Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,193
Ukiona Rais wa Nchi ana chawa wengi tambua mtu huyo hana uwezo wowote wa kuongoza Nchi.
Rais debe tupu lazima Nchi yake itakubwa na yafuatayo;
....uongozi duni.
....huduma za jamii kulemaa.
....upungufu wa umeme.
....ufisadi kutamalaki.
....ubinafsishaji wa mashirika ya umma ki ufisadi.
....safari nyingi za nje zisizo na maana yeyote.
Kwa muktadha huo, endapo Nchi yako ina Kiongozi mwenye machawa wengi tambua huna Rais bali unaongozwa na debe tupu!
Rais debe tupu lazima Nchi yake itakubwa na yafuatayo;
....uongozi duni.
....huduma za jamii kulemaa.
....upungufu wa umeme.
....ufisadi kutamalaki.
....ubinafsishaji wa mashirika ya umma ki ufisadi.
....safari nyingi za nje zisizo na maana yeyote.
Kwa muktadha huo, endapo Nchi yako ina Kiongozi mwenye machawa wengi tambua huna Rais bali unaongozwa na debe tupu!