Zekidon
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 1,903
- 569
tunakufa sababu cell zetu zinashindwa ku regenarate kwa kipindi fulani na nature hairuhusu species zilizozeeka kuendelea kuishi na sio binadamu tu ambao tunakufa hata mimea inakufa hata wanyama wengine wanakufa hata yota zinazaliwa zinaishi zinkaufa hivyo kuzaliwa kusihi na kufa sio kitu cha kipekee sana kwa binadamu.
kwanini ukubali kufa wakati wewe ni Mungu; kataa kufa uishi milele