Ukisoma tweet hii ya Mnyika,utaweza pata jibu ni kwanini awamu hii imeweza kununua hizo ndege na imenunua ndege kwa kuathiri namna gani mambo mengine

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,888
143,985
1572168730498.png
 
Ndio maana huwa nasema awamu hii ni popuilar miongoni mwa watu wenye uwezo mdogo wa kupima na kutafakari mambo ukiacha wale wanufaika wa moja kwa moja wa utawala huu bila kusahau wasaka vyeo/uteuzi.

Mtu alieamua kuelekeza fedha nyingi kwenye maeneo machache anajilinganishaje na wenzake waliona umuhimu wa kugawa kidogo kilichpo kwa kila sekta?

Na wasiojielewa wanashangilia wanasahau hata mishahara kwa mwaka wa nne ameshindwa kuongeza.
 
Ukiwazia sana uongozi huu unaoendesha mambo kitoto unaishia kusema alhamdulilah maana maandiko yana sema shukuruni kwa kila jambo (hapo inamaanisha hata haya ya kijinga tushukuru) maana pengine yameruhusiwa na Mungu tupate somo LA kuijua ccm vizuri.
Na tukiijua vyema ccm hasira za kuitoa zitaota mioyoni mwetu na ikibidi kwenye misuli yetu kama itabidi nguvu zitumike.
 
Tatizo mwenye nchi ameigawa nchi vipandevipande, mwananchi kwake ni yule aliyeichagua CCM, mtanzania kwake ni yule aliyeichagua CCM, mzalendo kwake ni yule anayeunga mkono kila kitu, mwenye mawazo mbadala anatumika na mabeberu.

Anaetakiwa kusikilizwa ni kiongozi anayetokana na CCM, mbunge wa upinzani aliyechaguliwa na wananchi anapoomba jambo lolote la kimaendeleo au wananchi waliochagua upinzani wanapewa majibu ya kashifa,au anapotaka kusaidia jambo hilo linageuzwa na kuwa la kiccm ccm kwa kumtaja mwanaccm yeyote kuwa ndiye aliyeomba kana kwamba wananchi waliochagua upinzani na viongozi wanaotokana na upinzani hakuna shida wanazompelekea.
 
Ukiwazia sana uongozi huu unaoendesha mambo kitoto unaishia kusema alhamdulilah maana maandiko yana sema shukuruni kwa kila jambo (hapo inamaanisha hata haya ya kijinga tushukuru) maana pengine yameruhusiwa na Mungu tupate somo LA kuijua ccm vizuri.
Na tukiijua vyema ccm hasira za kuitoa zitaota mioyoni mwetu na ikibidi kwenye misuli yetu kama itabidi nguvu zitumike.
awamu IPI iliyo kuridhisha kiufanisi?? Katika kazi zake tuanzie hapo
 
Tatizo mwenye nchi ameigawa nchi vipandevipande, mwananchi kwake ni yule aliyeichagua CCM, mtanzania kwake ni yule aliyeichagua CCM, mzalendo kwake ni yule anayeunga mkono kila kitu, mwenye mawazo mbadala anatumika na mabeberu.

Anaetakiwa kusikilizwa ni kiongozi anayetokana na CCM, mbunge wa upinzani aliyechaguliwa na wananchi anapoomba jambo lolote la kimaendeleo au wananchi waliochagua upinzani wanapewa majibu ya kashifa,au anapotaka kusaidia jambo hilo linageuzwa na kuwa la kiccm ccm kwa kumtaja mwanaccm yeyote kuwa ndiye aliyeomba kana kwamba wananchi waliochagua upinzani na viongozi wanaotokana na upinzani hakuna shida wanazompelekea.

Labada useme wewe watakusikiliza tukisema sisi wengine tunaonekana tuna chuki binafsi. Mbunge wa jimbo husika aliliwakilisha hilo akiwa jimboni kwake toka 2018 halikumbukwi kinachokumbukwa ni cha jana kilichosemwa na mwana ccm ili tu kugain political mileage. Hii si sawa hata kidogo kwa masilahi mapana ya nchi.
 
Ndio maana huwa nasema awamu hii ni popuilar miongoni mwa watu wenye uwezo mdogo wa kupima na kutafakari mambo ukiacha wale wanufaika wa moja kwa moja wa utawala huu.

Mtu alieamua kuelekeza fedha nyingi kwenye maeneo machache anajilinganishaje na wenzake waliona umuhimu wa kugawa kidogo kilichpo kwa kila sekta?

Na wajinga wanashangilia wanasahau hata mishahara kwa mwaka wa nne ameshindwa kuongeza.
Tulia mzee baba zile flights ni za biashara tayari zimeshatengeneza faida dola mil .14..
ambazo zinakuja kutumika kwenye maendeleo mengine .....
na kuboresha maswala ya afya...
 
.....Kila mbunge anasema jimbo lake linashida...anaiomba serikali ilete maendeleooo...

WATANZANIA tunachangamoto ya SIASA na uhitaji wa maendeleo ya jamiii bila kujali itikadi ya chama chochoteee... mawazo ya kwamba maendeleo yanaletwa na chama fulani ni hatari kwa jamiii nzimaaa.. Inakuwaje hadi kiongozi serikalini apite ndo wananchi watoe changamotooo ama waoneshe wamefikia wapi ?

I hate POLITICS
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom