Ukweli kuhusu ATCL Boeing 787-8

Ukweli kuhusu ATCL Boeing 787-8

Mtu ukinunua simu mpya niseme labda ya mwaka juzi ambayo ni smartphone, je utaanza kuitumia ilivyo au wataiupdate wauzaji au wewe kama haswa unataka kuhakikisha ipo swafiiiiiiiiiiii na haitakuletea matatizo? Na kwa ndege nani inatakiwa aiupgrade au unataka ije kama ilivyokuwa mwaka uleeeeee na mpya mengi yapo hadi kwa software n.k.

Haya mjuzi nijuze mimi?
Ndege sio simu we kilaza. Inabeba roho za watu. Au wataka na jinsi simu waweza kuitumia kioo kikiwa kimevunjika na ndege iwe hivyo??
 
Tofautisha re - engineering/redesign na kuupgrade, kuanzia L1 - L20 zilikuwa na matatizo maana yake engineering problem.. Kwenye engineering kuna kitu kinaitwa prototype ( first product) ambayo ndio itakuwa pilot ya product zote za namna hiyo utakazozalisha, prototype ikiwa na makosa maana yake product zote utakazozalisha lazima pia ziwe na makosa mpaka hapo user au engineers watakapogundua na kuja na claims ambazo ndio zitazaa product improvement program, sasa hiyo improvement program kama itakuwa ni redesign kutokana na makosa makubwa ya kiufundi kuanzia kwenye structural, engine, transmission, braking system na hydraulic system inabidi ufanye vitu viwili amavyo ni kuscrap the existing product popote ilipo, kustop uzalishaji wa hiyo product na kuzalisha nyingine na kuipa model nyingine na Ile ya zamani ukaiacha kama itaonekana haina madhara kwa jamii na mazingira..

Nashukuru.

Yaani ndio comments za hivi nazimiss humu JF.
Naona upo poa na mambo ya kama ... design thinking pia etc
 
Ndege sio simu we kilaza. Inabeba roho za watu. Au wataka na jinsi simu waweza kuitumia kioo kikiwa kimevunjika na ndege iwe hivyo??

Jisikitikie sana sana,

Kama ulitaka tu kujibu, kwa sababu ni Cocochanel basi kajitapikie, hapa huniwezi mimi na kaa na maneno yako machafu.
 
Watu wenye kujua kusoma na kuandika tu ndio wanao endesha nchi na haya mambo ya namna hii lazima yawepo.
 
Kama ndege ilikamilika mpk mwisho hakuna haja ya kusubiri kwa sab kasoro zake hazirekebishiki ndio maana ikauzwa bei rahisi as it is hiyo miaka mitano ni ya warrant ni kawaida hata kwa magari brand new.
Hivi unaelewa unachokizungumza?
Nani kakueleza kuwa Ndege hutengenezwa na kisha kuwekwa sokono kusubiri wateja kama vikombe vya wachina?
Kasorozipi zisizorekebishwa?
Hiyo bei rahis unayosema umei-quote wapi wakati Boeing imeandika kwanye tovuti yake kuwa ni US$224.6milioni?
 
Embu nifupishie kuwa nani ameitumia hiyo ndege na ilitumika kwa muda gani? Na pia hizo tarehe zote vipengele kwa kifupi vinaashiria nini hadi Dec 2016. macho yananiuma nimeshindwa kusoma yote vizuri.
Tatizo una kihelele lazima macho yakuume. Kama hujaelewa hapa, huko shuleni basi ulikuwa bashite. Hivi huko shule mlikuwa mnaenda kuimba kwaya?
 
Sidhani kama ni jambo la kuficha Boeing wameweka wazi wanaziuza kwa bei chee anayetaka aje,

Na uzuri listi ya ndege zao zilizo nunuliwa iko wazi kwa kila mtu.

Na kwa kuwa listi zao wanaweka Serial number na Line number kwa niyo kila mtu anajua unandege ya namna gani.

Uzuri biashara ya ndege haina mambo Ya kuficha ficha.
Kwani ndege nne za Ethiopean Airways wanazipeleka wapi?


 
it's almost certain that the airlines received massive discounts on the 787-8's $224 million sticker price
almost certain; is this perception? Otherwise you are duty bound to disclose the reference that is credible and solid.
 
Kutupa misaada haina maana nao hawatumii vibovu, umeona magari wanayotengeneza? Nunua gari inaitwa porte uone
Between angalia Japan wanenunua kwa bei gani kisha linganisha na bei tuliyouziwa
Mmmmh Japan au Japanenga?Haya mda ni jibu zuri sana
 
Umasikini ni tatizo mtambuka, kuanzia kwenye nia, mawazo na matendo, huathirika.
Chuki zisizo na msingi, ulimbukeni, ubaguzi na maamuzi ya hovyo vina uhusiano na umasikini.
Kwa pamoja tupige vita umasikini, kiroho na kimwili, mambo yetu yatakuwa safi.
 
samurai kwa ufahamu wako wa kitaalamu saidia kujibu swali lake SMU kuondoa utata wa ndege iliyolipiwa na Serikali na inazua mjadala unaoendelea humu jamvini.

Mkuu kuna mambo mawili.. Inawezekana kweli tumepigwa au hatujapigwa ni siasa tu..

Delivery time inawezekana ikawa kubwa kwa kufanywa hivyo makusudi ili tusistuke lakini ndege ikawa imepark to somewhere inasubiri hiyo time,
dunia ya sasa biashara ni umafia na hakuna anayeweza kukuonea huruma kama your head is not smart, na hapa ndipo tunapohitaji watu smart kwenye mifumo yetu ili tusiingie hasara za kipumbavu kwa kukosa kwetu akili...

Delivery time inaweza kuwa kubwa pia kama kweli tuliyonunua ni L19, na labda hiyo L19 inahitaji simple improvement ifanane na L21, simple product improvement tunaongelea vitu vidogo vidogo ambavyo sio redesign bali ni repair na components swapping kwa maana ya muingiliano wa spare za hiyo L19 na L21..

Sio dhambi sisi kumiliki hiyo series ya L19 ila cha muhimu ni kuzingatia advantage na disadvantage ya hiyo product against matumizi yetu tunayotaka kuitumia hiyo ndege, inawezekana wenzetu wengine wamenunua kwa calculation zinazolingana na matumizi yao, market, return, life span ya product yenyewe, running cost, maintanance cost, hizi taratibu kwenye engineering unapofanya manunuzi ya vitu kama hivi... Kama wataalamu wetu wamepita huku sina shida ila kama tumenunua kwa sababu fulani kasema, hela ipo na jirani anayo nina mashaka..
 
samurai kwa ufahamu wako wa kitaalamu saidia kujibu swali lake SMU kuondoa utata wa ndege iliyolipiwa na Serikali na inazua mjadala unaoendelea humu jamvini.

Mkuu kuna mambo mawili.. Inawezekana kweli tumepigwa au hatujapigwa ni siasa tu..

Delivery time inawezekana ikawa kubwa kwa kufanywa hivyo makusudi ili tusistuke lakini ndege ikawa imepark to somewhere inasubiri hiyo time,
dunia ya sasa biashara ni umafia na hakuna anayeweza kukuonea huruma kama your head is not smart, na hapa ndipo tunapohitaji watu smart kwenye mifumo yetu ili tusiingie hasara za kipumbavu kwa kukosa kwetu akili...

Delivery time inaweza kuwa kubwa pia kama kweli tuliyonunua ni L19, na labda hiyo L19 inahitaji simple improvement ifanane na L21, simple product improvement tunaongelea vitu vidogo vidogo ambavyo sio redesign bali ni repair na components swapping kwa maana ya muingiliano wa spare za hiyo L19 na L21..

Sio dhambi sisi kumiliki hiyo series ya L19 ila cha muhimu ni kuzingatia advantage na disadvantage ya hiyo product against matumizi yetu tunayotaka kuitumia hiyo ndege, inawezekana wenzetu wengine wamenunua kwa calculation zinazolingana na matumizi yao, market, return, life span ya product yenyewe, running cost, maintanance cost, hizi taratibu kwenye engineering unapofanya manunuzi ya vitu kama hivi... Kama wataalamu wetu wamepita huku sina shida ila kama tumenunua kwa sababu fulani kasema, hela ipo na jirani anayo nina mashaka..
 
Back
Top Bottom