Ukiacha Wazungu, Waafrika tunafuata kwa uvumbuzi, Waarabu na Wahindi ni kelele tu. Macho madogo ndio bure kabisa.

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,482
20,428
Ukikaa nao watakwambia Algebra mara hivi mara vile lakini waarabu hawana mchango mkubwa sana hapa duniani, na wenzao wahindi wamo humohumo, hamna kitu. Wamegundua vitu vichache sana hapa duniani kwa hiyo ni sahihi kabisa kusema kwa hapa duniani mchango wao katika uvumbuzi ni negligible.



Katika ulimwengu wa macho madogo ( Wajapan, Wakorea, Wachina nk) Mjapani pekee ndio mtu pekee anayeweza kumsumbua Mwafrika mweusi kwa uvumbuzi lakini hao wengine wote waliobakia bila kukopi hawana chochote kile. Yaani Mchina asingekuwa na access na ulimwengu wa Magharibi kwa miaka 50 iliyopita, basi angekuwa sawa na Afghanistan kwa upande wa maendeleo na uvumbuzi.



Wazungu na Mwafrika ni watu wanaofuatana kwa akili ya uvumbuzi na mzungu hapendi kabisa kusikia hilo lakini ndio ukweli wenyewe.



Baadhi ya mchango wa mweusi mtu kwenye uvumbuzi.

  • Blood bank
  • Kaypee electrical car
  • X ray spectrometer
  • Self levelling table
  • Folding bed
  • Car coupler
  • Letter box
  • Seed planter
  • Hand corn sheller
  • Ironing board
  • Resistor
  • Lawn mower
  • Gas mask
  • Multiplex telegraph
  • Shoe lasting machine
  • Carbon filament bulb
  • Caller ID
  • Water gun
  • Web annimation
  • Pc Color monitor
  • Peanut butter
  • Traffic light
  • Automatic elevator door
  • Security camera
  • Potato Chips
Wakuu tukiamua kuwataja mabingwa hawa weusi itahitaji jukwaa zima hapa JF ili kuwataja wote
 
WALE MACHO MADOGO BORA WAJAPANI KULIKO WACHINA. WACHINA NI KOPI NA KUPESTI
 
Screenshot_20220426-093929.jpg
 
Ukikaa nao watakwambia Algebra mara hivi mara vile lakini waarabu hawana mchango mkubwa sana hapa duniani, na wenzao wahindi wamo humohumo, hamna kitu. Wamegundua vitu vichache sana hapa duniani kwa hiyo ni sahihi kabisa kusema kwa hapa duniani mchango wao katika uvumbuzi ni negligible.



Katika ulimwengu wa macho madogo ( Wajapan, Wakorea, Wachina nk) Mjapani pekee ndio mtu pekee anayeweza kumsumbua Mwafrika mweusi kwa uvumbuzi lakini hao wengine wote waliobakia bila kukopi hawana chochote kile. Yaani Mchina asingekuwa na access na ulimwengu wa Magharibi kwa miaka 50 iliyopita, basi angekuwa sawa na Afghanistan kwa upande wa maendeleo na uvumbuzi.



Wazungu na Mwafrika ni watu wanaofuatana kwa akili ya uvumbuzi na mzungu hapendi kabisa kusikia hilo lakini ndio ukweli wenyewe.



Baadhi ya mchango wa mweusi mtu kwenye uvumbuzi.

  • Blood bank
  • Kaypee electrical car
  • X ray spectrometer
  • Self levelling table
  • Folding bed
  • Car coupler
  • Letter box
  • Seed planter
  • Hand corn sheller
  • Ironing board
  • Resistor
  • Lawn mower
  • Gas mask
  • Multiplex telegraph
  • Shoe lasting machine
  • Carbon filament bulb
  • Caller ID
  • Water gun
  • Web annimation
  • Pc Color monitor
  • Peanut butter
  • Traffic light
  • Automatic elevator door
  • Security camera
  • Potato Chips
Wakuu tukiamua kuwataja mabingwa hawa weusi itahitaji jukwaa zima hapa JF ili kuwataja wote
Dogo hujui Dunia China alianza kuendelea hata kabla ya hao Wazungu, Elimu walienda kuiba China unajua jina silk road barabara ya kale kutoka Ulaya kwenda China? Wazungu walikuwa wanaenda kuiba bidhaa na teknolojia, tatizo la China lilianza kwenye Karne Fulani Mfalme wa Han alikataa China mambo yasitoke nje kasababisha Dola yake ya kifalme ikajifungia na haikuendelea hiyo ikawapa Wazungu kuumiza kichwa wakaanza kufanya mapinduzi, Ili waweze kwenda China kupitia njia ya maji wakajikuta wameenda ndipo wakazaliwa wakina Vasco Da gama, Columbus nk
 
Ukikaa nao watakwambia Algebra mara hivi mara vile lakini waarabu hawana mchango mkubwa sana hapa duniani, na wenzao wahindi wamo humohumo, hamna kitu. Wamegundua vitu vichache sana hapa duniani kwa hiyo ni sahihi kabisa kusema kwa hapa duniani mchango wao katika uvumbuzi ni negligible.



Katika ulimwengu wa macho madogo ( Wajapan, Wakorea, Wachina nk) Mjapani pekee ndio mtu pekee anayeweza kumsumbua Mwafrika mweusi kwa uvumbuzi lakini hao wengine wote waliobakia bila kukopi hawana chochote kile. Yaani Mchina asingekuwa na access na ulimwengu wa Magharibi kwa miaka 50 iliyopita, basi angekuwa sawa na Afghanistan kwa upande wa maendeleo na uvumbuzi.



Wazungu na Mwafrika ni watu wanaofuatana kwa akili ya uvumbuzi na mzungu hapendi kabisa kusikia hilo lakini ndio ukweli wenyewe.



Baadhi ya mchango wa mweusi mtu kwenye uvumbuzi.

  • Blood bank
  • Kaypee electrical car
  • X ray spectrometer
  • Self levelling table
  • Folding bed
  • Car coupler
  • Letter box
  • Seed planter
  • Hand corn sheller
  • Ironing board
  • Resistor
  • Lawn mower
  • Gas mask
  • Multiplex telegraph
  • Shoe lasting machine
  • Carbon filament bulb
  • Caller ID
  • Water gun
  • Web annimation
  • Pc Color monitor
  • Peanut butter
  • Traffic light
  • Automatic elevator door
  • Security camera
  • Potato Chips
Wakuu tukiamua kuwataja mabingwa hawa weusi itahitaji jukwaa zima hapa JF ili kuwataja wote
Ndo raha ya freedom of speech and expression
 
mtu mweusi hana cha kujivunia mbele ya jamii yoyote dunia hii, ht wazungu c kwamba wao mambo makubwa waliyfny wao tu hpn mchna alifny makubwa kabla yao sema alchofaulu mzungu ni mfumo wake wa kisiasa na kuchumi ilikuwa ipo compartible na maendeleo hapo ndipo walipoiacha dunia, mtu mweusi kashindwa kuandika na kutunza historia yake mwenyewe halafu useme aligundua cha maana?
 
Ukikaa nao watakwambia Algebra mara hivi mara vile lakini waarabu hawana mchango mkubwa sana hapa duniani, na wenzao wahindi wamo humohumo, hamna kitu. Wamegundua vitu vichache sana hapa duniani kwa hiyo ni sahihi kabisa kusema kwa hapa duniani mchango wao katika uvumbuzi ni negligible.



Katika ulimwengu wa macho madogo ( Wajapan, Wakorea, Wachina nk) Mjapani pekee ndio mtu pekee anayeweza kumsumbua Mwafrika mweusi kwa uvumbuzi lakini hao wengine wote waliobakia bila kukopi hawana chochote kile. Yaani Mchina asingekuwa na access na ulimwengu wa Magharibi kwa miaka 50 iliyopita, basi angekuwa sawa na Afghanistan kwa upande wa maendeleo na uvumbuzi.



Wazungu na Mwafrika ni watu wanaofuatana kwa akili ya uvumbuzi na mzungu hapendi kabisa kusikia hilo lakini ndio ukweli wenyewe.



Baadhi ya mchango wa mweusi mtu kwenye uvumbuzi.

  • Blood bank
  • Kaypee electrical car
  • X ray spectrometer
  • Self levelling table
  • Folding bed
  • Car coupler
  • Letter box
  • Seed planter
  • Hand corn sheller
  • Ironing board
  • Resistor
  • Lawn mower
  • Gas mask
  • Multiplex telegraph
  • Shoe lasting machine
  • Carbon filament bulb
  • Caller ID
  • Water gun
  • Web annimation
  • Pc Color monitor
  • Peanut butter
  • Traffic light
  • Automatic elevator door
  • Security camera
  • Potato Chips
Wakuu tukiamua kuwataja mabingwa hawa weusi itahitaji jukwaa zima hapa JF ili kuwataja wote
Mkuu unaota au ?
Unaifahamu MOSFET transistor ?
Unajua ni mkono wa wamisri(sijui utawaita warabu au waaafrika, sijui).
Unaifahamu Lithium battery ? Unajua ni mkono wa mmoroko.
Unaifahamu ramaa effect ?
Unamfahamu Ramanujan(great Indian nathematician of all time)
Unafahamu kuwa the father of space technology ya USA ni mchina.
Sitaki kwenda mbali zaidi.
Unatakiwa ufanye research ya kutosha. Kika kabila hapa duniani limechangia jambo kake kwa wakati wake.
China ndio civilization ya kale zaidi kuliko hao wazungu.
Achana na wachina naweza kukuunga mkono kidogo kwa warabu.
Mkuu kama kukopi ni rahisi kwa nini sisi waafrika tumeshindwa kukopi , copying is also an art!
Wachina ndio wanaoongoza kwa innovation karne hii.
 
Algebra ndio msingi wa kila kitu duniani, yani kila kitu. Hakuna teknolojia utaifanya bila hesabu za algebra. Kina Newton Einstein wote wanatembelea nyota ya mwamba anaeitwa Algebra.
Bado kuna kitu kinaitwa Algorthms.
Bila algorthms hakuna compyuta.
Warabu wa zamani ni nyoko!
Usisahau Muhmad SAW, yaani ndio binadamu mwenye akili zaidi duniani na mwenye influence ya ajabu, Nusu ya Waafrika na waasia wanafiata mawazo ya Muhamad.
Nioneshe mwafrika alieweza kuushawishi ulimwengu ufuate mawazo yake, Nyerer au Nkurumah?
 
Ukikaa nao watakwambia Algebra mara hivi mara vile lakini waarabu hawana mchango mkubwa sana hapa duniani, na wenzao wahindi wamo humohumo, hamna kitu. Wamegundua vitu vichache sana hapa duniani kwa hiyo ni sahihi kabisa kusema kwa hapa duniani mchango wao katika uvumbuzi ni negligible.



Katika ulimwengu wa macho madogo ( Wajapan, Wakorea, Wachina nk) Mjapani pekee ndio mtu pekee anayeweza kumsumbua Mwafrika mweusi kwa uvumbuzi lakini hao wengine wote waliobakia bila kukopi hawana chochote kile. Yaani Mchina asingekuwa na access na ulimwengu wa Magharibi kwa miaka 50 iliyopita, basi angekuwa sawa na Afghanistan kwa upande wa maendeleo na uvumbuzi.



Wazungu na Mwafrika ni watu wanaofuatana kwa akili ya uvumbuzi na mzungu hapendi kabisa kusikia hilo lakini ndio ukweli wenyewe.



Baadhi ya mchango wa mweusi mtu kwenye uvumbuzi.

  • Blood bank
  • Kaypee electrical car
  • X ray spectrometer
  • Self levelling table
  • Folding bed
  • Car coupler
  • Letter box
  • Seed planter
  • Hand corn sheller
  • Ironing board
  • Resistor
  • Lawn mower
  • Gas mask
  • Multiplex telegraph
  • Shoe lasting machine
  • Carbon filament bulb
  • Caller ID
  • Water gun
  • Web annimation
  • Pc Color monitor
  • Peanut butter
  • Traffic light
  • Automatic elevator door
  • Security camera
  • Potato Chips
Wakuu tukiamua kuwataja mabingwa hawa weusi itahitaji jukwaa zima hapa JF ili kuwataja wote
Hawa wanatambulika kama wamarekani sio waafrika kwa identity bali kwa historia.
Taja waafrika ktk bara la Afrika.
Hizo gunduzi zinatambulika kama American inventions na zimewanufaisha wamarekani na Ulaya kiliko waafrika .
Ginduzi hizo ni mali ya Marekani sio Afrika tusidanganyane.
 
Algebra ndio msingi wa kila kitu duniani, yani kila kitu. Hakuna teknolojia utaifanya bila hesabu za algebra. Kina Newton Einstein wote wanatembelea nyota ya mwamba anaeitwa Algebra.
Bado kuna kitu kinaitwa Algorthms.
Bila algorthms hakuna compyuta.
Warabu wa zamani ni nyoko!
Usisahau Muhmad SAW, yaani ndio binadamu mwenye akili zaidi duniani na mwenye influence ya ajabu, Nusu ya Waafrika na waasia wanafiata mawazo ya Muhamad.
Nioneshe mwafrika alieweza kuushawishi ulimwengu ufuate mawazo yake, Nyerer au Nkurumah?
Umeelezea vizuri Umesahau kumfahamisha kuwa muarabu ana Maandishi yake,ana namba,na ndio namba hizi tunazozitumia 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9.Mzungu hana alphabet(hili neno ni la kiarabu,kutokana silabi zao).
Ukija kwenye Chemistry(kemia),ni neno la kiarabu,ndio ukaona majina mengi ya kemikali,yananza na" Al",Kama alcohol,alkene,nk.
Vile vile katika mahesabu kina Avicenna(physician)(ibn sini) ,Aljebra,Logarithim, nk
Katika,madawa ya kutibu binadamu,wao ndio wa kwanza,kugundua tiba mbalimbali,ikiwepo tiba kupiga chuku,nk.
Kwenye mavazi,waarabu ndio wa kwanza,kugundua mavazi,kuanzia ya kawaida mpaka ya vita.
Kutengeneza vifaa vya chuma,kuanzia busy,mapanga,sufuria,majiko ,ndio wa kwanza.
Katika camera,Al haytham,Ndio aligunduwa mambo ya (camera,pinhole).
Katika nchi za kuarabu,kuna vitu vingi sana vinagunduliwa,wana viwanda vingi sana.Lakini soko lao Kubwa ni nchi za kuarabu,kutokana na soko Kubwa liko huko
Na muarabu asili yake ni mweusi,hao weupe unaowaona ni mchanganyiko wa wazungu wa mashariki,kutoka mababu na mabibi zao.Waarabu wa asili weusi,walioana na watumwa wazungu wa mashariki.
 
Umeelezea vizuri Umesahau kumfahamisha kuwa muarabu ana Maandishi yake,ana namba,na ndio namba hizi tunazozitumia 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9.Mzungu hana alphabet(hili neno ni la kiarabu,kutokana silabi zao).
Ukija kwenye Chemistry(kemia),ni neno la kiarabu,ndio ukaona majina mengi ya kemikali,yananza na" Al",Kama alcohol,alkene,nk.
Vile vile katika mahesabu kina Avicenna(physician)(ibn sini) ,Aljebra,Logarithim, nk
Katika,madawa ya kutibu binadamu,wao ndio wa kwanza,kugundua tiba mbalimbali,ikiwepo tiba kupiga chuku,nk.
Kwenye mavazi,waarabu ndio wa kwanza,kugundua mavazi,kuanzia ya kawaida mpaka ya vita.
Kutengeneza vifaa vya chuma,kuanzia busy,mapanga,sufuria,majiko ,ndio wa kwanza.
Katika camera,Al haytham,Ndio aligunduwa mambo ya (camera,pinhole).
Katika nchi za kuarabu,kuna vitu vingi sana vinagunduliwa,wana viwanda vingi sana.Lakini soko lao Kubwa ni nchi za kuarabu,kutokana na soko Kubwa liko huko
Na muarabu asili yake ni mweusi,hao weupe unaowaona ni mchanganyiko wa wazungu wa mashariki,kutoka mababu na mabibi zao.Waarabu wa asili weusi,walioana na watumwa wazungu wa mashariki.
Umenikumbusha mambo mengi.
Kozi ya educatiom ina kamada kadogo sana kana jadili the historia ya shule.
Aisee utagundua mengi sana mule. Kukosa elimu ya chuo kikuu ni kukosa mengi sana. Mtu kama huyo hawezi kukuelewa unapokuja na reference kama hizo, ni vitu hajavisikia.
 
Waafrika shida yetu moja hatugundui.vitu kwa ajili ya kuingiza sokoni ni kujifurahisha tu

Wenzetu ugunduzi wao ni wa kutafuta cha gamoto fulani na kuingiza hiyo bidhaa sokoni
Ugunduzi hulenga soko

Pili kwa waafrika wa zamani walikuwa na akili za ugunduzi kuliko sasa

Wa sasa akili ni kukariri kariri tu masomo ndio maana hata umsomeshe Ulaya au Marekani kuanzia chekechea hadi PhD hagundui kitu utakuta ni wazungu tu ndio hugundua sana
 
Back
Top Bottom