliowana wakipona matatizo yao kwa maombi kwa Mungu kwa jina la Yesu ina maana niuongo? Na mbona mimi mwenyewe yamenitokea? Mahubiri yooote ya Mapadre na wainjilisti niliya sikia tokea miaka 90 leo hii sio?
Sijui mtoa mada ulikua uanamini wapi kabla ya kukengeuka ni heri kubalisha huo mwelekeo ulio nao kuliko kuendelea kupotea na zaidi sana kupoteza umma unao mwamini Mwenyezi Mungu kwa fikra zako za kusadikika, yaweza kuwa wewe ni miongoni mwa wale aliowazungungumzia Kristo “Niheri kufungiwa jiwe la kusagia shingoni na kutumbukizwa katikati ya bahari kuliko kuwapoteza moja wapo wa wadogo hawa”
 
Mie huwa naona MTU aliyeanzisha dini hana tofauti sana Na wagunduzi wengine kama waliogundua Ndege, meli, Na mambo mengine Na wakatunga vitabu Na vitabu Na Leo hii tunavifuata ili kutekeleza walichokigundua wao, ndio maana biblia tunayoiona Leo sio ile iliyokuwepo miaka 1500 iliyopita Na tusishangae miaka ijayo (sijui mingapi) ushoga ukaingizwa kwenye biblia.Haya mambo ni binadamu Na mbwembwe zake
 
Welcome Junior Member

Kwanza nikueleweshe kwamba mwanadamu hahitaji dini kama anavyohitaji pumzi, dini ni mfumo unaomkuta mwanadamu akiwa amekwishazaliwa, yaani ukizaliwa Saudi Arabia wewe ni mwislam kwa possibility ya 80%, na pia ukizaliwa vatican wewe ni mkristo kwa posibility ya 80%.

Sasa mimi ni dini gani, ntakujibu hivi, kwa dini niliyozaliwa nikaikuta kwa wazazi ni christianity, wakati ukubwani nikakumbana na islam (coincidence?)

hiyo ilinipa nafasi ya kutazama upya wapi ni wapi na nini kilikuwa na maana gani katika dini hizi mbili.

Huo ndio mwanzo wa kujiona naweza kufanya physical responsibilities without the help of mythical beings (religion).

but kumbuka mara zote research is better than hearsay, siri ni kuchunguza kwako na kwa mwenzio bila biased thoughts, hapo unapata mwanga kidogo unaokuwezesha kuona malengo halisi ya dini duniani.

hebu tuanzie hapo kwanza......

kwa io ww ni muslim sasa au?
 
Ndio jibu hilo? jamaa kauliza sisi tumetoka wapi akiwa na sure kuwa God created us sio!? sasa who created God mana hataki kuamini kama tume exist tu kama anavyodai kuwa mungu alikuwepo tu
Unajua Mungu ni nini/nani?
 
Nishakataa zamani sana kufuata utamaduni wa jamii fulani unaoitwa ukristo au uislam...period..!!
 
Kifo si tishio kiasi ufikiriacho wewe, Kifo ni real destination ya kila mmoja aliyekubali kuianza safari ya uhai, Yeyote aliyepo duniani amekubali kufurahia kuishi, na kufa pia.
Ila kundi la watu wachache wametengeneza mazingira na hadithi za kuwapo na adhabu baada ya kufa, ndipo binadamu wa sasa wanakiogopa kifo, huku kiuhalisia hawaogopi kifo, bali imani potofu waliyonayo kuhusu nini knatokea baada ya kifo ndicho halisia wanachoogopa, hivyo usipoogopa kifo, hutakuwa na sababu ya kukizuia pindi natural laws zinapochukua nafasi yake, ni lazima mimi au wewe tufe ili wanaofuata wapate nafasi ya kuishi.

kifo ni real destination ya kila mmoja ALIYEKUBALI UHAI WAKE, how?? inakuwaje mtu anakubali uhai wake (kwa namna gani), na kwa namna gani unafurahi kuishi, kunaanzia wapi huku kukubali uhai wako kisha kufa??
 
Kwa wakristo, jaribuni ku google, THE GOSPEL OF THOMAS.
Kwa waislamu, jaribuni UTHMANS QURAN, THE MOON GOD, KAAB. Pia did you know that MECCA ulikuwa mji mkuu wa kuabudu miungu?
 
There is no true religion,the only true thing is science since its realistic and practical.
Religion is the opium of the poor.
 
They say there is life after death but the truth is there is death after life,enjoy your life here on earth bila dini yeyote,hujui kama ukifa utapata mabikra ''binguni'' if you muslim, if you a christian ask yourself who saw Jesus die or get burried since it is easier to convince man using a woman.
 
dear God, have mercy on this poor soul and keep us protected from this evil spirit!
 
Ili kulielewa vyema na kulitumikia jambo ni lazima mtu kujua nini kilipelekea nini ili leo kipi kitokee. Ni kama vile watu wote huwaheshimu wazazi wao kwa kujua kiuhalisia kwamba ni wao ndio waliowalea (sizungumzii kuwazaa kwa sababu hakuna mtu ajuaye mzazi wake halisi labda tu kwa msaada wa vipimo vya DNA)

Pia katika dini zetu, yatakiwa tuwe na sababu halisia za either kukubali au kuzipinga, nitaanza na ukweli katika dini ya kiislam.

Waislam wengi wa karne ya 21 bado wanaishi na kufikiri kwa kutumia mind za miaka 1400 iliyopita, Sio lazima upatwe na hasira kwa kusikia hivyo, sababu ni kwamba

1. Quran ni kitabu cha kibinadamu zaidi kuliko cha Mungu au dini fulani. Basement yake imedeal na morals za maisha ya binadamu huku kikiwa hakina connection na mythical being and other deity theories, mfano kwa kila mistari mitano au saba ni lazima unakuta quran inaagiza wanaume na wanawake kufanya mambo ambayo hata yeyote mwenye ufahamu wa usafi wa mwili na mavazi (sio moyo) angeweza kuyafanya au kuyaagiza. Haijahusisha vitu vya mythical powers kama the power of prayers and prayers healing and deliverance (hakuna sehemu quran inaagiza kukemea pepo wachafu au kuomba ili tu hata mvua inyeshe).

2. Uandishi wa kitabu hiki umekuwa na utata mwingi kwa sababu wakati mtume muhamad anapewa hiyo mistari au maandishi ya quran, kitu kinachoaminika kama shetani kilimtokea na kikampa maneno ambayo hata yeye mtume hakujua kama ni ya Mungu (Allah) au shetani hadi alipoyaleta kwa waandishi na walipoyapambanua wakayakataa, maneno hayo huitwa satanic verses (google it!) ambayo yaliizungumzia miungu mingine ya watu wa Mecca wa enzi hizo.
Hapa Mtume alijaribu kuwavuta watu wa Mecca kusilimu kwa kuwaaminisha kwamba hata miungu yao inatambulika na kuheshimiwa na Mungu mpya Allah!

3.Quran kama vilivyo vitabu vingine vya kiimani imejaa makosa na ambiquity nyingi kiasi cha kupelekea mgawanyiko wa makundi ndani ya jumuia inayojiita moja ya kiislam na hata kupelekea mapigano na mauaji kati yao

Kwa ufupi wa hivyo vitu 3 kama mifano hapa tunajifunza vitu vipya kuhusu dini hii

Kwa pointi namba mbili, hii inatupa ukweli kwamba maneno ya quran yalikuwa ni genuine toka kwa kinywa cha mtume yakiwakilisha fikra na hisia zake kwa ulimwengu wa wakati huo, na hayana chochote katika karne ya 21, ni kama vile kuhimiza watu kutumia kifaa kimoja cha kubebea maiti kutokana na wakati huo na uhalisia wa desert nature ya Middle east, huwezi zika kila mtu na jeneza lake wakati hakuna prodution ya mbao wala fertile land. Custo hii haina nafasi katika nchi kama Tanzania ambayo ina mbao za kutosha kuzikia kila mmoja.

Pia ukija pointi namba 3, Allah angekuwa mwandishi wa quran asingeruhusu ambiquity between his writtings na kupelekea vifo vya anaowaita waja wake, uhalisia unajionesha wazi kwamba kwa sifa na uwezo anaoaminiwa kuwa nao Allah asingeweza kufanya makosa madogo kama haya yenye madhara makubwa.




Tukija katika ukristo
Hasa tujadili agano jipya target ikiwa ni katika vitabu vinne vya ainjili yaan Luke Mathew na John, hasa hivi itatu kwanza. tuanzie hivi

1. Waandishi wote wa vitabu hivi wanakubali kwamba wanayoyaandika ni HEARSAY (yaani fulani alimwambia fulani akamwambia mwenzie ili fulani amfikishie mwandishi) Hapa ina maana waandishi nao hawakuwa na uhakika wa lolote waliloliandika, ni hadithi iliyosimuliwa na karibu vizazi vitatu vilivyotangulia kabla yao, nao ndipo wakaiweka katika maandishi, ambayo hata hivyo hayajawahi kufanana!

2. Kifo na hukumu ya Yesu haijawahi kuwepo popote katika vitabu vya historia za Kirumi ambao wamekuwa mabingwa wa kuzihifadhi na kuzitunza nyaraka za watu wao maarufu walioishi hata kabla ya Yesu, Lakini mtu mashuhuri aliyekufa na kufufuka duniani hakuwahi kurekodiwa popote officially zaidi ya vitabu vilivyoweka basement katika hearsay na sio eye witness.

3. Kama kawaida ya dini na deity worshiping, Biblia nzima ukijumuisha na hivyo vitabu vya injili, Imejaa ambiguity ambazo zimepelekea mgawanyiko wa madhehebu zaidi ya 19,000 (kwa mujibu wa wikipedia.com), Kati ya hayo madhehebu hakuna hata mawili yanayoingilia mafundisho hata kwa 70%.


Japo yapo mengi, hebu tuweke pointi 3 tu kwa kila dhehebu, kisha kila pointi hapo ukiiwekea matawi (variables) unapata maana na internal debate ambazo mwisho wa yote unajikuta umetua hapa katika conclusion

Conclusion
Dini ni mkusanyiko wa fikra za kundi au mtu mmoja ambaye amepata kuwa Third Eye Activated. Then anatumia fikra na uwezo wake kumtisha mwanadamu (mfano Moto wa jehanam, laana na Mauti) ili tu yeye aweze kupata kitu au faida (mfano sadaka) toka kwa watu hao.
Ukitazama karne ya kwanza ya uandishi wa biblia, madhehebu ya Catholics na Orthodox yaliingiza mkono katika uchaguzi wa nini kiwemo au kisiwemo katika biblia ambayo leo hii inatumika kujitetea yenyewe kinyume na matarajio yake ya kuwa sahihi bila kuhitaji kutetewa (amazing!)

Watu wachache waliopo juu ya hizi dini za Uislam na Ukristo wamekuwa wakiedit mambo mbalimbali ambayo aidha hayakuwamo kabla au yanaenda kinyume na matwaka yao ili kujipatia faida binafsi, mfano

Wakristo wakatoliki wamebadili sheria za asili zilizoandikwa katika biblia (takatifu?), pamoja na nyakati ili kuruhusu wasioamini kujiunga. (mfano Christmass)

Waislam (Saud Arabia) wamegeuza safari za hijja (takatifu?) kuwa sehemu ya kukuza mapato ya nchi kinyume cha makusudio yaliyoandikwa na mtume wao.


Basement: mwanadamu ni kiumbe anayetakiwa kuwajibika kwa kila jambo linalomhusu physically bila kutegemea mythical spiritual powers kumsaidia, makosa ya kutojua hili imeleta utegemezi wa fikra na hata kupelekea maendeo ya mtu mweusi wa Africa ambao kiuhalisia hawana ndugu nabii kujifikiria kwamba wao ni failure race na hawana lolote zaidi ya aidha kumtegemea mtu mweupe au kutegemea mythical being ambazo haziko physica responsive kwa majukumu ya mwanadamu duniani.


Acha Utegemezi Wa Mythica Theories, Kubali Physical Responsibilities, kwa sababu kwa kufanya hivyo unawatajirisha wachache waliopo juu, huku ukitegemea kuiona pepo au mbingu ambayo haiko physically located, or justfied, or even ACCEPTED BY ALL RELIGIONS.

THE TRUE GOD IS YOURSELF, MAKE IT HAPPEN NOW!

HAYO NI MAWAZO YANGU, NARUHUSU KUKOSOLEWA NA KUREKEBISWA

CC FaizaFoxy IshmaelI Pasco Kiranga

Kwanza nikupe pole,kwa sababu pamoja na elimu yako na uchambuzi wako mzuri,bado UPO GIZANI.Mpaka dakika hii nina uhakika kabisa hujui kusudio la kuumbwa kwako.Pili andiko lako limejaa KUFURU kubwa,na hilo ni matokeo ya kuacha/kutoijua dini.Tafuta muda uutafute kweli,hao wanaokuandalieni hayo mavitabu kwa kuwa tu ni wazungu,wanakupotezeni maana wenyewe wamekwishaplotea.Umeshaakuwa brain washed na hao wazungu.
 
Last edited by a moderator:
Kama wewe hauna uhakika kama wazazi wako ni kweli wazazi wako? Vitu uvionavyo kwa macho kabisa... No wonder u have a doubt in holly books...
Hii sentensi yako, pamoja nazingine za wenzako, inathibitisha kuwa wengi wa mnaoamini uwepo wa Mungu mna upeo mdogo sana wa kufikiri!

Kama tu umeshindwa kukubali uwezekano wa kulelewa na mtu unaedhani ni mzazi wako, halafu asiwe mzazi wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom