Vipi wewe mama yako na mkeo wapo vipi! Maana wamama wengi hawapendi kuwaachia vijana wao, kaoa lakini bado anambana kama kinda.Niko kwenye mahusiano ambayo nimetambulishwa ukweni na ni mara ya kwanza kuwa karibu na mama mkwe.
Ila shida inakuja mama mkwe kama ananinyenyekea sana kitu ambacho sitaki kuona mama mkwe akifanya hivyo.
Napenda mama mkwe kuwa kama mshikaji, story nyingi sana yaani tuwe marafiki.
Kila ninapohisi hali hiyo ya kuninyenyekea, mimi naweke mambo sawa lakini mama mkwe anashindwa kusoma nyakati.
Vipi ulitumia mbinu gani kuwa karibu na mama mkwe wako au unaishi vipi na mama mkwe wako?.
JF
Vipi wewe mama yako na mkeo wapo vipi! Maana wamama wengi hawapendi kuwaachia vijana wao, kaoa lakini bado anambana kama kinda.
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Maandiko Yamesema Waheshimu Na Uwapende Wazazi Wako. Hayo Mambo Mawili Ni Muhimu sana Kwa Mtoto Ktk Maisha Yako Yawe Ya Ndoa Na Mwenza Wako Ama Peke Yako.Niko kwenye mahusiano ambayo nimetambulishwa ukweni na ni mara ya kwanza kuwa karibu na mama mkwe.
Ila shida inakuja mama mkwe kama ananinyenyekea sana kitu ambacho sitaki kuona mama mkwe akifanya hivyo.
Napenda mama mkwe kuwa kama mshikaji, story nyingi sana yaani tuwe marafiki.
Kila ninapohisi hali hiyo ya kuninyenyekea, mimi naweke mambo sawa lakini mama mkwe anashindwa kusoma nyakati.
Vipi ulitumia mbinu gani kuwa karibu na mama mkwe wako au unaishi vipi na mama mkwe wako?.
JF
Ngoja baba mkwe wako akusitie unataka mke wake awe huru kwako.
Acha kujipendeza ushapewa mke tulia nae acha mawenge.... unataka umzoee mama mkwe ili iweje???
vijana wa sasa wanahitaji makonzi, ni washenzi sana. unaweza ukakuta hapo demu amefuata sura ya baba, mama ni mrembo kuliko binti yake na jamaa sasa anamtamani mama mkwe.[emoji30][emoji23][emoji13][emoji24]
Duh punguza mapigo mkuu
Unalolitafuta utalipata.ni mara ya kwanza kuwa karibu na mama mkwe
Usirudie hii kitu.Sawa mkuu
Huwezi kuwa sawa kila wakati ndomana tunajifunza kutoka kwa watu wengine.
Nimekuelewa mkuu
Shukrani