Uko vipi na mama mkwe wako?

Uko vipi na mama mkwe wako?

Mr sule

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2021
Posts
606
Reaction score
1,115
Niko kwenye mahusiano ambayo nimetambulishwa ukweni na ni mara ya kwanza kuwa karibu na mama mkwe.

Ila shida inakuja mama mkwe kama ananinyenyekea sana kitu ambacho sitaki kuona mama mkwe akifanya hivyo.

Napenda mama mkwe kuwa kama mshikaji, story nyingi sana yaani tuwe marafiki.

Kila ninapohisi hali hiyo ya kuninyenyekea, mimi naweke mambo sawa lakini mama mkwe anashindwa kusoma nyakati.

Vipi ulitumia mbinu gani kuwa karibu na mama mkwe wako au unaishi vipi na mama mkwe wako?.

JF
 
Niko kwenye mahusiano ambayo nimetambulishwa ukweni na ni mara ya kwanza kuwa karibu na mama mkwe.

Ila shida inakuja mama mkwe kama ananinyenyekea sana kitu ambacho sitaki kuona mama mkwe akifanya hivyo.

Napenda mama mkwe kuwa kama mshikaji, story nyingi sana yaani tuwe marafiki.

Kila ninapohisi hali hiyo ya kuninyenyekea, mimi naweke mambo sawa lakini mama mkwe anashindwa kusoma nyakati.

Vipi ulitumia mbinu gani kuwa karibu na mama mkwe wako au unaishi vipi na mama mkwe wako?.

JF

Ukiona hivyo mama Mkwe wako anakupenda kupitia anayoambiwa na bint yake.

Mtunze,mjali na umuheshimu kama mama yako mzazi. swala la kuwa karibu inategemea na mila na desturi za kwao pia.
 
Tuna heshimiana sana sihitaji kuwa na urafiki na mama mkwe kama ulivyosema!!
Huku nje ya mji mama mkwe nikukaa nae mbali sii wakuzoena[emoji1][emoji1][emoji1]

Nasikia kuna watu huko mjini hawana adabu wanavua mpk wakwe zao chupi [emoji15][emoji15]

Ila sijamaanisha mazoea hayo mkuu ila hata hvyo nimekuelewa
 
Niko kwenye mahusiano ambayo nimetambulishwa ukweni na ni mara ya kwanza kuwa karibu na mama mkwe.

Ila shida inakuja mama mkwe kama ananinyenyekea sana kitu ambacho sitaki kuona mama mkwe akifanya hivyo.

Napenda mama mkwe kuwa kama mshikaji, story nyingi sana yaani tuwe marafiki.

Kila ninapohisi hali hiyo ya kuninyenyekea, mimi naweke mambo sawa lakini mama mkwe anashindwa kusoma nyakati.

Vipi ulitumia mbinu gani kuwa karibu na mama mkwe wako au unaishi vipi na mama mkwe wako?.

JF
Kwa Mila na desturi za Africa mama mkwe hatakiwi kuongea mambo ya kishkaji na mume/mtarajiwa wa binti yake. Hivyo atakiwa akae mbali naye na kuondoa mazoea kabisaaa. Hivyo basi Mama mkwe wako yupo sahihi kabisa na umshukuru MUNGU. MUNGU AKUBARIKI NA KUKULINDA pamoja na mtarajiwa wako.
 
Kwa Mila na desturi za Africa mama mkwe hatakiwi kuongea mambo ya kishkaji na mume/mtarajiwa wa binti yake. Hivyo atakiwa akae mbali naye na kuondoa mazoea kabisaaa. Hivyo basi Mama mkwe wako yupo sahihi kabisa na umshukuru MUNGU. MUNGU AKUBARIKI NA KUKULINDA pamoja na mtarajiwa wako.

Asante sana mkuu
Nimekuelewa sana, nilikuwa sijuwi hilo kabisa
 
Mimi hata kupigiwa au kupiga simu ya mama mkwe lazima iwepo shida maalumu sio nilikuwa nakusalimia,mama mkwe hawezi nipigia simu bila kitu muhimu hiyo ndo tamaduni zetu

Nikienda msalimia kwao anakaa mbali sema mashemeji zangu ndo kichomi wanataka kufukuzana mbele ya mama ila nilikuwa nawapiga saundi hadi washanijua sipendagi michezo mbele ya mama yao
 
Niko kwenye mahusiano ambayo nimetambulishwa ukweni na ni mara ya kwanza kuwa karibu na mama mkwe.

Ila shida inakuja mama mkwe kama ananinyenyekea sana kitu ambacho sitaki kuona mama mkwe akifanya hivyo.

Napenda mama mkwe kuwa kama mshikaji, story nyingi sana yaani tuwe marafiki.

Kila ninapohisi hali hiyo ya kuninyenyekea, mimi naweke mambo sawa lakini mama mkwe anashindwa kusoma nyakati.

Vipi ulitumia mbinu gani kuwa karibu na mama mkwe wako au unaishi vipi na mama mkwe wako?.

JF
Alikuwa sugar mummy wangu before cjakutana na mwanae, huwa ananitania kwa phone "we mshenzi kama masihara umekula kuku na yai"basi tunaishia kuchekaaa
 
Ni vyema ukajua utamaduni wa kabila fulani kabla ya kutaka kuanzisha utaratibu wako,kikwetu mama mkwe hamtakiwi hata kuangaliana usoni,maongezi yanafanyika kila mmoja amekaa sehemu yake,we unataka mzoeane ili iweje?
Mmewangu akitaka kuongea na mama yangu anajipanga haswa utasema kuna interview huwa nacheka sana
 
Mimi mama mkwe huwa ananidharau pia huwa hanipend hii ni kutokana na mwanae alivyoning'ang'ania na kuwakataa wenye mapesa na kuja kwangu mimi ambae sina mapesa ya kuchezea hovyo hovyo

Lakin ajabu ni kuwa huwa nikiwa kwake huwa ananiheshimu sana na kuninyenyekea haswa,WANAWAKE WA ZAMANI WALIKUWA WANAWAKE KWELI,acha hizi pimbi za siku hizi
 
Back
Top Bottom