Iko hvyo ila ni adv. Kwao ku recover haraka kuliko sisi wanaume
do u believe that whenever there is a break up kila member amechangia , na tofauti ni percent ya kuchangia tu?????Chalii mapenzi ni kama oxygen hayakwepeki
Kwenye kunywa sumu wakati mmeonana ukubwani hilo hapana, japo kuachwa wakati umepoteza muda mrefu inauma sana mkuuNi ngumu kuachwa hasa na mtu unaempenda. Wengine wanakuambia tumefika mwisho wa barara, gari yetu ya mapenzi haiendelei na safari. Kuna wanaotoa visingizio, unakuta miezi mitatu hamjaonana wala kuwa na maongezi ya kueleweka. Kila siku atadai yuko busy. Mmh huu u busy mbona unapata muda wa kuoga kula na kulala kama mimi bado ni wa muhimu kwako.
Awe mwanamke au mwanaume. Kama amefikia hatua hiyo, ingawa ni ngumu lakini kubali matokeo. Kumbuka yeye ni mtu mzima ana sababu zake katika maamuzi hayo.
Sasa kuna wale wa binafsi wanaotishia kunywa sumu, kulia, kujiumiza. Mpenzi wewe unafarijika kuwa nae lakini ukumbuke kuwa uwepo wako kwake si faraja tena.
sky eclat wewe unahisi umechangia kiasi gani kwenye hii problem????do u believe that whenever there is a break up kila member amechangia , na tofauti ni percent ya kuchangia tu?????
SawaSawa bwana
Acha nipambane na hali yangu tu ndio kilichobaki
Nakazia....Najiona mm
Kuna mda ukikaa unaenda kusoma conv zake za nyuma shikamoo mapenzi
Hahaha hahaha
Unapenda mpaka ukikaa peke ako, unaanza kucheka ukimuwaza! Akikupigia simu unaanza kusmile kwanza ndo upokee... Akikuambia ako na shida unaumia, unawaza namna ya kumsaidia...
Nakazia....










Hakuna kitu kibaya kama kumfanya mwenzio "priority" halafu yeye anakufanya "option"
Sent using Jamii Forums mobile app







Mama mchungaji kumbe na wewe bora tupo wengi tulijua tupo wenyewe tu
Nakazia....
You could be right, lakini inafaa umuelewe mtu uliye nae vizuri. Kuna watu hawawezi ku-multi task na kuhandle stress. Anaweza kuwa mpenzi mzuri tu akiwa hana kazi nyingi, ikitokea kazini stress zikawa nyingi ni ngumu sana kubalance na muda wa mapenzi. Hii hali tunayo sana wanaume. (Not always the case)Kwenye mapenzi ya kweli huwezi kuwa busy kiasi cha kutaka kumzidi shetani,kuna watu wanajua kujifanya wako busy jamanii basi tuone ghorofa unalojenga,hakuna..lakini mtu yuko biiiiizeee kha,itakuwa ni watoa roho watu wa hivyo asee,.lakini kama ww ni mtu mzima unajitambua huwezi kukubali kucheza madange ya baridi,mapema una move on,..muda hautoshi jamanii kuanza kubebembeleza watoto wenye nywele za kwapa,.
Sawa
Hivi unauambia moyo penda kwa 50%, nyingine zifiche au unafanyaje? Hivi unaweza kumpimia mtu kiwango cha kumpenda? Basi wengine mioyo yetu ina viherehere mno, nikipenda nimependa, nikigoma nimegoma. "To love and to be loved is the greatest happiness of existence"
Dadake mimi kupendana raha jamaniii... Halafu mtu anakuambia upende kidogo!
Mama mchungaji kumbe na wewe bora tupo wengi tulijua tupo wenyewe tu
We mgumu hukufwiiDah
Hata kunipa tu pole ya kiuongo uongo hivi nikikufwa utalia kweli
Nimeshalielewa mkuu,..You could be right, lakini inafaa umuelewe mtu uliye nae vizuri. Kuna watu hawawezi ku-multi task na kuhandle stress. Anaweza kuwa mpenzi mzuri tu akiwa hana kazi nyingi, ikitokea kazini stress zikawa nyingi ni ngumu sana kubalance na muda wa mapenzi. Hii hali tunayo sana wanaume. (Not always the case)
Hapo ndo na mie sijaelewa jamanii.. Hao wanaosema wananipenda kidogo ni uongo tuu, wanakuwaga wanapotezeana muda tu!Hivi unauambia moyo penda kwa 50%, nyingine zifiche au unafanyaje? Hivi unaweza kumpimia mtu kiwango cha kumpenda? Basi wengine mioyo yetu ina viherehere mno, nikipenda nimependa, nikigoma nimegoma. "To love and to be loved is the greatest happiness of existence"






Yani kuna muda nakuwa kama taahira jamani, unasmile tu peke yako, Mara upitie convo zenu, mara uandike jina lake, simu ikiita unatamani iwe ni from yeye tu mweeh.....! Shikamoo kupenda