Ukitaka kujua kama unapendwa kweli ugua

Ukitaka kujua kama unapendwa kweli ugua

Shida ipo hivi unajitoa sana kwa mwanaume mwisho wa siku anaoa tena au anakuletea michepuko.
Ila mkiishi kikauzu mbona anaheshima nakupenda anajipenda .
Wanaume si riziki
 
Wanaume huwa mnajichanganya tu unamkuta mwanaume kang'ang'ania asikopendwa yaan dalili zote za mateso huko mbele anaziona lakini anapuuzia{sijui huwa mnarogwa},,mara nyingi matokeo yake ndo hayo unakuta mtu hata hakujali anakuona wa kazi gani.

Binafsi huyu kaka akipata hata mafua nachanganyikiwa mimi pia nikiugua namuona anavyohaha.Ni kumuomba tu Mungu akupe anayekupenda na umpende pia
Shida ni kwamba wanaume wengi hawapendi wanawake wanaowapenda, ambao ndio wangefanya chochote ili tu afurahi. Ila sasa wasipopendwa,wanapochunwa pesa, wnapodanganywa ndio hugharamia kuzidi kwa mtu ambae anampenda kiukweli.
 
Kuna kademu juzi wa mshikaji wangu aliumwa malaria saba sas mm nilichukulia kawaida tu jamaa ananiambia mbna ujamjulia Hali wakt amekutwa na malaria Saba duh nikaona niue Soo tukaenda kumuona nimkamkuta anajifuta futa kitandani na kuhema hema ..nikaona hapa hkn mgonjwa serious kwa ishu anazo ongea siyo mgonjwa wakutaka attention eti yule chalii wangu nae anamshur amuite mama ake aje kutoka mosh amuuguze ...Kuna ugonjwa. Na ugonjwa bhna
 
Acha tu kujipenda,,, Mwanaume kwa dunia ya sasa unaoa ili iweje???? ugundue nini???

Hakuna jema tena hiki kizazi,, Make sure unakula maisha,,, Support familia yako (Ndugu za damu, wazazi) na watoto wako....

Hao mara nyingi ukiwainua hawakusahau kirahisi,,, na sio huyu Kenge mnayekutana ukubwani na kujifanya mnapendana
 
Acha tu kujipenda,,, Mwanaume kwa dunia ya sasa unaoa ili iweje???? ugundue nini???

Hakuna jema tena hiki kizazi,, Make sure unakula maisha,,, Support familia yako (Ndugu za damu, wazazi) na watoto wako....

Hao mara nyingi ukiwainua hawakusahau kirahisi,,, na sio huyu Kenge mnayekutana ukubwani na kujifanya mnapendana
Duuuh kweli
 
“ She is Not like other women, She’s Different from other Women“
Kauli ya Mwanaume Lofa ambaye atakuja Kuumeni analia muda si mrefu akishakuwa ‘ disillusioned’


ALL WOMEN ARE THE SAME! Amini hivo hutajuta maisha yako yote

Mrembo wangu, nikimbikiri na anaonyesha kunijali sana. She is in her early 20s mimi niko early 30s!

One day simu yake imevunja kioo hana pesa kama mnavyojua vioo vya Samsung ni expensive!

Nikampeleka akanunua kama 90K

The moment natoka niwahi Shift kazini ilikua jioni na nilitakiwa kuwahi maana nipo night shift nishapigiwa simu!

Nikaamua nipande boda kama buku tuu nauli so sikutaka nifike tuanze kutafuta chenji ntakua nazidi kuchelewa maana nilikua na noti ya elfu 10.

Sasa mdada alikua ameshika Noti mbili za elfu moja moja jumla kama elfu mbili hivi mkononi nikasema anipatie buku nipande boda.

Huwezi amini first impulse yake ni kuninyima ile buku na kashasahau nimempatia 90k pale ya kioo.

So pamoja na kutoa hiyo 90k alininyima 1k on the spot!

Ole wake mwanaume anaeamini Kuwa Mwanamke wake (wife, Gf etc) yupo tofauti na Wanawake wengine. Wote ni wale wale

And usioe Mwanamke kisa Ana pesa eti with a hope kwamba atakusaidia ukikwama hili lipo wazi siwezi kulitilia mkazo tena!

Mwanaume una Mungu tuu kama Kimbilio lako na wewe Mwenyewe .
Mungu “asipokusaidia” mwambie achukue roho yako.
Onyo: Don’t take your life as a Man.
Mwanaume kamili anajipenda na kujithamini, hashindani na Uke wa Mwanamke hadi anatoa mijasho, yeye anajiburudisha yeye tuu Mwanamke ni second na tegemeo lake ni Mungu na miguu yake miwili, nje ya hapo bora afe kwa kukonda hata mbavu zionekane zote.

Be a man even when dying!

Kuweni kama Ayubu
Msiwe kama Adam.
Nimekupata mkuu big point!
 
Shida ni kwamba wanaume wengi hawapendi wanawake wanaowapenda, ambao ndio wangefanya chochote ili tu afurahi. Ila sasa wasipopendwa,wanapochunwa pesa, wnapodanganywa ndio hugharamia kuzidi kwa mtu ambae anampenda kiukweli.
Sijui kwa nini mara nyingi anayekupenda hawi mzuri na hakuvutii. Based on experience!

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Acha tu kujipenda,,, Mwanaume kwa dunia ya sasa unaoa ili iweje???? ugundue nini???

Hakuna jema tena hiki kizazi,, Make sure unakula maisha,,, Support familia yako (Ndugu za damu, wazazi) na watoto wako....

Hao mara nyingi ukiwainua hawakusahau kirahisi,,, na sio huyu Kenge mnayekutana ukubwani na kujifanya mnapendana
Yes, kumbe ni wizi wizi tu!

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom