Confession
JF-Expert Member
- Mar 30, 2019
- 429
- 1,553
Kabisa aiseee.mkataba wa MAJINI huoHawa wa hivi mara nyingi inakuwa ni ushirikina unakuta kapewa masharti na mganga wa kienyeji huko ndo vinatokea vitu kama ivo.
kuna hao wazee wa kimila ni mashoga wazuri tu, Kuna mapadre, wachungaji, masheikh, wanasiasa, gym trainers, athletes, celebrities, Doctors and the list is endless. Bad thing mwahisi kila gay yupo kama james delicious au kaoge while the truth is wapo watu wenye watoto wakubwa kama wewe yet ni homosexualsHakuna namna ila kumtoa hapo na kumpeleka kijijini akakutanishwe na wazee wa jadi wamfanyie maswala ya kimila ikiwamo kumjenga kiume akae huko hata miaka mitano. Akitoka huko anaweza kuwa sawa.
Sure, mimi lazima nimjenge kiume, akianza kubalehe nitamwambia K ni tamu, nimfanye achuki pigo za kike!
Be man, strong, asiogope, mtu akikuletea pigo za kigasho mara ww mzuri, piga mawe.
Hakutakua na kucheka na nyani, mara mia kesi kuliko kumfuga mtoto kimaandazi.
Sasa hapo si utakuwa umeokoa tobo la mwanao analowapa wahuni kwa ridhaa yake halafu umerisk lako kutumiwa jela kwa lazima na manyampara πππ. Hebu njoo na njia nyingineHapo hamna namna mie ni kumchinja huyo mtoto na kujipeleka kwa polisi mie mwenyewe
Kuhusu hio superman kuwa shoga haipo kwenye cartoon ni kitabu cha katuni na shoga sio superman ni mtoto wa superman. Hivyo vitabu vinauzwa dola tatu mpaka tano kwa huko marekani. Ni series na huwa zinatoka kwa mwezi mara moja au mbili na huchukua muda mrefu hata mwaka kwa story kuisha. Kuvipata sio rahisi mpaka udownload illegal. Kwa sasa watoto wapo salama kiasi mpaka watakapoamua kuweka huo ushoga kwenye cartoon za television.Hii number 3 ndio sababu kubwa ya vijana kuharibika na kuharibiwa mitandao ndio imepekea watoto kuharibika special mobile kuna cartoon mpaka za mashoga leo super man ktk cartoon kawa shoga anafanya mapenzi na mwanamme mwenzake yaani hili ni balaa ktk dunia limeingia ukiangalia movie nyingi hayo mambo yapo hii dunia inapelekwa huko Somora na gomora.Allah tusaidie.
Umewahi kumuuliza kuhusu hiyo hali? Alikujibu vipiInaniuma kuna rafiki yangu nilisoma naye nishoga Tena namuona Sana fb anajipost, wakati mwamba alikuwa fresh kabisa wakati tukiwa shule
Binadamu wabayaaaa
Humu wengi wao hawajui kuhusu haya mambo ...ndo maana nikasema kwa wamuaminio mungu "wasali sana na kumuomba mungu"Namfahamu shoga mmoja ambae amelelewa na baba na mama. Nyumban wameshika dini na hakuna malezi ya kimayaimayai, yule mama wakikurya ni wamoto. Amesoma shule za day mpaka O'Level which means alikua kwenye uangalizi wa wazazi. Advance amesoma tusiime.
Ila sasa...
Mungu atusaidie..
Jamaa anafanya kazi taasisi ya serikali yenye hadhi sana. Amesomesha wadogo zake, anatunza wazazi na ndugu. Ameoa 2019 hivyo anatunza familia yake.
Ila pia anatunza na mabwana kwa gharama yoyote ile. Mmoja yupo kimara, alifunguliwa pub ya uwekezaji wa milioni 10.
Mwingine alichukuliwa akiwa chuo kijana mdogo wa 98/97. Amepangiwa chumba, amewekewa kila kitu ndani. Amefunguliwa duka soko la Rehema Nchimbi. Anapewa hela ya kula, ya gym, kuvaa n.k. chamuhimu awe na afya, na nguvu na muonekano. Wana miaka mitatu sasa.
Sasa unajiuliza, hapa wazazi walikosea wapi...
Mungu atuepushe kwakweli. Siwezi hata kuimagin kwa mwanangu. Mungu niepushie mbali
Hakuna ushirikina ...ile kitu ikikukoa haswaa unaweza kuamka saa nane ya usiku ili umtafute mtu akusukume kutuHawa wa hivi mara nyingi inakuwa ni ushirikina unakuta kapewa masharti na mganga wa kienyeji huko ndo vinatokea vitu kama ivo.
Duuhh...Namfahamu shoga mmoja ambae amelelewa na baba na mama. Nyumban wameshika dini na hakuna malezi ya kimayaimayai, yule mama wakikurya ni wamoto. Amesoma shule za day mpaka O'Level which means alikua kwenye uangalizi wa wazazi. Advance amesoma tusiime.
Ila sasa...
Mungu atusaidie..
Jamaa anafanya kazi taasisi ya serikali yenye hadhi sana. Amesomesha wadogo zake, anatunza wazazi na ndugu. Ameoa 2019 hivyo anatunza familia yake.
Ila pia anatunza na mabwana kwa gharama yoyote ile. Mmoja yupo kimara, alifunguliwa pub ya uwekezaji wa milioni 10.
Mwingine alichukuliwa akiwa chuo kijana mdogo wa 98/97. Amepangiwa chumba, amewekewa kila kitu ndani. Amefunguliwa duka soko la Rehema Nchimbi. Anapewa hela ya kula, ya gym, kuvaa n.k. chamuhimu awe na afya, na nguvu na muonekano. Wana miaka mitatu sasa.
Sasa unajiuliza, hapa wazazi walikosea wapi...
Mungu atuepushe kwakweli. Siwezi hata kuimagin kwa mwanangu. Mungu niepushie mbali
Hii eksipiriensi umepata wapi wewe? Em tuibie siri inaonekana kuna kitu unajua..Hakuna ushirikina ...ile kitu ikikukoa haswaa unaweza kuamka saa nane ya usiku ili umtafute mtu akusukume kutu
πππππAlaf hapo litoto lako la kiume linakubembeleza "nyamaza mom nisamehe mwenzio jaman mom wangu nyamaza" ndio utajua ujui