Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,468
113,583
Wanabodi,
Screen Shot 2022-09-06 at 5.55.18 PM.png
Screen Shot 2022-09-06 at 5.55.41 PM.png

Kwa maslahi ya Taifa, inakuletea mfufulilizo wa makala elimishi kuwaelimisha Watanzania, kuijua Jumuiya ya Afrika Mashari na Mtangamano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na fursa zake. Ambapo mtangamano ukikamilika, unakwenda kuunda Taifa kubwa kabisa Afrika Mashariki, ambalo litakuwa na Serikali moja ya Afrika Mashariki.

Ambalo Taifa hilo litakuwa ndilo Taifa kubwa la 4 duniani, baada ya China, Marekani na Urusi. Ila pia kati ya nchi zote 7 za Jumuiya ya Afrika Mashariki, Tanzania ndiyo nchi inayoongoza kwa fursa nyingi kwenye jumuiya hii kutokana na strategic location yake kupakana na bahari ya Hindi.

Ambalo ndilo lango na kuingiza bidhaa, Zambia, DRC, Rwanda na Burundi, ila kwa bahati mbaya sana, Watanzania bado hawazijui fursa lukuki zilizopo na hivyo kushindwa kuzichangamkia fursa hizi kilamilifu. Hivyo hizi ni makala elimishi kutufungua macho, tuchangamkie fursa!

Jumuiya ya Afrika Mashariki kuelekea kwenye Mtangamano wa Afrika Mashariki (kwa Kiingereza East African Community, kifupi EAC) unazihusisha nchi saba za kanda ya Maziwa Makuu ya Afrika Mashariki zenye utajiri mkubwa wa madini, maliasili, vyanzo vya maji na udongo wenye rutuba. Ambapo mtangamano ukikamilika na kuwa nchi moja, hakuna nchi nyingine yoyote barani Afrika, inaweza kushindana na utajiri huu.

Nchi hizo ni sisi Tanzania, Kenya Uganda, Rwanda, Burundi, Sudani ya Kusini na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ambayo itakuwa na eneo la kilomita za mraba milioni 4,810,363, na wakazi zaidi ya milioni 281,050,447 kwa kadirio la mwaka 2022), hivi kwamba ingekuwa nchi moja tu ingekuwa ya 7 duniani.
1.
17,098,242​
2.
9,984,670​
3.
9,826,675​
4.
9,596,961​
5.
8,514,877​
6.
7,741,220​


Hivyo nitawapeleka mdogo mdongo kwa kuanzia na kuwaelimisha kwanza kuujua Mkataba wa kuanzishwa upya kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki uliotiwa saini tarehe 30 Novemba, 1999 na kuanza kutumika rasmi tarehe 7 Julai, 2000 baada ya nchi washirika watatu wa mwanzo, Tanzania, Kenya na Uganda kuridhia mkataba huo.

Mkataba huo uliazimia kuziunganisha nchi washirika za mwanzo, Tanzania Kenya na Uganda kuwa nchi moja kupitia process inayoitwa Mtangamano ambayo inakwenda hatua kwa hatua hadi kufikia kuwa na shirikisho la nchi moja.

Mtangamano umeainisha kabla ya kuunda shirikisho, kwanza tuunganisha baadhi ya mambo tuwe na kitu kimoja ndipo tuje kuwa nchi moja.

Hatua ya kwanza ni kuunda vyombo, Sekretariat ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mahakama ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Soko la pamoja la Jumuiya ya Afrika Mashariki, tutakuja kuwa na pasipoti moja, viza moja ya watalii, muungano wa sarafu, na mwisho ni shirikisho la kisiasa.

Maeneo hayo kujenga mfumo kamili wa ushirikiano katika Biashara, Uwekezaji na Maendeleo ya Viwanda; Sarafu na Sera za Fedha, Miundombinu na Huduma, Kilimo na Uhakika wa Chakula, Mazingira na Usimamizi wa Mali Asili; Utalii na Usimamizi wa Wanyamapori.

Nyanja nyingine za ushirikiano zilizoainishwa katika Mkataba ni shughuli za Afya, Kijamii na Kitamaduni; Nafasi ya Wanawake katika Maendeleo ya Kijamii na Kiuchumi, Ushirikishwaji wa Sekta Binafsi na Jumuiya ya Kiraia; pamoja na ushirikiano katika masuala ya Sheria na Utoaji Haki. Masuala ya kisiasa ikiwa ni pamoja na Ulinzi, Usalama na Mambo ya Nje.

Mkataba pia unaeleza hatua mbalimbali katika maendeleo ya mtangamano ukiwemo uanzishaji wa Muungano wa Forodha, ambao ni mlango muhimu katika shughuli za jumuiya, kisha baadaye Soko la Pamoja, likifuatiwa na Muungano wa Sarafu na hatimaye Shirikisho Ia Kisiasa la Dola za Afrika Mashariki.

Vyombo vya mamlaka za Jumuiya ambavyo ni pamoja ni Mkutano wa Wakuu wa Nchi, Baraza la Mawaziri, Kamati ya Uratibu, Kamati za Kisekta, Mahakama ya Afrika Mashariki, Bunge la Afrika Mashariki, na Sekretariati, Mkataba pia unasisitiza ushiriki wa Sekta Binafsi na jumuiya ya Kiraia katika mwenendo mzima wa Mtangamano.

Mkataba umetilia maanani maslahi ya eneo hili la Afrika Mashariki. Inaeleweka kwamba mataifa madogo, na dhaifu hayana mustakbali murua katika ulimwengu huu wa ushindani mkubwa. Kwa kuwezesha kuwapo kwa soko pana zaidi, Jumuiya itasaidia kukuza biashara na uwekezaji katika eneo hili.

Ushirikiano katika kukuza sayansi na teknolojia utatusaidia kwenda na wakati na kuongeza kasi ya ukuaji viwanda na hivyo kuongeza ajira na kubaresha hali za maisha ya watu Kwa ujumla, Jumuiya itatuongezea fahari, hadhi na kujiamini, tena itaboresha nafasi yetu katika mahusiano na jamii nyingine duniani.

Uelewa mzuri wa Jumuiya hii ndiyo mwanzo wa Watanzania kushiriki kikamilifu na kuchangamkia fursa za Mtangamano katika enea letu hili.

Lengo la mfululizo wa makala hizi ni kuwahabarisha, kuwaelimisha na kuwahamasisha Watanzania kuifahamu Jumuiya ya Afrika Mashariki na fursa zake ili Watanzania na sisi tuzichangamkie na kuzifaidi. Makala hizi zitafuatiwa na vipindi vya televisheni vya eulimishaji Umma kuhusu Jumuiya hii, ambavyo vitaendeshwa kwa lugha ya Kiswahili na kutangazwa katika Televisheni za Taifa za nchi zote 7 ambavyo pia vitasaidia kukikuza Kiswahili ambacho ni moja ya lugha rasmi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Historia, Jumuiya hii iliyopo sasa ni yenye nchi 7, Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Sudani ya Kusini na DRC, ni Jumuiya ya pili, Jumuiya ya kwanza ilinzishwa ilianzishwa mwaka 1967 ikizihusisha nchi tatu tuu za Tanzania, Kenya na Uganga, Makao Makuu ya jumuiya hiyo ni Arusha, Tanzania. Kwa bahati mbaya sana, Jumuiya hiyo ilivunjika mwaka 1977.

Tukutane wiki iijayo, ili kujua kwa nini Jumuiya kwa kwanza ilivunjika, ili kuzitumia sababu hizo kuzuia hii Jumuiya ya pili nayo isije kuvunjika kama ile ya mwanzo.

Wasalaam,

Paskali
 
Wanabodi.
View attachment 2347914View attachment 2347916
Kwa Maslahi ya Taifa, inakuletea mfufulilizo wa makala elimishi kuwaelimisha Watanzania, kuijua Jumuiya ya Afrika Mashari na Mtangamano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ambao ukikamilika, unakwenda kuunda taifa kubwa kabisa Afrika Mashariki, ambalo litakuwa na serikali moja ya Afrika Mashariki, ambalo taifa hilo litakuwa ndilo taifa kubwa la 4 duniani, baada ya China, Marekani na Urusi, ambapo kati ya nzi zote 7 za Jumuiya ya Afrika Mashariki, Tanzania ndiyo inayoongoza kwa fursa nyingi, ila kwa bahati mbaya sana, Watanzania hawajui, na hawazichangamkii fursa hizi, hivyo hizi ni makala elimishi kutufungua macho, tuchangamki fursa!.

Jumuiya ya Afrika Mashariki kuelekea kwenye Mtangamano wa Afrika Mashariki (kwa Kiingereza East African Community, kifupi EAC) unazihusisha nchi saba za kanda ya Maziwa Makuu ya Afrika Mashariki zenye utajiri mkubwa wa madini, maliasili, vyanzo vya maji, udongo wenye rutuba ambapa mtangamano ukikamilika na kuwa nchi moja, hakuna nchi nyingine yoyote barani Afrika, inaweza kushindana na utajiri huu.

Nchi hizo ni sisi Tanzania, Kenya Uganda, Rwanda, Burundi, Sudani ya Kusini na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, ambayo itakuwa na eneo la kilomita za mraba milioni 4,810,363, na wakazi zaidi ya milioni 281,050,447 kwa kadirio la mwaka 2022), hivi kwamba ingekuwa nchi moja tu ingekuwa ya nne duniani, ikipitwa na China, Marekani na Urusi pekee!

Hivyo nitawapeleka mdogo mdongo kwa kuanzia na kuwaelimisha kwanza kuujua Mkataba wa Kuanzishwa upya kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki uliotiwa saini tarehe 30 Novemba, 1999 na kuanza kutumika rasmi tarehe 7 Julai, 2000 baada ya Nchi Washirika watatu wa mwanzo, Tanzania, Kenya na Uganda kuridhia mkataba huo.

Mkataba huo uliazimia kuziunganisha nchi washirika za mwanzo, Tanzania Kenya na Uganda kuwa nchi moja kupitia process inayoitwa Mtangamano ambayo inakwenda hatua kwa hatua hadi kufikia kuwa na shirikisho la nchi moja.

Mtangamano umeainisha kabla ya kuunda shirikisho, kwanza tuunganisha baadhi ya mambo tuwe na kitu kimoja ndipo tuje kuwa nchi moja.

Hatua ya kwanza ni kuunda vyombo, Sekretariat ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mahakama ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Soko la pamoja la Jumuiya ya Afrika Mashariki, tutakuja kuwa na pasipoti moja, viza moja ya watalii, muungano wa sarafu, na mwisho ni shirikisho la kisiasa.

Maeneo hayo kujenga mfumo kamili wa ushirikiano katika Biashara, Uwekezaji na Maendeleo ya Viwanda; Sarafu na Sera za Fedha, Miundombinu na Huduma, Kilimo na Uhakika wa Chakula, Mazingira na Usimamizi wa Mali Asili; Utalii na Usimamizi wa Wanyamapori.

Nyanja nyingine za ushirikiano zilizoainishwa katika Mkataba ni Shughuli za Afya, Kijamii na Kitamaduni; Nafasi ya Wanawake Katika Maendeleo ya Kijamii na Kiuchumi, Ushirikishwaji wa Sekta Binafsi na jumuiya ya Kiraia; pamoja na ushirikiano katika masuala ya Sheria na Utoaji Haki: masuala ya kisiasa ikiwa ni pamoja na Ulinzi, Usalama na Mambo ya Nje. Mkataba pia unaeleza hatua mbalimbali katika maendeleo ya mtangamano ukiwemo uanzishaji wa Muungano wa Forodha, ambao ni mlango muhimu katika shughuli za jumuiya, kisha baadaye Soko la Pamoja, likifuatiwa na Muungano wa Sarafu na hatimaye Shirikisho Ia Kisiasa la Dola za Afrika Mashariki.

Vyombo vya mamlaka za Jumuiya ambavyo ni pamoja ni Mkutano wa Wakuu wa Nchi, Baraza la Mawaziri, Kamati ya Uratibu, Kamati za Kisekta, Mahakama ya Afrika Mashariki, Bunge la Afrika Mashariki, na Sekretariati, Mkataba pia unasisitiza ushiriki wa Sekta Binafsi na jumuiya ya Kiraia katika mwenendo mzima wa Mtangamano.

Mkataba umetilia maanani maslahi ya eneo hili la Afrika Mashariki. Inaeleweka kwamba mataifa madogo, na dhaifu hayana mustakbali murua katika ulimwengu huu wa ushindani mkubwa. Kwa kuwezesha kuwapo kwa soko pana zaidi, Jumuiya itasaidia kukuza biashara na uwekezaji katika eneo hili. Ushirikiano katika kukuza sayansi na teknolojia utatusaidia kwenda na wakati na kuongeza kasi ya ukuaji viwanda na hivyo kuongeza ajira na kubaresha hali za maisha ya watu Kwa ujumla, Jumuiya itatuongezea fahari, hadhi na kujiamini, tena itaboresha nafasi yetu katika mahusiano na jamii nyingine duniani.

Uelewa mzuri wa Jumuiya hii ndiyo mwanzo wa Watanzania kushiriki kikamilifu na kuchangamkia fursa za Mtangamano katika enea letu hili.

Lengo la mfululizo wa makala hizi ni kuwahabarisha , kuwaelimisha na kuwahamasisha Watanzania kuifahamu Jumuiya ya Afrika Mashariki na fursa zake ili Watanzania na sisi tuzichangamkie na kuzifaidi. Makala hizi zitafuatiwa na vipindi vya Televisheni vya eulimishaji umma kuhusu Jumuiya hii, ambavyo vitaendeshwa kwa lugha ya Kiswahili na kutangazwa katika Televisheni za Taifa za nchi zote 7 ambavyo pia vitasaidia kukikuza Kiswahili ambacho ni moja ya lugha rasmi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Historia, Jumuiya hii iliyopo sasa ni yenye nchi 6, Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Sudani ya Kusini na DRC, ni Jumuiya ya pili, Jumuiya ya kwanza ilinzishwa ilianzishwa mwaka 1967 ikizihusisha nchi tatu tuu za Tanzania, Kenya na Uganga, Makao Makuu ya jumuiya hiyo ni Arusha, Tanzania. Kwa bahati mbaya sana, Jumuiya hiyo ilivunjika mwaka 1977

Tukutane wiki iijayo, ili kujua kwa nini Jumuiya kwa kwanza ilivunjika, ili kuzitumia sababu hizo kuzuia hii Jumuiya ya pili nayo isije kuvunjika kama ile ya mwanzo.

Wasalaam

Paskali
Pambana japo Chama hakiangalii Sana haya mambo ya maandiko
 

Attachments

  • IMG-20220906-WA0387.jpg
    IMG-20220906-WA0387.jpg
    74.3 KB · Views: 21
Wanabodi.
View attachment 2347914View attachment 2347916
Kwa Maslahi ya Taifa, inakuletea mfufulilizo wa makala elimishi kuwaelimisha Watanzania, kuijua Jumuiya ya Afrika Mashari na Mtangamano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ambao ukikamilika, unakwenda kuunda taifa kubwa kabisa Afrika Mashariki, ambalo litakuwa na serikali moja ya Afrika Mashariki, ambalo taifa hilo litakuwa ndilo taifa kubwa la 4 duniani, baada ya China, Marekani na Urusi, ambapo kati ya nzi zote 7 za Jumuiya ya Afrika Mashariki, Tanzania ndiyo inayoongoza kwa fursa nyingi, ila kwa bahati mbaya sana, Watanzania hawajui, na hawazichangamkii fursa hizi, hivyo hizi ni makala elimishi kutufungua macho, tuchangamki fursa!.

Jumuiya ya Afrika Mashariki kuelekea kwenye Mtangamano wa Afrika Mashariki (kwa Kiingereza East African Community, kifupi EAC) unazihusisha nchi saba za kanda ya Maziwa Makuu ya Afrika Mashariki zenye utajiri mkubwa wa madini, maliasili, vyanzo vya maji, udongo wenye rutuba ambapa mtangamano ukikamilika na kuwa nchi moja, hakuna nchi nyingine yoyote barani Afrika, inaweza kushindana na utajiri huu.

Nchi hizo ni sisi Tanzania, Kenya Uganda, Rwanda, Burundi, Sudani ya Kusini na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, ambayo itakuwa na eneo la kilomita za mraba milioni 4,810,363, na wakazi zaidi ya milioni 281,050,447 kwa kadirio la mwaka 2022), hivi kwamba ingekuwa nchi moja tu ingekuwa ya nne duniani, ikipitwa na China, Marekani na Urusi pekee!

Hivyo nitawapeleka mdogo mdongo kwa kuanzia na kuwaelimisha kwanza kuujua Mkataba wa Kuanzishwa upya kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki uliotiwa saini tarehe 30 Novemba, 1999 na kuanza kutumika rasmi tarehe 7 Julai, 2000 baada ya Nchi Washirika watatu wa mwanzo, Tanzania, Kenya na Uganda kuridhia mkataba huo.

Mkataba huo uliazimia kuziunganisha nchi washirika za mwanzo, Tanzania Kenya na Uganda kuwa nchi moja kupitia process inayoitwa Mtangamano ambayo inakwenda hatua kwa hatua hadi kufikia kuwa na shirikisho la nchi moja.

Mtangamano umeainisha kabla ya kuunda shirikisho, kwanza tuunganisha baadhi ya mambo tuwe na kitu kimoja ndipo tuje kuwa nchi moja.

Hatua ya kwanza ni kuunda vyombo, Sekretariat ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mahakama ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Soko la pamoja la Jumuiya ya Afrika Mashariki, tutakuja kuwa na pasipoti moja, viza moja ya watalii, muungano wa sarafu, na mwisho ni shirikisho la kisiasa.

Maeneo hayo kujenga mfumo kamili wa ushirikiano katika Biashara, Uwekezaji na Maendeleo ya Viwanda; Sarafu na Sera za Fedha, Miundombinu na Huduma, Kilimo na Uhakika wa Chakula, Mazingira na Usimamizi wa Mali Asili; Utalii na Usimamizi wa Wanyamapori.

Nyanja nyingine za ushirikiano zilizoainishwa katika Mkataba ni Shughuli za Afya, Kijamii na Kitamaduni; Nafasi ya Wanawake Katika Maendeleo ya Kijamii na Kiuchumi, Ushirikishwaji wa Sekta Binafsi na jumuiya ya Kiraia; pamoja na ushirikiano katika masuala ya Sheria na Utoaji Haki: masuala ya kisiasa ikiwa ni pamoja na Ulinzi, Usalama na Mambo ya Nje. Mkataba pia unaeleza hatua mbalimbali katika maendeleo ya mtangamano ukiwemo uanzishaji wa Muungano wa Forodha, ambao ni mlango muhimu katika shughuli za jumuiya, kisha baadaye Soko la Pamoja, likifuatiwa na Muungano wa Sarafu na hatimaye Shirikisho Ia Kisiasa la Dola za Afrika Mashariki.

Vyombo vya mamlaka za Jumuiya ambavyo ni pamoja ni Mkutano wa Wakuu wa Nchi, Baraza la Mawaziri, Kamati ya Uratibu, Kamati za Kisekta, Mahakama ya Afrika Mashariki, Bunge la Afrika Mashariki, na Sekretariati, Mkataba pia unasisitiza ushiriki wa Sekta Binafsi na jumuiya ya Kiraia katika mwenendo mzima wa Mtangamano.

Mkataba umetilia maanani maslahi ya eneo hili la Afrika Mashariki. Inaeleweka kwamba mataifa madogo, na dhaifu hayana mustakbali murua katika ulimwengu huu wa ushindani mkubwa. Kwa kuwezesha kuwapo kwa soko pana zaidi, Jumuiya itasaidia kukuza biashara na uwekezaji katika eneo hili. Ushirikiano katika kukuza sayansi na teknolojia utatusaidia kwenda na wakati na kuongeza kasi ya ukuaji viwanda na hivyo kuongeza ajira na kubaresha hali za maisha ya watu Kwa ujumla, Jumuiya itatuongezea fahari, hadhi na kujiamini, tena itaboresha nafasi yetu katika mahusiano na jamii nyingine duniani.

Uelewa mzuri wa Jumuiya hii ndiyo mwanzo wa Watanzania kushiriki kikamilifu na kuchangamkia fursa za Mtangamano katika enea letu hili.

Lengo la mfululizo wa makala hizi ni kuwahabarisha , kuwaelimisha na kuwahamasisha Watanzania kuifahamu Jumuiya ya Afrika Mashariki na fursa zake ili Watanzania na sisi tuzichangamkie na kuzifaidi. Makala hizi zitafuatiwa na vipindi vya Televisheni vya eulimishaji umma kuhusu Jumuiya hii, ambavyo vitaendeshwa kwa lugha ya Kiswahili na kutangazwa katika Televisheni za Taifa za nchi zote 7 ambavyo pia vitasaidia kukikuza Kiswahili ambacho ni moja ya lugha rasmi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Historia, Jumuiya hii iliyopo sasa ni yenye nchi 6, Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Sudani ya Kusini na DRC, ni Jumuiya ya pili, Jumuiya ya kwanza ilinzishwa ilianzishwa mwaka 1967 ikizihusisha nchi tatu tuu za Tanzania, Kenya na Uganga, Makao Makuu ya jumuiya hiyo ni Arusha, Tanzania. Kwa bahati mbaya sana, Jumuiya hiyo ilivunjika mwaka 1977

Tukutane wiki iijayo, ili kujua kwa nini Jumuiya kwa kwanza ilivunjika, ili kuzitumia sababu hizo kuzuia hii Jumuiya ya pili nayo isije kuvunjika kama ile ya mwanzo.

Wasalaam

Paskali
7
Asilimia kubwa ya Wachina unaowaona wamezagaa duniani pote wamewezeshwa kwa namna moja ama nyengine na serikali yao. Sisi hapa serikali inatusaidia nini kuwezesha watu wake zaidi ya kuwadharau wasio nacho na kuwaona wameshindwa na hawana akili.
 
Tukutane wiki iijayo, ili kujua kwa nini Jumuiya kwa kwanza ilivunjika, ili kuzitumia sababu hizo kuzuia hii Jumuiya ya pili nayo isije kuvunjika kama ile ya mwanzo.

Swali kwako mgombea ubunge EALA, maoni yako kuhusu mtafaruku huu hapa :

Source:

29 July 2022
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Uganda ambaye pia ni waziri wa EAC Bi. Rebecca Kadaga apinga wazo hilo kwani Tanzania tayari ni makao makuu ya taasisi kadhaa za Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Uganda ina Taasisi 3 za Jumuiya ya Afrika Mashariki zenye makao yake makuu Uganda. Jumuiya ya Afrika Mashariki ina taasisi ya Samaki la ziwa Victoria / The Lake Victoria Fisheries Organization LVFO lipo Jinja Uganda, Masuala ya Anga Uganda Entebbe CASSOA (The Civil Aviation Safety and Security Oversight Agency) na taasisi ya Elimu ya Juu ya Afrika Mashariki Inter-University Council of East Africa - IUCEA. Hivyo kuwa na taasisi tatu za Jumuiya ya Afrika Mashariki zenye makao yake nchini Uganda.

Huku Tanzania ni makao makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki yaliyopo Arusha, makao ya Bunge la Afrika Mashariki EALA lipo Tanzania, pia Korti ya Afrika Mashariki EACJ ina makao yake makuu Arusha huku Taasisi ya Kiswahili ya Afrika Mashariki ina makao makuu yake Zanzibar. Hivyo benki kuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki ikiweka makao yake makuu Tanzania itakuwa taasidi nyingine ya Afrika Mashariki yenye makao yake nchini Tanzania.

BOFYA HAPA KUFAHAMU MAKAO YA TAASISI ZA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI: Source : EAC Institutions

======

Uganda protests award of EAC central bank to Tanzania



Uganda has rejected a report by the East African Community verification team awarding Tanzania the right to host the East African Community Central Bank. First Deputy Prime Minister and Minister for EAC Affairs Rebecca Kadaga has accused the team of fraudulently awarding the EAC Central Bank to Tanzania against Uganda.
 
Wananchi wanatakiwa kulinda mikataba, katiba na siyo kuwaachia wanasiasa wenye nguvu za mamlaka kuvunja mikataba n.k

Tukiwaachia wabunge, mawaziri na marais wetu watuamulie au kubadilisha mikataba kama ya EAC bila kushirikisha raia wote kupitia referendum basi Jumuiya ya Afrika ya Mashariki EAC inaweza kufa kirahisi.

Tusifanye Jumuiya hizi za Kikanda kuwa ni klabu za urafiki binafsi wa marais.

WaTanzania pia wanatakiwa wadai kujua wabunge wao waliopo EALA wanachangia mawazo ya kivipi kwa wabunge wa Tanzania waliopo Bunge la Jumuiya ya Afrika ya Mashariki yaani EALA hawasikiki wala kuonekana michango yao iwe imeandikwa ktk magazeti au kurushwa ktk vituo vya,televisheni na mitandao.

Tofauti wa wabunge EALA wa nchi zingine kama Uganda na Kenya wao wapo active sana kwa kutoa mawazo na kuhojiwa hivyo wananchi wa nchi zao wanauelewa mpana wa Jumuiya ya EAC na fursa zake kibao.

Au pengine wabunge wa upande wetu Tanzania wasailiwe kwa kina uwezo wao wa kumanya na kutetea hoja kwa lugha ya kigeni. Hii iwe kigezo mojawapo muhimu ktk kuchaguliwa ili wakienda bunge la EALA wasiwe mabubu, nashauri kuomba kura kwa dakika moja mbele ya bunge la Muungano la Tanzania pale Dodoma ili wamchague kwenda bunge la EALA muda huo wa kuomba kura usitiwe maanani kabisa

Bali wagomea ubunge EALA wafuatilie kwa upana iwe clips za video YouTube n.k wapi wamemuona muombaji ubunge EALA ameweza kuongea kwa hoja nzito na ushawishi mkubwa kwa kutumia lugha ya kiingereza kwa zaidi ya dakika 30 na kama kuna maandiko yoyote aliyoyafanya kwa lugha ya kiingereza baada ya kumaliza chuo kikuu au elimu ya juu, digrii pekee yake au master's degree na PhD isiwe kigezo pekee bali baada ya kuhitimu tumemuona wapi akiongea mambo mazito na nyeti au kuandika makala kadhaa mfululizo kwa kutumia lugha ya kiingereza.

TUNDU LISSU ANAONGELEA NGUVU YA UMMA KULINDA KATIBA ILIYOANDIKA KTK MAKARATASI MAANA BILA HIVYO VIONGOZI WATATUCHEZEA

 
Paschal Mayalla,

Lini wanasheria waTanzania wanaweza kuruhusiwa kuwa mawakili wa mahakama kuu za Kenya, nini tatizo mawakili wetu hawawezi kuruhusiwa kuingia 'Bar' Kenya lakini kina LPO Lumumba wao wana leseni ya kutetea mteja ktk mahakama kuu za Tanzania. Tatizo ni nini ? Viwango, lugha au fursa mawakili wetu hawazioni ?

African Academy of Sciences
https://www.aasciences.africa › fellow
Patrick Loch Otieno Lumumba | The AAS - African Academy of Sciences


Prof Patrick Lumumba is an eloquent Kenyan legal practitioner and an Advocate of the High Courts of Kenya and Tanzania.


EALA MPs criticize Kenyan decision barring Ugandan law students from enrolling for Kenyan bar course

Members of the East African Legislative Assembly have spoken out against a decision by Kenya School of Law to block non-Kenyans admission for the bar course in Kenya. On 17th November, the Director of Kenya School of Law issued a directive to that effect but the EALA representatives say this is not in the spirit of East African integration. Francis Jjingo filed this report from Nairobi Kenya where the regional assembly is currently in session.
Source : NTVUganda
 
Paschal Mayalla,

Eneo hili la fursa, Tanzania inawatetea mawakili wake vipi iwe kupitia EALA , TLS na serikali kuu wizara husika.

24 February 2020​

Uganda Law Council Rejects Rwanda Bar Course​


Over 24 Ugandan lawyers who studied their Postgraduate diploma in Law from the Rwanda Institute of Legal Practice have petitioned the Speaker of Parliament Rebecca Alitwala Kadaga over the refusal by the Uganda Law Council to issue them with certificate of eligibility.

Source : Next Media Uganda
 
Paschal Mayalla,

Je kwa Tanzania mitihani ya law school ifutwe au iboreshwe ili tupate fursa ndani na nje ya nchi

2 February 2019
Kampala, Uganda

Legal experts disagree on removing LDC pre-entry exams



Over the years, scores of people have failed the pre-entry exams for the Law Development Centre bar course. Last year, the debate in many circles on whether these exams are a necessity raged on after Parliament passed a resolution to have the examinations suspended. The President of the Uganda Law society Simon Peter Kinobe does not agree with the call to scrap the pre-entry exams.

Source : NTVUganda
 
20 May 2021
Nairobi, Kenya

KENYA SCHOOL OF LAW

CynthiaUNTAMED| Ready for Kenya School of Law



Ready for Kenya School of Law: This is the last step towards my admission to the bar as Advocate of the High Court of Kenya. Ready for this and going in with a positive attitude. Get ready with me.
Source : Cynthia Nyongesa


Source : Cynthia Nyongesa


More info :

Kamusi Ya Maneno Na Misemo Ya Kisheria​


 
Back
Top Bottom