Ukienda beach uhondo bwerere....!

Ukitimba pale south beach jumapili lazima uenjoy! mm huwa nina attendance nzuri kidogo pale kwa ajili ya hii kitu. Ni kama unakula mdudu ukishushia na grant. Noma aiseee.
 
attachment.php

Kweli beach kuna mambo!
 
Jamaa kule back yard mbona kama amemnanihi mtu..............miguu iko juu
 
mh mbona ni ''mibongebongenyanya'' hivi....lol

Kweli binadamu tunatofautiana, yaani mimi vimbau mbau hata mzee down hashituki, ila kwa hii mibonge, naweze kabidhi kadi ya benki. Sijui lile shindano la bantu figure liliishia wapi, nyie bakini na Lundenga wenu
 
Mh!!!!!!!!!! Walikuwa kibeach zaidi hope stress ziliwaisha as people say maji ya bahari yanaondoa usongo...
 
Back
Top Bottom