Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,320
- 18,599
Hata sikumbuki mara ya mwisho tumeongea mwaka gani kwa simu.
labda akija kwangu au nikienda kwake na lazima kuwe na shida ya maana labda ugonjwa au msiba vinginevyo hatuna mazoea na haitatokea kwa mila za kabila langu.
Baba mkwe tumeongea kwenye simu mara ya mwisho ilikuwa mwezi Juni mwaka huu
labda akija kwangu au nikienda kwake na lazima kuwe na shida ya maana labda ugonjwa au msiba vinginevyo hatuna mazoea na haitatokea kwa mila za kabila langu.
Baba mkwe tumeongea kwenye simu mara ya mwisho ilikuwa mwezi Juni mwaka huu