Kwani Kuna shida Gani mkuukwa mujibu wa sheria ya fedha 2025, serikali imeweka tozo ya UKIMWI ambayo nadhani ni matokeo ya USAID kuondoka na UKIMWI kuwa hauna fedha.
Hii tozo ni kwa wanaoagiza magari na madini. Viwango ni kama kwenye jedwali lifuataloView attachment 3469542
Wenye magari vinara wa kusambaza UKIMWI 😎kwa mujibu wa sheria ya fedha 2025, serikali imeweka tozo ya UKIMWI ambayo nadhani ni matokeo ya USAID kuondoka na UKIMWI kuwa hauna fedha.
Hii tozo ni kwa wanaoagiza magari na madini. Viwango ni kama kwenye jedwali lifuataloView attachment 3469542

kwa mujibu wa sheria ya fedha 2025, serikali imeweka tozo ya UKIMWI ambayo nadhani ni matokeo ya USAID kuondoka na UKIMWI kuwa hauna fedha.
Hii tozo ni kwa wanaoagiza magari na madini. Viwango ni kama kwenye jedwali lifuataloView attachment 3469542
wakate kwenye posho na malupulupu ya viongoziKwani Kuna shida Gani mkuu
Ukiwasaidia ndugu wanaoishi na maambikizi ya ukimwi ,
Pia chukua tahadhari ndugu wamiliki wengi wa magari wanendeza ngono zembe Sana ,isehe ukawa miongoni mwa wanufaika 😊😊😊
Hiyo fedha inaweza pia ijanzisha Mfuko wa mama kuwasaidia waathirika
Njia rahisi ya wanasiasa kupata pesa bila kuonyesha athari kwenye jamii, ni kuweka tozo kama hizi. Hakuna sehemu zimechotwa bali ukilipa, moja kwa moja zinakwenda kwenye akaunti zao.Kwani Kuna shida Gani mkuu
Ukiwasaidia ndugu wanaoishi na maambikizi ya ukimwi ,
Pia chukua tahadhari ndugu wamiliki wengi wa magari wanendeza ngono zembe Sana ,isehe ukawa miongoni mwa wanufaika 😊😊😊
Hiyo fedha inaweza pia ijanzisha Mfuko wa mama kuwasaidia waathirika