maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,120
- 4,850
Habari zenu wana MMU naimani mko poa mnaendelea vizuri na majukumu ya kila siku.
Kwenye maisha kuna mambo mengi yanatokea unaeza ukawa umezaliwa kwene mazingira mazuri, umekuzwa kidini pasi na kujihusisha na ulozi lakini kadri unavyoendelea kuishi watu wanaku-shape kutokana na tabia zao, husda na chuki, unajikuta umeingia huko.
Kitambo sikuwahi kuwaza mambo kama haya kwa upande chanya lakini kadri ninavyokua na ninayokutana nayo, taratibu naanza kuwaelewa watu kwanini wanaenda kwa wataalamu.
Wapo wanaoenda kutafuta, wapo wanaoenda kujilinda lakini pia wapo wanaoenda kuangalia tu ramani za miili yao zimekaaje maana kuna watu hawahitaji sababu ya kukufanyia ubaya.
Wewe ilikuwaje ukaenda kwa mtaalamu? Na ulivyokuwa mwanzo na baada ya kwenda huko mambo yana tofauti gani? Kama una uwezo kwa kushare contact za wataalamu, pia tusaidiane.
Itoshe kusema, hawa wataalamu wamekuwa na msaada mkubwa sana kwa watu tofauti tofauti lakini wachache sana wanakiri na kuthamini uwepo wao.
Kwenye maisha kuna mambo mengi yanatokea unaeza ukawa umezaliwa kwene mazingira mazuri, umekuzwa kidini pasi na kujihusisha na ulozi lakini kadri unavyoendelea kuishi watu wanaku-shape kutokana na tabia zao, husda na chuki, unajikuta umeingia huko.
Kitambo sikuwahi kuwaza mambo kama haya kwa upande chanya lakini kadri ninavyokua na ninayokutana nayo, taratibu naanza kuwaelewa watu kwanini wanaenda kwa wataalamu.
Wapo wanaoenda kutafuta, wapo wanaoenda kujilinda lakini pia wapo wanaoenda kuangalia tu ramani za miili yao zimekaaje maana kuna watu hawahitaji sababu ya kukufanyia ubaya.
Wewe ilikuwaje ukaenda kwa mtaalamu? Na ulivyokuwa mwanzo na baada ya kwenda huko mambo yana tofauti gani? Kama una uwezo kwa kushare contact za wataalamu, pia tusaidiane.
Itoshe kusema, hawa wataalamu wamekuwa na msaada mkubwa sana kwa watu tofauti tofauti lakini wachache sana wanakiri na kuthamini uwepo wao.