Ukijua kuichambua LOGIC raha sana. Unaweza kujiona Nabii kumbe ni Saikolojia tu

Logic yako imefeli j.k bwana john komba mzee wa kuoiga SOGA yupo mzima km chuma naona kahudhuria na mahafali leo.
 
Mtu akikwambia huna cheti siyo lazima ukanushe, we muwekee picha. Ya cheti chako tu!
Leo alikuwa UDSM na kwenye tv tumemuona live
Screenshot_2021-05-27-18-11-11-33.jpg


Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
You remind me about LOGIC in A-level and the following are truth about it.
1)False implies false is TRUE example in the court if you decide to tell about false all times then your final conclusion drawn may be accounted as TRUE.
2)enemy of your enemy is your friend.
3)99 true statements combined with only 1 false statement is judged false as a whole.😛😜😝
4)samaki mmoja akioza wote wameoza.🙏🙏
 
Hii nadhani ilikuwa kiki tu maana hata haijulikani aliyezusha nani na kwa sababu zipi watu wengi hata hawakuwa wakijua.
 
Called the power of logic congratulations kwa kuweza kufafanua vivid examples za logic how it works.
 
Sitaongea mengi sana!

Lakini naomba kuwatafsiria jambo ili msipate tabu kuelewa!

LOGIC 1. Ukiona unayedhani alikuwa ni bikira anaamua kujitangaza rasmi mtandaoni kuwa ana mimba basi tambua kwamba kashajifungua mtoto tayali!

WHy? Ni kwasababu kama aliweza kuficha asijulikane kama anazini (anafanywa) , katu hawezi weka kielelezo cha kufanywa mtandaoni bila kuwa na uhakika wa matokeo (mtoto), ndiyo maana anapojifungua ndipo anaweka picha ya mimba!..

LOGIC 2. Ukimtembelea mgonjwa aliye mahututi, ukamsalimia akakwambia yuko fiti kamili gado! Rudi nyumbani kajiandae na mazishi!

Nachotaka kusema ni nini!

Ikiwa kuna taarifa imefichwa, na fununu zikazagaa juu ya uvumi huo! Basi tambua kwamba siku mamlaka ikikubali na kutangaza hadharani ukweli wa taarifa hiyo basi matokeo yake huwa si ya kufurahisha!

Mfano;
Kama uvumi ni ugonjwa, na siri ikafichwa, basi siku taarifa rasmi ikitoka huwa niyakuwaanda watu kisaikolojia kabla ya kutangaza msiba!

Ukweli ukweli ni ukweli; na Uongo uongo huwa ni ukweli Pia!

Lakini Uongo na ukweli matokeo yake huwa ni UONGO!

Ukitaka kujua umeme umekatika haihitaji kupiga simu tanesco wakati taa zipo salama!

Hiyo ndo nguvu ya LOGIC


Mkuu tusaidie hapa

A: CCM DIGITAL

Wanachama wote ni sawa. Wote wanalipa ada zao za Uanachama kwa usawa, wote wana haki sawa. Kwa CCM hakuna Mwanachama tajiri au masikini, wote wamewekwa katika kapu moja. Masikini na tajiri wote wanalipa ada ya Uanachama ya Tshs. 1,200/= kwa mwaka. Katika CCM hakuna Mwanachama mbora zaidi ya mwingine. Kwa sababu hii, wanachama wa CCM wote wana-hadhi moja hakuna show-off ya uwezo wa mtu kwenye Chama. Wote wana wajibu mmoja na haki zenye kufanana bila kutofautishwa au kubaguliwa kwa hali ya uchumi. Kwa kifupi, hiki ni Chama cha wote, wenye nacho na wasio nacho ndio maana hata ada ya uanachama ni Tsh. 100 kwa mwezi.

 
LOGIC=MANTIKI

Watu baadhi mkiwa kwenye mabishano ukitumia logic anaanza kukuita msomi
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom