Ukweli Kuhusu Dini (Hasa Uislam na Ukristo)

Ukweli Kuhusu Dini (Hasa Uislam na Ukristo)

Pokofame if you believe you are god, do this one thing. Command the sun to rise from west and set to east. If you can do only that thing, I will believe that human being are gods.

Hahahaaaa! watu wa Mungu mnafikiria kitoto toto sana. Ivi na Mungu wako anaweza kutoa jua magharibi na kulipeleka mashariki?
 
Last edited by a moderator:
Wapinga Mungu kazi mnayo .....

Hahahaaaa! Acha uoga mkuu. Hope hoja against Islam unahisi zinamashiko hapo kwa mada. tatizo linakuja kwenye hoja against ukiristo. hiyo haimanishi hapo kadanganya ila ni kwasababu tu wewe unaamini hapo na umeshaset mind yako kwamba unaamini kwenye kweli. unfortunately na Muslim wanaona hoja dhidi ya ukiristo zonaukweli na hoja dhidi ya uislamu ni za uongo.

Sio ukweli ndio unafanya mnakuwa hivyo (Watu wa Mungu) ni imani tu ya uoga mliyopandikizwa!!!!

Hahahahahahaaaaaa!
 
mh bro, it seems you want to establish your unique religion. BE careful cause some hopeless people might be behind you ,this is not an insult but it is simply many have given up following the religious beliefs.

Maoni yake yanafanana na imani ya Luciferians kwa hiyo si ajabu naye anatafuta wafuasi

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Mtoa mada nenda urusi wakakupe elimu ya hakuna mungu umeshindwa kuelewa nini maana ya dini. Dini (way of life) zipo tatu tu! Communism(wanasema hakuna mungu) , capitalism/democracy(wanasema mungu yupo lakini hana nafasi katika siasa(secularism) yaani hana mfumo wa kumtawala mwanadamu), islamism (wanasema yote atakayo fanya mwanadamu afanye kwa mujibu wa muumba kuanzia uchumi,siasa hadi mambo ya kijamii kwa hiyo dini ambazo hazina nidhamu ya kiutawala zinabaki hazina athari katika maisha yaani akipiga la kushoto mpe la kulia lkn ubepari akikupiga ngumi jela 5year na islam pia ukiiba kata kiganja aiwezekani dini isiwe na nidhamu ya kuadhibu wezi na mafisadi. Wasio na dini ni reptiles,amphibia,fung,plantae na some mammals lkn ukiwa human bieng lzm utakuwa under religs kama si islam basi demo au comms tatizo vinajana mnajifanya intel.

Red: Hiyo ni definition yako au ya nani?
 
Ok sawa mtoa mada, ila umenichosha kusema uislamu nao ni dini....
Uislam sio dini.... ni janga la dunia....
Dunia ingelikua mahala pazuri sana pa kuishi kama uislam usingekuwepo....fikiri vizuri..
wewe ndio janga, watu 1.4bn useme janga... kweli wana macho lakini hawataona,masikio hawatasikia, utakufa wewe na uislam unakua kila mwaka, na ndio dini inayokua sana duniani kwa sasa
 
Diffinition hiyo ndio inayofahamika na mathinkers wote waliopita na waliokuwepo ukitaka kujua kwamba dini yaani mfumo (way of life) utakuta baada ya kudondoshwa mfumo wa ukomunist mabepari wakawa wanaumiza kichwa kuhusu uislamu ndio maana wanahaha na war on terror. Hivyo mi nashangaa mtu anasema hana dini tatizo wamesomeshwa dini kuwa ni mambo ya kiroho tu! (spiritual) haya wakina netanyahu na walio kama wao wanayafahamu haya ila nyie vibaraka haya hamyajui someni elimu zote zote na ukitaka kuwa critics lzm ujue unachoki critic. Kuwepo mbingu na ardhi na vilivyopo ni dalili tosha kuwepo na muumba, ila watu hutaka kuvuka mipaka ilhali hawajui kuwa mwanadamu anakikomo. Swali la kujiuliza kwanini baadhi ya wanyama wanao uwezo wa kuona masafa malefu kuliko mwanadamu?.
 
Dini ya ukweli humaanisha KUMJUA,KUMPENDA NA ,KUMUAMINI MUNGU kama ndiye chanzo cha asili yote.

Dini ya kweli pia inatakiwa imfanye mwanadamu ajitegemeze kwa Mungu na awe na sifa kama za MUUMBA wake
 
Watu wa zamani walipata kumjua Mungu kupitia mafunuo mbalimbali ambayo kwa pamoja yalikusanywa na kuunda hiki tunachokiita dini

Shida iliyojitokeza ni kwamba wapo watu ambao walipewa maufunuo ambayo hayakutokana na Mungu na ndio hao hao waliokuja kusababisha mgawanyiko huu mkubwa wa kidini tulionao.

Wengine waliokwisha pokea mafunuo ya kweli ya Mungu waliyakaidi na kuyageuzageuza na hatimaye yakaja kuonekana kwamba hayakutokana na Mungu.
 
Hahahaaaa! Acha uoga mkuu. Hope hoja against Islam unahisi zinamashiko hapo kwa mada. tatizo linakuja kwenye hoja against ukiristo. hiyo haimanishi hapo kadanganya ila ni kwasababu tu wewe unaamini hapo na umeshaset mind yako kwamba unaamini kwenye kweli. unfortunately na Muslim wanaona hoja dhidi ya ukiristo zonaukweli na hoja dhidi ya uislamu ni za uongo.

Sio ukweli ndio unafanya mnakuwa hivyo (Watu wa Mungu) ni imani tu ya uoga mliyopandikizwa!!!!

Hahahahahahaaaaaa!

Sasa nimeonesha uoga gani hapo?

Mbona naona uoga upo upande wa pili na sio mimi?

Naweza kusema kuwa ni kweli naweza kuona hoja za kupinga Ukristo hazina mashiko kwasababu naujua Ukristo lakini kuhusu Uislam siujui sasa nitahoji nini?
 
Mkuu Undu hapana hapana nakukatalia mchana kweupe.Uislam ni dini ya amani,upendo na ukweli.Dunia ya jana na leo imeshuhudia jinsi dini ya Allah na Mtume wake Muhammad SAW inavyosambaza upendo na amani,ukienda Afrghanistani upendo na amani vijaa tele kama pishi la mchele,Ukienda Iraq amani ndio imetamalaki upendo ndio usiseme kabisaaa yaani huwezi kujua au kusikia milio ya risasi hii ndio amani ya uislam imetamalaki kila kona kwenye uislam.

Tukienda kwa ndugu zetu wasomali ndio usiseme kwanza kila msomali ni muislam huku kuna amani,upendo hadi inachukuza.Alshabab ni kikundi cha kusambaza amani ukikutano nao wanakupa Quran ukasome,wakiingia Kenya wanasambaza amani mpaka wakikuyu,wakamba,wajaluoa wanashanga jinsi wasomali walivyo na roho nzuri.

Dini ya kiislam imeifanya dunia kuwa salama kabisa ukiufuta uislam dunia hakutakalika kila kitu kitakwenda shabalabaghala,kila sehemu kutakuwa na kuchinjana na kukatana vichwa.........

Uislam ni amani na amani ndio uislam wenyewe itategemeana amani unaitafsiri vipi lakini vyovyote uislam ni amani.

Uislamu ni dini yachuki na kuua watu
 
Mimi bado sijakupata vizuri!
mi nakupata sana. ni somo gumu ila kadri ya wingi wa elimu watu wanakua huru na hofu ya super natural power na kujiamini kama watawala wa mstakabali wao. dini sasa badala ya kua mhimili wa amani zimegeuzwa kampuni za biashara vikosi vya vita na watu wajanja kujitajirisha. iko siku dunia itakua na dini mpya za kisayansi zenye misingi ya kuleta heri neema na pepo kwa wanadamu hapa ulimwenguni.
 

Inasmuch as many have undertaken to compile an account of the things accomplished among us,2just as they were handed down to us by those who from the beginning were eyewitnesses and servants of the word



Hapo hata wewe umethibitisha kwamba Luke aliandika Hearsy na si kitu alicho-eye witness, sijui umejichanganya au ndio umeanza kuukubali uhalisia.
 
You die when thy spirit leaves thee.


Without the use of a told story books, CAN YOU VERIFY THE EXISTENCE OF SOMETHING LIKE SPIRIT? is it practically proven, or another certain hearsay story told by someone cleverer than you, in order to brainwash you,

ukinijibu hapo nitakupa swali la msingi kuhusu hizo spirit
 
Sasa nimeonesha uoga gani hapo?

Mbona naona uoga upo upande wa pili na sio mimi?

Naweza kusema kuwa ni kweli naweza kuona hoja za kupinga Ukristo hazina mashiko kwasababu naujua Ukristo lakini kuhusu Uislam siujui sasa nitahoji nini?

Nakusoma vyema mkuu.
Check underline hapo!!!

Ikiwa uislamu huujui umejuaje ukiristo ni dini bora?
Kwa uelewa wangu ili mtu ajue kitu fulani ni sahihi ni lazima awe na sababu kwanini vitu vyengine si sahihi. Sijui umenielewa hapo?

Ikiwa umesoma tu imani moja ni nini kinakufanya useme/uamini imani uliyoisoma (infact uliosomeshwa) ni sahihi kuliko hizo imani nyengine?
 
Uislamu ni dini yachuki na kuua watu

imemuuwa nani katika familia yako? au wewe mboma haijakuuwa acha upotoshaji wa kijinga toa hoja ya maana sio mapovu ya mdom yanakutoka kwa kueneza ujumbe wa kishenzi type
 
Biblia ni kitabu pekee cha kidini kilichojaribu kugusa vitu vingi, na hata kujaribu kutengeneza kitu kinaitwa unabii!

Hebu tuangalie unabii mchache wa biblia kuhusiana na dunia ya leo, nitatumia zaidi mathew 24

1. Kutakuwa na MANABII WA UONGO
Kwa mtu aliyebwia opium ya dini, sentensi hii ina maana ya manabii walio kinyume na huyo mungu. Lakini hebu tuitazame kwa umakini, Kwa mujibu wa biblia, nabii wa uongo ni yeyote aendaye kinyumee na mafundisho ya biblia.

picha halisi

Waandishi wa biblia walijua hawajatimiza kila kitu katika kufika lengo halisi la uandishi wa kitabu kile, Hivyo wakajua kabisa watakuja watu wenye akili na fikra sahihi na kuitangazia dunia madhumuni halisi ya dini, hao watu wakawekwa pamoja na yeyote aongozaye kundi la watu huku akiruka hata kifungu kimoja, na wote wakaitwa manabii wa uongo.

Je fundi gani asingeweza kutabiri ajali ya gari kama anajua breki hakuzitengeneza imara?


2. Kuutakuwa na matetemeko ya ardhi.
Matetemeko ya ardhi yalianza hata kabla ya kuwapo kwa biblia, Biblia haijawahi kutaja kitu chochote ambacho enzi hizo hakikuwa kimevumbuliwa, mfano, badala ya kudeal na matetemeko ya ardi, kwa nini isitabiri na kutaja kutokea kwa super computers, cha ajabu inacombine vyote na kusema kutakuwa na maendeleo makubwa,

Je mjinga yupi asiyejua kwamba mwanadamu ni kiumbe aliye na nguvu ndani yake, ambazo anapozidi kuzoea mazingira (duniani) anazidi kuvumbua na kukuza maendeleo yake? Inahitaji utabiri?


3 Kutakuwa na njaa
Sijui hata mwandishi alifikiria nini, jambo la kawaida kama hili halihitaji unabii ili litokee, Old tale stories (old testament) inasema kulikuwa na njaa hadi wanawake wa ufalme wa suleimani waliwachinja watoto wao wachanga, Njaa ya Wanaisrael ilihitaji msaada tu wa mana toka mbinguni (real?)

Sasa mpuuzi gani aliyeyashuhudia au kuyasikia mabaa haya ya njaa atabiri kutakuwa na njaa duniani? Wastage of time and energy.


4.Watu watajipenda wao wenyewe
Naomba niseme kwa ufupi, Wanaisrael wanapoua wakaazi wa nchi za Kanaan, Yeriko, Wafilist, Waashuru, walikuwa wanawakilisha tabia ipi ya mwanadamu, kupenda wote sawa na unavyojipenda, au walionyesha maana halisi ya kujipenda tu wao wenyewe?

Hakuna unabii hapo.


Ni kitabu pekee kinachosema hakuna jipya chini ya jua (Mhubiri) na hapohapo kinatabiri mapya yatayotokea wakati wa siku za mwisho (mathew) huku kimesahau kwamba yote yalitokea kabla hata huyo yesu hawajamtengenezea script.


Kutabiri mvua itanyesha baada ya kuona mawingu mazito ni kutuibia.

waandishi wa biblia kajipangeni upya.

Ntarudi na Quran! ....

cc Ishmael FaizaFoxy Eiyer Mashaxizo

Njoni na Tusemezane!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom