pixel
JF-Expert Member
- Jun 22, 2012
- 1,630
- 406
Kuna tofauti gan kati ya waanasias wote? Wote wahongo tu,thou wengne wamezid
uNAWEZA KUMUWEKA ZITO NA aSUMPTA MSHAMA KUNDI MOJA?KUNA WANASIASA NA WANASIHASA.
Kuna tofauti gan kati ya waanasias wote? Wote wahongo tu,thou wengne wamezid
whatever the case mengi hana hela ya kuwekeza kwenye gesi,anamiliki vitalu 57 vya madin mengne ameshndwa kuviendeleza kwa miaka kadhaa anatafta wawekezaji wengne awauzie gesi ndio ataweza?
Hela ya gesi mengi hana,aache mambo ya kike,akaimbe taarabu tujue moja aanze kupumuliwa
uNAWEZA KUMUWEKA ZITO NA aSUMPTA MSHAMA KUNDI MOJA?KUNA WANASIASA NA WANASIHASA.
hahahahahaha,halafu atuonyeshe thesis ya PhD yake
kumbe haya mambo ya kupashana hayana utoto wala elimu ya mtu tofauti mazingira tu
Hiyo lugha aliyotumia yani ni kama mswahilii hivi tena ambaye hakwenda shule wala hana exposure yeyote mtu mzima aliyestarabika hawezi kupost kitu kama hicho? Mtu alirudia darasa la saba mara tatu afu leo ni professor so what? that is personal life its not our concern hata kidogo? After wangapi ambao hawakurudia walifaulu vizuri wakawa na elimu kubwa lakini bado hatuoni faida ya huko kufaulu kwao kwa kutorudia.Huyu mzee ana matatizo,yaani vijembe hivyo vya nini sasa?
You too,upo[MENTION] Boss[/MENTION]?happy new year
wamekutoa lini mirembe
Hiyo lugha aliyotumia yani ni kama mswahilii hivi tena ambaye hakwenda shule wala hana exposure yeyote mtu mzima aliyestarabika hawezi kupost kitu kama hicho? Mtu alirudia darasa la saba mara tatu afu leo ni professor so what? that is personal life its not our concern hata kidogo? After wangapi ambao hawakurudia walifaulu vizuri wakawa na elimu kubwa lakini bado hatuoni faida ya huko kufaulu kwao kwa kutorudia.
Nina story yake ila naogopa tu kusema,niliambiwa na mwalimu wake.Hahahahahaha lol!!!! Kwa jina lake lazima atakupiga fiksi tu ili asikuonyeshe maana haipo. Uprofesa wake hauna tofauti na ule wa maji marefu.
You too,upo Boss?
Wewe na huyo mengi anzisheni kikundi cha taarabu tujue moja,hapo mtakua huru kurusha mipasho live redioni,tv nk.
Mzee mzima na mambo ya kike,sasa huwezi kumtofautisha mengi na mariam wa migomba wa tbc au gea habib kwa mipasho,kwa mipasho wanatoka pasu.
Tumeuona Mwaka,sijui utaishaje?nipo nimejaa tele..karibu..
Tumeuona Mwaka,sijui utaishaje?