Ukitaka kujua kama unapendwa kweli ugua

Ukitaka kujua kama unapendwa kweli ugua

Wewe ni mjinga halafu ni si ajabu huyajui maisha vzr

Unaweza ukaumwa mpk hivyo vihela hela vyake vinavyokupa kibri vikaisha sasa ni nani wakukuonea huruma km sio watu wako wa karibu???

Kaka yangu alifikisha account ya million 220,v8 na ghorofa juu hakuwahi kuona umuhimu wa ndugu hata mmoja leo hii ananipigia simu mimi kuniomba 10,000/- na toka kashika hela ni 8years hajawahi kunipigia simu wala kujua nipo wapi from no where kapiga simu kajitambulisha kaomba 10k.

Kua uyaone, ugonjwa umewashikisha adabu vibri na wajinga km wewe wengi sana na unashikishwa adabu km masihara hivi..
We mwana umenikumbusha kitu nina ndugu yangu alikua na pesa.. alikua na semi 8 na daladala 6 gari za kitembea 2 na nyumba ya maana ya kuishi.. jamaa alikua hana habar kabisa na ndugu hata kuwashika mkono kuwaonesha maisha yalipo.

Jamaa alikua anafanya kaz na watu binafs ila ndgu zake hakutaka kabisa kuwa karibu nao leo hii jamaa kabaki mweupeeee yaan kabaki na nyumba tu ya kuishi hata inafikia hatua anaomba hata 20k tu kwa wale aliowapuuza kipind hicho.

Ushauri Ndg zangu tuwe na heshima na kujali watu wetu wa karibu, maisha haya hubadilika muda wowote.. kama upo vizur washike mkono ndugu zako ili wasiwe na manung'uniko juu yako kuna kesho
 
Jibu la kuoa ni hili tafuta mke kwa ajili ya watoto wako sio kwa ajili ya tamaa zako za kimwili, wanawake wenye mvuto wa kimaumbile ni chagamoto kwenye ndoa na haman mtu mwenye roho ngumu na mbaya kama wanawake ila tu jamii ya wanaumme hawalijui hilo
IMG-20220205-WA0044.jpg
 
Mimi nadhani inategemea na mwanamke mwenyewe ,, watu wengi wanakosea kitu kimoja kuoa au kuwa na malengo na maslay Queen hawa ni wakuchzea tu, unakuta mwanamke mzuri ila kichwan ni box tupu anawaza nywele,kucha na ujinga ujinga mwingine badala ya maendeleo.

Mimi na mtu wangu bado sijamuoa ila tunasaidiana sana na sio mchoyo kwenye pesa zake hata kidogo,, kuna kipind nilikwama sana alinisave sana wala hakubadilika hata kidogo.

Ushauri unapotafuta mchumba au mke usiangalie tu urembo ,, me nikimtongoza mwanamke ndani ya wiki 2 tu nikiona tabia zake haziendani na mimi namuacha mara moja wala sijiuliza mara mbili.

Mpaka unafikia hatua ya kuoa maana yake ushamjua vizur mtu wako sasa huyo jamaa yako aliingia mkenge akaoa shetan so ondoa mawazo kwamba kila mwanamke yupo hivo,, sweetie wangu mtu muelewa sana hajawahi kuwa hivo
Hongera
 
Hyo sio inshu ,inshu Nikua hata hao watatu je ukikwama watakusaidia ktk dhiki?
Wewe eva alishindwa kumsaidia adam wakati wapo kwwnye furaha ndio utegemee usaidiwe wakati wandhiki. Tusiwe na matumaini ya ajabu na hawa wanawake
 
Wewe ni mjinga halafu ni si ajabu huyajui maisha vzr

Unaweza ukaumwa mpk hivyo vihela hela vyake vinavyokupa kibri vikaisha sasa ni nani wakukuonea huruma km sio watu wako wa karibu???

Kaka yangu alifikisha account ya million 220,v8 na ghorofa juu hakuwahi kuona umuhimu wa ndugu hata mmoja leo hii ananipigia simu mimi kuniomba 10,000/- na toka kashika hela ni 8years hajawahi kunipigia simu wala kujua nipo wapi from no where kapiga simu kajitambulisha kaomba 10k.

Kua uyaone, ugonjwa umewashikisha adabu vibri na wajinga km wewe wengi sana na unashikishwa adabu km masihara hivi..


Mawasiliano yanapaswa kuwa ya pande mbili, kama yeye alikuwa hakupigii simu kwa miaka yote hiyo, je wewe ulikuwa unampigia kumsalimia?

Kama siyo kwa nini ?

Nasikia kama harufu na husuda pamoja ndugu lawama !

Huwa nawashangaa sana watu ambao wanalalamika kuwa hawapigiwi simu kusalimiwa.

Je wewe huwa unapigia watu wote?

Halafu sio wote wenye hulka hiyo, watu tunatofautiana kwenye mambo mengi hata kwenye kufikiri na kuchukulia mambo!

Tujifunze kuepuka lawama na nongwa kwa ndugu walofanikiwa.
 
Toka nishuhudie mke anasafiri kwenda mji mwingine na Daktari wa mume wake kwenda kula bata huku mume yupo wodini hapo hapo kalazwa- nikajua hii taasisi ya ndoa imejaa maumivu na visasi vya kimya kimya
Vizuri, umejifunza sasa. Unafikiri ni mke ndiye alianza huu upuuzi? Lazima kuna sababu.
 
Mwanamke akikupenda yupo tiyari kukopa kwa ajili yako.
Tatizo na nyinyi wanaume siku hizi mnapenda mteremko, mnapenda kuoa wanawake wenye vipato au wenye status za familiya yaani kuoa mtoto wa fulani.

Inaonesha mpaka huyo mwanaume anakosa hiyo pesa nae hayuko vizuri kifedha. Means mwanamke ana kipato zaidi.

Mnaoa kutafuta sifa mwisho zinawaponza.

Mimi ningekuwa mwanaume misingeoa mwanamke anaenizidi kipato.
Wanawake wengi wenu ni WABINAFSI, awe ana kipato au hana.

Wanawake wanaweza wakadai hela ya kumtibia mtoto kisa imetoka mfukoni mwake tena kwa ugomvi. Hapo utakuta mume mambo yake hayapo vizuri na yy ndiye aliye muwezesha kwa kumfungulia biashara na kumpa mtaji na bado bila aibu mtaji ukikata anakuja kumlilia mme wake amuongezee.

Si wanaume tuna moyo wa kipekee sana.
 
Back
Top Bottom