Ukweli kuhusu ATCL Boeing 787-8

Ukweli kuhusu ATCL Boeing 787-8

Halafu ndege yenyewe ya masafa marefu ni moja, ikibuma ndio imebuma. Hawa watu wanawajua lakini wazungu au? Yaani aache kupata raha za dunia Emirates na Qatar akapande Air Tanzania????? Hizi pesa tungezitia kwenye kuboresha miundombinu ya kilimo na utalii tungepata much kuliko huko.
Kuboresha utalii ni pamoja na kufufua Airline,
 
Kuboresha utalii ni pamoja na kufufua Airline,

Hahahahahaha mtengenezaji kasema hata bure hapandi,unategemea Mtalii upande.!Wenzetu wanaairline wanazopanda kwa Usalama wa RAIA wao wanawekewa kila Mara kwenye mitandao, hiyo ndege ya kuchora kama tulidhani watapanda Watalii imekula kwetu.
 
Embu nifupishie kuwa nani ameitumia hiyo ndege na ilitumika kwa muda gani? Na pia hizo tarehe zote vipengele kwa kifupi vinaashiria nini hadi Dec 2016. macho yananiuma nimeshindwa kusoma yote vizuri.
Ungesoma mpk mwisho ungeelewa. Hakuna aliyetumia
 
Mkuu huo ndiyo mtazamo uliyo sahihi na siyo kulaumu tu. Kama ni kweli ni ndege iliyokwisha kutengezwa, kama inavyodaiwa mitandaoni, kutokuletwa mara tu baada ya kulipiwa ina maana inafanyiwa marekebisho.

Mimi si mtaalamu wa kutengeneza ndege, lakini taalamu yangu ni ufundi. Inawezekana kabisa kutumia hiyo LN19 kuifanyia marekebisho hiyo ndege kukidhi mahitaji ya mnunuzi pasipo kulazimika kuunda ndege mpya. Ni hilo si jambo geni katika nyanja za kifundi na teknolojia ya kisasa. Hata mafundi ambao hawakwenda vyuoni hufanyia vitu mbalimbali marekebisho kukidhi mahitaji ya wakati huo, na iko mifano mingi tu.
Wanatukoleza kwa rangi
 
Mkuu huo ndiyo mtazamo uliyo sahihi na siyo kulaumu tu. Kama ni kweli ni ndege iliyokwisha kutengezwa, kama inavyodaiwa mitandaoni, kutokuletwa mara tu baada ya kulipiwa ina maana inafanyiwa marekebisho.

Mimi si mtaalamu wa kutengeneza ndege, lakini taalamu yangu ni ufundi. Inawezekana kabisa kutumia hiyo LN19 kuifanyia marekebisho hiyo ndege kukidhi mahitaji ya mnunuzi pasipo kulazimika kuunda ndege mpya. Ni hilo si jambo geni katika nyanja za kifundi na teknolojia ya kisasa. Hata mafundi ambao hawakwenda vyuoni hufanyia vitu mbalimbali marekebisho kukidhi mahitaji ya wakati huo, na iko mifano mingi tu.

Kama mtengenezani hapandi nani atapanda?Mtalii yupi atakayerisk maisha yake kupanda ndege Bomu.

Tukubali aliyezoea kula nyama za watu baadhi kamwe.Jamaa yetu ni mpiga deal tu hana lolote hapo.
 
Mkuu shukrani kwa taarifa. Watanzania ni wavivu wa kusoma . Wahusika wafuatilie tusipigwe kama radar ambayo UK walitupigania tukapewa change lakini nayo ikapigwa na wajanja
 
Embu nifupishie kuwa nani ameitumia hiyo ndege na ilitumika kwa muda gani? Na pia hizo tarehe zote vipengele kwa kifupi vinaashiria nini hadi Dec 2016. macho yananiuma nimeshindwa kusoma yote vizuri.

Umeshindwa kusoma ndio maana hukuelewa, terrible teens L1 - L20, ni ndege za mwanzo aina 787 dream liner kuzalishwa na boieng, inawesemekana ndege hizi zilikuwa na matatizo kiasi cha kufanyiwa re-engineering na kuzalisha L21 - up ambazo hazina matatizo, sasa hizo L1-L20 baada ya kukosa wateja boeng wakashusha bei to USD 90MIL kutoka zaidi ya USD 220 MIL na zaidi. Inaonekana wabongo sasa tumenunua hiyo L19 ambayo iko kati ya L1 - L20, tena kwa bei ya USD 220 Mil baada ya usd 90 mil..
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Wanatukoleza kwa rangi
Utakolezwa kwa rangi kama: 1) utafunika ubongo wako gubigubi,
2) mtazamo wako ni hasi
3) huna maono
4) kila jema ni baya
5) ndo mwisho wa kufikiri
 
Mkuu The Tomorrow People mimi ni mmoja wapo wa waliodhani tumeuziwa hizi terrible teens. Kwa sasa kidogo nahisi wanunuzi si sisi. Maana ukiangalia kwenye mitandao ya biashara, inaonesha terrible teens ya mwisho imeuzwa July 2016. Baadaye kabisa December 2016 Rais Magufuli anatangaza kununua ndege akiwa na mwakilishi wa Boeing. Kama tulitoa order mwezi wa saba, basi tulinunua terrible teens, lakini kama tulitoa order mbele ya mwezi wa saba 2017, basi hatujanunua terrible teens.

Kuna link hapo kuonesha kuisha kwa terrible teens.

Boeing's most turbulent saga of the past decade is finally over
 
serikali inabidi iongeze mchujo, kuna ongezeko la double agents wengi hapa nchini baada ya haya marekebisho ya uendeshaji wa nchi.
 
Mtu ukinunua simu mpya niseme labda ya mwaka juzi ambayo ni smartphone, je utaanza kuitumia ilivyo au wataiupdate wauzaji au wewe kama haswa unataka kuhakikisha ipo swafiiiiiiiiiiii na haitakuletea matatizo? Na kwa ndege nani inatakiwa aiupgrade au unataka ije kama ilivyokuwa mwaka uleeeeee na mpya mengi yapo hadi kwa software n.k.

Haya mjuzi nijuze mimi?

Tofautisha re - engineering/redesign na kuupgrade, kuanzia L1 - L20 zilikuwa na matatizo maana yake engineering problem.. Kwenye engineering kuna kitu kinaitwa prototype ( first product) ambayo ndio itakuwa pilot ya product zote za namna hiyo utakazozalisha, prototype ikiwa na makosa maana yake product zote utakazozalisha lazima pia ziwe na makosa mpaka hapo user au engineers watakapogundua na kuja na claims ambazo ndio zitazaa product improvement program, sasa hiyo improvement program kama itakuwa ni redesign kutokana na makosa makubwa ya kiufundi kuanzia kwenye structural, engine, transmission, braking system na hydraulic system inabidi ufanye vitu viwili amavyo ni kuscrap the existing product popote ilipo, kustop uzalishaji wa hiyo product na kuzalisha nyingine na kuipa model nyingine na Ile ya zamani ukaiacha kama itaonekana haina madhara kwa jamii na mazingira..
 
Kama mtengenezani hapandi nani atapanda?Mtalii yupi atakayerisk maisha yake kupanda ndege Bomu.

Tukubali aliyezoea kula nyama za watu baadhi kamwe.Jamaa yetu ni mpiga deal tu hana lolote hapo.

Maandishi yako katika wekundu sijakuelewa.

Kuna tabia inajengeka katika jamii yetu inayojulikana kama "Halo Effect:- a type of cognitive bias in which our overall impression of a person influences how we feel and think about his/her character" tafsiri isiyo rasmi ni 'tabia tambuzi hasi ambayo mwenye hiyo tabia, hisia yake ya ujumla kuhusu mtu mwingine huathiri jinsi anavyohisi na kujua tabia ya huyo mtu'.

Yawezekana nawe ni mmoja mwenye tabia hiyo unaposema [V]Jamaa yetu ni mpiga deal tu hana lolote hapo[/B]
 
Umeshindwa kusoma ndio maana hukuelewa, terrible teens L1 - L20, ni ndege za mwanzo aina 787 dream liner kuzalishwa na boieng, inawesemekana ndege hizi zilikuwa na matatizo kiasi cha kufanyiwa re-engineering na kuzalisha L21 - up ambazo hazina matatizo, sasa hizo L1-L20 baada ya kukosa wateja boeng wakashusha bei to USD 90MIL kutoka zaidi ya USD 220 MIL na zaidi. Inaonekana wabongo sasa tumenunua hiyo L19 ambayo iko kati ya L1 - L20, tena kwa bei ya USD 220 Mil baada ya usd 90 mil..
Mimi ni mmojawapo wa watanzania wasiounga mkono wazo la serkali kununua ndege kwa wakati huu na hasa kununua kwa cash.

Lakini nikifuatilia hoja ya mleta mada kuna mahali naona shida. Hoja yake ingekuwa na nguvu zaidi kama angeweza kutuambia pia Ethiopian Airlines (EA) wamenunua ndege hizo kwa bei gani na hata Japan Airlines. Na je EA wanapatatatizo gani na ndege hizo? Naona nao wameoda nyingine pamoja na kuwa na karibu ndege 5 katika hiyo LN1-20.

Kama ndege hizo tayari zilishatengenezwa (na kukataliwa) ni kwa nini delivery time imekuwa kubwa sana?

Sikatai uwezekano wa kupigwa (tumeshapigwa "meli" chini ya JPM), lakini hoja na data zikiwa za kutosha na zinazo make sense zitawasaidia watendaji kuchukua hatua(assuming hawajui kama wamepigwa!).
 
Tofautisha re - engineering/redesign na kuupgrade, kuanzia L1 - L20 zilikuwa na matatizo maana yake engineering problem.. Kwenye engineering kuna kitu kinaitwa prototype ( first product) ambayo ndio itakuwa pilot ya product zote za namna hiyo utakazozalisha, prototype ikiwa na makosa maana yake product zote utakazozalisha lazima pia ziwe na makosa mpaka hapo user au engineers watakapogundua na kuja na claims ambazo ndio zitazaa product improvement program, sasa hiyo improvement program kama itakuwa ni redesign kutokana na makosa makubwa ya kiufundi kuanzia kwenye structural, engine, transmission, braking system na hydraulic system inabidi ufanye vitu viwili amavyo ni kuscrap the existing product popote ilipo, kustop uzalishaji wa hiyo product na kuzalisha nyingine na kuipa model nyingine na Ile ya zamani ukaiacha kama itaonekana haina madhara kwa jamii na mazingira..
Ndg zangu mna poteza mda bure, serikali ilishayajua hayo toka kitambo,kampuni ya Airbus ili disclose kila kitu katika mvutano wa kibiashara kati yake na Boeing, kumbuka biashara ushindani, hivyo serikali inalijua jambo hilo vzr, ndo mana ndege mpya itakuwa tayari 2018.Wewe huwezi jiuliza kwanini kama ipo tayari toka 2016 inasubiri nini kufika na pesa tayari ishalipwa! Tuwe na akiba ya maneno, tusiendeshwe na chuki tunashindwa kutumia bongo zetu vzr.
 
Jana tukiwa safarini kutoka Dar kuja Kilimanjaro tukiwa angani kuna hali ya sitofahamu ikitokea kwa muda nadhani dakika 5. Inawezekana hizi ndege zina matatizo tumeingizwa mjini sasa kama aliyenunua anasema yeye msema kweli mpenzi wa Mungu anashindwa nini kuchukua dhidi hao waliomdanganya kuhusu hizi ndege? Mengi yamesemwe sana kuhusu ndege kama hujawahi kusafiri nayo huwezi kuamini hicho ambacho kinasemwa .Serikali hizi ndege nimeingizwa chaka!
 
Ndg zangu mna poteza mda bure, serikali ilishayajua hayo toka kitambo,kampuni ya Airbus ili disclose kila kitu katika mvutano wa kibiashara kati yake na Boeing, kumbuka biashara ushindani, hivyo serikali inalijua jambo hilo vzr, ndo mana ndege mpya itakuwa tayari 2018.Wewe huwezi jiuliza kwanini kama ipo tayari toka 2016 inasubiri nini kufika na pesa tayari ishalipwa! Tuwe na akiba ya maneno, tusiendeshwe na chuki tunashindwa kutumia bongo zetu vzr.

Binafsi sijui chochote katika biashara baina ya serikali na hao Boeing ila kwenye maelezo yangu nilikuwa najaribu kumuelewesha mtu kitu fulani kitaalamu..
 
Tofautisha re - engineering/redesign na kuupgrade, kuanzia L1 - L20 zilikuwa na matatizo maana yake engineering problem ...

...
Kama ndege hizo tayari zilishatengenezwa (na kukataliwa) ni kwa nini delivery time imekuwa kubwa sana?
...

samurai kwa ufahamu wako wa kitaalamu saidia kujibu swali lake SMU kuondoa utata wa ndege iliyolipiwa na Serikali na inazua mjadala unaoendelea humu jamvini.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Back
Top Bottom