Ukiachwa achika

Ukiachwa achika

Ni ngumu kuachwa hasa na mtu unaempenda. Wengine wanakuambia tumefika mwisho wa barara, gari yetu ya mapenzi haiendelei na safari. Kuna wanaotoa visingizio, unakuta miezi mitatu hamjaonana wala kuwa na maongezi ya kueleweka. Kila siku atadai yuko busy. Mmh huu u busy mbona unapata muda wa kuoga kula na kulala kama mimi bado ni wa muhimu kwako.

Awe mwanamke au mwanaume. Kama amefikia hatua hiyo, ingawa ni ngumu lakini kubali matokeo. Kumbuka yeye ni mtu mzima ana sababu zake katika maamuzi hayo.

Sasa kuna wale wa binafsi wanaotishia kunywa sumu, kulia, kujiumiza. Mpenzi wewe unafarijika kuwa nae lakini ukumbuke kuwa uwepo wako kwake si faraja tena.
Kwenye kunywa sumu wakati mmeonana ukubwani hilo hapana, japo kuachwa wakati umepoteza muda mrefu inauma sana mkuu
 
Hakuna kitu kibaya na hatari ka penzi la kushinikizana. Kama hakupendi, mwachie kiroho swaafiii aende zake. Hukuzaliwa naye, hujakua naye, mmekutana uzimani. Mkwara wa nini?? Oh! Nitakufanya kitu mbaya, nitakuharibu wengine wakikuona wataapike. Ya nini hayo yote?? Mwache mwenzio ka ulivyo mkutana.
Inauma saana lakini ndo hivyo tena. Niliumia nilipokwenda usiku kama kawa, nikafika, nikakuta njemba imeketi kwenye ile sehemu nimiliyokuwa napenda nikifika nikae. Jamaa hakutoka wala kuaga. Jamaa hakusema chochote, dada wa watu kanitoa nje kidogo, kasema; Huyu alikuwa mfadhili wangu tangu chuo. Sasa kaja dar anasema, hana pa kwenda ila kwangu. Nilisepa kiroho fresh ila hadi leo, moyo unalia. Ni more than 2 yrs now.
 
Najiona mm
Kuna mda ukikaa unaenda kusoma conv zake za nyuma shikamoo mapenzi
Nakazia....
Hahaha hahaha
Unapenda mpaka ukikaa peke ako, unaanza kucheka ukimuwaza! Akikupigia simu unaanza kusmile kwanza ndo upokee... Akikuambia ako na shida unaumia, unawaza namna ya kumsaidia...
 
Kwenye mapenzi ya kweli huwezi kuwa busy kiasi cha kutaka kumzidi shetani,kuna watu wanajua kujifanya wako busy jamanii basi tuone ghorofa unalojenga,hakuna..lakini mtu yuko biiiiizeee kha,itakuwa ni watoa roho watu wa hivyo asee,.lakini kama ww ni mtu mzima unajitambua huwezi kukubali kucheza madange ya baridi,mapema una move on,..muda hautoshi jamanii kuanza kubebembeleza watoto wenye nywele za kwapa,.
You could be right, lakini inafaa umuelewe mtu uliye nae vizuri. Kuna watu hawawezi ku-multi task na kuhandle stress. Anaweza kuwa mpenzi mzuri tu akiwa hana kazi nyingi, ikitokea kazini stress zikawa nyingi ni ngumu sana kubalance na muda wa mapenzi. Hii hali tunayo sana wanaume. (Not always the case)
 

Dadake mimi kupendana raha jamaniii... Halafu mtu anakuambia upende kidogo!
Hivi unauambia moyo penda kwa 50%, nyingine zifiche au unafanyaje? Hivi unaweza kumpimia mtu kiwango cha kumpenda? Basi wengine mioyo yetu ina viherehere mno, nikipenda nimependa, nikigoma nimegoma. "To love and to be loved is the greatest happiness of existence"
 
You could be right, lakini inafaa umuelewe mtu uliye nae vizuri. Kuna watu hawawezi ku-multi task na kuhandle stress. Anaweza kuwa mpenzi mzuri tu akiwa hana kazi nyingi, ikitokea kazini stress zikawa nyingi ni ngumu sana kubalance na muda wa mapenzi. Hii hali tunayo sana wanaume. (Not always the case)
Nimeshalielewa mkuu,..
 
Hivi unauambia moyo penda kwa 50%, nyingine zifiche au unafanyaje? Hivi unaweza kumpimia mtu kiwango cha kumpenda? Basi wengine mioyo yetu ina viherehere mno, nikipenda nimependa, nikigoma nimegoma. "To love and to be loved is the greatest happiness of existence"
Hapo ndo na mie sijaelewa jamanii.. Hao wanaosema wananipenda kidogo ni uongo tuu, wanakuwaga wanapotezeana muda tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom