Ukweli Kuhusu Dini (Hasa Uislam na Ukristo)

Ukweli Kuhusu Dini (Hasa Uislam na Ukristo)

Pokofame if you believe you are god, do this one thing. Command the sun to rise from west and set to east. If you can do only that thing, I will believe that human being are gods.

Even your god cannot do anything physically, To make it clear, I cant do it so that the nature continously remain unaltered, because every one even your god is benefiting from the natural solar system, and HE CANT ALTER IT, unless otherwise in a story written by a certain clever human god like you!
 
What do you believe in? You should by now be able to comprehend why non theists exist. Without God, non theists exist not.

hapo umepinda mkuu, wanaoukataa uwepo wa kiumbe cha kufikirika (god), hawapo kwa sababu kiumbe hicho kipo, HAPANA.
Wapo ili kutengua uongo wa watu wachache waliokiumba kiumbe hicho akilini mwa wenzao kwa faida zao.

Kama gari ipo barabarani na iko physically au hata mentally approchable, who will deny it?
So we deny god only because he/she is not powerful, not able, not approchable and to be precise he/she is a myth.

Kingekuwa powerful and able (kiumbe god) KINGESIMAMA CHENYEWE KIJITETEE BILA KUSUBIRI MSAADA WAKO.

A POWERFUL GOD WITHOUT SELF APRROVAL IS A WASTAGE OF ENERGY AND TIME!
 
Kitendo cha kumjadili huyo Mungu tayari ni effect za uwepo wake. Kama hamna why mijadala kumuhusu kila siku

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums


Unaamini uwepo wa simba anayeongea? Sungura je?
Je wakati ukiwa darasa la tatu hukuamini hayo kwenye vitabu shuleni?

Hakika uliamini, na hata mtaani uliwasimulia au kusimuliwa hadithi hizo sana (kujadili)
Sababu? Akili ilikuwa ya utoto bado haijakomaa
Lakini kujadiliwa ni kigezo cha usahihi au uhalisi wa kitu? mkumbuke simba anayeongea na sungura pia, hata fisi wa hadithi, Walijadiliwa sana, lakini walikuwa halisi?


ndivyo akili yako yatakiwa kuyachunguza mambo, hasa ya imani kwa mapana na marefu, na si kusadiki kila kinachoandikwa au kujadiliwa na watu.
 
Ili kulielewa vyema na kulitumikia jambo ni lazima mtu kujua nini kilipelekea nini ili leo kipi kitokee. Ni kama vile watu wote huwaheshimu wazazi wao kwa kujua kiuhalisia kwamba ni wao ndio waliowalea (sizungumzii kuwazaa kwa sababu hakuna mtu ajuaye mzazi wake halisi labda tu kwa msaada wa vipimo vya DNA)

Kama wewe hauna uhakika kama wazazi wako ni kweli wazazi wako? Vitu uvionavyo kwa macho kabisa... No wonder u have a doubt in holly books...
 
Unaamini uwepo wa simba anayeongea? Sungura je?
Je wakati ukiwa darasa la tatu hukuamini hayo kwenye vitabu shuleni?

Hakika uliamini, na hata mtaani uliwasimulia au kusimuliwa hadithi hizo sana (kujadili)
Sababu? Akili ilikuwa ya utoto bado haijakomaa
Lakini kujadiliwa ni kigezo cha usahihi au uhalisi wa kitu? mkumbuke simba anayeongea na sungura pia, hata fisi wa hadithi, Walijadiliwa sana, lakini walikuwa halisi?


ndivyo akili yako yatakiwa kuyachunguza mambo, hasa ya imani kwa mapana na marefu, na si kusadiki kila kinachoandikwa au kujadiliwa na watu.

Kwan hadi leo bado unamjadili sungura mjanja?
 
Kama wewe hauna uhakika kama wazazi wako ni kweli wazazi wako? Vitu uvionavyo kwa macho kabisa... No wonder u have a doubt in holly books...

Ni kipi sahihi kwako kukitumia, MACHO au HISIA?

Kila siku duniani watoto 12 wachanga (google it!) hupewa kwa wazazi wasio wao, aidha planned or mistakenly. but what are the efects? NIL
Halafu holly books are not holly, because the one you reffered as a holly is a rubbish to a non beliver of your book.

a holly book must be accepted and proven by at least 70% of worlds population to be holly, NO HOLLINESS WITH AMBIGUITY!
 
Na wewe mbona unatumia here say , ukitaka kosoa jambo fanya uchunguzi! Uandishi wako uko based na watu walivoandika/kusema. Hebu chukua 6month soma Quran na bible then andika upya hichi ulichoandika based na uliyoyasoma
Hapo utakuwa umesema based na uelewa wako na utakuwa umetendea haki hizo dini, au na ww wataka anzisha yako kwa maslahi yako???
 
soma Luke 1:1-2 "Kwa kuwa watu wengi wametia mikono kutunga kwa taratibu habari za mambo yale yaliyotimizwa katikati yetu, kama walivyotuhadithia wale waliokuwa mashahidi ......"


cc Ishmael

Inasmuch as many have undertaken to compile an account of the things accomplished among us, 2just as they were handed down to us by those who from the beginning were eyewitnesses and servants of the word
 
Binadamu anakufa pindi chembechembe za damu zinapochoka na kuacha kuuhudumia mwili, ni kama first formula of life, everything had got a cause, pia anything must have a beginning with an ending. Death is just an end of this life.

Kusudi la haya maisha ni kila mwanadamu kuexperience a full responsibie duties according to birth location and natural morals.

mungu wako anaaminika ni mkamilifu kivipi anahitaji kuabudiwa na wewe, anakuwaje mungu mkamilifu mwenye mahitaji? hakuna ukamilifu kwenye mahitaji.

So God is a myth creature CREATED by human to either build self courage to face realism, or to get personal profits like ruling power and income!

cc Ishmael
You die when thy spirit leaves thee.
 
Ni kipi sahihi kwako kukitumia, MACHO au HISIA?

Kila siku duniani watoto 12 wachanga (google it!) hupewa kwa wazazi wasio wao, aidha planned or mistakenly. but what are the efects? NIL
Halafu holly books are not holly, because the one you reffered as a holly is a rubbish to a non beliver of your book.

a holly book must be accepted and proven by at least 70% of worlds population to be holly, NO HOLLINESS WITH AMBIGUITY!

Kwahiyo wewe hauamini kama babayako ni babayako?!
 
Ili kulielewa vyema na kulitumikia jambo ni lazima mtu kujua nini kilipelekea nini ili leo kipi kitokee. Ni kama vile watu wote huwaheshimu wazazi wao kwa kujua kiuhalisia kwamba ni wao ndio waliowalea (sizungumzii kuwazaa kwa sababu hakuna mtu ajuaye mzazi wake halisi labda tu kwa msaada wa vipimo vya DNA)

Pia katika dini zetu, yatakiwa tuwe na sababu halisia za either kukubali au kuzipinga, nitaanza na ukweli katika dini ya kiislam.

Waislam wengi wa karne ya 21 bado wanaishi na kufikiri kwa kutumia mind za miaka 1400 iliyopita, Sio lazima upatwe na hasira kwa kusikia hivyo, sababu ni kwamba

1. Quran ni kitabu cha kibinadamu zaidi kuliko cha Mungu au dini fulani. Basement yake imedeal na morals za maisha ya binadamu huku kikiwa hakina connection na mythical being and other deity theories, mfano kwa kila mistari mitano au saba ni lazima unakuta quran inaagiza wanaume na wanawake kufanya mambo ambayo hata yeyote mwenye ufahamu wa usafi wa mwili na mavazi (sio moyo) angeweza kuyafanya au kuyaagiza. Haijahusisha vitu vya mythical powers kama the power of prayers and prayers healing and deliverance (hakuna sehemu quran inaagiza kukemea pepo wachafu au kuomba ili tu hata mvua inyeshe).

2. Uandishi wa kitabu hiki umekuwa na utata mwingi kwa sababu wakati mtume muhamad anapewa hiyo mistari au maandishi ya quran, kitu kinachoaminika kama shetani kilimtokea na kikampa maneno ambayo hata yeye mtume hakujua kama ni ya Mungu (Allah) au shetani hadi alipoyaleta kwa waandishi na walipoyapambanua wakayakataa, maneno hayo huitwa satanic verses (google it!) ambayo yaliizungumzia miungu mingine ya watu wa Mecca wa enzi hizo.
Hapa Mtume alijaribu kuwavuta watu wa Mecca kusilimu kwa kuwaaminisha kwamba hata miungu yao inatambulika na kuheshimiwa na Mungu mpya Allah!

3.Quran kama vilivyo vitabu vingine vya kiimani imejaa makosa na ambiquity nyingi kiasi cha kupelekea mgawanyiko wa makundi ndani ya jumuia inayojiita moja ya kiislam na hata kupelekea mapigano na mauaji kati yao

Kwa ufupi wa hivyo vitu 3 kama mifano hapa tunajifunza vitu vipya kuhusu dini hii

Kwa pointi namba mbili, hii inatupa ukweli kwamba maneno ya quran yalikuwa ni genuine toka kwa kinywa cha mtume yakiwakilisha fikra na hisia zake kwa ulimwengu wa wakati huo, na hayana chochote katika karne ya 21, ni kama vile kuhimiza watu kutumia kifaa kimoja cha kubebea maiti kutokana na wakati huo na uhalisia wa desert nature ya Middle east, huwezi zika kila mtu na jeneza lake wakati hakuna prodution ya mbao wala fertile land. Custo hii haina nafasi katika nchi kama Tanzania ambayo ina mbao za kutosha kuzikia kila mmoja.

Pia ukija pointi namba 3, Allah angekuwa mwandishi wa quran asingeruhusu ambiquity between his writtings na kupelekea vifo vya anaowaita waja wake, uhalisia unajionesha wazi kwamba kwa sifa na uwezo anaoaminiwa kuwa nao Allah asingeweza kufanya makosa madogo kama haya yenye madhara makubwa.




Tukija katika ukristo
Hasa tujadili agano jipya target ikiwa ni katika vitabu vinne vya ainjili yaan Luke Mathew na John, hasa hivi itatu kwanza. tuanzie hivi

1. Waandishi wote wa vitabu hivi wanakubali kwamba wanayoyaandika ni HEARSAY (yaani fulani alimwambia fulani akamwambia mwenzie ili fulani amfikishie mwandishi) Hapa ina maana waandishi nao hawakuwa na uhakika wa lolote waliloliandika, ni hadithi iliyosimuliwa na karibu vizazi vitatu vilivyotangulia kabla yao, nao ndipo wakaiweka katika maandishi, ambayo hata hivyo hayajawahi kufanana!

2. Kifo na hukumu ya Yesu haijawahi kuwepo popote katika vitabu vya historia za Kirumi ambao wamekuwa mabingwa wa kuzihifadhi na kuzitunza nyaraka za watu wao maarufu walioishi hata kabla ya Yesu, Lakini mtu mashuhuri aliyekufa na kufufuka duniani hakuwahi kurekodiwa popote officially zaidi ya vitabu vilivyoweka basement katika hearsay na sio eye witness.

3. Kama kawaida ya dini na deity worshiping, Biblia nzima ukijumuisha na hivyo vitabu vya injili, Imejaa ambiguity ambazo zimepelekea mgawanyiko wa madhehebu zaidi ya 19,000 (kwa mujibu wa wikipedia.com), Kati ya hayo madhehebu hakuna hata mawili yanayoingilia mafundisho hata kwa 70%.


Japo yapo mengi, hebu tuweke pointi 3 tu kwa kila dhehebu, kisha kila pointi hapo ukiiwekea matawi (variables) unapata maana na internal debate ambazo mwisho wa yote unajikuta umetua hapa katika conclusion

Conclusion
Dini ni mkusanyiko wa fikra za kundi au mtu mmoja ambaye amepata kuwa Third Eye Activated. Then anatumia fikra na uwezo wake kumtisha mwanadamu (mfano Moto wa jehanam, laana na Mauti) ili tu yeye aweze kupata kitu au faida (mfano sadaka) toka kwa watu hao.
Ukitazama karne ya kwanza ya uandishi wa biblia, madhehebu ya Catholics na Orthodox yaliingiza mkono katika uchaguzi wa nini kiwemo au kisiwemo katika biblia ambayo leo hii inatumika kujitetea yenyewe kinyume na matarajio yake ya kuwa sahihi bila kuhitaji kutetewa (amazing!)

Watu wachache waliopo juu ya hizi dini za Uislam na Ukristo wamekuwa wakiedit mambo mbalimbali ambayo aidha hayakuwamo kabla au yanaenda kinyume na matwaka yao ili kujipatia faida binafsi, mfano

Wakristo wakatoliki wamebadili sheria za asili zilizoandikwa katika biblia (takatifu?), pamoja na nyakati ili kuruhusu wasioamini kujiunga. (mfano Christmass)

Waislam (Saud Arabia) wamegeuza safari za hijja (takatifu?) kuwa sehemu ya kukuza mapato ya nchi kinyume cha makusudio yaliyoandikwa na mtume wao.


Basement: mwanadamu ni kiumbe anayetakiwa kuwajibika kwa kila jambo linalomhusu physically bila kutegemea mythical spiritual powers kumsaidia, makosa ya kutojua hili imeleta utegemezi wa fikra na hata kupelekea maendeo ya mtu mweusi wa Africa ambao kiuhalisia hawana ndugu nabii kujifikiria kwamba wao ni failure race na hawana lolote zaidi ya aidha kumtegemea mtu mweupe au kutegemea mythical being ambazo haziko physica responsive kwa majukumu ya mwanadamu duniani.


Acha Utegemezi Wa Mythica Theories, Kubali Physical Responsibilities, kwa sababu kwa kufanya hivyo unawatajirisha wachache waliopo juu, huku ukitegemea kuiona pepo au mbingu ambayo haiko physically located, or justfied, or even ACCEPTED BY ALL RELIGIONS.

THE TRUE GOD IS YOURSELF, MAKE IT HAPPEN NOW!

HAYO NI MAWAZO YANGU, NARUHUSU KUKOSOLEWA NA KUREKEBISWA

CC FaizaFoxy IshmaelI Pasco Kiranga



spot on! watakushambulia, lakini wenye akili wataelewa
 
Last edited by a moderator:
Ili kulielewa vyema na kulitumikia jambo ni lazima mtu kujua nini kilipelekea nini ili leo kipi kitokee. Ni kama vile watu wote huwaheshimu wazazi wao kwa kujua kiuhalisia kwamba ni wao ndio waliowalea (sizungumzii kuwazaa kwa sababu hakuna mtu ajuaye mzazi wake halisi labda tu kwa msaada wa vipimo vya DNA)

Pia katika dini zetu, yatakiwa tuwe na sababu halisia za either kukubali au kuzipinga, nitaanza na ukweli katika dini ya kiislam.

Waislam wengi wa karne ya 21 bado wanaishi na kufikiri kwa kutumia mind za miaka 1400 iliyopita, Sio lazima upatwe na hasira kwa kusikia hivyo, sababu ni kwamba

1. Quran ni kitabu cha kibinadamu zaidi kuliko cha Mungu au dini fulani. Basement yake imedeal na morals za maisha ya binadamu huku kikiwa hakina connection na mythical being and other deity theories, mfano kwa kila mistari mitano au saba ni lazima unakuta quran inaagiza wanaume na wanawake kufanya mambo ambayo hata yeyote mwenye ufahamu wa usafi wa mwili na mavazi (sio moyo) angeweza kuyafanya au kuyaagiza. Haijahusisha vitu vya mythical powers kama the power of prayers and prayers healing and deliverance (hakuna sehemu quran inaagiza kukemea pepo wachafu au kuomba ili tu hata mvua inyeshe).

2. Uandishi wa kitabu hiki umekuwa na utata mwingi kwa sababu wakati mtume muhamad anapewa hiyo mistari au maandishi ya quran, kitu kinachoaminika kama shetani kilimtokea na kikampa maneno ambayo hata yeye mtume hakujua kama ni ya Mungu (Allah) au shetani hadi alipoyaleta kwa waandishi na walipoyapambanua wakayakataa, maneno hayo huitwa satanic verses (google it!) ambayo yaliizungumzia miungu mingine ya watu wa Mecca wa enzi hizo.
Hapa Mtume alijaribu kuwavuta watu wa Mecca kusilimu kwa kuwaaminisha kwamba hata miungu yao inatambulika na kuheshimiwa na Mungu mpya Allah!

3.Quran kama vilivyo vitabu vingine vya kiimani imejaa makosa na ambiquity nyingi kiasi cha kupelekea mgawanyiko wa makundi ndani ya jumuia inayojiita moja ya kiislam na hata kupelekea mapigano na mauaji kati yao

Kwa ufupi wa hivyo vitu 3 kama mifano hapa tunajifunza vitu vipya kuhusu dini hii

Kwa pointi namba mbili, hii inatupa ukweli kwamba maneno ya quran yalikuwa ni genuine toka kwa kinywa cha mtume yakiwakilisha fikra na hisia zake kwa ulimwengu wa wakati huo, na hayana chochote katika karne ya 21, ni kama vile kuhimiza watu kutumia kifaa kimoja cha kubebea maiti kutokana na wakati huo na uhalisia wa desert nature ya Middle east, huwezi zika kila mtu na jeneza lake wakati hakuna prodution ya mbao wala fertile land. Custo hii haina nafasi katika nchi kama Tanzania ambayo ina mbao za kutosha kuzikia kila mmoja.

Pia ukija pointi namba 3, Allah angekuwa mwandishi wa quran asingeruhusu ambiquity between his writtings na kupelekea vifo vya anaowaita waja wake, uhalisia unajionesha wazi kwamba kwa sifa na uwezo anaoaminiwa kuwa nao Allah asingeweza kufanya makosa madogo kama haya yenye madhara makubwa.




Tukija katika ukristo
Hasa tujadili agano jipya target ikiwa ni katika vitabu vinne vya ainjili yaan Luke Mathew na John, hasa hivi itatu kwanza. tuanzie hivi

1. Waandishi wote wa vitabu hivi wanakubali kwamba wanayoyaandika ni HEARSAY (yaani fulani alimwambia fulani akamwambia mwenzie ili fulani amfikishie mwandishi) Hapa ina maana waandishi nao hawakuwa na uhakika wa lolote waliloliandika, ni hadithi iliyosimuliwa na karibu vizazi vitatu vilivyotangulia kabla yao, nao ndipo wakaiweka katika maandishi, ambayo hata hivyo hayajawahi kufanana!

2. Kifo na hukumu ya Yesu haijawahi kuwepo popote katika vitabu vya historia za Kirumi ambao wamekuwa mabingwa wa kuzihifadhi na kuzitunza nyaraka za watu wao maarufu walioishi hata kabla ya Yesu, Lakini mtu mashuhuri aliyekufa na kufufuka duniani hakuwahi kurekodiwa popote officially zaidi ya vitabu vilivyoweka basement katika hearsay na sio eye witness.

3. Kama kawaida ya dini na deity worshiping, Biblia nzima ukijumuisha na hivyo vitabu vya injili, Imejaa ambiguity ambazo zimepelekea mgawanyiko wa madhehebu zaidi ya 19,000 (kwa mujibu wa wikipedia.com), Kati ya hayo madhehebu hakuna hata mawili yanayoingilia mafundisho hata kwa 70%.


Japo yapo mengi, hebu tuweke pointi 3 tu kwa kila dhehebu, kisha kila pointi hapo ukiiwekea matawi (variables) unapata maana na internal debate ambazo mwisho wa yote unajikuta umetua hapa katika conclusion

Conclusion
Dini ni mkusanyiko wa fikra za kundi au mtu mmoja ambaye amepata kuwa Third Eye Activated. Then anatumia fikra na uwezo wake kumtisha mwanadamu (mfano Moto wa jehanam, laana na Mauti) ili tu yeye aweze kupata kitu au faida (mfano sadaka) toka kwa watu hao.
Ukitazama karne ya kwanza ya uandishi wa biblia, madhehebu ya Catholics na Orthodox yaliingiza mkono katika uchaguzi wa nini kiwemo au kisiwemo katika biblia ambayo leo hii inatumika kujitetea yenyewe kinyume na matarajio yake ya kuwa sahihi bila kuhitaji kutetewa (amazing!)

Watu wachache waliopo juu ya hizi dini za Uislam na Ukristo wamekuwa wakiedit mambo mbalimbali ambayo aidha hayakuwamo kabla au yanaenda kinyume na matwaka yao ili kujipatia faida binafsi, mfano

Wakristo wakatoliki wamebadili sheria za asili zilizoandikwa katika biblia (takatifu?), pamoja na nyakati ili kuruhusu wasioamini kujiunga. (mfano Christmass)

Waislam (Saud Arabia) wamegeuza safari za hijja (takatifu?) kuwa sehemu ya kukuza mapato ya nchi kinyume cha makusudio yaliyoandikwa na mtume wao.


Basement: mwanadamu ni kiumbe anayetakiwa kuwajibika kwa kila jambo linalomhusu physically bila kutegemea mythical spiritual powers kumsaidia, makosa ya kutojua hili imeleta utegemezi wa fikra na hata kupelekea maendeo ya mtu mweusi wa Africa ambao kiuhalisia hawana ndugu nabii kujifikiria kwamba wao ni failure race na hawana lolote zaidi ya aidha kumtegemea mtu mweupe au kutegemea mythical being ambazo haziko physica responsive kwa majukumu ya mwanadamu duniani.


Acha Utegemezi Wa Mythica Theories, Kubali Physical Responsibilities, kwa sababu kwa kufanya hivyo unawatajirisha wachache waliopo juu, huku ukitegemea kuiona pepo au mbingu ambayo haiko physically located, or justfied, or even ACCEPTED BY ALL RELIGIONS.

THE TRUE GOD IS YOURSELF, MAKE IT HAPPEN NOW!

HAYO NI MAWAZO YANGU, NARUHUSU KUKOSOLEWA NA KUREKEBISWA

CC FaizaFoxy IshmaelI Pasco Kiranga


Kupinga kuwepo kwa muungu, sio mawazo mapya katika ulimwengu.
Wapinga muungu walitoa hoja km zifuatazo.
1. Muungu hayupo ila kushindwa kwa binaadamu kukabili matatizo yake ya kila siku, ndo akatengeneza dhana ya kuwepo kwa muungu.
2. Imani juu ya kuwepo kwa muungu imejengwa kibubusa(kuamini pasipo na kuwa na hoja madhubuti na uhalisia).
3. Muungu hayupo kwa sababu haonekani wala kuhisiwa na viungo vya hisia.
Udhaifu wa hoja hizo.
1. Sio kweli mwada amu ndo alie muumba muungu kutokana na kushindwa kukabiliana na matatizo yake, kwani mwanaadamu anatakiwa angalie ametokea wapi, kwa nini yupo hapa na ataenda wapi. Masuala haya ni vigumu kujibiwa na sayansi, na majibu haya yametolewa na muungu mwenyewe kupitia vitabu takatifu.
2. Imani ya muungu ni kibubusa, sio kweli, kwani dalili zipo wazi, miongoni mwazo ni.
1. Kuumbwa kwa mbingu na ardhi.
2. Kutofautiana kwa lugha za watu, rangi, makabila nk.
3. Kuingia kwa usiku na mchana.
4. Kutoka na kujaa kwa maji baharini.
5. Namna mimba inavyo ingia na upandaji wa mimea nk.
3. Hoja ya kutokuwepo kwa muungu kwa sababu hatumoni wala kumuhisi ktk viungo vya hisia udhaifu wa hoja ni, viungo vya hisia vya binaadamu vina uzaifu, mbwa ananusa harufu vizuri kuliko binadamu, macho yana uzaifu mkubwa ndege unaiona ndogo ikiwa juu wakati huwa ni kubwa ikishuka chini nk, kwa kuwa viungo vya hisia vya binaadamu ni zaifu haviwezi kumuona muungu.
Nitafafanua zaidi baadae
 
Last edited by a moderator:
Mkuu umeongea points sana but najua hawa kondoo hawatakuelewa kwa sababu vitabu viluvyonyanyasa babu zao na kufanya mpaka leo mtu mweusi kujiona duni ndo ivo ivo wanakumbatia kama mkombozi wao..Kama mungu yupo basi watu kutoka Africa itabidi tukamuadhibu kwa ubaguzi wake wa kutotoletea nabii na kudai ngozi nyeusi imelaanika
 
Even your god cannot do anything physically, To make it clear, I cant do it so that the nature continously remain unaltered, because every one even your god is benefiting from the natural solar system, and HE CANT ALTER IT, unless otherwise in a story written by a certain clever human god like you!
Huitaji akili nyingi saana kujua kuwa akili imetumika katika uumbaji, Hiyo unayoiita Nature na kumkataa Mungu unajua ni nini? Hiyo Nature ndio MUNGU unayemkataa na kutumia neno la tofauti. Kwamba Jua Limekuja tu lenyewe? Wewe mtu umezuka tu? Gari tu lina designer!! Sembuse mtu aliye bora kuliko gari au baisikeli? Amka tumia akili zako ndogo vizuri.
 
Huitaji akili nyingi saana kujua kuwa akili imetumika katika uumbaji, Hiyo unayoiita Nature na kumkataa Mungu unajua ni nini? Hiyo Nature ndio MUNGU unayemkataa na kutumia neno la tofauti. Kwamba jua kimekuja tu lenyewe? Wewe mtu umezuka tu? Gari tu lina designer!! Sembuse mtu aliye bora kuliko gari au baisikeli? Amka tumia akili zako ndogo vizuri.

Mungu nae kazuka tu sio?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom