Ukijua kuichambua LOGIC raha sana. Unaweza kujiona Nabii kumbe ni Saikolojia tu

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,279
21,396
Sitaongea mengi sana!

Lakini naomba kuwatafsiria jambo ili msipate tabu kuelewa!

LOGIC 1. Ukiona unayedhani alikuwa ni bikira anaamua kujitangaza rasmi mtandaoni kuwa ana mimba basi tambua kwamba kashajifungua mtoto tayali!

WHy? Ni kwasababu kama aliweza kuficha asijulikane kama anazini (anafanywa) , katu hawezi weka kielelezo cha kufanywa mtandaoni bila kuwa na uhakika wa matokeo (mtoto), ndiyo maana anapojifungua ndipo anaweka picha ya mimba!..

LOGIC 2. Ukimtembelea mgonjwa aliye mahututi, ukamsalimia akakwambia yuko fiti kamili gado! Rudi nyumbani kajiandae na mazishi!

Nachotaka kusema ni nini!

Ikiwa kuna taarifa imefichwa, na fununu zikazagaa juu ya uvumi huo! Basi tambua kwamba siku mamlaka ikikubali na kutangaza hadharani ukweli wa taarifa hiyo basi matokeo yake huwa si ya kufurahisha!

Mfano;
Kama uvumi ni ugonjwa, na siri ikafichwa, basi siku taarifa rasmi ikitoka huwa niyakuwaanda watu kisaikolojia kabla ya kutangaza msiba!

Ukweli ukweli ni ukweli; na Uongo uongo huwa ni ukweli Pia!

Lakini Uongo na ukweli matokeo yake huwa ni UONGO!

Ukitaka kujua umeme umekatika haihitaji kupiga simu tanesco wakati taa zipo salama!

Hiyo ndo nguvu ya LOGIC
 
IMG_20210521_232606.jpg
 
Hapa ni mwendo wa Codes tu.
Hii inanikumbusha kipindi Jiwe amekata moto halafu mataga wanakataa mitandaoni wakati dunia yote inajua jiwe alishakufa, tena kafa kwa Corona!
 
Sitaongea mengi sana!

Lakini naomba kuwatafsiria jambo ili msipate tabu kuelewa!

LOGIC 1. Ukiona unayedhani alikuwa ni bikira anaamua kujitangaza rasmi mtandaoni kuwa ana mimba basi tambua kwamba kashajifungua mtoto tayali!

WHy? Ni kwasababu kama aliweza kuficha asijulikane kama anazini (anafanywa) , katu hawezi weka kielelezo cha kufanywa mtandaoni bila kuwa na uhakika wa matokeo (mtoto), ndiyo maana anapojifungua ndipo anaweka picha ya mimba!..

LOGIC 2. Ukimtembelea mgonjwa aliye mahututi, ukamsalimia akakwambia yuko fiti kamili gado! Rudi nyumbani kajiandae na mazishi!

Nachotaka kusema ni nini!

Ikiwa kuna taarifa imefichwa, na fununu zikazagaa juu ya uvumi huo! Basi tambua kwamba siku mamlaka ikikubali na kutangaza hadharani ukweli wa taarifa hiyo basi matokeo yake huwa si ya kufurahisha!

Mfano;
Kama uvumi ni ugonjwa, na siri ikafichwa, basi siku taarifa rasmi ikitoka huwa niyakuwaanda watu kisaikolojia kabla ya kutangaza msiba!

Ukweli ukweli ni ukweli; na Uongo uongo huwa ni ukweli Pia!

Lakini Uongo na ukweli matokeo yake huwa ni UONGO!

Ukitaka kujua umeme umekatika haihitaji kupiga simu tanesco wakati taa zipo salama!

Hiyo ndo nguvu ya LOGIC
Kwasababu tunataka kujua tutajua yaliyomo kwa kuwa lisemwalo lipo kama halipo litatimia
 
Sitaongea mengi sana!

Lakini naomba kuwatafsiria jambo ili msipate tabu kuelewa!

LOGIC 1. Ukiona unayedhani alikuwa ni bikira anaamua kujitangaza rasmi mtandaoni kuwa ana mimba basi tambua kwamba kashajifungua mtoto tayali!

WHy? Ni kwasababu kama aliweza kuficha asijulikane kama anazini (anafanywa) , katu hawezi weka kielelezo cha kufanywa mtandaoni bila kuwa na uhakika wa matokeo (mtoto), ndiyo maana anapojifungua ndipo anaweka picha ya mimba!..

LOGIC 2. Ukimtembelea mgonjwa aliye mahututi, ukamsalimia akakwambia yuko fiti kamili gado! Rudi nyumbani kajiandae na mazishi!

Nachotaka kusema ni nini!

Ikiwa kuna taarifa imefichwa, na fununu zikazagaa juu ya uvumi huo! Basi tambua kwamba siku mamlaka ikikubali na kutangaza hadharani ukweli wa taarifa hiyo basi matokeo yake huwa si ya kufurahisha!

Mfano;
Kama uvumi ni ugonjwa, na siri ikafichwa, basi siku taarifa rasmi ikitoka huwa niyakuwaanda watu kisaikolojia kabla ya kutangaza msiba!

Ukweli ukweli ni ukweli; na Uongo uongo huwa ni ukweli Pia!

Lakini Uongo na ukweli matokeo yake huwa ni UONGO!

Ukitaka kujua umeme umekatika haihitaji kupiga simu tanesco wakati taa zipo salama!

Hiyo ndo nguvu ya LOGIC
Hii logic ya pili unaenda kinyume na maneno ya mgonjwa
 
Back
Top Bottom