Uko vipi na mama mkwe wako?

Uko vipi na mama mkwe wako?

Sijawahi ona hii, dunia haiishiwi vioja aisee.

Nyie ndo kila weekend mpo ukweni kupiga story.

Story za mkwe unazipata kwa mwenza wako, hata ukienda ukweni hutakiwi kuonana na mkweo mara kwa mara labda kwa sababu maalum.

Mnaonana au mzoeane kuongea nini? Awe huru ili akwambie nini? Kama ana shida atamwambia mwenza wako yeye ndo atapima akwambie wewe au asolve mwenyewe.
 
Unahitaji urafiki na mama mkwe ili iweje? Unataka uchungulie mapaja yake? Vijana wa siku hizi mna shida kichwani
Niko kwenye mahusiano ambayo nimetambulishwa ukweni na ni mara ya kwanza kuwa karibu na mama mkwe.

Ila shida inakuja mama mkwe kama ananinyenyekea sana kitu ambacho sitaki kuona mama mkwe akifanya hivyo.

Napenda mama mkwe kuwa kama mshikaji, story nyingi sana yaani tuwe marafiki.

Kila ninapohisi hali hiyo ya kuninyenyekea, mimi naweke mambo sawa lakini mama mkwe anashindwa kusoma nyakati.

Vipi ulitumia mbinu gani kuwa karibu na mama mkwe wako au unaishi vipi na mama mkwe wako?.

JF

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ndio maana huruhusiwi kuwa unaonana naye mara kwa mara kuna ukuta mkubwa sana kati yenu.

inafaa hata akuone mara moja kila baada ya miaka 3😅😅.
 
Mimi hata kupigiwa au kupiga simu ya mama mkwe lazima iwepo shida maalumu sio nilikuwa nakusalimia,mama mkwe hawezi nipigia simu bila kitu muhimu hiyo ndo tamaduni zetu

Nikienda msalimia kwao anakaa mbali sema mashemeji zangu ndo kichomi wanataka kufukuzana mbele ya mama ila nilikuwa nawapiga saundi hadi washanijua sipendagi michezo mbele ya mama yao
We zombie🎵🎶
 
Niko kwenye mahusiano ambayo nimetambulishwa ukweni na ni mara ya kwanza kuwa karibu na mama mkwe.

Ila shida inakuja mama mkwe kama ananinyenyekea sana kitu ambacho sitaki kuona mama mkwe akifanya hivyo.

Napenda mama mkwe kuwa kama mshikaji, story nyingi sana yaani tuwe marafiki.

Kila ninapohisi hali hiyo ya kuninyenyekea, mimi naweke mambo sawa lakini mama mkwe anashindwa kusoma nyakati.

Vipi ulitumia mbinu gani kuwa karibu na mama mkwe wako au unaishi vipi na mama mkwe wako?.

JF
yaani binti yake ni mshikaji wako unataka hata mama yake kusiwe mpaka awe mshikaji wako? Hauko sawa kichwani.
 
Ukiwa na mama mkwe aina ya kajala kwanini usimle tako
images-9.jpg
 
Niko kwenye mahusiano ambayo nimetambulishwa ukweni na ni mara ya kwanza kuwa karibu na mama mkwe.

Ila shida inakuja mama mkwe kama ananinyenyekea sana kitu ambacho sitaki kuona mama mkwe akifanya hivyo.

Napenda mama mkwe kuwa kama mshikaji, story nyingi sana yaani tuwe marafiki.

Kila ninapohisi hali hiyo ya kuninyenyekea, mimi naweke mambo sawa lakini mama mkwe anashindwa kusoma nyakati.

Vipi ulitumia mbinu gani kuwa karibu na mama mkwe wako au unaishi vipi na mama mkwe wako?.

JF
Mimi limama mkwe langu likikaa vibaya barabarani napiga tairi....tunazika.
 
Kila ninapohisi hali hiyo ya kuninyenyekea, mimi naweke mambo sawa lakini mama mkwe anashindwa kusoma nyakati.
Kwa hiyo kwa akili zako, unadhani wewe unaelewa sana haya mambo kuliko mama mkwe wako?

Ndio maana vijana wengi ndoa zinawawia ngumu, hamjui mipaka yenu.
 
Back
Top Bottom