Ni Muhongo?wenyewe mnaona kwa macho yenu wala sihitaji maswari
wenyewe mnaona kwa macho yenu wala sihitaji maswari
Mfanyabiashara Vs Mwanasiasa
Muhongo akiwa mwanasiasa kafulila aetakua nani?Profesa mzima anasema hela sio ya umma?looo...!
Mzee Mengi watu wanakuheshimu unatongoza na kuishi na vitoto vidogo na kuzaa zaa ovyo wakati mabinti wako wakubwa kuliko hivyo viruka njia ...utaleta magonjwa ya Aibu hata hizo hela za dhuruma unazongangania hazitakusaidia mke mkubwa umeachia vijana wenye nguvu....washughurike utakufa na viagra endelea yetu macho.
Mengi aache usengerema na chuki zake binafsi kwa muhongo,kanyimwa vitalu atulie,anakua na mambo ya kiswahili kama ya waimba taarabu,hovyo kabisa mengi,ana mambo ya kishangingi sana.