harder king
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 3,970
- 6,918
Raisi wako ni kabila gani!?
Umeshinda. Lingine?Ha ha ha, sasa kwa nini unachomekea Kiingereza uchwara, kwani ukiandika kwa lugha yetu Tukufu ya Kiswahili haitoshi?
Tatizo sishindani, kwa hiyo hakuna lingine.Umeshinda. Lingine?
Sio ilivyorekibishwa...IlivyorekebishwaPole Kiongozi lakini rekebisha maneno haya chini yenye rangi nyekundu yasomeke fasaha kama ilivyorekibishwa.
kutuudumia == kutuhudumia
unamirikiwa == unamilikiwa
selikari, == serikali
ukabira= = ukabila
rakini == lakini
wamiriki= = wamiliki.
Mchaga hawezi Fanya R=L au L=RWw utakua mchaga tu mbona husemi TRA
Lakini hiyo kabila sindio ile kabila pendwa ya mkulu??Ndugu wana JF, niwatakie kheri ya Mwaka mpya 2018.
Kwanza kabisa niwapongeze walioshiriki katika ununuzi wa mabasi haya, ninawapongeza kwa sababu ni magari yenye injini za uhakika(Cummins) tena Euro four ambazo ni environmental friend. Mbali na hizo engine gari hizi zina gear box za Voith, wanaojua magari watanielewa.
Itakapofika mwezi wa Tano mwaka huu, mradi huu wa mwendo kasi utakuwa umefikisha miaka miwili kutuhudumia wananchi. Ikumbukwe mradi huu unamilikiwa asilimia zaidi ya 50 na Robert Kisena(SIMON GROUP), asilimia 10 umoja wa wamiliki daladala na zinazobaki ni serikali, kwa kigezo icho hapo juu, Kisena anapata mamlaka yakuamua nani amuweke kwenye management na nani amwajiri, Pia anapata upenyo wakutoweza kuwa audited.
Kinachonipa ukakasi nijinsi alivyoamua kuuendesha mradi huu, katanguliza ukabila mbele, ukifika Kurasini kwenye ofisi za Simon Group ni kisukuma kuanzia getini mpaka ghorofani,
Ukija Jangwani ni kisukuma kuanzia getini, madereva, workshop, stores mpaka kwenye management. Jambo hili wala nisingeona tatizo kama angeweka wasukuma rakini walio makini, lakini kajaza watu wasiojua nini wanafanya, wanangojea kila kitu yeye atoe maelezo muda wote wanagonga kisukuma ofisini.
Wapo watu ambao hawafai kuwa hata supervisors lakini unakuta wanaitwa C.E.O
Jambo la mwisho linaloleta ukakasi ni, jinsi alivyoamua kuanzisha vikampuni ndani ya mradi kwa ajili yakuwaibia wadau wenzake ambao ni wamiriki wa daladala na selikari.(Jambo hili liko sensitive sana sitaliweka hapa mpaka hapo baadae.)
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Pole Kiongozi lakini rekebisha maneno haya chini yenye rangi nyekundu yasomeke fasaha kama ilivyorekibishwa.
kutuudumia == kutuhudumia
unamirikiwa == unamilikiwa
selikari, == serikali
ukabira= = ukabila
rakini == lakini
wamiriki= = wamiliki.
Umejuaje si watu sahihi??Mkuu kuongea kirugha siyo issue. Wawe watu sahihi jamani.
Bandari na TRA mkuu ukiingia kuanzia getini, reception, nk ni kichaga tu.Ndugu wana JF, niwatakie kheri ya Mwaka mpya 2018.
Kwanza kabisa niwapongeze walioshiriki katika ununuzi wa mabasi haya, ninawapongeza kwa sababu ni magari yenye injini za uhakika(Cummins) tena Euro four ambazo ni environmental friend. Mbali na hizo engine gari hizi zina gear box za Voith, wanaojua magari watanielewa.
Itakapofika mwezi wa Tano mwaka huu, mradi huu wa mwendo kasi utakuwa umefikisha miaka miwili kutuhudumia wananchi. Ikumbukwe mradi huu unamilikiwa asilimia zaidi ya 50 na Robert Kisena(SIMON GROUP), asilimia 10 umoja wa wamiliki daladala na zinazobaki ni serikali, kwa kigezo icho hapo juu, Kisena anapata mamlaka yakuamua nani amuweke kwenye management na nani amwajiri, Pia anapata upenyo wakutoweza kuwa audited.
Kinachonipa ukakasi nijinsi alivyoamua kuuendesha mradi huu, katanguliza ukabila mbele, ukifika Kurasini kwenye ofisi za Simon Group ni kisukuma kuanzia getini mpaka ghorofani,
Ukija Jangwani ni kisukuma kuanzia getini, madereva, workshop, stores mpaka kwenye management. Jambo hili wala nisingeona tatizo kama angeweka wasukuma rakini walio makini, lakini kajaza watu wasiojua nini wanafanya, wanangojea kila kitu yeye atoe maelezo muda wote wanagonga kisukuma ofisini.
Wapo watu ambao hawafai kuwa hata supervisors lakini unakuta wanaitwa C.E.O
Jambo la mwisho linaloleta ukakasi ni, jinsi alivyoamua kuanzisha vikampuni ndani ya mradi kwa ajili yakuwaibia wadau wenzake ambao ni wamiriki wa daladala na selikari.(Jambo hili liko sensitive sana sitaliweka hapa mpaka hapo baadae.)
Ukitaka majina nitakutajia mkuu. Nawajua nje ndani.Umejuaje si watu sahihi??
Weka ushahidi hapa fulani si mtu sahihi kwa sababu hizi....
mtoa mada atakuwa mkurya tu huyu sio bure kwa kiswahili kilePole Kiongozi lakini rekebisha maneno haya chini yenye rangi nyekundu yasomeke fasaha kama ilivyorekibishwa.
kutuudumia == kutuhudumia
unamirikiwa == unamilikiwa
selikari, == serikali
ukabira= = ukabila
rakini == lakini
wamiriki= = wamiliki.
Mmh coco ungejipa muda kutafakari kabla ya kuchangia hivi.... Hizi tuhuma ni za muda mrefu sema huyu ndugu kaamua kujilipua.. Ngoja tuone itajulikana tu kama ni uzushi ama la
Sio ilivyorekibishwa...Ilivyorekebishwa
Mmh haya rafiki mimi nakuelewa ila wengine sijuiMshana mie nimeandika kwasababu nimeona amelalamikia mengi.. najua ameshasemwa sana huyo Simon
So kama ana mapya ndio atumwagie tuyajue au? Si unajua tena JF tunapenda ubuyu kama kawa