leodigardcyrilo
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 3,406
- 1,815
3550 19 siku akianguka binadam tunamsingizia mungu et kaz yake wakat mnajiua wenywe (ccm) who create this disaster
Maneno kama haya ndo huwa tunaingizwaga mkenge...Dunia ya wapi ambapo kila kitu kinaanikwa hadharani!
Bunge hawajapitisha tena?unaongea vitu unavyovijua au ulivyosimuliwa?Rais ni mpigaji wa ukweli
From $224m jamaa wakaishusha mpaka $99m na hizo ndege hazifai (1-20) zikawa ziko sokoni kwa bei ya chini.
Rwanda alichukua2_ akaja kuikataa moja kumbe ni hiyohiyo yenye uzito mkubwa ambazo ni za majaribio leo hii huyu banyamulenge anakuja kuichukua bila bunge kupitisha.
Huyu ni mwizi wa waziwazi kabisa
Tatizo bei ndugu, yani ziliuzwa chini ya nusu bei... Ila sisi tukapigwa kitu kizima bila kupunguziwa sent moja pamoja na kwamba tulilipa cash moneyNa Japan naona nao wapi kwenye list,vipi kuhusu Japan?

Japan ni ndogo kwa size vsiwa vile ukivweka pamoja mkoa wa morogoro ni mkubwa unaweza zunguka pote kwa siku moja. Hawawez nunua dege kama hilo for domestic operation.
Hata Japan hii nchi inayotupa misaada ya kinyerezi pia wanatumia vitu vibovu namaanisha vilivyoshushwa bei?Tatizo bei ndugu, yani ziliuzwa chini ya nusu bei... Ila sisi tukapigwa kitu kizima bila kupunguziwa sent moja pamoja na kwamba tulilipa cash money[emrezi oji35]
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kutupa misaada haina maana nao hawatumii vibovu, umeona magari wanayotengeneza? Nunua gari inaitwa porte uoneHata Japan hii nchi inayotupa misaada ya kinyerezi pia wanatumia vitu vibovu namaanisha vilivyoshushwa bei?
Mimi naona hoja hapo ni hiyo bei, mengine yanazungumzikawanasema hiyo ndege kama vile iko ghalani. kinachoshangaza kama ndege ipo kwa nini delivery iwe 2018 na sio sasa wakati serikali imesema hela zipo? nadhani serikali inafuatilia hizi taarifa za mitandaoni. tumeona hila za kila aina mitandaoni kuichafua awamu ya 5.
hizi taarifa kama zina ukweli serikali kuingizwa mjini bado ipo nafasi kurekebisha makosa ila natia shaka kwani wanaoshikia bango ndio wale walisema bombadier ni mitumba.
Mkuu ndege iliyotolewa order na tz bado IPO kwenye matengenezo wala haijakamilika au nimekosea?
Wewe unayekijua umenizidi nini mimi!?
Ha ha haaaaa
Ungetumia ka akili kidunchu husinge bwabwaja eeeeeeh, furahia kiingilishi chako hicho
Vipi juzi hukuguswa na yale maana, unaponda sana ya serikali hii na kumuonea wivu Mheshimiwa wetu mpendwa.
...Kwa ufupi kama wengine wasemavyo ni kweli hata Mimi nimeshaamini "SERIKALI IMEPIGWA"
lakini hadi kufikia hii Conclusion kuna mambo ya msingi unatakiwa kuyajua.
...
CONCLUSION
Kutoka katika websites ya Boeing na na web zingine za usafiri wa anga zimeweka wazi Ndege tulio iwekea order ni Boeing 787-8, serial number 35508, Line number 19.
...
Bila kupepesa macho hapa tumepigwa $124M na ushee ambazo tungeweza nunua Boeing 737-800 Next Generation mpyaaaa ya 2016.
...
Nimewawekea link na picha mbali mbali kusappoti uzi.
![]()
![]()
![]()
Boeing 787 Register - Welcome
www.airliners.net/forum/viewtopic.php?t=1335649
www.airportspotting.com/boeing-finding-homes-terrible-teen-787s/
www.boeing.com/commercial/customers/air-tanzania/air-tanzania-787-order.page
Mmetununulia ssagulagaTatizo ninyi akina Mmawia mnapenda ku-draw conclusions, kwa masuala yanayohitaji technical knowhow, kwa kutumia general knowledge. Unatakiwa kufahamu kuwa kampuni ya Boeing ina strict business code ili kulinda integrity ya kampuni na biashara ya bidhaa zake (ndege). Sasa kama Boeing wameandika kwenye tovuti yao kuwa bei ya ndege yao B.787-8 ni US$224.6 milioni, sasa wewe ni nani kusema kuwa bei halisi/halai ni US$99 milioni? Hiyo bei imeandikwa wapi? Ni wapi ET walitangaza kuwa wamenunua Dreamliner kwa hizo dola milioni 99? Si watanzania wote ni wajinga/watu wa aina yenu.
...K K....Zatoshakajifunzeni kusoma & kuandika (FULL STOP) tuongelee mei mosi sasa
Mkuu tunashukuru kwa taarifa hao wengine ni kina kwangu pakavu hawaishiwi na kulalamaSABABU YA KULETA UZI HUU SIO KULETA MALUMBANO WALA KUKASHIFU JUHUDI ZA SERIKALI
HOJA YANGU YA MSINGI KAMA NDEGE TUNAYO ITEGEMEA NI MPYA NA SI ZILE ZA ZAMANI
KWANINI KWENYE WEB YA BOEING WAMEONESHA TUME WEKA ODA NDEGE YENYE SERIAL NUMBER 35508 LINE PRODUCTION 19 YA MWAKA 2009?
Siyo inatengenezwa bali inapigwa rangiNa kwanini hiyo iliyododa tusubiri itengenezwe kwa miaka miwili? Manake inakuja 2018
Mkuu:
Ninavyo fahamu ni kwamba ndege imekwisha tengenezwa kwa sasa inafanyiwa marekebisho kuendana na mahitaji yetu.