Ukweli Kuhusu Dini (Hasa Uislam na Ukristo)

Ukweli Kuhusu Dini (Hasa Uislam na Ukristo)

Mleta uzi anatuchanganya kidogo kama siyo sana. Kwanza haeleweki kama anataka kusema uislamu na ukristu siyo dini za kweli? Hapa tukiwa na maana kuwa dini ni imani ya mtu kwa mungu na hapa mungu ni superpower au anataka kusema korani na biblia siyo vitabu vitakatifu kwa kuwa vina misingi ya mambo ya kuambiwa na havikidhi mahitaji ya mahusiano ya mungu na mtu. Kwa vyovyote itakavyokuwa dini ya kiislam na ya kikristu inajikita kwenye imani ya mhusika katika yale anayoambiwa hasa sasa wakati waasisi wa imani hizo hawapo ie Yesu na Mohamad. Tena imani hubadilika kutokana na nyakati na ni sehemu ya utamaduni wa jamii husika.
 
Ili kulielewa vyema na kulitumikia jambo ni lazima mtu kujua nini kilipelekea nini ili leo kipi kitokee. Ni kama vile watu wote huwaheshimu wazazi wao kwa kujua kiuhalisia kwamba ni wao ndio waliowalea (sizungumzii kuwazaa kwa sababu hakuna mtu ajuaye mzazi wake halisi labda tu kwa msaada wa vipimo vya DNA)

Pia katika dini zetu, yatakiwa tuwe na sababu halisia za either kukubali au kuzipinga, nitaanza na ukweli katika dini ya kiislam.

Waislam wengi wa karne ya 21 bado wanaishi na kufikiri kwa kutumia mind za miaka 1400 iliyopita, Sio lazima upatwe na hasira kwa kusikia hivyo, sababu ni kwamba

1. Quran ni kitabu cha kibinadamu zaidi kuliko cha Mungu au dini fulani. Basement yake imedeal na morals za maisha ya binadamu huku kikiwa hakina connection na mythical being and other deity theories, mfano kwa kila mistari mitano au saba ni lazima unakuta quran inaagiza wanaume na wanawake kufanya mambo ambayo hata yeyote mwenye ufahamu wa usafi wa mwili na mavazi (sio moyo) angeweza kuyafanya au kuyaagiza. Haijahusisha vitu vya mythical powers kama the power of prayers and prayers healing and deliverance (hakuna sehemu quran inaagiza kukemea pepo wachafu au kuomba ili tu hata mvua inyeshe).

2. Uandishi wa kitabu hiki umekuwa na utata mwingi kwa sababu wakati mtume muhamad anapewa hiyo mistari au maandishi ya quran, kitu kinachoaminika kama shetani kilimtokea na kikampa maneno ambayo hata yeye mtume hakujua kama ni ya Mungu (Allah) au shetani hadi alipoyaleta kwa waandishi na walipoyapambanua wakayakataa, maneno hayo huitwa satanic verses (google it!) ambayo yaliizungumzia miungu mingine ya watu wa Mecca wa enzi hizo.
Hapa Mtume alijaribu kuwavuta watu wa Mecca kusilimu kwa kuwaaminisha kwamba hata miungu yao inatambulika na kuheshimiwa na Mungu mpya Allah!

3.Quran kama vilivyo vitabu vingine vya kiimani imejaa makosa na ambiquity nyingi kiasi cha kupelekea mgawanyiko wa makundi ndani ya jumuia inayojiita moja ya kiislam na hata kupelekea mapigano na mauaji kati yao

Kwa ufupi wa hivyo vitu 3 kama mifano hapa tunajifunza vitu vipya kuhusu dini hii

Kwa pointi namba mbili, hii inatupa ukweli kwamba maneno ya quran yalikuwa ni genuine toka kwa kinywa cha mtume yakiwakilisha fikra na hisia zake kwa ulimwengu wa wakati huo, na hayana chochote katika karne ya 21, ni kama vile kuhimiza watu kutumia kifaa kimoja cha kubebea maiti kutokana na wakati huo na uhalisia wa desert nature ya Middle east, huwezi zika kila mtu na jeneza lake wakati hakuna prodution ya mbao wala fertile land. Custo hii haina nafasi katika nchi kama Tanzania ambayo ina mbao za kutosha kuzikia kila mmoja.

Pia ukija pointi namba 3, Allah angekuwa mwandishi wa quran asingeruhusu ambiquity between his writtings na kupelekea vifo vya anaowaita waja wake, uhalisia unajionesha wazi kwamba kwa sifa na uwezo anaoaminiwa kuwa nao Allah asingeweza kufanya makosa madogo kama haya yenye madhara makubwa.




Tukija katika ukristo
Hasa tujadili agano jipya target ikiwa ni katika vitabu vinne vya ainjili yaan Luke Mathew na John, hasa hivi itatu kwanza. tuanzie hivi

1. Waandishi wote wa vitabu hivi wanakubali kwamba wanayoyaandika ni HEARSAY (yaani fulani alimwambia fulani akamwambia mwenzie ili fulani amfikishie mwandishi) Hapa ina maana waandishi nao hawakuwa na uhakika wa lolote waliloliandika, ni hadithi iliyosimuliwa na karibu vizazi vitatu vilivyotangulia kabla yao, nao ndipo wakaiweka katika maandishi, ambayo hata hivyo hayajawahi kufanana!

2. Kifo na hukumu ya Yesu haijawahi kuwepo popote katika vitabu vya historia za Kirumi ambao wamekuwa mabingwa wa kuzihifadhi na kuzitunza nyaraka za watu wao maarufu walioishi hata kabla ya Yesu, Lakini mtu mashuhuri aliyekufa na kufufuka duniani hakuwahi kurekodiwa popote officially zaidi ya vitabu vilivyoweka basement katika hearsay na sio eye witness.

3. Kama kawaida ya dini na deity worshiping, Biblia nzima ukijumuisha na hivyo vitabu vya injili, Imejaa ambiguity ambazo zimepelekea mgawanyiko wa madhehebu zaidi ya 19,000 (kwa mujibu wa wikipedia.com), Kati ya hayo madhehebu hakuna hata mawili yanayoingilia mafundisho hata kwa 70%.


Japo yapo mengi, hebu tuweke pointi 3 tu kwa kila dhehebu, kisha kila pointi hapo ukiiwekea matawi (variables) unapata maana na internal debate ambazo mwisho wa yote unajikuta umetua hapa katika conclusion

Conclusion
Dini ni mkusanyiko wa fikra za kundi au mtu mmoja ambaye amepata kuwa Third Eye Activated. Then anatumia fikra na uwezo wake kumtisha mwanadamu (mfano Moto wa jehanam, laana na Mauti) ili tu yeye aweze kupata kitu au faida (mfano sadaka) toka kwa watu hao.
Ukitazama karne ya kwanza ya uandishi wa biblia, madhehebu ya Catholics na Orthodox yaliingiza mkono katika uchaguzi wa nini kiwemo au kisiwemo katika biblia ambayo leo hii inatumika kujitetea yenyewe kinyume na matarajio yake ya kuwa sahihi bila kuhitaji kutetewa (amazing!)

Watu wachache waliopo juu ya hizi dini za Uislam na Ukristo wamekuwa wakiedit mambo mbalimbali ambayo aidha hayakuwamo kabla au yanaenda kinyume na matwaka yao ili kujipatia faida binafsi, mfano

Wakristo wakatoliki wamebadili sheria za asili zilizoandikwa katika biblia (takatifu?), pamoja na nyakati ili kuruhusu wasioamini kujiunga. (mfano Christmass)

Waislam (Saud Arabia) wamegeuza safari za hijja (takatifu?) kuwa sehemu ya kukuza mapato ya nchi kinyume cha makusudio yaliyoandikwa na mtume wao.


Basement: mwanadamu ni kiumbe anayetakiwa kuwajibika kwa kila jambo linalomhusu physically bila kutegemea mythical spiritual powers kumsaidia, makosa ya kutojua hili imeleta utegemezi wa fikra na hata kupelekea maendeo ya mtu mweusi wa Africa ambao kiuhalisia hawana ndugu nabii kujifikiria kwamba wao ni failure race na hawana lolote zaidi ya aidha kumtegemea mtu mweupe au kutegemea mythical being ambazo haziko physica responsive kwa majukumu ya mwanadamu duniani.


Acha Utegemezi Wa Mythica Theories, Kubali Physical Responsibilities, kwa sababu kwa kufanya hivyo unawatajirisha wachache waliopo juu, huku ukitegemea kuiona pepo au mbingu ambayo haiko physically located, or justfied, or even ACCEPTED BY ALL RELIGIONS.

THE TRUE GOD IS YOURSELF, MAKE IT HAPPEN NOW!

HAYO NI MAWAZO YANGU, NARUHUSU KUKOSOLEWA NA KUREKEBISWA

CC FaizaFoxy IshmaelI Pasco Kiranga

Mawazo yako ni sawa sawa na mawazo ya Mwenda wazimu anye tukana na kuvua nguo ovyo bila ya yeye huyo Mwenda wazimu kujijuwa anachokifany ni kibaya au kizuri? Ningekushauri wewe uliye toa hii maada nenda kwanza Hospitaliza wagonjwa wa akili ukapimwe akilizako una hitilafu kwenye ubongo wako. Fikiria kwanza je wewe mwenyewe umejiumba? au umezaliwa? na huyoaliye kuzaa amezaliwa nanani?

na huyo aliye mzaa mama yako amezaliwa na nani mpaka mwisho wa ukoo wenu je huyo wa mwisho katika familia yenu alijiumba yeye mwenyewe? au alizaliwa na bindamu kama wewe ulivyozaliwa?kisha tafuta kwanza hapo jibu. Kisha ndio uingie katika Masuala ya Dini dini.

Unakaa unaandika utumbo kama huo ulioandika maneno yako ya pumba hayafaia hata kuwekwa humu ndani.Umesom shule mpaka darasa la ngapi? kaa ufikirie ni nani anaye leta usiku kutoka mchana? kisha ulete jibu lako kisha kaa ufikirie ni nani anayeleta mchana kutoka usiku? Kisha

ndio ulete jibu toka kwako. Jiulize kwanini wewe unalala usingizi?au kwanini wewe unakufa? na ukisha kufa unakwenda wapi? na kwanini wewe unasikia njaa tumboni? Ukisha pata hayo majibu ndipo ukimbilie kutukana Dini za Kiislam na Dini za Kikristo.
 
Why don't you 1st ask your God,being Jesus or Allah to command the sun to rise from west and set to east? If he can do so,I will believe that he is real God.

Makanisa yanaongezeka.Injilili inafundishwa na kusambazwa kwa kasi.Misikiti inazidi kujengwa na uisilamu unaendelea kusambazwa kwa kasi.Lakini haya yanaenda sambamba na ongezeko la matatizo,magonjwa,chuki,ujinga na vifo kwenu.Kwa nini mnawaomba na hawawasaidii chochote?
Unatambua kwamba wajanja wanatumia hizi dini kujitoa katika kundi la masikini na kuwa matajiri wa kutupa?
Utaendelea kutajirisha wenzio hadi lini ilhali wewe unaogelea kwenye wimbi la umasikini na ujinga wa namna hii?

TAFAKARI CHUKUA HATUA.
 
Hoja iko mezani, mleta Uzi anasababu, zamsingi kabisa zisizo hitaji elimu ya darasani, geografia inaeleza kwa ufasaha kabisa kwa mini usiku na mchana, pia mambo na hoja za kumpinga mleta Uzi kwa kutukana ni matokeo ya ufinyu wa fikra, nivizuri mzizi mkavu ukajibu hoja kwa kujenga hoja huo ndio Msingi wa uweledi. usiwazuie watu kutuo hoja walizonazo tena za Msingi kwa kutukana.
 
Elimu. Ni muhimu ili uweze kuamini uwepo wa Mungu.
Pia uweze kutofautisha alivyoviumba na muumba.
Bila Elimu sahihi trust me u will go astray!
Mimi binafsi nilikuwa najiuliza kwa nini hatuzaliwi tukikua kila kitu?
Kwa nini jatujuwi mambo mengi mpaka tujifunze nani ajuaye kila kitu
Tunabia elimu Bahari, haona mwisho
Uvijuavyo na uviongeavyo ni kama ulivyosema ni hearsay
We we binafsi ulishawahi fanya utafti ukaijuwa kweli.
Maana tunaambiwa ijuwe kweli itakuweka huru
Hiyo kweli ni ipi iko wapi na nitaipataje!?
 
Elimu. Ni muhimu ili uweze kuamini uwepo wa Mungu.
Pia uweze kutofautisha alivyoviumba na muumba.
Bila Elimu sahihi trust me u will go astray!
Mimi binafsi nilikuwa najiuliza kwa nini hatuzaliwi tukikua kila kitu?
Kwa nini hatujuwi mambo mengi mpaka tujifunze nani ajuaye kila kitu
Tunambia elimu ni Bahari, haina mwisho
Uvijuavyo na uviongeavyo ni kama ulivyosema ni hearsay/ umesoma sehemu au umesikia vikisemwa
Je, wewe binafsi ulishawahi fanya utafti ukaijuwa kweli.
Maana tunaambiwa ijuwe kweli itakuweka huru.
Hiyo kweli ni ipi iko wapi na nitaipataje!?

Unaambiwa Soma kwa jina la mola wako.
Ukisoma vema utagundua kuwa Mwenye Elimu ni Mbora zaidi ktk jamii Sio tu ktk Jamii bali hata mbele ya Muumba.
Elimu ni kila kitu!
swali ni elimu ipi hiyo
Kuna 1. Elimu kuhusu muumba(mungu) hatuipi kipaumbele 2. Elimu tunayo ipa kipaumbele ni Dunia na vilivyomo. Elimu ya sayansi na Technologia

Matokeo yake tunakosa Uadilifu hasa ktk viongozi wa kitaifa.
Ili uweze kuwa mwadilifu lazima uwe na hofu ya mungu.
Hiyo hofu ya mungu unaitoa wapi hali huna Elimu sahihi kuhusu uwepo wake!?
kwa hiyo ukosefu wa Elimu ni Tatizo kubwa waweza kuwa umesoma una the so called certificates of degree, masters and doctrine of philosophy
Lakina bado hujaelimika
Mtu yeyote aliyeElimika lazima ujuwe uwepo wa Mungu lazima uweze kutofautisha kweli na isiyokweli.
utawezaje ni kwa uwezo wa aliyekuumba na anayekupa pumzi bila malipo.
Tunakufa kwa sababu mwenyepumzi kachukua pumzi yake, ni kitu gani ukikosa ndani ya dakika chache unawezakufa si kwa mkubwa wala kwa mtoto!?
Ni pumzi (Oxygen)
Unahitaji Oxgeni ili uishi mbali na mahitaji mengine oxygen ni muhimu sana.
Unaweza kuniambia ni kwa nini mtoto akizaliwa lazima aliye!?
Kwa nini mtoto mchanga kituchakwanza kufanya duniani ni kilio!? Wazazi wanafurahi.
Siku ya kufa uko kimya umelala. wakilokuwa wakichekelea wanaangua mayowe na vilio!?
Ni nini falsafa ya maisha!?
Unahitaji hekima na busara kulitambua hilo hekima na busara havifundishi shuleni!

Unaijua historia ya mfalme Suleiman!?
Msome ktk vitabu vyote vitakatifu(tourat, zaburi, injil: & Quran)
Soma tu kwa kujielimisha
Knowledge is power sio lazima uwe muumini wa hayo madhehebu!
Dini ni mwongozo wa maisha kwa mwanadamu kutoka kwa mungu.
Aliyetuumba hakutuleta hapa duniani bila dira wala mwongozo.
Ametuleta hapa duniani ili tumwabudu.
Ili tuweze ishi na mumwabudu vyema aliyetuumba alimpa Elimu baba yetu Adam.
Uhasa wa shetan devil na Adam uko ktk Elimu.
Mbele za Mungu Adam ni mbora kuliko viumbe vyote vilivyowahi kuumbwa wakiemo Malaika. Shetan alikaidi hivyo...
Walimu wetu ktk hii dunia ni;
1. Adam, Nuhu, Ibrahimu
Musa (Tourat), Daudi (zaburi) Yesu(injil) na Mohammad (Quran)
Walimu wako 25 waliopewa vitabu ni wanne tu!
Huwezi kutambua uwepo wa Mungu bila Elimu sahihi inayomuhusu Muumba.
Na dalili zote zilizo kuzunguka unawezaje kusema Mungu hayupo.
Asiye Amini uwepo wa Mungu sio mjinga bali ni Mpumbavu!

Kuna tofauti gani kati ya Ujinga na Upumbavu!?
 
Hoja iko mezani, mleta Uzi anasababu, zamsingi kabisa zisizo hitaji elimu ya darasani, geografia inaeleza kwa ufasaha kabisa kwa mini usiku na mchana, pia mambo na hoja za kumpinga mleta Uzi kwa kutukana ni matokeo ya ufinyu wa fikra, nivizuri mzizi mkavu ukajibu hoja kwa kujenga hoja huo ndio Msingi wa uweledi. usiwazuie watu kutuo hoja walizonazo tena za Msingi kwa kutukana.

Wew n mmoja wa wendawazimu....mtoa mada toka nianze kuingia jamiiforums sijawahi kukuta mtu kandika upuuz kama uyu kwanza anazungumzia uislam asiyoujua ili ujue ajui et anasema Quran ina amrisha mwanamke na mwanaume wafanye kitu Fulani hakuna mstari unaotoa mashetani a.k.a mapepo uyu n useless hakika ujui Quran usiseme uschokijua hao mabwana zenu wanaenda kushushiwa aya takatifu.wanapokwama ckia juu ya mwenyezi mungu alivyo mtukufu Quran una kila kitu anachohitaji binadmu una hofu nafs yako zipo aya za kukuondoa hofu unasumbliwa na mashetani zipo unataka msaada wa kujua jambo fulan zipo aya wew ----- hujui hata alfatiha unataka kuzungumzia uislam ujui lolote umekula ugari umeshiba kanye usingie ucpopajua.......Quran haijaacha kitu hadi www ----- na ukoo wako washawazungumzieni......uwez kufanansha Quran na biblia alondika mvatikan
 
Mawazo yako ni sawa sawa na mawazo ya Mwenda wazimu anye tukana na kuvua nguo ovyo bila ya yeye huyo Mwenda wazimu kujijuwa anachokifany ni kibaya au kizuri? Ningekushauri wewe uliye toa hii maada nenda kwanza Hospitaliza wagonjwa wa akili ukapimwe akilizako una hitilafu kwenye ubongo wako. Fikiria kwanza je wewe mwenyewe umejiumba? au umezaliwa? na huyoaliye kuzaa amezaliwa nanani?

na huyo aliye mzaa mama yako amezaliwa na nani mpaka mwisho wa ukoo wenu je huyo wa mwisho katika familia yenu alijiumba yeye mwenyewe? au alizaliwa na bindamu kama wewe ulivyozaliwa?kisha tafuta kwanza hapo jibu. Kisha ndio uingie katika Masuala ya Dini dini.

Unakaa unaandika utumbo kama huo ulioandika maneno yako ya pumba hayafaia hata kuwekwa humu ndani.Umesom shule mpaka darasa la ngapi? kaa ufikirie ni nani anaye leta usiku kutoka mchana? kisha ulete jibu lako kisha kaa ufikirie ni nani anayeleta mchana kutoka usiku? Kisha

ndio ulete jibu toka kwako. Jiulize kwanini wewe unalala usingizi?au kwanini wewe unakufa? na ukisha kufa unakwenda wapi? na kwanini wewe unasikia njaa tumboni? Ukisha pata hayo majibu ndipo ukimbilie kutukana Dini za Kiislam na Dini za Kikristo.

sasa tukianza kutrance vizazi vimetokea wapi ndo tuamini tumeubwa na mungu?? kwani yeye kazaliwa na nani uyo mungu?
 

Attachments

  • 1434390110769.jpg
    1434390110769.jpg
    48.1 KB · Views: 377
Mimi nimezaliwa katika familia ya kikristo lakini nimekuwa nikijiuliza maswali mengi juu ya mgawanyiko mkubwa katika hizi imani zetu (iwe ukristo au uislamu) kwanini kuna madhehebu kede wa kede ilihali wote wanatumia kitabu cha aina moja (waislamu quran na wakristo biblia) kiukweli nadhani there's something wrong kwenye hizi dini. Kama bible na quran zililetwa na mungu kwanini haziko straight and consistency ili kama ikitokea mtu anaenda kinyume tukamjua (kwamba huyu ni mwongo)? Lakini leo kuna madhehebu kibao na yote yana basis kwenye hiyo hiyo biblia au quran. Na kila dhehebu linajiona lenyewe ndio la ukweli na wengine wamekengeuka. Mfano kwa wakristo ukimsikiliza mlokole atakwambia wakatoliki au anglikana wamepotea na atakupa mistari ya bible ukimsikiliza msabato huyo naye atakwambia madhehebu wmngine yote wamepotea isipokuwa yeye na atakupa bible verses na wengineo wengi, tatizo li wapi? Kwanini mungu (kama yupo) hakuleta kitabu kitakatifu kisicho na mkanganyiko kwetu ili huu muda wa kubishana which is which tungekuwa tunamuabudu yeye. In conclusion, nina mashaka na hizi dini zetu ingawa nimezaliwa katika familia inayoamini.
 
Ili kulielewa vyema na kulitumikia jambo ni lazima mtu kujua nini kilipelekea nini ili leo kipi kitokee. Ni kama vile watu wote huwaheshimu wazazi wao kwa kujua kiuhalisia kwamba ni wao ndio waliowalea (sizungumzii kuwazaa kwa sababu hakuna mtu ajuaye mzazi wake halisi labda tu kwa msaada wa vipimo vya DNA)

Pia katika dini zetu, yatakiwa tuwe na sababu halisia za either kukubali au kuzipinga, nitaanza na ukweli katika dini ya kiislam.

Waislam wengi wa karne ya 21 bado wanaishi na kufikiri kwa kutumia mind za miaka 1400 iliyopita, Sio lazima upatwe na hasira kwa kusikia hivyo, sababu ni kwamba

1. Quran ni kitabu cha kibinadamu zaidi kuliko cha Mungu au dini fulani. Basement yake imedeal na morals za maisha ya binadamu huku kikiwa hakina connection na mythical being and other deity theories, mfano kwa kila mistari mitano au saba ni lazima unakuta quran inaagiza wanaume na wanawake kufanya mambo ambayo hata yeyote mwenye ufahamu wa usafi wa mwili na mavazi (sio moyo) angeweza kuyafanya au kuyaagiza. Haijahusisha vitu vya mythical powers kama the power of prayers and prayers healing and deliverance (hakuna sehemu quran inaagiza kukemea pepo wachafu au kuomba ili tu hata mvua inyeshe).

2. Uandishi wa kitabu hiki umekuwa na utata mwingi kwa sababu wakati mtume muhamad anapewa hiyo mistari au maandishi ya quran, kitu kinachoaminika kama shetani kilimtokea na kikampa maneno ambayo hata yeye mtume hakujua kama ni ya Mungu (Allah) au shetani hadi alipoyaleta kwa waandishi na walipoyapambanua wakayakataa, maneno hayo huitwa satanic verses (google it!) ambayo yaliizungumzia miungu mingine ya watu wa Mecca wa enzi hizo.
Hapa Mtume alijaribu kuwavuta watu wa Mecca kusilimu kwa kuwaaminisha kwamba hata miungu yao inatambulika na kuheshimiwa na Mungu mpya Allah!

3.Quran kama vilivyo vitabu vingine vya kiimani imejaa makosa na ambiquity nyingi kiasi cha kupelekea mgawanyiko wa makundi ndani ya jumuia inayojiita moja ya kiislam na hata kupelekea mapigano na mauaji kati yao

Kwa ufupi wa hivyo vitu 3 kama mifano hapa tunajifunza vitu vipya kuhusu dini hii

Kwa pointi namba mbili, hii inatupa ukweli kwamba maneno ya quran yalikuwa ni genuine toka kwa kinywa cha mtume yakiwakilisha fikra na hisia zake kwa ulimwengu wa wakati huo, na hayana chochote katika karne ya 21, ni kama vile kuhimiza watu kutumia kifaa kimoja cha kubebea maiti kutokana na wakati huo na uhalisia wa desert nature ya Middle east, huwezi zika kila mtu na jeneza lake wakati hakuna prodution ya mbao wala fertile land. Custo hii haina nafasi katika nchi kama Tanzania ambayo ina mbao za kutosha kuzikia kila mmoja.

Pia ukija pointi namba 3, Allah angekuwa mwandishi wa quran asingeruhusu ambiquity between his writtings na kupelekea vifo vya anaowaita waja wake, uhalisia unajionesha wazi kwamba kwa sifa na uwezo anaoaminiwa kuwa nao Allah asingeweza kufanya makosa madogo kama haya yenye madhara makubwa.




Tukija katika ukristo
Hasa tujadili agano jipya target ikiwa ni katika vitabu vinne vya ainjili yaan Luke Mathew na John, hasa hivi itatu kwanza. tuanzie hivi

1. Waandishi wote wa vitabu hivi wanakubali kwamba wanayoyaandika ni HEARSAY (yaani fulani alimwambia fulani akamwambia mwenzie ili fulani amfikishie mwandishi) Hapa ina maana waandishi nao hawakuwa na uhakika wa lolote waliloliandika, ni hadithi iliyosimuliwa na karibu vizazi vitatu vilivyotangulia kabla yao, nao ndipo wakaiweka katika maandishi, ambayo hata hivyo hayajawahi kufanana!

2. Kifo na hukumu ya Yesu haijawahi kuwepo popote katika vitabu vya historia za Kirumi ambao wamekuwa mabingwa wa kuzihifadhi na kuzitunza nyaraka za watu wao maarufu walioishi hata kabla ya Yesu, Lakini mtu mashuhuri aliyekufa na kufufuka duniani hakuwahi kurekodiwa popote officially zaidi ya vitabu vilivyoweka basement katika hearsay na sio eye witness.

3. Kama kawaida ya dini na deity worshiping, Biblia nzima ukijumuisha na hivyo vitabu vya injili, Imejaa ambiguity ambazo zimepelekea mgawanyiko wa madhehebu zaidi ya 19,000 (kwa mujibu wa wikipedia.com), Kati ya hayo madhehebu hakuna hata mawili yanayoingilia mafundisho hata kwa 70%.


Japo yapo mengi, hebu tuweke pointi 3 tu kwa kila dhehebu, kisha kila pointi hapo ukiiwekea matawi (variables) unapata maana na internal debate ambazo mwisho wa yote unajikuta umetua hapa katika conclusion

Conclusion
Dini ni mkusanyiko wa fikra za kundi au mtu mmoja ambaye amepata kuwa Third Eye Activated. Then anatumia fikra na uwezo wake kumtisha mwanadamu (mfano Moto wa jehanam, laana na Mauti) ili tu yeye aweze kupata kitu au faida (mfano sadaka) toka kwa watu hao.
Ukitazama karne ya kwanza ya uandishi wa biblia, madhehebu ya Catholics na Orthodox yaliingiza mkono katika uchaguzi wa nini kiwemo au kisiwemo katika biblia ambayo leo hii inatumika kujitetea yenyewe kinyume na matarajio yake ya kuwa sahihi bila kuhitaji kutetewa (amazing!)

Watu wachache waliopo juu ya hizi dini za Uislam na Ukristo wamekuwa wakiedit mambo mbalimbali ambayo aidha hayakuwamo kabla au yanaenda kinyume na matwaka yao ili kujipatia faida binafsi, mfano

Wakristo wakatoliki wamebadili sheria za asili zilizoandikwa katika biblia (takatifu?), pamoja na nyakati ili kuruhusu wasioamini kujiunga. (mfano Christmass)

Waislam (Saud Arabia) wamegeuza safari za hijja (takatifu?) kuwa sehemu ya kukuza mapato ya nchi kinyume cha makusudio yaliyoandikwa na mtume wao.


Basement: mwanadamu ni kiumbe anayetakiwa kuwajibika kwa kila jambo linalomhusu physically bila kutegemea mythical spiritual powers kumsaidia, makosa ya kutojua hili imeleta utegemezi wa fikra na hata kupelekea maendeo ya mtu mweusi wa Africa ambao kiuhalisia hawana ndugu nabii kujifikiria kwamba wao ni failure race na hawana lolote zaidi ya aidha kumtegemea mtu mweupe au kutegemea mythical being ambazo haziko physica responsive kwa majukumu ya mwanadamu duniani.


Acha Utegemezi Wa Mythica Theories, Kubali Physical Responsibilities, kwa sababu kwa kufanya hivyo unawatajirisha wachache waliopo juu, huku ukitegemea kuiona pepo au mbingu ambayo haiko physically located, or justfied, or even ACCEPTED BY ALL RELIGIONS.

THE TRUE GOD IS YOURSELF, MAKE IT HAPPEN NOW!

HAYO NI MAWAZO YANGU, NARUHUSU KUKOSOLEWA NA KUREKEBISWA

CC FaizaFoxy IshmaelI Pasco Kiranga


Qur ani haijawahi ku edited.
 
Last edited by a moderator:
sasa tukianza kutrance vizazi vimetokea wapi ndo tuamini tumeubwa na mungu?? kwani yeye kazaliwa na nani uyo mungu?
Kuna binadamu wana vichwa vya ajabu sana aisee ....

Yaani wewe jamaa sijui unafikiri kwa kutumia nini .....!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom