Ukisoma tweet hii ya Mnyika,utaweza pata jibu ni kwanini awamu hii imeweza kununua hizo ndege na imenunua ndege kwa kuathiri namna gani mambo mengine

Ndio maana huwa nasema awamu hii ni popuilar miongoni mwa watu wenye uwezo mdogo wa kupima na kutafakari mambo ukiacha wale wanufaika wa moja kwa moja wa utawala huu bila kusahau wasaka vyeo/uteuzi.

Mtu alieamua kuelekeza fedha nyingi kwenye maeneo machache anajilinganishaje na wenzake waliona umuhimu wa kugawa kidogo kilichpo kwa kila sekta?

Na wasiojielewa wanashangilia wanasahau hata mishahara kwa mwaka wa nne ameshindwa kuongeza.
Wale wanaoshangilia wamekodishwa
 
Hivi Pascal wananchi hatuwezi kupendekeza wabunge wapungue huko bungeni maana Serikali ndo inaleta maendeleo wala sio mbunge. Hata kama hiyo sehemu haina mbunge, serikali inajua wananchi hao mahitaji yao kama maji, barabara, Hospitali etc,Sasa mbona wabunge wengi bungeni wangepungua tuka save hizo pesa zifanye vitu vingine.
Naunga mkono hoja, tuanze na wale wabunge wa vitu maalum.
P
 
Wabunge wa chadema wlikua bize twitter kutukana na kupiga vijembe
Makonda kaomba hospitali kapewa pesa,kila mbunge anasema na yeye aliomba,mstahiki meya yeye kasema alishapewa kabisa hizo pesa zipo tu anaziangia
Hao ndio wanataka tuwape dola
 
Tulia mzee baba zile flights ni za biashara tayari zimeshatengeneza faida dola mil .14..
ambazo zinakuja kutumika kwenye maendeleo mengine .....
na kuboresha maswala ya afya...
"Faida ya dola mil14", wajinga kama wewe ndio hasara kubwa kwenye taifa hili. Nyinyi hasa ndio lengo la hawa wababaishaji, kwa sababu wanajua hamna chembe ya uelewa wa jambo lolote.

Haya, tueleze hiyo "Faida ya dola 14 mil. ilipatikana wapi? Hivi unao uelewa wowote wa biashara kweli? Hata machungwa hujawahi kuyauza huko mtaani?
 
Angekuwa na staa angemshukuru muheshimiwa rais kwa kazi kubwa inayoenda kufanyika
 
"Faida ya dola mil14", wajinga kama wewe ndio hasara kubwa kwenye taifa hili. Nyinyi hasa ndio lengo la hawa wababaishaji, kwa sababu wanajua hamna chembe ya uelewa wa jambo lolote.

Haya, tueleze hiyo "Faida ya dola 14 mil. ilipatikana wapi? Hivi unao uelewa wowote wa biashara kweli? Hata machungwa hujawahi kuyauza huko mtaani?
Ww na baba yako ndio wajinga.
infact mna akili za kijima sana..
jitahidini mpeleke ndugu zenu shule..
kuondoa tongotongo....
walau mfanane na watu.
 
Huwezi leta maendeleo kama ujaweka mipango. maendeleo yanaenda kwa mipango miradi mingi ameifanyia kazi. Wewe umeona sekta ya ndege peke kwani huoni mambo menhine aliyo fanyia kazi
 
Ishu sio kuomba halafu akapewa ishu hapa ni aina ya maneno aliyotumia makonda wakati anaomba alisema wabunge hao hawafanyi kitu chochote,kwahiyo kabla ya kuomba alianza kuchafua wenzake akawatumia kama ngazi halafu akaomba yeye.

Mh Rais Kama kweli aliombwa na Mh wabunge au madiwani walishawahi kupitisha halafu hakutoa jibu then Makonda akaomba na hapo hapo akapewa hii inafikirisha sana maana Muwakilishi wa raia hajasikilizwa lakini mteule amesikilizwa.
Hiyo lugha aliyotumia Makonda haifai. Haifai kabisa! Hayo siyo maneno ya Jukwaani hata siku moja.

Majibu yangu yalilenga tweet message iliyoletwa kwamba ni ya Mnyika. Imejaa utoto na kutaka muhimu ieleweke kwamba yeye ndiye wa kwanza kuomba Hospitali. Msg ni kama anajutia kwa nini yeye Makonda? Mimi mwananchi sina shida ya nani aliomba na kupewa. Majumbani pia huwa tunachagua mtu wa kufikisha aina fulani ya ujumbe hata kama mwenye wazo ni mwingine.
 
Back
Top Bottom