Ukitaka kujua kama unapendwa kweli ugua

Ukitaka kujua kama unapendwa kweli ugua

Mke kuwa na tako muhimu bwana...la muhimu kizingatia ni kwamba mwanamke yupo duniani kugegedwa akizingua unatafuta mwengine unatia ndani na lazima uwe na wanawake watatu minimum
Hyo sio inshu ,inshu Nikua hata hao watatu je ukikwama watakusaidia ktk dhiki?
 
Baadhi ya wanawake,kwakweli wanafikirisha sana,tumshiikishe Mungu katika kuchagua hawa wenzi wetu.Baadhi ya wadada hawana huruma na ni wakatili sana,sijui wana roho za aje?
Nilidhani labda ni IQ tu,kumbe ni ubinafsi na sijui kutukomoa... unakwama lakini mtu huambulii msaada wake,waweza kusaidiwa na rafiki yako lakini siyo baadhi yao hawa.
 
Ahsante mkuu,

Katika hili bwana ni kumshirikisha saana mungu, unaweza kuona ina umepata wakati wa uchumba ndani akakugeuka.
Tuliza akili, muombe mnoo mungu
Daahh,asante Sana mkuu,katika maswala yakuingia mahusiano Hadi ndoa hakika ,Mungu nimuhimu kumshirikisha,Mungu wambinguni azidi kukubariki mkuu
 
Umenikumbusha mbali Mwaka flan kipindi cha homa ya dengue nikiwa mitaa ya Uhasibu niliumwa Ule ugonjwa vbaya mno kutembea siwezi kichwa Sina nguvu Yani siwez Fanya chchte Hapo nilipitisha siku nzma sijala nimelala tu kama mfu Kuna Huyo manzi yangu nikamwomba anisaidie japo matunda aniletee akadai Hana hela nkamwambia njoo hela nakupa akakataa katakata halaf jioni ananiambia kamsindikiza rafiki yake karume kununua vitu, aisee niliumia Sana Ila nilimchezea mchezo uliomuumiza Sana kisaikolojia.
Mchezo upi? Huenda hakuamini kama kweli unaumwa. Huenda ni tabia yako kumdanganya ili aje umle. Jirekebishe.![emoji3]
 
Mke kuwa na tako muhimu bwana...la muhimu kizingatia ni kwamba mwanamke yupo duniani kugegedwa akizingua unatafuta mwengine unatia ndani na lazima uwe na wanawake watatu minimum
Mzabzab we' kila thread ushauri wako ni wa kunaharibu tu, daaah[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mzee akili yako unaijua mwenyewe
 
Daahh,mzeebaba umenitoa machozi mara baada yakumaliza kusoma Uzi wako, kiukweli bado mm pia najiuliza nakuomba Mungu anipatie mke atakaeweza kunisaida nikiwa nimekwama more especially ktk kuugua,wanaume wengi huona nijukumu Lao nahuubeba msalaba vilivyo pindi wake zao wanapopatwa namatatizo ,Ila kinyume chake nimajanga,hata Kwa hawa magirlfreinds ,,ukipatwa nnashida hawezi Kua nasuluhisho lolote ,kinyume chake ww unabeba jukumu,moja Kati yavigezo vyangu vyakuoa,kipimo mojawapo kikubwa niuwezo nautayari wamwanamke kunisaida pindi nnapokwama!sio nimsaidie yy Tu!
Hujachelewa. Jipende mwenyewe.
 
Mwanamke akikupenda yupo tiyari kukopa kwa ajili yako.
Tatizo na nyinyi wanaume siku hizi mnapenda mteremko, mnapenda kuoa wanawake wenye vipato au wenye status za familiya yaani kuoa mtoto wa fulani.

Inaonesha mpaka huyo mwanaume anakosa hiyo pesa nae hayuko vizuri kifedha. Means mwanamke ana kipato zaidi.

Mnaoa kutafuta sifa mwisho zinawaponza.

Mimi ningekuwa mwanaume misingeoa mwanamke anaenizidi kipato.
 
Baadhi ya wanawake,kwakweli wanafikirisha sana,tumshiikishe Mungu katika kuchagua hawa wenzi wetu.Baadhi ya wadada hawana huruma na ni wakatili sana,sijui wana roho za aje?
Nilidhani labda ni IQ tu,kumbe ni ubinafsi na sijui kutukomoa... unakwama lakini mtu huambulii msaada wake,waweza kusaidiwa na rafiki yako lakini siyo baadhi yao hawa.
Muheshimu mno na epuka kumdharau mwanaume mwenzio kwa vyovyote vile. Wanaume tunajua tunavyoinuana pindi mmoja anapokwama kama huyu. Epuka kumdharau mwanaume mwenzako.
 
Mwanamke akikupenda yupo tiyari kukopa kwa ajili yako.
Tatizo na nyinyi wanaume siku hizi mnapenda mteremko, mnapenda kuoa wanawake wenye vipato au wenye status za familiya yaani kuoa mtoto wa fulani.

Inaonesha mpaka huyo mwanaume anakosa hiyo pesa nae hayuko vizuri kifedha. Means mwanamke ana kipato zaidi.

Mnaoa kutafuta sifa mwisho zinawaponza.

Mimi ningekuwa mwanaume misingeoa mwanamke anaenizidi kipato.
Hivi ni kweli mkituzidi kipato mnakuwa na dharau ?
 
Mwanamke akikupenda yupo tiyari kukopa kwa ajili yako.
Tatizo na nyinyi wanaume siku hizi mnapenda mteremko, mnapenda kuoa wanawake wenye vipato au wenye status za familiya yaani kuoa mtoto wa fulani.

Inaonesha mpaka huyo mwanaume anakosa hiyo pesa nae hayuko vizuri kifedha. Means mwanamke ana kipato zaidi.

Mnaoa kutafuta sifa mwisho zinawaponza.

Mimi ningekuwa mwanaume misingeoa mwanamke anaenizidi kipato.
Si kila mwanamke mwenye kipato kikubwa yupo kama unavyosema wewe. Usikariri.
 
Mimi nadhani inategemea na mwanamke mwenyewe ,, watu wengi wanakosea kitu kimoja kuoa au kuwa na malengo na maslay Queen hawa ni wakuchzea tu, unakuta mwanamke mzuri ila kichwan ni box tupu anawaza nywele,kucha na ujinga ujinga mwingine badala ya maendeleo.

Mimi na mtu wangu bado sijamuoa ila tunasaidiana sana na sio mchoyo kwenye pesa zake hata kidogo,, kuna kipind nilikwama sana alinisave sana wala hakubadilika hata kidogo.

Ushauri unapotafuta mchumba au mke usiangalie tu urembo ,, me nikimtongoza mwanamke ndani ya wiki 2 tu nikiona tabia zake haziendani na mimi namuacha mara moja wala sijiuliza mara mbili.

Mpaka unafikia hatua ya kuoa maana yake ushamjua vizur mtu wako sasa huyo jamaa yako aliingia mkenge akaoa shetan so ondoa mawazo kwamba kila mwanamke yupo hivo,, sweetie wangu mtu muelewa sana hajawahi kuwa hivo
 
Back
Top Bottom