Ukitaka kujua kama unapendwa kweli ugua

Ukitaka kujua kama unapendwa kweli ugua

Umenikumbusha mbali Mwaka flan kipindi cha homa ya dengue nikiwa mitaa ya Uhasibu niliumwa Ule ugonjwa vbaya mno kutembea siwezi kichwa Sina nguvu Yani siwez Fanya chchte Hapo nilipitisha siku nzma sijala nimelala tu kama mfu Kuna Huyo manzi yangu nikamwomba anisaidie japo matunda aniletee akadai Hana hela nkamwambia njoo hela nakupa akakataa katakata halaf jioni ananiambia kamsindikiza rafiki yake karume kununua vitu, aisee niliumia Sana Ila nilimchezea mchezo uliomuumiza Sana kisaikolojia.
Mchezo gani kaka?
 
Mwanamke akikupenda yupo tiyari kukopa kwa ajili yako.
Tatizo na nyinyi wanaume siku hizi mnapenda mteremko, mnapenda kuoa wanawake wenye vipato au wenye status za familiya yaani kuoa mtoto wa fulani.

Inaonesha mpaka huyo mwanaume anakosa hiyo pesa nae hayuko vizuri kifedha. Means mwanamke ana kipato zaidi.

Mnaoa kutafuta sifa mwisho zinawaponza.

Mimi ningekuwa mwanaume misingeoa mwanamke anaenizidi kipato.
Comment inaonyesha we we ni mule mule tu kama mlikutana chuo baadae mke akapata scholarship au akawa promoted!! Akakuzidi kipato? Roho mbaya tu.
 
“ She is Not like other women, She’s Different from other Women“
Kauli ya Mwanaume Lofa ambaye atakuja Kuumeni analia muda si mrefu akishakuwa ‘ disillusioned’


ALL WOMEN ARE THE SAME! Amini hivo hutajuta maisha yako yote

Mrembo wangu, nikimbikiri na anaonyesha kunijali sana. She is in her early 20s mimi niko early 30s!

One day simu yake imevunja kioo hana pesa kama mnavyojua vioo vya Samsung ni expensive!

Nikampeleka akanunua kama 90K

The moment natoka niwahi Shift kazini ilikua jioni na nilitakiwa kuwahi maana nipo night shift nishapigiwa simu!

Nikaamua nipande boda kama buku tuu nauli so sikutaka nifike tuanze kutafuta chenji ntakua nazidi kuchelewa maana nilikua na noti ya elfu 10.

Sasa mdada alikua ameshika Noti mbili za elfu moja moja jumla kama elfu mbili hivi mkononi nikasema anipatie buku nipande boda.

Huwezi amini first impulse yake ni kuninyima ile buku na kashasahau nimempatia 90k pale ya kioo.

So pamoja na kutoa hiyo 90k alininyima 1k on the spot!

Ole wake mwanaume anaeamini Kuwa Mwanamke wake (wife, Gf etc) yupo tofauti na Wanawake wengine. Wote ni wale wale

And usioe Mwanamke kisa Ana pesa eti with a hope kwamba atakusaidia ukikwama hili lipo wazi siwezi kulitilia mkazo tena!

Mwanaume una Mungu tuu kama Kimbilio lako na wewe Mwenyewe .
Mungu “asipokusaidia” mwambie achukue roho yako.
Onyo: Don’t take your life as a Man.
Mwanaume kamili anajipenda na kujithamini, hashindani na Uke wa Mwanamke hadi anatoa mijasho, yeye anajiburudisha yeye tuu Mwanamke ni second na tegemeo lake ni Mungu na miguu yake miwili, nje ya hapo bora afe kwa kukonda hata mbavu zionekane zote.

Be a man even when dying!

Kuweni kama Ayubu
Msiwe kama Adam.
 
“ She is Not like other women, She’s Different from other Women“
Kauli ya Mwanaume Lofa ambaye atakuja Kuumeni analia muda si mrefu akishakuwa ‘ disillusioned’


ALL WOMEN ARE THE SAME! Amini hivo hutajuta maisha yako yote

Mrembo wangu, nikimbikiri na anaonyesha kunijali sana. She is in her early 20s mimi niko early 30s!

One day simu yake imevunja kioo hana pesa kama mnavyojua vioo vya Samsung ni expensive!

Nikampeleka akanunua kama 90K

The moment natoka niwahi Shift kazini ilikua jioni na nilitakiwa kuwahi maana nipo night shift nishapigiwa simu!

Nikaamua nipande boda kama buku tuu nauli so sikutaka nifike tuanze kutafuta chenji ntakua nazidi kuchelewa maana nilikua na noti ya elfu 10.

Sasa mdada alikua ameshika Noti mbili za elfu moja moja jumla kama elfu mbili hivi mkononi nikasema anipatie buku nipande boda.

Huwezi amini first impulse yake ni kuninyima ile buku na kashasahau nimempatia 90k pale ya kioo.

So pamoja na kutoa hiyo 90k alininyima 1k on the spot!

Ole wake mwanaume anaeamini Kuwa Mwanamke wake (wife, Gf etc) yupo tofauti na Wanawake wengine. Wote ni wale wale

And usioe Mwanamke kisa Ana pesa eti with a hope kwamba atakusaidia ukikwama hili lipo wazi siwezi kulitilia mkazo tena!

Mwanaume una Mungu tuu kama Kimbilio lako na wewe Mwenyewe .
Mungu “asipokusaidia” mwambie achukue roho yako.
Onyo: Don’t take your life as a Man.
Mwanaume kamili anajipenda na kujithamini, hashindani na Uke wa Mwanamke hadi anatoa mijasho, yeye anajiburudisha yeye tuu Mwanamke ni second na tegemeo lake ni Mungu na miguu yake miwili, nje ya hapo bora afe kwa kukonda hata mbavu zionekane zote.

Be a man even when dying!

Kuweni kama Ayubu
Msiwe kama Adam.
Wazazi wako wana bahati na heri mno, kumleta duniana mwamba kama huyu.!

BIG YES.

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
“ She is Not like other women, She’s Different from other Women“
Kauli ya Mwanaume Lofa ambaye atakuja Kuumeni analia muda si mrefu akishakuwa ‘ disillusioned’


ALL WOMEN ARE THE SAME! Amini hivo hutajuta maisha yako yote

Mrembo wangu, nikimbikiri na anaonyesha kunijali sana. She is in her early 20s mimi niko early 30s!

One day simu yake imevunja kioo hana pesa kama mnavyojua vioo vya Samsung ni expensive!

Nikampeleka akanunua kama 90K

The moment natoka niwahi Shift kazini ilikua jioni na nilitakiwa kuwahi maana nipo night shift nishapigiwa simu!

Nikaamua nipande boda kama buku tuu nauli so sikutaka nifike tuanze kutafuta chenji ntakua nazidi kuchelewa maana nilikua na noti ya elfu 10.

Sasa mdada alikua ameshika Noti mbili za elfu moja moja jumla kama elfu mbili hivi mkononi nikasema anipatie buku nipande boda.

Huwezi amini first impulse yake ni kuninyima ile buku na kashasahau nimempatia 90k pale ya kioo.

So pamoja na kutoa hiyo 90k alininyima 1k on the spot!

Ole wake mwanaume anaeamini Kuwa Mwanamke wake (wife, Gf etc) yupo tofauti na Wanawake wengine. Wote ni wale wale

And usioe Mwanamke kisa Ana pesa eti with a hope kwamba atakusaidia ukikwama hili lipo wazi siwezi kulitilia mkazo tena!

Mwanaume una Mungu tuu kama Kimbilio lako na wewe Mwenyewe .
Mungu “asipokusaidia” mwambie achukue roho yako.
Onyo: Don’t take your life as a Man.
Mwanaume kamili anajipenda na kujithamini, hashindani na Uke wa Mwanamke hadi anatoa mijasho, yeye anajiburudisha yeye tuu Mwanamke ni second na tegemeo lake ni Mungu na miguu yake miwili, nje ya hapo bora afe kwa kukonda hata mbavu zionekane zote.

Be a man even when dying!

Kuweni kama Ayubu
Msiwe kama Adam.
ushauri konki[emoji123]
 
Mwanamke kuhusu hela zake aisee achana nazo unaweza MPA LAKI 5 leo kesho ukamwambia una shida huna hela ya kula na AKAKUNYIMA na kukupa maneno ya kashfa kama wew mwanaume suruali na huna hela yani acha tu..[emoji28][emoji28]

Hawapo tofauti kama wako unahisi yupo tofauti ni suala la Muda tu.
 
mkuu, shukuru Mungu na omba Mungu aendelee kuwa hivyoohivyo, wanawake wote ubongo wao ni uleule, wanatofautiana kulingana na mazingira waliyopo tu na imani kwa Mungu kama ipo , ila kama wooote watakuwa mazingira mamoja, kuna uwezekano wote wakawa na tabia sawa.
Tofauti yetu ni urefu na ufupi tuuu, vingine vyote tuko sawa
 
Nyie si mnasemaga "mwanamke akiwa na akili ya kuvukia barabara tu zinatosha, hizo zingine tutatumia zangu" sasa mbona leo mnaanza kuwalaumu? alisikika mtu mmoja 😆😆
Mwanamke awe na akili au hana, awe na kipato au asiwe nacho, awe mzuri au mbaya siku zote hela yao ngumu kutoka na ikitoka itakuwa ya uchungu huku ikiambatana na makelele mengi.

Hela ya mwanamke si ya kuipigia mahesabu kabisa hata kama akiwa na kazi.
 
Mwanamke kuhusu hela zake aisee achana nazo unaweza MPA LAKI 5 leo kesho ukamwambia una shida huna hela ya kula na AKAKUNYIMA na kukupa maneno ya kashfa kama wew mwanaume suruali na huna hela yani acha tu..[emoji28][emoji28]

Hawapo tofauti kama wako unahisi yupo tofauti ni suala la Muda tu.
Umeandika ukweli, ulichokosea ni kuwela emoj ya kucheka. This is a serious issue, watu wanaumia. Unapocheka unaonekana kama na wewe ndio wale wale wa mizaha mizaha, unatakiwa kukemea VIKALI mzee. Kuna vitu vya kucheka not this!

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Umeandika ukweli, ulichokosea ni kuwela emoj ya kucheka. This is a serious issue, watu wanaumia. Unapocheka unaonekana kama na wewe ndio wale wale wa mizaha mizaha, unatakiwa kukemea VIKALI mzee. Kuna vitu vya kucheka not this!

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Inabdi ucheke tu maana hata ukikemea hakuna utakachobadilishaa... Imenitokea na inaendelea kunitokea so unakubali ukweli mchungu kumeza
 
Mwanamke awe na akili au hana, awe na kipato au asiwe nacho, awe mzuri au mbaya siku zote hela yao ngumu kutoka na ikitoka itakuwa ya uchungu huku ikiambatana na makelele mengi.

Hela ya mwanamke si ya kuipigia mahesabu kabisa hata kama akiwa na kazi.
Ni lazima ipigiwe kwa usawa huu. Kama hataki ipigiwe hesabu basi na afuate sheria na amri zilizowekwa na mume wake, hakuna kuajiri mfanyakazi, kama akiajiri amlipe yeye. Nguo za mume anatakiwa kufua yeye, kupika kwa wakati n.k! Akiweza hayo, basi atakuwa na haki ya kuzuia au kukataa hela yake isitumike na mume na ibaki kuwa yake.

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Inabdi ucheke tu maana hata ukikemea hakuna utakachobadilishaa... Imenitokea na inaendelea kunitokea so unakubali ukweli mchungu kumeza
Unaonekana ni mgumu kubadilika mzee[emoji23] yaani ni kiburi. Anyway ni tatizo lako na unalilea mwenyewe.[emoji3]

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Mkuu umenifunza kitu muhimu sana no matter what mkoje Ila mentality mko sawa hakuna cha kusema mimi niko tofauti


Hivyo basi kikubwa nitaendelea kuwa sadist zidi ya wanawake ila watoto wangu nitawathamini sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaaah kijana unatishia usalama wa binti zetu na mali zao.

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Na ndio niko hivyo siku zote that why sijawahi teseka kisa mapenzi .. napenda vile ninavyowaumiza

Mara ooh ushapata kile ulichokitaka unaniona si kitu [emoji1787]
Lahaulaaaa you are the next to Hitler. Unaonekan hata kwenye sex huwa unajipendelea sana kijana[emoji3]

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom