Hii minene inatia hamu ya haraka ila pia inakinai haraka, ni km kula chakula cha mafuta unakinai na kupata kiu baada ya muda.
ila yanakuwa na k- ndogoooo ukilinganisha na vile vibasmati huwa vitamuuu halafu havikinai.
Oookay...ndio sababu maji ya bahari yana chumvi!!!!
duh,wee ni mtaalam!Jah man
mh mbona ni ''mibongebongenyanya'' hivi....lol
Oookay...ndio sababu maji ya bahari yana chumvi!!!!
Young_Master ... Vipi Mkuu, unaulizia beach? ... unataka uanze kuwa unahudhuria hapo nini?Hii ni beach ya wapi?
Young_Master ... Vipi Mkuu, unaulizia beach? ... unataka uanze kuwa unahudhuria hapo nini?
Mmm! hii ukiwa na bi mdogo lazima akukamate unakodoa macho! noma
Huyo mwenye njano