makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 27,737
- 79,939
Logic yako imefeli j.k bwana john komba mzee wa kuoiga SOGA yupo mzima km chuma naona kahudhuria na mahafali leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo alikuwa UDSM na kwenye tv tumemuona liveMtu akikwambia huna cheti siyo lazima ukanushe, we muwekee picha. Ya cheti chako tu!
System ili kuharalisha bajeti ya ulinziHii nadhani ilikuwa kiki tu maana hata haijulikani aliyezusha nani na kwa sababu zipi watu wengi hata hawakuwa wakijua.
Huyu kwa sas yuko wapi?Nzuri hii. Umenikumbusha Dr Miyanjo.
Sitaongea mengi sana!
Lakini naomba kuwatafsiria jambo ili msipate tabu kuelewa!
LOGIC 1. Ukiona unayedhani alikuwa ni bikira anaamua kujitangaza rasmi mtandaoni kuwa ana mimba basi tambua kwamba kashajifungua mtoto tayali!
WHy? Ni kwasababu kama aliweza kuficha asijulikane kama anazini (anafanywa) , katu hawezi weka kielelezo cha kufanywa mtandaoni bila kuwa na uhakika wa matokeo (mtoto), ndiyo maana anapojifungua ndipo anaweka picha ya mimba!..
LOGIC 2. Ukimtembelea mgonjwa aliye mahututi, ukamsalimia akakwambia yuko fiti kamili gado! Rudi nyumbani kajiandae na mazishi!
Nachotaka kusema ni nini!
Ikiwa kuna taarifa imefichwa, na fununu zikazagaa juu ya uvumi huo! Basi tambua kwamba siku mamlaka ikikubali na kutangaza hadharani ukweli wa taarifa hiyo basi matokeo yake huwa si ya kufurahisha!
Mfano;
Kama uvumi ni ugonjwa, na siri ikafichwa, basi siku taarifa rasmi ikitoka huwa niyakuwaanda watu kisaikolojia kabla ya kutangaza msiba!
Ukweli ukweli ni ukweli; na Uongo uongo huwa ni ukweli Pia!
Lakini Uongo na ukweli matokeo yake huwa ni UONGO!
Ukitaka kujua umeme umekatika haihitaji kupiga simu tanesco wakati taa zipo salama!
Hiyo ndo nguvu ya LOGIC