Mgalanjuka:nimecheka hadi basi,kuna bi.mdogo wa best ile kufika tu ufukweni na kuona wadada waliopo,kamwambia jamaa warudi home na ugomvi juu.nahisi alimuona jamaa anakodoa
Mgalanjuka:nimecheka hadi basi,kuna bi.mdogo wa best ile kufika tu ufukweni na kuona wadada waliopo,kamwambia jamaa warudi home na ugomvi juu.nahisi alimuona jamaa anakodoa
Mmm! hii ukiwa na bi mdogo lazima akukamate unakodoa macho! noma
Mmm! hii ukiwa na bi mdogo lazima akukamate unakodoa macho! noma