Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,367
- 100,408
hahahahaaahhahahhhh Mama Mkweeeeeeeeee
Sasa si ndio vizuri akiwa anakuheshimu hivyo?Niko kwenye mahusiano ambayo nimetambulishwa ukweni na ni mara ya kwanza kuwa karibu na mama mkwe.
Ila shida inakuja mama mkwe kama ananinyenyekea sana kitu ambacho sitaki kuona mama mkwe akifanya hivyo.
Napenda mama mkwe kuwa kama mshikaji, story nyingi sana yaani tuwe marafiki.
Kila ninapohisi hali hiyo ya kuninyenyekea, mimi naweke mambo sawa lakini mama mkwe anashindwa kusoma nyakati.
Vipi ulitumia mbinu gani kuwa karibu na mama mkwe wako au unaishi vipi na mama mkwe wako?.
JF
Itakuwa anaishi ukweni huyu JamaaUnataka uishi kishkaji na mama mkwe?
Au mi ndIyo sijaelewa?[emoji848]
Anataka kula Kuku na Mayai yakeItakuwa anaishi ukweni huyu Jamaa
Ni vyema ukajua utamaduni wa kabila fulani kabla ya kutaka kuanzisha utaratibu wako,kikwetu mama mkwe hamtakiwi hata kuangaliana usoni,maongezi yanafanyika kila mmoja amekaa sehemu yake,we unataka mzoeane ili iweje?
Mmewangu akitaka kuongea na mama yangu anajipanga haswa utasema kuna interview huwa nacheka sana
Ebhana nimeoa familia yenye watoto wakike tu kwahyo mama mkwe aliniambia kabisa kuanzia leo ww ni mwanangu wa kiume nakukaribisha kwenye familia kama nimepata mtoto wa kiume kwahyo kuna mambo mengi tunashirikishana ila cha msingi kuheshimu mipaka kama ilivyo kwa mama yangu ndivyo ninavyofanya kwa mama mkwe
Hasa familia zisizo na mtoto wa kiume au unakuta mtoto wa kiume alishakata kamba ww ndio unakua kama mtoto wa mama mkwe na kama unamambo yalionyooka(unajielewa) inakua faraja kwakeNdio na mimi ninachotaka yaani mimi kuwa kama sehemu ya familia.
Lakini mtazamo wa wengi wanasema si vyema.
Nimewaelewa na nitaenda na hilo cos inawezekana na mama mkwe nae ana mtazamo huo.
Niko kwenye mahusiano ambayo nimetambulishwa ukweni na ni mara ya kwanza kuwa karibu na mama mkwe.
Ila shida inakuja mama mkwe kama ananinyenyekea sana kitu ambacho sitaki kuona mama mkwe akifanya hivyo.
Napenda mama mkwe kuwa kama mshikaji, story nyingi sana yaani tuwe marafiki.
Kila ninapohisi hali hiyo ya kuninyenyekea, mimi naweke mambo sawa lakini mama mkwe anashindwa kusoma nyakati.
Vipi ulitumia mbinu gani kuwa karibu na mama mkwe wako au unaishi vipi na mama mkwe wako?.
JF
Acha uongoAlikuwa sugar mummy wangu before cjakutana na mwanae, huwa ananitania kwa phone "we mshenzi kama masihara umekula kuku na yai"basi tunaishia kuchekaaa
kwa kuwa haijakutokea ndo maana unaona uongoAcha uongo