Ndege sio simu we kilaza. Inabeba roho za watu. Au wataka na jinsi simu waweza kuitumia kioo kikiwa kimevunjika na ndege iwe hivyo??Mtu ukinunua simu mpya niseme labda ya mwaka juzi ambayo ni smartphone, je utaanza kuitumia ilivyo au wataiupdate wauzaji au wewe kama haswa unataka kuhakikisha ipo swafiiiiiiiiiiii na haitakuletea matatizo? Na kwa ndege nani inatakiwa aiupgrade au unataka ije kama ilivyokuwa mwaka uleeeeee na mpya mengi yapo hadi kwa software n.k.
Haya mjuzi nijuze mimi?
Tofautisha re - engineering/redesign na kuupgrade, kuanzia L1 - L20 zilikuwa na matatizo maana yake engineering problem.. Kwenye engineering kuna kitu kinaitwa prototype ( first product) ambayo ndio itakuwa pilot ya product zote za namna hiyo utakazozalisha, prototype ikiwa na makosa maana yake product zote utakazozalisha lazima pia ziwe na makosa mpaka hapo user au engineers watakapogundua na kuja na claims ambazo ndio zitazaa product improvement program, sasa hiyo improvement program kama itakuwa ni redesign kutokana na makosa makubwa ya kiufundi kuanzia kwenye structural, engine, transmission, braking system na hydraulic system inabidi ufanye vitu viwili amavyo ni kuscrap the existing product popote ilipo, kustop uzalishaji wa hiyo product na kuzalisha nyingine na kuipa model nyingine na Ile ya zamani ukaiacha kama itaonekana haina madhara kwa jamii na mazingira..
Ndege sio simu we kilaza. Inabeba roho za watu. Au wataka na jinsi simu waweza kuitumia kioo kikiwa kimevunjika na ndege iwe hivyo??
Hivi unaelewa unachokizungumza?Kama ndege ilikamilika mpk mwisho hakuna haja ya kusubiri kwa sab kasoro zake hazirekebishiki ndio maana ikauzwa bei rahisi as it is hiyo miaka mitano ni ya warrant ni kawaida hata kwa magari brand new.
Tatizo una kihelele lazima macho yakuume. Kama hujaelewa hapa, huko shuleni basi ulikuwa bashite. Hivi huko shule mlikuwa mnaenda kuimba kwaya?Embu nifupishie kuwa nani ameitumia hiyo ndege na ilitumika kwa muda gani? Na pia hizo tarehe zote vipengele kwa kifupi vinaashiria nini hadi Dec 2016. macho yananiuma nimeshindwa kusoma yote vizuri.
Sidhani kama ni jambo la kuficha Boeing wameweka wazi wanaziuza kwa bei chee anayetaka aje,
Na uzuri listi ya ndege zao zilizo nunuliwa iko wazi kwa kila mtu.
Na kwa kuwa listi zao wanaweka Serial number na Line number kwa niyo kila mtu anajua unandege ya namna gani.
Uzuri biashara ya ndege haina mambo Ya kuficha ficha.
Kwani ndege nne za Ethiopean Airways wanazipeleka wapi?
almost certain; is this perception? Otherwise you are duty bound to disclose the reference that is credible and solid.it's almost certain that the airlines received massive discounts on the 787-8's $224 million sticker price
Mmmmh Japan au Japanenga?Haya mda ni jibu zuri sanaKutupa misaada haina maana nao hawatumii vibovu, umeona magari wanayotengeneza? Nunua gari inaitwa porte uone
Between angalia Japan wanenunua kwa bei gani kisha linganisha na bei tuliyouziwa
Sasa umeanza kuzungusha maneno. Hizi TT zina-fly route ipi? We need reference please!Ethiopian Airlines, anazo 787-8 pia ambazo sio "Terrible teens"
Sorry, nilidhani nina-debate na credible personality mwenye hoja thabiti, kumbe shabiki wa spin doctors....!Naona povu linakumwaika kwani kisu kimegisa penyewe
Ni kilaza wa lumumba tu weweSorry, nilidhani nina-debate na credible personality mwenye hoja thabiti, kumbe shabiki wa spin doctors....!
Kauli kama hii huthibitisha kuwa 'huyo' amefikia mwisho wa reli. Pole.Ni kilaza wa lumumba tu wewe
samurai kwa ufahamu wako wa kitaalamu saidia kujibu swali lake SMU kuondoa utata wa ndege iliyolipiwa na Serikali na inazua mjadala unaoendelea humu jamvini.
samurai kwa ufahamu wako wa kitaalamu saidia kujibu swali lake SMU kuondoa utata wa ndege iliyolipiwa na Serikali na inazua mjadala unaoendelea humu jamvini.