Sitaongea mengi sana!
Lakini naomba kuwatafsiria jambo ili msipate tabu kuelewa!
LOGIC 1. Ukiona unayedhani alikuwa ni bikira anaamua kujitangaza rasmi mtandaoni kuwa ana mimba basi tambua kwamba kashajifungua mtoto tayali!
WHy? Ni kwasababu kama aliweza kuficha asijulikane kama anazini (anafanywa) , katu hawezi weka kielelezo cha kufanywa mtandaoni bila kuwa na uhakika wa matokeo (mtoto), ndiyo maana anapojifungua ndipo anaweka picha ya mimba!..
LOGIC 2. Ukimtembelea mgonjwa aliye mahututi, ukamsalimia akakwambia yuko fiti kamili gado! Rudi nyumbani kajiandae na mazishi!
Nachotaka kusema ni nini!
Ikiwa kuna taarifa imefichwa, na fununu zikazagaa juu ya uvumi huo! Basi tambua kwamba siku mamlaka ikikubali na kutangaza hadharani ukweli wa taarifa hiyo basi matokeo yake huwa si ya kufurahisha!
Mfano;
Kama uvumi ni ugonjwa, na siri ikafichwa, basi siku taarifa rasmi ikitoka huwa niyakuwaanda watu kisaikolojia kabla ya kutangaza msiba!
Ukweli ukweli ni ukweli; na Uongo uongo huwa ni ukweli Pia!
Lakini Uongo na ukweli matokeo yake huwa ni UONGO!
Ukitaka kujua umeme umekatika haihitaji kupiga simu tanesco wakati taa zipo salama!
Hiyo ndo nguvu ya LOGIC
Lakini naomba kuwatafsiria jambo ili msipate tabu kuelewa!
LOGIC 1. Ukiona unayedhani alikuwa ni bikira anaamua kujitangaza rasmi mtandaoni kuwa ana mimba basi tambua kwamba kashajifungua mtoto tayali!
WHy? Ni kwasababu kama aliweza kuficha asijulikane kama anazini (anafanywa) , katu hawezi weka kielelezo cha kufanywa mtandaoni bila kuwa na uhakika wa matokeo (mtoto), ndiyo maana anapojifungua ndipo anaweka picha ya mimba!..
LOGIC 2. Ukimtembelea mgonjwa aliye mahututi, ukamsalimia akakwambia yuko fiti kamili gado! Rudi nyumbani kajiandae na mazishi!
Nachotaka kusema ni nini!
Ikiwa kuna taarifa imefichwa, na fununu zikazagaa juu ya uvumi huo! Basi tambua kwamba siku mamlaka ikikubali na kutangaza hadharani ukweli wa taarifa hiyo basi matokeo yake huwa si ya kufurahisha!
Mfano;
Kama uvumi ni ugonjwa, na siri ikafichwa, basi siku taarifa rasmi ikitoka huwa niyakuwaanda watu kisaikolojia kabla ya kutangaza msiba!
Ukweli ukweli ni ukweli; na Uongo uongo huwa ni ukweli Pia!
Lakini Uongo na ukweli matokeo yake huwa ni UONGO!
Ukitaka kujua umeme umekatika haihitaji kupiga simu tanesco wakati taa zipo salama!
Hiyo ndo nguvu ya LOGIC