Professor Muhongo keshawaambia watanzania mnamitaji ya kuwekeza kwenye juisi ingawa amtaki hila huo ndio ukweli wenyewe
Hiyo shughuli ya kuchimba hapo kila mita 10 gharama yake ni dola $10,000
Baharini unaweza kuchumba mpaka feet 10000 na zaidi rought estimates 3050 x 10000 = 30,500,000
Watafuta mafuta uangalia na ujazo wa gesi saa zingine inaweza kuwa kina zaidi hesabu za haraka tu ni 70,000,000 na pengine zaidi
Baada ya hapo kuna kujenga rigs hesabu zake kichaa ata kuziongelea; mafuta na gesi yakija kuna machanganyiko wa 40% to 50% na maji return of the investment inatokana na bei ya soko.
Sasa kasome sheria ya mikataba ya gesi na mafuta ndio utajua jinsi gani Professor Muhongo alivyo mzalendo mwenye akili na jinsi anavyoielewa hii sector.
On the other hand kama wewe una share zako swala Oil nakuakikishia miaka mianane amtoweza chimba mafuta sio tanzania duniani kokote vitu vingine tunajisemea tu lakini uhalisia wake tofauti we unadhani kwanini serikari karibu zote mafuta awachimbi wenyewe na faida zipo.
Katika watu ninaompongeza raisi kuwarudisha ni huyu bwana kwa sababu ya taaluma na jinsi alivyo lisaidia taifa; on the other hand Mwakyembe is replaceable tuna wataalamu wengi sana washeria huyu alitakiwa akae chonjo tu keshalitia taifa hasara za kutosha ni useless.