Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,661
- 12,014
Hakuna swali langu lililojibiwa huko hata moja.Rudi post #1, percent kubwa ya maswali yako yamejibiwa
Jibu hoja hapo.
Mtaalam wa kweli hujibu hoja.
Hakuna swali langu lililojibiwa huko hata moja.Rudi post #1, percent kubwa ya maswali yako yamejibiwa
OEING Co. has sold the remainder of its early, overweight 787 Dreamliners that have been in storage for years to meet demand from buyers eager to obtain jetliners that are otherwise sold out through the end of the decade.Tatizo ninyi akina Mmawia mnapenda ku-draw conclusions, kwa masuala yanayohitaji technical knowhow, kwa kutumia general knowledge. Unatakiwa kufahamu kuwa kampuni ya Boeing ina strict business code ili kulinda integrity ya kampuni na biashara ya bidhaa zake (ndege). Sasa kama Boeing wameandika kwenye tovuti yao kuwa bei ya ndege yao B.787-8 ni US$224.6 milioni, sasa wewe ni nani kusema kuwa bei halisi/halai ni US$99 milioni? Hiyo bei imeandikwa wapi? Ni wapi ET walitangaza kuwa wamenunua Dreamliner kwa hizo dola milioni 99? Si watanzania wote ni wajinga/watu wa aina yenu.
Na kwanini hiyo iliyododa tusubiri itengenezwe kwa miaka miwili? Manake inakuja 2018Tatizo ninyi akina Mmawia mnapenda ku-draw conclusions, kwa masuala yanayohitaji technical knowhow, kwa kutumia general knowledge. Unatakiwa kufahamu kuwa kampuni ya Boeing ina strict business code ili kulinda integrity ya kampuni na biashara ya bidhaa zake (ndege). Sasa kama Boeing wameandika kwenye tovuti yao kuwa bei ya ndege yao B.787-8 ni US$224.6 milioni, sasa wewe ni nani kusema kuwa bei halisi/halai ni US$99 milioni? Hiyo bei imeandikwa wapi? Ni wapi ET walitangaza kuwa wamenunua Dreamliner kwa hizo dola milioni 99? Si watanzania wote ni wajinga/watu wa aina yenu.
OEING Co. has sold the remainder of its early, overweight 787 Dreamliners that have been in storage for years to meet demand from buyers eager to obtain jetliners that are otherwise sold out through the end of the decade.Sidhani kama ni jambo la kuficha Boeing wameweka wazi wanaziuza kwa bei chee anayetaka aje,
Na uzuri listi ya ndege zao zilizo nunuliwa iko wazi kwa kila mtu.
Na kwa kuwa listi zao wanaweka Serial number na Line number kwa niyo kila mtu anajua unandege ya namna gani.
Uzuri biashara ya ndege haina mambo Ya kuficha ficha.
Tafadhali niwekee/nitumie inbox address ya tovuti inayoeleza taarifa za ET kununua B.787-8 kwa nusu ya price tag.Ethiopian airlines wamenunua hizo ndege kwa nusu... Taarifa zote zipo kwenye mtandao Mkuu.
Mama mchepuko garagazwa wa Bashite usijibu kitu usichokisoma ukaelewa mwanzo mwisho.Embu nifupishie kuwa nani ameitumia hiyo ndege na ilitumika kwa muda gani? Na pia hizo tarehe zote vipengele kwa kifupi vinaashiria nini hadi Dec 2016. macho yananiuma nimeshindwa kusoma yote vizuri.
Kama unaweza kuelewa, pengine swali lako ndio jawabu lake ukiondoa alama ya kuuliza. Ndege hutengenezwa kwa order isipokuwa kama ni model mpya kwa ajili ya demonstration. Tanzania ilitoa order kununua ndege, hivyo sasa ndege mpya inatengenezwa/inafanyiwa modification ili ku-suite customer's needs. Aidha unatakiwa kujua kuwa technical malfunction ya ndege ni responsibility ya manufacturer kwa miaka isiyopungua mitano.Na kwanini hiyo iliyododa tusubiri itengenezwe kwa miaka miwili? Manake inakuja 2018
Mama mchepuko garagazwa wa Bashite usijibu kitu usichokisoma ukaelewa mwanza mwisho.
Haya mambo piga kimya.
Wenyewe wanapiga hela
Soma hii link vizuri halafu fanya hesabu ni 99.5M or 100M. Gawanya thamani ya ndege kwa idadi ya zilizo kuwepo.Yaani hawa ni level ingine.... na mimi ndio hivyo nimejikuta sikutani na bonge la article iliyoenda shule ndank ya hizo links...kumbe ha ha ha haaaaa
Hiyo $99m labda atatusoma na kutuwekea link tujisomee na dates na akina nani waliyaongea hayo.
Mkuu hizo excell zijatengeneza Link fuatilia usiwe mvivu.Ninavyojua ndege hazitengenezwi kama magari kisha kutafutiwa mteja, utaratibu unatoa order kisha wanakutengenezea, hiyo uliyotengeneza kwa excel mtu yoyote anaweza kutengeneza.
Kama Rwandair waliinunua kwanini baada ya miezi miwili hawajaichukua ikarudishwa sokoni (kwa majibu ya draft ya excel yako) kwanini sisi tumeambiwa mpaka 2018 ndiyo itafika hapa?
Punguzeni chuki hazisaidii chochote acheni rais apige kazi kama mnachuki nae hamieni hata Burundi au Congo, akija siku yoyote akichukua madaraka mnaemtaka mtarudi, mtakufa kwa chuki zenu.
Kama ndege ilikamilika mpk mwisho hakuna haja ya kusubiri kwa sab kasoro zake hazirekebishiki ndio maana ikauzwa bei rahisi as it is hiyo miaka mitano ni ya warrant ni kawaida hata kwa magari brand new.Kama unaweza kuelewa, pengine swali lako ndio jawabu lake ukiondoa alama ya kuuliza. Ndege hutengenezwa kwa order isipokuwa kama ni model mpya kwa ajili ya demonstration. Tanzania ilitoa order kununua ndege, hivyo sasa ndege mpya inatengenezwa/inafanyiwa modification ili ku-suite customer's needs. Aidha unatakiwa kujua kuwa technical malfunction ya ndege ni responsibility ya manufacturer kwa miaka isiyopungua mitano.
Kazi yako kutumia tu hujui zimetoka wapiHa ha haaaaaa
Kwanza simjui uliyemtaja.
Lingine ungetumia akili, usingebwabwaja. Ndio nyie hamfikiriagi nje ya boksi..jisikitikie
Kama ni hivo inamaana kuwa hiyo ndege tunayoletewa sio hizo zinazozungumzwa kuwa zipo chini ya kiwango kwasababu hiyo ni model mpyaKama unaweza kuelewa, pengine swali lako ndio jawabu lake ukiondoa alama ya kuuliza. Ndege hutengenezwa kwa order isipokuwa kama ni model mpya kwa ajili ya demonstration. Tanzania ilitoa order kununua ndege, hivyo sasa ndege mpya inatengenezwa/inafanyiwa modification ili ku-suite customer's needs. Aidha unatakiwa kujua kuwa technical malfunction ya ndege ni responsibility ya manufacturer kwa miaka isiyopungua mitano.
Soma hii link vizuri halafu fanya hesabu ni 99.5M or 100M. Gawanya thamani ya ndege kwa idadi ya zilizo kuwepo.
www.seattletimes.com/business/boeing-looks-to-sell-off-787-lsquoterrible-teensrsquo/
Hiyo ulioonesha wewe ni 787-8 ninayo isema mimi ni 787-8. Hakuna tofauti.Ona ndege inayokuja kwa mfano usitokwe na povu!