Ukiacha Uzoba wa kutojua lugha ya Kiingereza Watanzania pia ni wa mwisho kwenye uwezo wa akili za maisha na darasani hapa Afrika Mashariki

Wadiz

JF-Expert Member
Nov 10, 2022
5,411
11,061
Saa nyingine hata ukweli mchungu usemwe bila hiana, ukiona January makamba na Cheo chake anasema CCM na serikali na vyombo vyake, ukaona utopolo utakao kwenye vichwa na midomo ya wabunge, ukiona utopolo inatokea huko kwenye mahakama, ukiona uholela unaojitokeza kwenye residential nyeti kama masaki, oysterbay , etc, ukiona aina ya uchawa uliopo, ukiona akili za utatuzi wa migogoro za hovyo.

Nchi ya Tanzania ni nchi ya kijima kwenye kila kitu, a country with reverse progress.

Endeleeni na Uzoba Dunia itawakuta mlipo

Ndio hivo tu imezwe tu

Wadiz
 
Saa nyingine hata ukweli mchungu usemwe bila hiana, ukiona January makamba na Cheo chake anasema CCM na serikali na vyombo vyake, ukaona utopolo utakao kwenye vichwa na midomo ya wabunge, ukiona utopolo inatokea huko kwenye mahakama, ukiona uholela unaojitokeza kwenye residential nyeti kama masaki, oysterbay , etc, ukiona aina ya uchawa uliopo, ukiona akili za utatuzi wa migogoro za hovyo.

Nchi ya Tanzania ni nchi ya kijima kwenye kila kitu, a country with reverse progress.

Endeleeni na Uzoba Dunia itawakuta mlipo

Ndio hivo tu imezwe tu

Wadiz
Kutokujua kiingereza ni ujima?
 
Saa nyingine hata ukweli mchungu usemwe bila hiana, ukiona January makamba na Cheo chake anasema CCM na serikali na vyombo vyake, ukaona utopolo utakao kwenye vichwa na midomo ya wabunge, ukiona utopolo inatokea huko kwenye mahakama, ukiona uholela unaojitokeza kwenye residential nyeti kama masaki, oysterbay , etc, ukiona aina ya uchawa uliopo, ukiona akili za utatuzi wa migogoro za hovyo.
Ukweli mchungu..
Subiri kupopolewa na ma CHAWA
 
Saa nyingine hata ukweli mchungu usemwe bila hiana, ukiona January makamba na Cheo chake anasema CCM na serikali na vyombo vyake, ukaona utopolo utakao kwenye vichwa na midomo ya wabunge, ukiona utopolo inatokea huko kwenye mahakama, ukiona uholela unaojitokeza kwenye residential nyeti kama masaki, oysterbay , etc, ukiona aina ya uchawa uliopo, ukiona akili za utatuzi wa migogoro za hovyo.

Nchi ya Tanzania ni nchi ya kijima kwenye kila kitu, a country with reverse progress.

Endeleeni na Uzoba Dunia itawakuta mlipo

Ndio hivo tu imezwe tu

Wadiz
Umeongea ukweli mchungu.
 
Nyerere alikosea kumwachia nchi mwinyi

Hapa ndio shida zote zilipoanzia

Ufisadi
Rushwa
Upendeleo
Nk


Nyerere angemwachia nchi mzalendo

Wakati nyerere anaondoka madarakani 84 na 85

Haki ndio ilikuwa msamiati mzuri kila ofisi ya umma
 
Nyerere alikosea kumwachia nchi mwinyi

Hapa ndio shida zote zilipoanzia

Ufisadi
Rushwa
Upendeleo
Nk


Nyerere angemwachia nchi mzalendo

Wakati nyerere anaondoka madarakani 84 na 85

Haki ndio ilikuwa msamiati mzuri kila ofisi ya umma
Haki ya Mungu najapia
 
Back
Top Bottom