Bhagavan
JF-Expert Member
- Oct 28, 2017
- 2,005
- 2,893
Yeeaaap! Adam kwa maelezo yako hayo japo huwa siyaamini ila kama ni kweli basi alikua boya na ni very weak mpaka akakubali kufanya kitu amekatazwa na muumba wake.Unamaana hata Adam alikuwa weak. Maana alimpenda sana mama Eve mpaka kukubali kula tunda.



Ndio mana nimeshangaa umejuajeee 


mmmh!!!!zirudi vizurriKwanini Mkuu?
Hahah nakuzoom tu ila ulichofanya leo i din't expect kabisa. Mungu akupe mibaraka kama yote totooNdio mana nimeshangaa umejuajeee
![]()
Ameeen mkuuHahah nakuzoom tu ila ulichofanya leo i din't expect kabisa. Mungu akupe mibaraka kama yote totoo
Sent using Jamii Forums mobile app


tubarikiwe sote tunagawana hivyohivyo kidogo tulichonachoPamoja sana Totoo ShunieAmeeen mkuutubarikiwe sote tunagawana hivyohivyo kidogo tulichonacho
Ukioa mshauri wako mkuu ni mama yako au siyo?Kwanini Mkuu?
Umekunywa nini mpaka umeandika hivi??Kupenda ni ile hali flan amazing hata kama nchi inapinduliwa nje ndani wewe na yeye mko fine.
hali flan amazing hahahaaKumuamini mtu ina maana hata kwenye maamuzi maisha yakp binafsi lazima umuombe ushauri?Ukioa mshauri wako mkuu ni mama yako au siyo?
Kupenda ni ile hali flan amazing hata kama nchi inapinduliwa nje ndani wewe na yeye mko fine.
kwani hivi leo hatufanyi mambo against MUNGU???mambo yanajirudia tu,ukishtuka jogoo kawikaYeeaaap! Adam kwa maelezo yako hayo japo huwa siyaamini ila kama ni kweli basi alikua boya na ni very weak mpaka akakubali kufanya kitu amekatazwa na muumba wake.
KweliNi ngumu kuachwa hasa na mtu unaempenda. Wengine wanakuambia tumefika mwisho wa barara, gari yetu ya mapenzi haiendelei na safari. Kuna wanaotoa visingizio, unakuta miezi mitatu hamjaonana wala kuwa na maongezi ya kueleweka. Kila siku atadai yuko busy. Mmh huu u busy mbona unapata muda wa kuoga kula na kulala kama mimi bado ni wa muhimu kwako.
Awe mwanamke au mwanaume. Kama amefikia hatua hiyo, ingawa ni ngumu lakini kubali matokeo. Kumbuka yeye ni mtu mzima ana sababu zake katika maamuzi hayo.
Sasa kuna wale wa binafsi wanaotishia kunywa sumu, kulia, kujiumiza. Mpenzi wewe unafarijika kuwa nae lakini ukumbuke kuwa uwepo wako kwake si faraja tena.