Ujumbe wa Mengi katika Twitter, kejeli kwa Prof. Muhongo?

Ujumbe wa Mengi katika Twitter, kejeli kwa Prof. Muhongo?

Unapoweka post kama hizi jaribu kuweka na tarehe.Hii post niya siku nyingi sana.
 
Mimi sijaelewa, mimi naona kama anatoa inspiration fulani kua watu wakifeli wasikate tamaa, wewe unasema ajiondoe kwenye maigizo kivp mkuu? naomba unieleweshe
 
Huu ujumbe wa tangu 12/31/2014 ndio mnauibua leo.

Kweli UKAWA wameweweseka😅😅😅...CCM ni ile ile. CCM mbele kwa mbele.
 
Arudie na yeye akapige Geology ya UDSM tuone atadumu kwa semester ngapi.BTW:Hii kitu mbona ya zamani sana na humu jamvini tayari imo.
 
Na kwa bahati mbaya sasa ni mkwepa kodi mzuri tu Na majuzi JPM alimtumbua
ushahidi wa kama ametumbuliwa iwe gazeti au habari ya tv tashukuru tofauti na hapo ni ukiwa mkwere cio lazima uwe mmbea na muongo
 
Hivi kubadili Jina Kuna Tatizo gani kama Anayefaulu ni huyohuyo?
Labda Jina ndo lilikuwa Tatizo, hata Sauli aliitwa Peter, , na wengine wengi
 
ushahidi wa kama ametumbuliwa iwe gazeti au habari ya tv tashukuru tofauti na hapo ni ukiwa mkwere cio lazima uwe mmbea na muongo

Hahaha ukiwa Mjaluo sio lazima uwe mbishi, pale ICD ni noma, hahah
 
Sizani kama anamzungumzia Muhongo ila kati ya nape mwigulu au kinana kuna mtu mmoja hapo alishafeligi mtihani darasa la saba ikabd atumie jina la mwingine aliyefaulu ila hakuwa na pesa
 
Hapa nadhani anasema rais anabadili rangi watu walewale.

He is more than right.big up Mr Mengi.
 
Mzee wangu Mengi wewe ni Level ya juu sana katika nchi hii,hakuna mtu mwenye uwezo wa kukusumbua kwa lolote,
Kama kweli hii ni account yako naomba uelewe wakati umefika ukae pembeni, na ujiondoe kabisa kwenye haya maigizo!
na kama kuna mtu anatumia account bila wewe kusoma anayo post tafadhali futa kabisa hiyo account,
kama ni account feki naomba unisamehe sana!

attachment.php

Ameanza tena hiki kizee kichawi sana, yeye huwezi hata kuwa mwanafunzi wa professor S.M.Muhongo a renowned academic wizard
 
Kuweni wakweli, hii ni post ya Mengi ya siku nyingi sana kipindi kile escrow issue ipo hot.
 
kama mtu anafeli three times lakini at the end of the day anaukwaa uprof hiyo ni super credit.End justifies the means,the beautiful end will always clean up the dirty ways and means.
 
Back
Top Bottom